MCH. RICHARD HANANJA ALIVYOCHEKESHA NA KUTAJA KAZI WANAZOFANYA MBALI NA UCHUNGAJI
MCH. RICHARD HANANJA ALIVYOCHEKESHA NA KUTAJA KAZI WANAZOFANYA MBALI NA UCHUNGAJI KWENYE KONGAMANO LA VIJANA LA LA UREJESHO NA UAMSHO (RESTORATION & REVIVAL CONFERENCE) LINALOENDELEA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B" KILA SIKU SAA 8 MCHANA NA LITAHITIMISHWA SIKU YA JUMAPILI 12.06.2022 KUANZIA SAA 3 ASUBUHI HADI SAA 8 MCHANA. KONGAMANO HILI LIMEZINDULIWA NA BISHOP ROSE MGETTA SIKU YA JUMAPILI 05.06.2022
Пікірлер: 52
Hii brain ya mtumishi sijui ni GB ngapi kwa kweli...Mwenyezi Mungu ana watu aloo 🙌🙌
@vincentmushi1247
2 жыл бұрын
GB 5000 kaka ...mchungaji ni kiboko
@jemamdendemi3375
Жыл бұрын
Hahahaaa
@bintihamisi4432
Жыл бұрын
Kwakweli
@user-hd3oz1nv5s
4 ай бұрын
❤😂
Huyuu Mzee ni hatariii sanaa hongeraa sanaa
Mh mtumishi MUNGU ambariki umenigusa sana
Baba hananja karibu sana korogwe tunatamani kutulisha neno live 🙏🙏🙏
Ameni pastor
Barikiwa mchungaji hananji
Great preacher.Naakupenda zaidi mchungaji
Jamani wapendwa natamani na Mimi ningekaribishwa hapo kanisa yaani Raha Kwa yesu mmemuona huyo hapo nyumba ya mchungaji Richard hananja
Jamoon wawoh🎉
Amina
Nimekuwa nikiwasikiliza wachungaji wengi katika maubiri ya mungu... Lkn sijawahi kuona mtu ambae anatoa vifungu vya biblia na mistari kama huyu mchungaji R.Hananja,na wala hauchoki kumsikiliza....mungu ambariki sana
@personpeter2221
Жыл бұрын
Unafki wachungaji wapo wengin tu kunamchungaji pascal mchungaji moses magembe mchungaji Daniel mgogo nawengi tu
@katalinamvanga1199
Жыл бұрын
@@personpeter2221 acha roho mbaya huo c unafiki ni maoni ya mtu
Mungu akuinue
Amen barikiwa san mtumishi
Mungu ni mwema sana mt.umenigusa sana mtumishi.
Fantastic
Ameeen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana sana
Amina 🙏😍💕💕💓💞💓💓
Mchungaji naombanambayako bb Wakiroo
Baba nakukubali sana ww bibilia ipo kichwani hainahaja yakutembea na bibilia
Good 👍👍
Sichokagi kusikiliza maarifa kutoka kwako
Ameen
Hadi wqmefanana n amke wake
@eliaszephania3115
Жыл бұрын
Kweli eeeeh
Amen
jamn muchungaji ubarikiwe
Amen 🙏🙏🙏
Ameeeni
Aminaaaaaa
@hassanmamuni4864
2 жыл бұрын
Mungu anayo watu bana
Mahumbili
Amina kweli biblia ipo kichwani mchungaji
TOA SADAQA MCHUNGAJI ANONE MWENYEWE UKONDE.
paster tone kapolo
Huyu mtumishi 😂😂😂
Mchungaji Hanan
Duuu kweliii uyoo mi mchungaji wa kondooo
L
Korona kwani IPO mmekaa mbalimbali
by iui by n.y buy CSR
KARIBU KANISANI KWETU KIPAGAMO MAKAMBAKO
Huyuu Mzee ni hatariii sanaa hongeraa sanaa
Amen
Ameeeni
Amen