Mch Moses Magembe - DINI YA KWELI | MAFINGA 02
Mkutano wa Uponyaji na miujiza Iringa - Mafinga chini ya Mchungaji Moses Magembe.
UJUMBE: DIINI YA KWELI
ANDIKO: WARAKA WA YAKOBO 1:25-27
MNENAJI: MCH. MOSES MAGEMBE
TAREHE: 08.08.2022
Mkutano wa Uponyaji na miujiza Iringa - Mafinga chini ya Mchungaji Moses Magembe.
UJUMBE: DIINI YA KWELI
ANDIKO: WARAKA WA YAKOBO 1:25-27
MNENAJI: MCH. MOSES MAGEMBE
TAREHE: 08.08.2022
Пікірлер: 19
Amina
Amina mungu akubaliki uendelee kuhubili
Amina nimebarikiwa sana na neno la leo mtu wa Mungu.
Karibu kwetu mafinga nakuona hapa sahzi
Amina Baba. Asante Sana kwa mafundisho haya .
Mungu akutie nguvu Baba mchungaji tunakuelewa vizuri sana
🙏🙏
Amen amen ❤
EMENI
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Tunaomba mafundisho yasikatishwe maana tunahitaji kupata mkanda mzima mpaka maombezi...
Sifa na utukufu kwa BWANA
Hahahaha yaani mpaka Raha kuwa na baba Kama huyu .Ni Raha kumsikiliza anamwaga thiologia.hahahaha
Mtu wa Camera
Kwa heshima kubwa naomba nimukumbushe mzee huyu kwamba Petro alikuwa hajui hata kusoma na Paulo theologie yote aliyoijua iligeuka sifuri alipokutana na Yesu, naye Yesu alisema tukasubiri Jerusalem ili tuvikwe nguvu ndipo tuwe hahubili na wala hakutwambia tupate degree ndipo tukahubiri Injili
@erickmutungi8792
8 ай бұрын
Umemsikiliza kwa makini lakini kuanzia mwanzo?
Mchungaji umeferi kwa Hilo yesu hajasoma shule yoyote
@anethpatroba3401
11 ай бұрын
Acha utoto hicho ndicho ulichoelewa
@jojojojo-my7vw
7 ай бұрын
msamehe tuu mwenyew unaona kaandika ameferi sasa kama hajui kuandika atawezaje kuelewa @@anethpatroba3401