Mch Moses Magembe - KUFUNGA KUNAKOKUBALIWA NA MUNGU
Ibada ya Jumapili asubuhi katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita - Ukonga, Dar es salaam chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: KUFUNGA KUNAKOKUBALIWA NA MUNGU
Andiko: ISAYA 58:1-14
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 04.12.2022
Пікірлер: 13
Mungu akutunze Sana baba yangu uzidi kutuonyesha njia ya kufika kwa Mungu wetu
Amen amen amen
Amina babayangu, NAKUPENDA BURE,ENDELEA KUNITENGENEZA🙏🙏🙏
Mungu akubariki baba nilikuwa natamani kujua aina za kufunga lakini kupitia mahubiri yako nimejifunza kitu kikubwa sana na Mungu amenijibu swali langu la miaka mingi
🙏 🙏 🙏 Amen
Ubarikiwe baba
Amen baba mchungaji ubarikiwe sana
🙏
Amen 🙏
Bwana Yesu asifiwe mbona leo hakuna live au bado muda
Wamesoma kitabu ngani
piga kelele usiache Baba unatusaidia weg
ᎮᏒᎧᎷᎧᏕᎷ