Mch Moses Magembe - MPINGA KRISTO NA UTAWALA WAKE | MAFINGA 07
Siku ya saba Mkutano wa Uponyaji na Miujiza Mafinga-Iringa chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: MPINGA KRISTO NA UTAWALA WAKE
Andiko: UFUNUO 17:9-11, 13:1-18
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 13.08.2023
Пікірлер: 22
Baba angu Mimi naitwa ngosha Japhet siku Moja nitakuja kumshukuru Mungu,maaana tangu nianze kukufatilia aaah!!!! Sio Mimi yule maana nami ni mzaliwa wa shinyanga bariadi ruguru jineli kwa kweli kama unavyojua maisha na Mira zetu ni Neema tu Baba,Sasa Kuna mtu nilikuwa nafundisha habari za unyakuo kwamba Kanisa litaondoka kwa kusitukiza lakin wanasema eti YESU anakuja wazi kwa ushindi lakin Mimi najua atakuja kama mwivi na badae atakuja kama mfalme Mimi nakupa mzee wangu hivyo huwa nachukua sim ya mama ili nione umefundisha nini Leo najua tuko mafinga
Ameen mungu akubalini sn baba angu
Unatubariki SANA baba,, MUNGU bado anamasalia Tanzania
Amina baba Mungu aendelee kukutunza na kukulinda na kwasasa injili kama hii ndio inayotakiwa
Amina
Amen
Bwana akutunze salama mchungaji
Asante
AMEN mtumishi wa MUNGU, HAKIKA NEEMA YA MUNGU IZIDI KUTUFUNIKA TUISHI MAISHA YA UTAKATIFU
@anordicreophasi
11 ай бұрын
Amina baba Mungu atusaidie
Baba Naku fataka sana ,na nime farijiwa na mafundisho toka kwenu.ila kuna kitabu ume andika sijuwi tunaweza kuipata namna gani.Kanisa la kweli.
Amen amen 🇦🇺 Mungu akubariki baba
🎉🎉🎉🎉🎉
Amina Baba Mungu akubariki Sana 🙏
Amen ubarikiwe sana mchungaji
Baba Mungu akubariki sana
2Wathethalonike 2:1-3 Basi ndugu tunakusihini kwa habari ya kuja kwake bwana yesu kristo na kukusanyika kwetu mbele zake kwamba msifadhaishwe upesi hata kuiacha Nia yenu Wala msisitushwe kwa roho Wala kwa neno Wala kwa waraka uliodhaniwa kuwa ni wetu kana kwamba siku ya bwana imekwisha kuwepo mtu yeyote asiwadanganye kwa njia yoyote maana haiji isipokuwa Kwanza ule ukengeufu akafunuliwa yule mtu wa kuasi,mwana wa uharibifu.
Sema baba
🤣🤣🤣baba Yohana leo umenichekesha kweli
Kanisa likinyakuliwa Kuna hekima gani ya inahitajika kumgundua mpinga kristo?
Amina
Amen