Mch Moses Magembe - MPINGA KRISTO NA UTAWALA WAKE | MAFINGA 07

Siku ya saba Mkutano wa Uponyaji na Miujiza Mafinga-Iringa chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: MPINGA KRISTO NA UTAWALA WAKE
Andiko: UFUNUO 17:9-11, 13:1-18
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 13.08.2023

Пікірлер: 22

  • @catherinenestory9514
    @catherinenestory951411 ай бұрын

    Baba angu Mimi naitwa ngosha Japhet siku Moja nitakuja kumshukuru Mungu,maaana tangu nianze kukufatilia aaah!!!! Sio Mimi yule maana nami ni mzaliwa wa shinyanga bariadi ruguru jineli kwa kweli kama unavyojua maisha na Mira zetu ni Neema tu Baba,Sasa Kuna mtu nilikuwa nafundisha habari za unyakuo kwamba Kanisa litaondoka kwa kusitukiza lakin wanasema eti YESU anakuja wazi kwa ushindi lakin Mimi najua atakuja kama mwivi na badae atakuja kama mfalme Mimi nakupa mzee wangu hivyo huwa nachukua sim ya mama ili nione umefundisha nini Leo najua tuko mafinga

  • @jumbemakindi5582
    @jumbemakindi558211 ай бұрын

    Ameen mungu akubalini sn baba angu

  • @SAAYAUAMSHOULIMWENGUNI
    @SAAYAUAMSHOULIMWENGUNI10 ай бұрын

    Unatubariki SANA baba,, MUNGU bado anamasalia Tanzania

  • @JohnKapinga-wo1ow
    @JohnKapinga-wo1ow11 ай бұрын

    Amina baba Mungu aendelee kukutunza na kukulinda na kwasasa injili kama hii ndio inayotakiwa

  • @musumijohn7646
    @musumijohn764611 ай бұрын

    Amina

  • @kapingalucy2707
    @kapingalucy270711 ай бұрын

    Amen

  • @user-ds4yn6fl2b
    @user-ds4yn6fl2b10 ай бұрын

    Bwana akutunze salama mchungaji

  • @chungabrand9838
    @chungabrand983811 ай бұрын

    Asante

  • @bumikasege3088
    @bumikasege308811 ай бұрын

    AMEN mtumishi wa MUNGU, HAKIKA NEEMA YA MUNGU IZIDI KUTUFUNIKA TUISHI MAISHA YA UTAKATIFU

  • @anordicreophasi

    @anordicreophasi

    11 ай бұрын

    Amina baba Mungu atusaidie

  • @mirindiabeli3195
    @mirindiabeli319511 ай бұрын

    Baba Naku fataka sana ,na nime farijiwa na mafundisho toka kwenu.ila kuna kitabu ume andika sijuwi tunaweza kuipata namna gani.Kanisa la kweli.

  • @ShukuruHangi-re3gs
    @ShukuruHangi-re3gs11 ай бұрын

    Amen amen 🇦🇺 Mungu akubariki baba

  • @brisonchiniali
    @brisonchiniali4 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia138111 ай бұрын

    Amina Baba Mungu akubariki Sana 🙏

  • @user-fu9dg3xx4j
    @user-fu9dg3xx4j11 ай бұрын

    Amen ubarikiwe sana mchungaji

  • @catherinenestory9514
    @catherinenestory951411 ай бұрын

    Baba Mungu akubariki sana

  • @danielnyabungi693
    @danielnyabungi69310 ай бұрын

    2Wathethalonike 2:1-3 Basi ndugu tunakusihini kwa habari ya kuja kwake bwana yesu kristo na kukusanyika kwetu mbele zake kwamba msifadhaishwe upesi hata kuiacha Nia yenu Wala msisitushwe kwa roho Wala kwa neno Wala kwa waraka uliodhaniwa kuwa ni wetu kana kwamba siku ya bwana imekwisha kuwepo mtu yeyote asiwadanganye kwa njia yoyote maana haiji isipokuwa Kwanza ule ukengeufu akafunuliwa yule mtu wa kuasi,mwana wa uharibifu.

  • @liberiuslaurian1908
    @liberiuslaurian190811 ай бұрын

    Sema baba

  • @annkim2690
    @annkim269011 ай бұрын

    🤣🤣🤣baba Yohana leo umenichekesha kweli

  • @danielnyabungi693
    @danielnyabungi69310 ай бұрын

    Kanisa likinyakuliwa Kuna hekima gani ya inahitajika kumgundua mpinga kristo?

  • @SengaLukomya
    @SengaLukomya11 ай бұрын

    Amina

  • @mastorymlilo009
    @mastorymlilo00911 ай бұрын

    Amen

Келесі