UNAUZA UPAKO WAKATI SIYO WAKWAKO KUMUONA MCHUNGAJI UNATOA LAKI 2 "PASTOR MGOGO
Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
KZread : Pastor Daniel Mgogo kzread.info/dron/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Пікірлер: 122
Mutu wa Mungu mugogo ubarikiwe, siyo wote wamejaliwa icho kipaji, chakwako ni chaupeke Mungu akutulindiye baba 🙏🙏🙏
Amen 🙏 , mtumishi 🤣🤣🤣🤣 pia Mimi ,Kuna mtumishi aliniambia nitoe pesa ili azuhie kifo kwa family yetu ,,,Nilimkemea Nika mwambia Mimi nime hokika namjua YESU , nina Imani hatuta kufa mbali tutahishi kwa Imani 🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana baba lazima mungu atufungue macho ya kiroho, yaani maji ,vitambaa vimekuwa biashara aisee mungu tuzaidie.yaani kuwajua matapeli ni mungu atufungue
Barikiwa sana mchungaji tunabarikwa sana
powerful mwalimu uwa unanijenga sana kwangu nakuonaga mwalimu sio pastor
Napenda sana injili unayoitoa,may God keep you safe to continue giving many the wonderful amazing good gospel 🙏 🙌
Barikiwa sana pastor unasema mambo yaliyo ya ukweli kabisa😂😂😂 ndoa zikiyafwata maagizo yako uakika zitadumu milele kwa imani AMINA
Amen mtumishi mungu akubariki hakika Kila mtu azae kiasi anachoweza kulea.
Kwakweli mchungaji mgogo mahubiri yako nimatamu Sana Kuna wakati mimi naliaka kabisa 😭Mungu akulinde
Asante sana Pastor,,,Niliitaji sana sermon hii... Mwenyezi Mungu akulinde ili uendelee kunena na watu wake
Mchungaji ubarikiwe sana... Zidi kutupa neno.
Kaz njema
Asante YESU KRISTO!!!🙏🙌💪❤ Nime jifunza mengi leo kupitia Mchungaji wako.
Pasta mungu akubariki mahubiri yako inawezaka ni Jenga sana
Asante sana mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sana from 🇧🇮 natumikia 🇸🇦
Ameen baba nakukubali kwa mafundisho yako.
Amiiina. Asante mtumishi wa Baba Mungu. Barikiwa
Mchungaji mungu akubariki sana huendelee kutubariki kwa neno🙏🙏🙏🙏
Nimecheka mwanzo mwisho Mungu akubariki pastor
Nimekuzwa na neno,Mungu baabo una watumishi wa kweli
Mch. nimebarikiwa sana sema kweli mtu wa Mungu. Damu ya Yesu ikulinde
Niliokoka Kwa usemi wako Mungu amekuchalia
Mungu akubariki sana mtumishi wa MUNGU.
Baba unajua kunifurahisha
Mungu akubariki mjungaji
Hebu jitahidi Sana kuhubiri mafunuo yako rather than kupinga mafunuo ya wengine. unachelewa.
Barikiwa mtumishi wa Mungu nimejifunza kitu
Ameni. Baba ujumbe wako umenisaidia kunifungua macho upande fulani
Your simply the best,iko siku nitahudhuria kwenye nyumba ya MUNGU nikuone live.Ubarikiwe sana.
Baba yangu mubarikiwe
Barikiwa sana baba umeniponya
AMEN AMEN GOD BLESS YOU MAN OF GOD!MUNGU AZIDI KUKUINUA NA JUU,TUENDELEE KUPATA MAFUNDISHO YAKO!
Barikiwa sana mchungaji tunabarikwa pia 🙏
Amen
amina mtumishi
Kweli 😂kabisa Marekani wana kula 😢tena ku kula
Amen 😇😇😇🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Amen amen
Mhumbiri mungu akutumze ufungue wengi AMEEN
Asante barikiwa napenda mafuzo yakooo
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
@guillaumekumene5885
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, tunakufatiliya sana huku Bujumbura, Burundi. Aksante sana! Mungu aendeleye kukulinda.
Asante sana kwakutujulisha kujuwa nani muzigo kwenye familia shukurani🙏🙏🙏👌👌
Asante muchugaji Kwa mafundisho yako inaniokoa pakubwa mungu akubaliki
Barikiwa sana mchungaji na kuelewa.
Haki ya nani, lIVE lONG Pr. Mgogo, unanifundisha mambo makuuu
Asante sana kwa haya mafundisho Mazuri sana Pastor Mugogo.
Pastor umenifudisha kitu kuusu msamahaa mimi roho yangu ni ngumu kuambia mtu nisamehe niombee
Amen mtumishi MUNGU akubariki sana kwa neno
I love this man of God. I am watching all his videos and am enjoying them and laughing 😃 all the way
Neno la Mungu ni kweli Mungu akubariki sana
God bless you man of God.....we need your teaching in this generation.
Incredible pastor.
Mungu akuongezee mutumishi wa mungu
Watu Wana okolewa na matusi ama kutukana imani ya mwingine wa hubiri injili so kuakandiana huduma mwingine
Napenda sana maubiri yako .mungu akupe maisha malefu
Amina Amina,in Jesus name I do receive peace in my family
Ameeen. Ameeen. Powerful family life Sermon.
Amen amen man of God 🙏🙏
Mwee MUNGU akutunze mtumishi
Amen kubwa 😊🥳🥳🥳
Barikiwa sana mchungaji umeongea unwell kabisa aamen
Amen God bless you man of God
❤❤❤❤
👏👏👏
Nimekuelewa mchungaji mgogo
What a word.....am really blessed Leta number ya mpesa ya mtumish
Mungu akutunze!
Amen, kweli
Aki ningekuwa na hio appetite ningekula aki ndio niwe mlaji bora😂😂😂😂 ni vile tu mimi hushiba haraka
Hhhhaahaa mimi ni fundi wa magari huwa hawaji kabisa kutusalimia mpaka magari yao yaharibike ,we waache tuu mtumishi ,mimi huwa nawapigia kuwajulia hali zao na magari yao rakini wao hawafanyi hivo, one day tutakuna tuu
Amen 🙏
Ubarikiwe zaidi
Aminaaaaaaa
You are a blessing
Ameni🙏🙏
Umenibariki sana jioni hii, nilikuwa na mawazo ila mafundicho yako yamenipa amani.
@emmanuelsitta8649
Жыл бұрын
Amen
@kenedyamani5041
Жыл бұрын
Amina
Ameeen. Ameeen.
Shukran sana
Amen baba awata kuhelewa lakini ume hongea kweli🙏🙏
@paulherman6818
Жыл бұрын
Wenye kuelewa wataelewa lkn wenye kupotea wazidi kupotea tu.Yesu ni yeye yule jana na hata milele
Mungubab aharis
Haaahaaaa pasta
Kwa kweli nabarikiwa sana na mafundisho Yako mchungaji. Mungu akulinde
Tupate neema nasi
Nice
Huyu jamaa alozaliwa kwer au alishushwa kipajigan kmezid
Ameen mtumishi
Mbona ulianza vizuri na unataka kumaliza vibaya mtumishi acheni kuakandiana kila mmoja na na Atlanta akuzidishe pesa wengine Wana Wana Neema kubwa hata kutukana ndo anaendelea kusitawi zaidi watumishi mimi wote nawapenda kulingana kila mmoja na ufunuo wake
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Atlanta ipo Italia...sijui unaongea nn mjinga
Naitaji number yake ya simu Please
Asandi mchungaji nirikuwa nsihui uko Dallas nirikuwa nitakuja tu
Umeninjenga kiroho
Kama tungeelewa anachokisema huyu mtumishi wengi wangeokolewa, hawa wanaojiita mitume na manabii ni wengi ni wafanya biashara wanaotumia biblia na saikologi
@tygggnzyj2771
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@anodearsulusi7536
Жыл бұрын
Na watu wanakwambia hawamwelewi,, haki watu tungepona tukimsikiliza
@zashabisakala9046
Жыл бұрын
I'm
😅
groly to god🙏🙏
@gooddeeds162
Жыл бұрын
“Glory to God”
Watumishi kama hawa hawatumii upako wa Mungu wanatumia juju za uchawi na ndumba
Ameen🙏nimejifunza kitu
Watu wanakimbilia mafuta kuliko Yeshua Messiah
Utamtoa koti kama Hana 🤣🤣
AMEN AMEN
To be continued