Mch. Daniel Mwasumbi - NGAJA GWA NKISU (Official Music Video).
Watch and hear the message (NGAJA GWA NKISU),Gospel song by Daniel Mwasumbi.
UNAWEZA KUSIKILIZA NYIMBO ZA EV. DANIEL MWASUMBI KUPITIA LINK HIZI :
Boomplay
www.boomplay.com/artists/4926...
Spotify
open.spotify.com/artist/3Z3cw...
Amazo Music
music.amazon.com/artists/B0B4...
#DanielMwasumbi#NgajaGwaKisu#
Пікірлер: 79
Kumwamini Yesu ni faida❤
Kwa kweli nimebalikiwa sana mungu awape maisha malefi
Miaka ya 1990 nikiwa mdogo sana, kila nikiimba hizi nyimbo niliimba kwa machozi sana , ule upako niliokuwa nausikia siwezi simulia
@daviesoscar1603
25 күн бұрын
Barikiwa sana
YESU nkamu gwangu nga gwankisyu iki abhatata angubhaghagha
Jesu yesu ugwe ISA nkamungwangu
Mungu akukumbuke mtumishi wa
Naloli bhandu wa KYALA,tukabhankisu ikii... Kyala abhasajeghe.
wimbo huu aliupenda sana marehemu baba yangu sana sana ....R.I.P BABA!!
Jaman mbarikiwee
Ipo siku tutamuona bwana yesu machozi yatakoma mungu awabariki sana
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Amen
Si wa duniani, tunasafiri tu, tunajiwekea akiba kwa kristo, Malaika ungoja mlangoni pake, ndivyo tusemavyo si wa duniani
Good song may good God bless you
Mtumishi na mwimbaji wangu Bora wa Enzi za ujana wangu Kazi mzuri mtumishi
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Utukufu kwa Mungu
Nakumbuka niko darasa la tatu 1987.malika igembe tky
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu. Niliwaona mara moja nikiwa mwanafunzi Mbeya miaka ya 1990 kwenye mkutano wa Reinhard Bonke mkihudumu pale. Never forget
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Mungu akubariki sana.
Hii nyimbo nawakumbuka Marehemu Baba na Mama yangu!!walikua wakiupenda sana
@josephmwasambili9836
3 ай бұрын
Pole sana 😢 dear
Nikimsikiliza Mwasumbi namkumbuka sana baba yangu(R.I.P great man)
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Pole,Mungu ni mwema na azidi kukutunza
@neemafashion9102
Жыл бұрын
@@Danielmwasumbi Mke wa mwasumbi c yupo samahan mana comment moja sijaielewa
Nimekumbuka zamani sana!
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Ameen,Ubarikiwe sana
@rukiasalum5320
2 жыл бұрын
Ni.muda sasa toka niwaona dodoma natamani tena kuwaona kabla yesu hajarudi naomba mnifahamishe mlipo nije mimi Niko daa
Nimeguswa sana😊
Mbarikiwe sana huu wimbo wanikumbusha mbaliii
Ndaga kyala gwetu
Mbarikiwe sana watumishi wa BWANA.
Nakumbuka miaka hiyo ulikua unakuja Kyela kwa mchungaji Kasunga kweli ya kale ni dhahabu. Ubarikiwe mtumishi
Ndagha fijo
Mungu azidi kuwatunza.
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Barikiwa
@masterkeymwakalanje536
Жыл бұрын
Barikiwa sanaaaaa mchungaji Mwasumbi
Wimbo mzuri hongera paster
Oh! my Lord. Nimekumbuka nyumbani jamani hadi machozi dah. Ubarikiwe sana mtumishi🙏
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
mbarikiwe
Barikiwa Sana baba uu wimbo hakika roho mtakatifu aliimba pamoja nawe
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Utukufu kwa Mungu
Nabarikiwa sana na kazi zenu, mungu aendelee kuwatunza
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Ameen,Mungu akubariki sana
Huu wimbo nimeanza kuusikia nna 2yrs kama sikosei,Mungu awabariki sn watumishi wake
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Jaman Hawa watu aiseee ninawapenda Sana Sana. Waliiimba vizuri sana
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Mwezi ujao tutakuwa tunarecord nyimbo nyingine na zitapatikana hapa hapa
Ulwimbo lununu fijo ongera sana mtumishi wa mugu ujumbe umetukuta mpaka sasa hauchuji
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Daaaah... kama namuona marehemu babu yangu.. Nimekumbuka mbali mno, miaka mingi...Be blessed Mr &Mrs Mwasumbi
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Nabarikiwa sana na huu wimbo,Mungu awabariki Watumishi wa Mungu
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Mungu akubariki sana baba
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Nga ghwa nkisu iki
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
😭😭😭😭😭😭
Kumbe hizi nyimbo ziko huku KZread. Mungu awatunze Mr n Mrs Daniel Mwasumbi
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Na nyingine zitarecodiwa hivi karibuni
Tupeni lyrics jamani naupenda sana wimbo huu lugha ni shida
My father named me Gwandumi
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Wow!!!, How wonderful
Barikiwa sana jamani nahitaji nyimbo za Mtumishi D.Mwasumbi kutoka album ya tatu 1.siku za ajabu 2.vijana 3.utabaki gizani 4.Nashuka bhule kukaja 5.nakadhalika Pia ni album nzuri sana
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana, Tutaendelea kuongeza nyimbo zake mbalimbali hapa,Kadri tunavyo endelea kuwarecord
@stephenmwaijibe4589
Жыл бұрын
amina
Though I don't understand this language but am always blessed by this song. This world is not my home, am just passing through seeking a city whose builder and maker is God
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Praise to God
@ebronjeremiah880
Жыл бұрын
Spot on.. Precise transalation of the song... It's Nyakysusa language spoken in Tanzania, City of Mbeya.
Hizi ndio zilikuwa nyimbo siku hizi sarakasi tupu na shetani kaingiza vyake humo jamani mbarikiwe WATUMISHI wa MUNGU
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
ingawa siielewi hii lugha mama lakini huu mwimbo huwa unaniweka karibu na Mungu kwa maombi kwa machozi,barikiwa mtumishi
0
@agness1937
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na uimbaji wenu wataishi wa MUNGU
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen