MAZITO YA MCHUNGAJI MWASUMBI/ AFUNGUKA MAGUMU ALIYOPITIA KISA WOKOVU

Karibu sehemu ya kwanza ya Kuelekea Yeriko ya Mchg. Mwasumbi

Пікірлер: 8

  • @user-im7ql7wo2r
    @user-im7ql7wo2r25 күн бұрын

    Yaani kakaangu ushuhuda huu ni kweli hao walitutangulia katika Imani, tulikuwa tunashiriki nao Yersalemu temple Mbeya mjini. Yaani barikiwa umetutia moyo sana, BWANA Mungu amekupigania kwa mengi, Nawakumbuka sana hata Emmanuel Mwasota, Sisi na akina David tulikuwa wadogo. Mungu azidi kukutunza na mama, mwanamke wa kweli na jasiri sana.

  • @WebyNgogo-nj3fx
    @WebyNgogo-nj3fx4 ай бұрын

    Namkumbuka sana baba Mwasumbi kwa nyimbo zake pendwa nikiwa nasoma shule ya msingi miaka ya 1990 Mungu akutunze baba

  • @SophiaSameul
    @SophiaSameul5 күн бұрын

    Kweli nakumbuka mwa 90 mbeya walikua wana jaa mkutono wake

  • @samjosh12
    @samjosh124 ай бұрын

    Yupo taratibu lakini anaongea kwa uhakika zaidi. Ubarikiwe sana Mchungaji Mwasumbi

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael19564 ай бұрын

    Haleluyaa MUNGU Akupe.maisha marefu baba na mama.

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga58133 ай бұрын

    Hazeeki huyu mzee

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md4 ай бұрын

    Du mwasimbi Baba ubalikiwe na nimekukumbuka Baba

  • @upendotemu6617
    @upendotemu66174 ай бұрын

    Habari Upendo TV....tunaomba Ibada ya morning glory ya Leo ijumaa tarehe 22/3 KZread... asante, japo na ya Alhamisi mliweka nusu

Келесі