Daniel Mwasumbi - WANA WA ISRAEL (Official Music Video).

#DanielMwasumbi#WANAwaISRAEL#
Watch and hear the message (WANA WA ISRAEL),Gospel song by Daniel Mwasumbi.
UNAWEZA KUSIKILIZA NYIMBO ZA EV. DANIEL MWASUMBI KUPITIA LINK HIZI :
Boomplay
www.boomplay.com/artists/4926...
Spotify
open.spotify.com/artist/3Z3cw...
Amazo Music
music.amazon.com/artists/B0B4...

Пікірлер: 65

  • @emmanuelbatofficiel5086
    @emmanuelbatofficiel50865 ай бұрын

    Mungu azidi kukubariki mtumishi, Nina barikiwa kilawakati nikifata nyimbo

  • @enziseme4712
    @enziseme47125 ай бұрын

    Asante sana Rev Mwasumbi namkunbuka sana mama yangu

  • @abnermailos8043
    @abnermailos80438 ай бұрын

    Barikiwa mch

  • @barakagambi4167
    @barakagambi41674 күн бұрын

    Good

  • @richardamswetyjesus8017
    @richardamswetyjesus80179 ай бұрын

    Utukufu kwa Yesu wetu

  • @PiusMwalupembe-ez7pc
    @PiusMwalupembe-ez7pc7 ай бұрын

    Wazee wetu mnanibariki sana, kila ninaposikiliza nyimba zenu nauona uwepo wa Mungu ukifurika, Mungu awatunze na awape maisha marefu.

  • @GeorgetteNzeyimana-fi6ln
    @GeorgetteNzeyimana-fi6ln Жыл бұрын

    Amen

  • @user-sb2eh7er1y
    @user-sb2eh7er1y5 ай бұрын

    Amina

  • @emmanuelhadisi5828
    @emmanuelhadisi5828 Жыл бұрын

    Famille chrétienne que Dieu vous bénisse

  • @JosephLubulakatashi
    @JosephLubulakatashi6 ай бұрын

    Mtumishi nabalikiwa na nyimbo zako nikizisikiya toka apa jijini bukavu Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @lutangoezekia9522
    @lutangoezekia95222 жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana kwa wimbo huu, nimekumbuka mbaali!

  • @FrancisMwabilya
    @FrancisMwabilya10 ай бұрын

    Wimbo huu unanikumbusha baba yangu😭😭😭😭

  • @gamamwasumbi3727

    @gamamwasumbi3727

    10 ай бұрын

    Mungu azidi kufanyika faraja siku zote kwako

  • @faridanyenzi4327
    @faridanyenzi43272 жыл бұрын

    Mungu azidi kukutumia mchungaji nakupenda

  • @rehemamshiko6753
    @rehemamshiko6753 Жыл бұрын

    MUNGU awabariki sana watumishi

  • @andremuzalia5605
    @andremuzalia5605 Жыл бұрын

    Tunashukuru couple Daniel kwa izi nyimbo ambazo zinapakwa mafuta ya roho mtakatifu ,

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 Жыл бұрын

    Jamani hizi nyimbo na namba ya uimbaji Ina mguso na nguvu ya Mungu, Mambo ya Sasa mmmm, yanayosha YESU tutehemu

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @andremuzalia5605
    @andremuzalia5605 Жыл бұрын

    Mtu umoja kutoka Congo sehemu ya goma njoo ananitumiya iyi nyimbo inanibariki sana mpaka minakumbuka upendo wangu wa kwanza pamoja na kristo mubarikiw wazazi

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @fredymkiss642
    @fredymkiss642 Жыл бұрын

    Kazi nzuri ninafarijika sana na nyimbo zako

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen, Utukufu kwa Mungu

  • @maidamkwama7425
    @maidamkwama7425 Жыл бұрын

    Cha kale ni zahabu barikiwa mtumishi

  • @wistonmwombeki6598
    @wistonmwombeki6598 Жыл бұрын

    Wimbo wenye ujumbe mzito, Asante sana

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @estermwakatundu3028
    @estermwakatundu3028 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏 Miaka Mingi nikiwa mdogo mpk Leo hazichuji kabisa

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen, Utukufu kwa Mungu

  • @hopemassawe786
    @hopemassawe786 Жыл бұрын

    Mungu wa ibrahimu mungu wa isaka ewe mungu wa yakobo utusaidie

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Amen

  • @ceciliatemba9703
    @ceciliatemba9703 Жыл бұрын

    Nyimbo zako zimekuwa baraka kwangu mtumishi wa Mungu

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen, Utukufu kwa Mungu

  • @aoman5214
    @aoman52142 жыл бұрын

    Nawapenda Sana Baba jaman nimewatafuta miaka mingi Sana Leo nimebhatika jaman Mungu awape umri mrefu

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Ameen,Mungu akubariki sana

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Ameen,Mungu akubariki sana

  • @daudkweka240
    @daudkweka2402 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana Na Yesu

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela94702 жыл бұрын

    Unanikumbusha mbali

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo50422 жыл бұрын

    Ukisikia Mungu anawatumia watumishi wake ndiyo hivyo Mungu awabariki sana

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Ameen,Mungu akubariki sana mtumishi

  • @rumengenkanikajeanclaude2802
    @rumengenkanikajeanclaude28022 жыл бұрын

    Barikiwe baba yangu nyimbo nzuri nakupenda sana tangu 1988

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Ameen,Mungu akubariki sana

  • @cadeaumahuridi2621
    @cadeaumahuridi26212 жыл бұрын

    mubarikiwe sana mutumishi wa Mungu

  • @rechomengo2923
    @rechomengo29232 жыл бұрын

    Nawapenda

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu80402 жыл бұрын

    Mungu awajalie uzee mwema

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @witokonga45

    @witokonga45

    Жыл бұрын

    Asante kugusa moyo wangu kwa ujumbe huu

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander12132 жыл бұрын

    Zamani sana.

  • @aronsimwinga8319
    @aronsimwinga83192 жыл бұрын

    😥😥😥😥

  • @manmaster536
    @manmaster5362 жыл бұрын

    Asante

  • @Ede184
    @Ede1842 жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe Muchungaji tunakupenda sana na Familia yako.naitwa Rev Claude niko kigali Rwanda. Kuna wimbo wako ninaupenda kuna maneno yanayo sema Nitapitiya njia nyembamba sikuyipata sijui kama ipo kwenye Channel hii . Bwana akubariki Muchungaji

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana,Huo wimbo nitauweka leo

  • @pierrotmwingilwa4957
    @pierrotmwingilwa49572 жыл бұрын

    Mungu aibariki kazi yako

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @oneagainstone593
    @oneagainstone5932 жыл бұрын

    Nice song

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba84487 ай бұрын

    hahahah niliwaona mwaka 1993 Sumbawanga ni baraka kuwaona tena leo,miaka 30 sasa mmm Bwana asifiwe,wiliimba ewe Abraham usimwue mtoto wako

  • @ignasssebastian2846
    @ignasssebastian28462 жыл бұрын

    Hawa wanaidji wapi jaman. Napenda wanavyo mwimbia Mungu kwa hisia

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Mbeya mtumishi.Utukufu kwa Yesu

  • @neemakibona7621

    @neemakibona7621

    Жыл бұрын

    Mungu awatunze tunawapenda na tunawaombea sana barikiwa sana

  • @margarethkamugisha6430

    @margarethkamugisha6430

    Жыл бұрын

    @@Danielmwasumbi Mtu akiwaalika wanakubali? Dar es Salaam

  • @hopemassawe1072
    @hopemassawe10722 жыл бұрын

    Jamani naomba ule wimbo wa ibrahim akamtoa mtoto isaka

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana,Ninaendelea kuweka.Siku chache zijazo nyimbo nyingi zitakuwa zipo hapa.

  • @nordphreymlangali6992
    @nordphreymlangali69922 жыл бұрын

    Nitapataje jaman mawasiliano ya hawa watu wa Mungu? naishi Marekani

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    2 жыл бұрын

    Wasiliana nami kwa +255757000077 ili nikupatie number zake uongee naye moja kwa moja,Ninawasaidia kusimamia Channel hii.

  • @margarethkamugisha6430

    @margarethkamugisha6430

    Жыл бұрын

    @@Danielmwasumbi Mungu akubariki