Kanisa la Leo - Mr. & Mrs. Daniel Mwasumbi (Official Music Video).
#DanielMwasumbi#DuniaYapita#WorldMissionMedia#
Watch and hear the message (KANISA LA LEO),Gospel song by Daniel Mwasumbi.
UNAWEZA KUSIKILIZA NYIMBO ZA EV. DANIEL MWASUMBI KUPITIA LINK HIZI :
Boomplay
www.boomplay.com/artists/4926...
Spotify
open.spotify.com/artist/3Z3cw...
Amazo Music
music.amazon.com/artists/B0B4...
World Mission Media.
+255757000039
+255653000039
Email : worldmissiontz@gmail.com
Website : worldmissiontz.wixsite.com/as...
Online Distribution under World Mission Media.
Пікірлер: 63
Watumishi wazuri wa Mungu, watangulizi wa imani. Kazi yenu haikuwa Bure. Mimi binafsi ni matokeo ya injili yenu. Mungu awatunze.
Nimekumbuka mbali jamani,kipindi hicho morogoro ruaha,na redio ya kakangu,tulikuwa tukisikiliza,nyimbo xinaponya hizi
Nyimbo zenu zinanikumbusha wazazi wangu walipenda sana hizi nyimbo enzi hizo mm mdogo kabisa walipenda kuweka kanda hii, mungu awapumzishe kwa amani wazazi wangu
@imanimgaya2478
10 ай бұрын
Pole sana
@Danielmwasumbi
3 ай бұрын
Mungu azidi kufanyika faraja kwako.Pole sana
❤❤❤ vraiment que Dieu vous bénisse richement , je suis dans la chose🎉
wokovu huu ulikuwa umejitosheleza tofauti na siku hizi
Nimeguswa sana nyimbo hizi mbalikiwe sana
huu ndoo ulikuwa vokovu sio huu wa mitume na manabii
❤❤❤nawapenda sana MUNGU aendelee kuwatunza
Nyimbo hiz mpaka leo bado Zina nguvu ya Mungu ndan take,,sichok kusikiliza
Nakumbuka enzi za utoto wangu ulimfanya baba aghairi njia mbaya na kugeuka Mungu awatunze watumishi wa Bwn
Mungu awabariki mno ! Nakumbuka miaka hiyo nilipokua kwa Sunday School ! Walimuwetu walitufunza mojawapo za nyimbo za Mzee huyu ! Moja wa walimu wangu wamefahamia mbiguni sasa! Mungu awabariki nakuwazidishia ufunuo
Injili iliyoimbwa kupitia Neno na kweli. Mungu awabariki mno. Kanisa la leo.
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Utukufu kwa Mungu
Napenda nyimbo hizi tangu ujana wangu. Mungu awabariki.
Kwa kweli Mtumishi wa MUNGU mubarikiwe sana hizi nyimbo zinanidjengaga Sana mpaka nahisi nimefika mbinguni
Ubarikiwe
Nakumbuka mbali
Hizi nyimbo zinanikumbusha mama yangu mdogo Bumi mwambegele wakati wa uwai wake alizipenda sana mungu Amulaze mahali pema
@Danielmwasumbi
3 ай бұрын
Pole sana,Mungu azidi kukufariji
Amen 🙌
Amen
Kweli maneno yaliomo humu haha mafundisho mazuri Sana.Barikiwa
Ameni
❤
Mungu bwana wetu yesu Criston awa bariki kwakuwa mumeninjenga naiyo nyimbo ya kuishi ni criston
Nakumbuka mbali Sana kama miaka ya 1998 hiv bibi yangu alikua akizipenda Sana nyimbo za huyu mtu tulikua tukienda kumtembelea maeneo ya Sao hil twiko cku za week end lazima ukute kaweka nyimbo za huyu mtu, kwa Sasa cko nae tena tunian bibi yangu du mungu huyu mwe,,,,,😭😭😭😭😭😭
Nyimbo muzuli sana ziko namafundusho kali
Huyu mzee amenisaidia sana nikiwa kwenye pito
Mungu awabariki watumishi, nyimbo zenu zinanibarik mno tangu Nikiwa mdogo nawapenda san
Yesu atupe Neema. N'a awabariki.hata tupate mwisho MUZURI.
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
ANabarikiwa sana napenda sana Mungu awabariki
Mubarikiwe saaana watumish kwa ujumbe wa kweli ❤
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
JAMANI NAWAPENDA SANA HAWA WAZEE BADO WAPO WANAIMBA
Namkumbuka san marehemu mama angu
Ameen Ameen.Asanteni watu wa Mungu mbarikiwe
Mungu ahurumiye watu n'a atupe Neema turudiye kilindini ili tufanye uwakilisho mwema katika nyakati hizi za jioni.tupate mtu wapi leo!
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Word mission Mungu awabariki Kwa kutuletea watumishi hawa, na hasa ktk kipindi ambacho uimbaji wa injili unaenda mrama
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Tunamtukuza Mungu, pia tunaomba Mungu ainue Waimbaji wengi watakao tumika kwa Roho na kweli katika uimbaji wa nyimbo
Hakika MUNGU mwema Sana nilikuwa nawapenda Sana mpk Leo nimekuwa nawapenda mbalikiwe Sana🙏🙏
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Ubarikiwe pia
Lungu awape nguv u
Mungu mkubwa
Huu Wimbo umenikumbusha mbali sana ktk maisha yangu ya ujana
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Amen
Nakumbuka Miaka hiyo Hadi Leo Nawapenda sana
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
good work, be blessed
Amen🥺
Barikiwa sana
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Very nice
Mbarikiwe sana kwa kuihubiri injili
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
Good
@marykagusa8910
Жыл бұрын
Jamani mbarikiwe sanaa watu wa Namanyere tunawakumbuka sana baba bethi na mama bethi jamani
Amen
@mireilleiyamuremye2680
10 ай бұрын
Nawapenda sana Mungu awabariki
Amen