Kanisa la Leo - Mr. & Mrs. Daniel Mwasumbi (Official Music Video).

#DanielMwasumbi#DuniaYapita#WorldMissionMedia#
Watch and hear the message (KANISA LA LEO),Gospel song by Daniel Mwasumbi.
UNAWEZA KUSIKILIZA NYIMBO ZA EV. DANIEL MWASUMBI KUPITIA LINK HIZI :
Boomplay
www.boomplay.com/artists/4926...
Spotify
open.spotify.com/artist/3Z3cw...
Amazo Music
music.amazon.com/artists/B0B4...
World Mission Media.
+255757000039
+255653000039
Email : worldmissiontz@gmail.com
Website : worldmissiontz.wixsite.com/as...
Online Distribution under World Mission Media.

Пікірлер: 63

  • @modestermwaijande1176
    @modestermwaijande11762 ай бұрын

    Watumishi wazuri wa Mungu, watangulizi wa imani. Kazi yenu haikuwa Bure. Mimi binafsi ni matokeo ya injili yenu. Mungu awatunze.

  • @user-wo2ye5vh4q
    @user-wo2ye5vh4q3 ай бұрын

    Nimekumbuka mbali jamani,kipindi hicho morogoro ruaha,na redio ya kakangu,tulikuwa tukisikiliza,nyimbo xinaponya hizi

  • @kazembeagnes8708
    @kazembeagnes8708 Жыл бұрын

    Nyimbo zenu zinanikumbusha wazazi wangu walipenda sana hizi nyimbo enzi hizo mm mdogo kabisa walipenda kuweka kanda hii, mungu awapumzishe kwa amani wazazi wangu

  • @imanimgaya2478

    @imanimgaya2478

    10 ай бұрын

    Pole sana

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    3 ай бұрын

    Mungu azidi kufanyika faraja kwako.Pole sana

  • @user-px6go8iq4z
    @user-px6go8iq4zАй бұрын

    ❤❤❤ vraiment que Dieu vous bénisse richement , je suis dans la chose🎉

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa76974 ай бұрын

    wokovu huu ulikuwa umejitosheleza tofauti na siku hizi

  • @EmmaTweve-us2lc
    @EmmaTweve-us2lc4 ай бұрын

    Nimeguswa sana nyimbo hizi mbalikiwe sana

  • @linusmbwiga-zy2qk
    @linusmbwiga-zy2qk4 ай бұрын

    huu ndoo ulikuwa vokovu sio huu wa mitume na manabii

  • @phebyalipoki8795
    @phebyalipoki8795Ай бұрын

    ❤❤❤nawapenda sana MUNGU aendelee kuwatunza

  • @user-sp7cm8pm4w
    @user-sp7cm8pm4w7 ай бұрын

    Nyimbo hiz mpaka leo bado Zina nguvu ya Mungu ndan take,,sichok kusikiliza

  • @boyleelton
    @boyleelton11 ай бұрын

    Nakumbuka enzi za utoto wangu ulimfanya baba aghairi njia mbaya na kugeuka Mungu awatunze watumishi wa Bwn

  • @lucien-frederickamango7407
    @lucien-frederickamango740711 ай бұрын

    Mungu awabariki mno ! Nakumbuka miaka hiyo nilipokua kwa Sunday School ! Walimuwetu walitufunza mojawapo za nyimbo za Mzee huyu ! Moja wa walimu wangu wamefahamia mbiguni sasa! Mungu awabariki nakuwazidishia ufunuo

  • @Mwinjilistimwakalasya
    @Mwinjilistimwakalasya Жыл бұрын

    Injili iliyoimbwa kupitia Neno na kweli. Mungu awabariki mno. Kanisa la leo.

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen, Utukufu kwa Mungu

  • @rogernabugorhe3103
    @rogernabugorhe310310 ай бұрын

    Napenda nyimbo hizi tangu ujana wangu. Mungu awabariki.

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu9 ай бұрын

    Kwa kweli Mtumishi wa MUNGU mubarikiwe sana hizi nyimbo zinanidjengaga Sana mpaka nahisi nimefika mbinguni

  • @BettyMsongole
    @BettyMsongole2 ай бұрын

    Ubarikiwe

  • @atumoses
    @atumoses5 ай бұрын

    Nakumbuka mbali

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15105 ай бұрын

    Hizi nyimbo zinanikumbusha mama yangu mdogo Bumi mwambegele wakati wa uwai wake alizipenda sana mungu Amulaze mahali pema

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    3 ай бұрын

    Pole sana,Mungu azidi kukufariji

  • @YussufSelemani-nl3jz
    @YussufSelemani-nl3jz5 ай бұрын

    Amen 🙌

  • @tunenebamyava6167
    @tunenebamyava61674 ай бұрын

    Amen

  • @user-em3sl3st1b
    @user-em3sl3st1b7 ай бұрын

    Kweli maneno yaliomo humu haha mafundisho mazuri Sana.Barikiwa

  • @user-wj3yq5un1f
    @user-wj3yq5un1f4 ай бұрын

    Ameni

  • @richardamswetyjesus8017
    @richardamswetyjesus80179 ай бұрын

  • @CitoMukulu-zo9bn
    @CitoMukulu-zo9bn9 ай бұрын

    Mungu bwana wetu yesu Criston awa bariki kwakuwa mumeninjenga naiyo nyimbo ya kuishi ni criston

  • @user-hn3rb8gf9j
    @user-hn3rb8gf9j10 ай бұрын

    Nakumbuka mbali Sana kama miaka ya 1998 hiv bibi yangu alikua akizipenda Sana nyimbo za huyu mtu tulikua tukienda kumtembelea maeneo ya Sao hil twiko cku za week end lazima ukute kaweka nyimbo za huyu mtu, kwa Sasa cko nae tena tunian bibi yangu du mungu huyu mwe,,,,,😭😭😭😭😭😭

  • @emmanuelhabuzegato
    @emmanuelhabuzegato Жыл бұрын

    Nyimbo muzuli sana ziko namafundusho kali

  • @johnkalibonamchungaji3082
    @johnkalibonamchungaji30828 ай бұрын

    Huyu mzee amenisaidia sana nikiwa kwenye pito

  • @AgnelaJackson-qp6zj
    @AgnelaJackson-qp6zj6 ай бұрын

    Mungu awabariki watumishi, nyimbo zenu zinanibarik mno tangu Nikiwa mdogo nawapenda san

  • @MartinIldephonse-oh9oh
    @MartinIldephonse-oh9oh Жыл бұрын

    Yesu atupe Neema. N'a awabariki.hata tupate mwisho MUZURI.

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @onestusmwaitula4224
    @onestusmwaitula4224 Жыл бұрын

    ANabarikiwa sana napenda sana Mungu awabariki

  • @bernadettemamaraha8270
    @bernadettemamaraha8270 Жыл бұрын

    Mubarikiwe saaana watumish kwa ujumbe wa kweli ❤

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @GeorgeNGULWA
    @GeorgeNGULWA9 ай бұрын

    JAMANI NAWAPENDA SANA HAWA WAZEE BADO WAPO WANAIMBA

  • @MiragorethLaswai
    @MiragorethLaswai5 ай бұрын

    Namkumbuka san marehemu mama angu

  • @GwantwaIsaya
    @GwantwaIsaya5 ай бұрын

    Ameen Ameen.Asanteni watu wa Mungu mbarikiwe

  • @MartinIldephonse-oh9oh
    @MartinIldephonse-oh9oh Жыл бұрын

    Mungu ahurumiye watu n'a atupe Neema turudiye kilindini ili tufanye uwakilisho mwema katika nyakati hizi za jioni.tupate mtu wapi leo!

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 Жыл бұрын

    Word mission Mungu awabariki Kwa kutuletea watumishi hawa, na hasa ktk kipindi ambacho uimbaji wa injili unaenda mrama

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen, Tunamtukuza Mungu, pia tunaomba Mungu ainue Waimbaji wengi watakao tumika kwa Roho na kweli katika uimbaji wa nyimbo

  • @estermwakatundu3028
    @estermwakatundu3028 Жыл бұрын

    Hakika MUNGU mwema Sana nilikuwa nawapenda Sana mpk Leo nimekuwa nawapenda mbalikiwe Sana🙏🙏

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen, Ubarikiwe pia

  • @aganzealain6646
    @aganzealain664610 ай бұрын

    Lungu awape nguv u

  • @mwalubalileandalile4960
    @mwalubalileandalile4960 Жыл бұрын

    Mungu mkubwa

  • @johnkimea270
    @johnkimea270 Жыл бұрын

    Huu Wimbo umenikumbusha mbali sana ktk maisha yangu ya ujana

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Amen

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Жыл бұрын

    Nakumbuka Miaka hiyo Hadi Leo Nawapenda sana

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @deboraernest029
    @deboraernest029 Жыл бұрын

    good work, be blessed

  • @ivonymachozi7020
    @ivonymachozi7020 Жыл бұрын

    Amen🥺

  • @RestidaAbeid-es9xi
    @RestidaAbeid-es9xi Жыл бұрын

    Barikiwa sana

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @emmanuelhabuzegato
    @emmanuelhabuzegato Жыл бұрын

    Very nice

  • @stanleyevanda797
    @stanleyevanda797 Жыл бұрын

    Mbarikiwe sana kwa kuihubiri injili

  • @Danielmwasumbi

    @Danielmwasumbi

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @oumaoduory
    @oumaoduory Жыл бұрын

    Good

  • @marykagusa8910

    @marykagusa8910

    Жыл бұрын

    Jamani mbarikiwe sanaa watu wa Namanyere tunawakumbuka sana baba bethi na mama bethi jamani

  • @GeorgetteNzeyimana-fi6ln
    @GeorgetteNzeyimana-fi6ln Жыл бұрын

    Amen

  • @mireilleiyamuremye2680

    @mireilleiyamuremye2680

    10 ай бұрын

    Nawapenda sana Mungu awabariki

  • @user-vc1hx7mw7c
    @user-vc1hx7mw7c Жыл бұрын

    Amen