MAWAZIRI NA WABUNGE 15 WA CCM AMBAO WALISHINDWA 2020 LAKINI 'NEC' IKAWAPITISHA KUWA WAGOMBEA

#Day2News #CharlesWilliam #Zungu

Пікірлер: 23

  • @AhmedAhmed-gf1rd
    @AhmedAhmed-gf1rd10 күн бұрын

    Mm wa kwanza from Oman +++zungu 💯 naomba like

  • @sirajbakari104
    @sirajbakari1048 күн бұрын

    CCM ndio inaharibu Nch

  • @user-bv1jd6qw7z
    @user-bv1jd6qw7z10 күн бұрын

    Chama Majanga /

  • @wilsonpastory706
    @wilsonpastory7069 күн бұрын

    mumefeli jimbo la busega mumesahau muwe makini tunawafatilia sana na tunawapenda

  • @day2newsTV

    @day2newsTV

    8 күн бұрын

    Ahsante sana kwa kutufuatilia. Tumetaja majimbo 15 tu katika makala hii ingawa yapo mengine mengi kama Moshi Mjini, Mvomero, Busega na kwingineko. Tutayataja zaidi katika makala zetu zijazo.🙏🙏

  • @WazaeliStefano
    @WazaeliStefano6 күн бұрын

    Hakuna demokrasi huko

  • @mohammedmasoud5981
    @mohammedmasoud598110 күн бұрын

    Wapo wengine hawajatajwa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel714910 күн бұрын

    Sasa ninyi ambao mliangukia pua kwenye kura za maoni: Katambi,Gwajima, Silinde,Biyabato,Festo,Paulin, Kimei,Katani,Doroth,Mwambe, Kimea na wengineo mliopitishwa na mkutano mkuu kwa upendeleo bila kura, mnategemea kura za nani 2025 baada ya uchafuzi wa 2020?! Sio halmashauri ya ccm wala wananchi majimboni wanaowatambua, labda Magufuli mwingine aibuke ndani ya moyo wa Samia mwkt wa chama taifa na Rais wa Jamuhuri ya muungano-mgombea. Pole yenu!

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s10 күн бұрын

    Tutajibu kwa itendo muhi kadi ya mpiga kura na kulinda kura mshindi wetu atatangazw hapohapo tumechoka kuibiwa kura zetu maana ndio maisha yetu

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6w2 күн бұрын

    Na nashoni wiliamu bidyanguze mbunge wa jimbo la kigoma kusini uvinza

  • @leonardsasita4634
    @leonardsasita463410 күн бұрын

    Zungu Leo mkoromo ila Kazi nzuri

  • @ZakariaLazaro-z3w
    @ZakariaLazaro-z3w10 күн бұрын

    Mbona sijaona jimbo la Busega

  • @kadokemarco9966

    @kadokemarco9966

    10 күн бұрын

    Kwani na Mh. Songe alipata ushindi wa mezani??

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z9 күн бұрын

    Zungu umenikumbusha mbali kidogo. Wengi wao ni manaibu mawaziri sasa. Kuna haja gani sasa ya kura za maoni? Nadhani huo mjadala tuuache hadi wakati mwingine thanks kwa makala hii

  • @froma3732
    @froma37327 күн бұрын

    Haya yote yaliamuliwa na Kiongozi wa Nchi lkn hkn alosema kama Kulikuwa hkn Wakili wasomi

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye94879 күн бұрын

    Kumbe ndio maana bhn!

  • @RamadhaniMsagati
    @RamadhaniMsagati9 күн бұрын

    Mwaka huu mtalia na kusaga meno

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18999 күн бұрын

    Aise Gwajima ahadi alizo towa zilikuwa nyingi sana sijuwi atafanya je 2025?

  • @DevidAswile
    @DevidAswile10 күн бұрын

    Mvomero

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses54110 күн бұрын

    Ila haikukaa vzr mgombea akishinda maana yake Anakunalika na wananchi

  • @jamesmzaki6041

    @jamesmzaki6041

    10 күн бұрын

    Kuna wengine wanasambazaga bahasha kwa wajumbe kisa wana pesa kuliko wengine.Magu hakukurupuka alitumia akili.

  • @westmanmoses541

    @westmanmoses541

    10 күн бұрын

    Una uhakika waliopitishwa hawakutoa mlungula?​@@jamesmzaki6041

Келесі