MAWAZIRI NA WABUNGE 15 WA CCM AMBAO WALISHINDWA 2020 LAKINI 'NEC' IKAWAPITISHA KUWA WAGOMBEA
#Day2News #CharlesWilliam #Zungu
Жүктеу.....
Пікірлер: 23
@AhmedAhmed-gf1rd10 күн бұрын
Mm wa kwanza from Oman +++zungu 💯 naomba like
@sirajbakari1048 күн бұрын
CCM ndio inaharibu Nch
@user-bv1jd6qw7z10 күн бұрын
Chama Majanga /
@wilsonpastory7069 күн бұрын
mumefeli jimbo la busega mumesahau muwe makini tunawafatilia sana na tunawapenda
@day2newsTV
8 күн бұрын
Ahsante sana kwa kutufuatilia. Tumetaja majimbo 15 tu katika makala hii ingawa yapo mengine mengi kama Moshi Mjini, Mvomero, Busega na kwingineko. Tutayataja zaidi katika makala zetu zijazo.🙏🙏
@WazaeliStefano6 күн бұрын
Hakuna demokrasi huko
@mohammedmasoud598110 күн бұрын
Wapo wengine hawajatajwa
@elibarikimollel714910 күн бұрын
Sasa ninyi ambao mliangukia pua kwenye kura za maoni: Katambi,Gwajima, Silinde,Biyabato,Festo,Paulin, Kimei,Katani,Doroth,Mwambe, Kimea na wengineo mliopitishwa na mkutano mkuu kwa upendeleo bila kura, mnategemea kura za nani 2025 baada ya uchafuzi wa 2020?! Sio halmashauri ya ccm wala wananchi majimboni wanaowatambua, labda Magufuli mwingine aibuke ndani ya moyo wa Samia mwkt wa chama taifa na Rais wa Jamuhuri ya muungano-mgombea. Pole yenu!
@user-tn5ym5gd6s10 күн бұрын
Tutajibu kwa itendo muhi kadi ya mpiga kura na kulinda kura mshindi wetu atatangazw hapohapo tumechoka kuibiwa kura zetu maana ndio maisha yetu
@user-pf2cf4hp6w2 күн бұрын
Na nashoni wiliamu bidyanguze mbunge wa jimbo la kigoma kusini uvinza
@leonardsasita463410 күн бұрын
Zungu Leo mkoromo ila Kazi nzuri
@ZakariaLazaro-z3w10 күн бұрын
Mbona sijaona jimbo la Busega
@kadokemarco9966
10 күн бұрын
Kwani na Mh. Songe alipata ushindi wa mezani??
@user-op7vm9mr3z9 күн бұрын
Zungu umenikumbusha mbali kidogo. Wengi wao ni manaibu mawaziri sasa. Kuna haja gani sasa ya kura za maoni? Nadhani huo mjadala tuuache hadi wakati mwingine thanks kwa makala hii
@froma37327 күн бұрын
Haya yote yaliamuliwa na Kiongozi wa Nchi lkn hkn alosema kama Kulikuwa hkn Wakili wasomi
@kashiririrkaasongwisye94879 күн бұрын
Kumbe ndio maana bhn!
@RamadhaniMsagati9 күн бұрын
Mwaka huu mtalia na kusaga meno
@sonnyr18999 күн бұрын
Aise Gwajima ahadi alizo towa zilikuwa nyingi sana sijuwi atafanya je 2025?
@DevidAswile10 күн бұрын
Mvomero
@westmanmoses54110 күн бұрын
Ila haikukaa vzr mgombea akishinda maana yake Anakunalika na wananchi
@jamesmzaki6041
10 күн бұрын
Kuna wengine wanasambazaga bahasha kwa wajumbe kisa wana pesa kuliko wengine.Magu hakukurupuka alitumia akili.
@westmanmoses541
10 күн бұрын
Una uhakika waliopitishwa hawakutoa mlungula?@@jamesmzaki6041
Пікірлер: 23
Mm wa kwanza from Oman +++zungu 💯 naomba like
CCM ndio inaharibu Nch
Chama Majanga /
mumefeli jimbo la busega mumesahau muwe makini tunawafatilia sana na tunawapenda
@day2newsTV
8 күн бұрын
Ahsante sana kwa kutufuatilia. Tumetaja majimbo 15 tu katika makala hii ingawa yapo mengine mengi kama Moshi Mjini, Mvomero, Busega na kwingineko. Tutayataja zaidi katika makala zetu zijazo.🙏🙏
Hakuna demokrasi huko
Wapo wengine hawajatajwa
Sasa ninyi ambao mliangukia pua kwenye kura za maoni: Katambi,Gwajima, Silinde,Biyabato,Festo,Paulin, Kimei,Katani,Doroth,Mwambe, Kimea na wengineo mliopitishwa na mkutano mkuu kwa upendeleo bila kura, mnategemea kura za nani 2025 baada ya uchafuzi wa 2020?! Sio halmashauri ya ccm wala wananchi majimboni wanaowatambua, labda Magufuli mwingine aibuke ndani ya moyo wa Samia mwkt wa chama taifa na Rais wa Jamuhuri ya muungano-mgombea. Pole yenu!
Tutajibu kwa itendo muhi kadi ya mpiga kura na kulinda kura mshindi wetu atatangazw hapohapo tumechoka kuibiwa kura zetu maana ndio maisha yetu
Na nashoni wiliamu bidyanguze mbunge wa jimbo la kigoma kusini uvinza
Zungu Leo mkoromo ila Kazi nzuri
Mbona sijaona jimbo la Busega
@kadokemarco9966
10 күн бұрын
Kwani na Mh. Songe alipata ushindi wa mezani??
Zungu umenikumbusha mbali kidogo. Wengi wao ni manaibu mawaziri sasa. Kuna haja gani sasa ya kura za maoni? Nadhani huo mjadala tuuache hadi wakati mwingine thanks kwa makala hii
Haya yote yaliamuliwa na Kiongozi wa Nchi lkn hkn alosema kama Kulikuwa hkn Wakili wasomi
Kumbe ndio maana bhn!
Mwaka huu mtalia na kusaga meno
Aise Gwajima ahadi alizo towa zilikuwa nyingi sana sijuwi atafanya je 2025?
Mvomero
Ila haikukaa vzr mgombea akishinda maana yake Anakunalika na wananchi
@jamesmzaki6041
10 күн бұрын
Kuna wengine wanasambazaga bahasha kwa wajumbe kisa wana pesa kuliko wengine.Magu hakukurupuka alitumia akili.
@westmanmoses541
10 күн бұрын
Una uhakika waliopitishwa hawakutoa mlungula?@@jamesmzaki6041