MATESO YA FAMILIA (SEHEMU YA TATU) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando KZread
/ @pastorsunbellakyando
Пікірлер: 41
Kubariki pastoral sunbella
Mungu nisaidie hili somo ni langu japo imepita miaka mingi naamin niwakat wangu when itis your time its my time
Nimebarikiwa sana mungu azidi kukutia nguvu mtumishi
Barikiwa Sana mtumishi sunbella hakika unatulisha chakula Cha Roho kinachositahili
Mungu tusaidie kuokoe tunateseka Sana Sana zaidi sana.
Amen mtumishi barikiwa sana
Ubarikiwe mtumishi
Mungu akubariki kwa somo zuri Kweli familia zinateseka sana na hivyo vifungo
Power Full Word!... Mungu azidi kukubariki Man of God.
Mungu nisaidie haya maisha halisi kabisa
Mungu wasaidie watoto wangu watoke kwenye mateso ya familia
Asante Mungu Baba kunikumbuka na kumtumia Mtumishi wako kunena nami nashukuru kuniletea wokovu na kunisaidia mateso hayatainuka tena mara ya pili Bwana umayakomesha. NAHUMU 1:9. Barikiwa Mtu wa Mungu KYANDO. Mwalimi.
Amen Amen Amen
Mungu akubariki kwa maneno ya fahari ya kimungu. Powerful message Man of God.
Nafuatilia Sana mafundisho yako Baba,huwa yanagusa Sana maisha yangu, Na hili SoMo! linanitoa machozi Sana Tena Sana.
Mungu azidi kukuinua mno,ubarikiwe sana kwa huduma yako
Amen
Mungu wewe ni halisi sanaaa🙌🙌 na neno lako la wakati ni kwa ajili yangu , napokea 🙏
Ameeen
Something is going to happen in my life very extraordinary sante Mungu uliyefuta mipaka ya kila Aina kwangu.
Eh MUNGU naomba uguse aridhi yote ya ukoo wangu. Ikomboe kwenye kila kifungo kilicho funga kilaa matanga waloweka kwenye family yangu naa muru ikawe mwisho naachilie family yangu yote kwa jina la yesu
Bblsd more than how you can invisage in life as the know how you have in the things of God indicates you can surely carry the weight thereof and Manage rightfull righteously to Glorify AbbaThe only Heavenly Father we have Amen Man of God.Amazing
Thank you God, through your preacher Neno lako linatufikia wengi, tumetambua Mungu maisha tunayohishi sio yetu bali Nyota zetu ziliibiwa, thanks for your word
God Bless You abundantly Pastor Sir
Glory be to God 🙏🙏🙏God bless you man of God for the powerful message you've shared with us 🙏🙏let Lord continue to anoint you 🙏
God is Good all time
Powerful message . BARIKIWA mtumishi wa Mungu
❤❤
Timely message...More grace upon you M.O.G pastor Sunbella
Mercy father.. Have mercy😭
Mungu tusaidie kwa kweli hii ni injili ya kweli isikurudie bure
Ooho lord deliver my family from every alter and generational curses
Nabalikiwa Sana
Nimechoka kuishi chini ya kiwango. Damu yako Yesu inafuta laana zote za mababu, za wachawi na kila aina ya laana. Naitumia damu yako Yesu kufuta kila laana, uchawi na hila zote zinazoifuatilia familia yangu . Amen
Jumapili ya Tarehe ngapi Baba
God do not withhold your mercy from me.....
PLEASE GET THAT TRANSLATOR TO BE LOUDER. VERY HARD TO HEAR HER. SHE IS GIFTED. OR GET A LOUDER PERSON.
Ukipiga simu ya reality hawapokei wala sms hawajibu
@neemachalamila590
Жыл бұрын
Nimepiga mwezi mzima lakini hakuna matokeo
This is me 😭😭🙄
Amen