MATENGENEZO YA UWANJA WA NDEGE ZANZIBAR, UTAKUA UWANJA BORA ZAIDI AFRIKA

#asam #africa #zanzibar

Пікірлер: 17

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020243 ай бұрын

    Hongereni sana Zenji kwa haya yote, sisi Mwanza uwanja unatia aibu kubwa sana kiasi cha kusikitisha, sijui wasukuma, Wazinza, Wakerewe, Wahaya, Wazanaki, Wakurya, Wanyamwezi tumelala vipi hatuwezi kulalamika!

  • @Gregoiresidehustle

    @Gregoiresidehustle

    3 ай бұрын

    kigoma ndo usisemi

  • @user-td8qn8sy2y
    @user-td8qn8sy2y3 ай бұрын

    Hongera mpiga picha uko vizuri mashallah Mungu wabarik Asam online TV

  • @user-dc8hf8lj8w
    @user-dc8hf8lj8w3 ай бұрын

    Pemba hamchoki kusem tutajeng ila hakun kinachofanyik ila unguja kila sku nd Kuna Jengwa daah nimtuhn huu Allah anawaon viongoz asa Mr Rais

  • @mohamedrajabu9055
    @mohamedrajabu90553 ай бұрын

    Mkombozi wa pemba alikuwa karume lkn hayupo tena kwahiyo hao waliobakia wanafki tow but allah anajua mbele yao

  • @laheonlinetv2161
    @laheonlinetv21613 ай бұрын

    Mwanza airport tuone mkataba na jengo litakuwaje. Kisumu jirani yetu kumekucha inatunyanganya nafasi yetu ya kuwa Hub

  • @Allybinamour
    @Allybinamour3 ай бұрын

    hili jembo lakupongezwa sana,ila ahadi ya docta mwinyi nikueka usawa unguja na pemba,kama ingetengenezwa pemba kwanz kabla yakuboresha huko ingekua jambo zuri zaid.

  • @tamahmaalalawi6536
    @tamahmaalalawi65363 ай бұрын

    Huyu dada kaongea sana Mpaka kaingiza Mambo ya chama chake wakati si mahali pake 😂

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa91313 ай бұрын

    Hahaha eti utakua Bora zaidi ya African

  • @bakarijumakupaza4351

    @bakarijumakupaza4351

    3 ай бұрын

    Ushapata tuzo ya ubora wa Africa. WEWE ULIKUA WAPI?

  • @suleimansaid769
    @suleimansaid7693 ай бұрын

    Hngrn vp kuhsu Pemba

  • @massawemrlowprice3949

    @massawemrlowprice3949

    3 ай бұрын

    Duh kummbe kuna zanziber na pemba😮

  • @fatmasaid9765

    @fatmasaid9765

    3 ай бұрын

    ​@@massawemrlowprice3949pemba hatuna letu jambo

  • @OmerSuley-gl7go

    @OmerSuley-gl7go

    3 ай бұрын

    ​@@massawemrlowprice3949 Unguja na Pemba ila uo ni wa Unguja sasa wa Pemba uko wapi? Zanzibar ina visiwa 54

  • @saidsobongo912

    @saidsobongo912

    3 ай бұрын

    ​@@massawemrlowprice3949ndio hujui

  • @killingofficial5005

    @killingofficial5005

    3 ай бұрын

    ​@@massawemrlowprice3949Ah mashaka tu bab Kuna Zanzibar na Pemba

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani26423 ай бұрын

    Africa?😂😂