ASAM Online TV

ASAM Online TV

ASAM ONLINE TV: Bringing you the latest news from Zanzibar and Tanzania

DIMWA AWASHIKILIA MABALOZI WA CCM

DIMWA AWASHIKILIA MABALOZI WA CCM

TIMU YA BABIMUDA YAIBUKA BINGWA

TIMU YA BABIMUDA YAIBUKA BINGWA

Пікірлер

  • @eddynaeem6708
    @eddynaeem670810 сағат бұрын

    mvutu wa kuku hatukeri nchi na wananchi wake wakotaabani

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed261111 сағат бұрын

    Hizo ni pesa zetu Wananchi na ndio maana tuna Haki ya kuhoji namna zinavyotumika. Tusiporidhika na matumizi yake tuna Haki ya kuwawajibisha wale viongozi ama wasimamizi waliopewa dhamana ya kuzisimamia. Kama hili halifanyiki Leo basi ujuwe iko siku hilo litafanyika. Kenya wameonyesha mfano. Wananchi wanahoji uhalali wa matumizi ya pesa zao. Narudia tena...ni pesa za Wananchi. Wananchi walipa Kodi. Na si pesa za Raisi. Akizitumia kinyume na interest ya Wananchi basi Wanawanchi tuna kila sababu ya kumuajibisha. Namna nyengine ya kuiwajibisha Serikali na viongozi wake ni kutumia njia ya kupiga Kura. One Man one vote. Every vote should count. Tutaonana oktoba 2025 in sha Allah

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind533821 сағат бұрын

    Mbona hamukanushi kwa point jibuni

  • @eddynaeem6708
    @eddynaeem670810 сағат бұрын

    nanyinyi mara hii hamuwezi na kama 🎉hamuamini subirini siku ifike mutalizana kama vitoto vya paka😂

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611Күн бұрын

    Ni pesa za walipa kodi Bibie. Hii lugha ya pesa za Rais tusiikuze. Rais hana pesa hizo.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 күн бұрын

    This is a joke😮

  • @RayaRashid-qc8cn
    @RayaRashid-qc8cn2 күн бұрын

    Allah amjaalie apate mke mwema ili azi kucharge

  • @DoctorBondia
    @DoctorBondia2 күн бұрын

    Wameanzia kwerekwe kwenda Fuoni?

  • @beutifulasa
    @beutifulasa5 күн бұрын

    Wananchi wenzangu tunatakiwa tuyaweke mazingira kuwa safi tujitahidini tu

  • @user-ld6qu2qe1d
    @user-ld6qu2qe1d9 күн бұрын

    🎉

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j12 күн бұрын

    Mbona nyinyi munalipana mishara mikubwa mikubwa. Wala hamsemi kua atakulipeni Mungu. Nao walipeni mishahara mikubwa kisha ndio waambieni watalipwa na Mungu

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga540013 күн бұрын

    usafi mhim angalieni masoko yawenzenu nchi za nje

  • @beutifulasa
    @beutifulasa14 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @user-ld6qu2qe1d
    @user-ld6qu2qe1d14 күн бұрын

    Nyumba uloizowea

  • @Bin_ally_
    @Bin_ally_14 күн бұрын

    Kazi nzuri 🎉

  • @user-ld6qu2qe1d
    @user-ld6qu2qe1d15 күн бұрын

    Safi sana Viongzoi

  • @omarymaalim665
    @omarymaalim66515 күн бұрын

    Good job

  • @harithwhite589
    @harithwhite58915 күн бұрын

    Ngumu mji huu kukaa sawa kwasababu hauna uburn planning, kila pahala ni vibanda na viduka vya biashara mpaka barabara zinashindwa kupumua, hukuti maeneo ya maegesho wala mabustani

  • @NassorMohammed-oy7bc
    @NassorMohammed-oy7bc15 күн бұрын

    Kabad mpira wa miguu au

  • @beutifulasa
    @beutifulasa17 күн бұрын

    Kipindi Cha toto iddi show nimekipenda natamani kirejee tena❤

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid19 күн бұрын

    Badala ikajengwa barara ya mkowni kwnza haipitiki mashimo matupu lakini silaumu ss wapemba hatuna haki km wa unguja kwni kinachonishangaza tunalipa makodi lakini barara za pemba mtihani mtupu hata ukisikia kwjengwa nikwjili ya waekezaji sisi wnanchi tunateseka

  • @Alghanny016
    @Alghanny01620 күн бұрын

    Comment yng ❤

  • @ZanDaily_
    @ZanDaily_21 күн бұрын

    SAFI Zanroads

  • @Bin_ally_
    @Bin_ally_21 күн бұрын

    Kazi nzuri.mashallah ila aunty khanifa umeupiga mwingi 🎉🎉🎉🎉 na mwenzako

  • @SomalianCute
    @SomalianCute23 күн бұрын

    Mashlah kaz nzury kaka🎉🎉

  • @SomalianCute
    @SomalianCute23 күн бұрын

    Kazi nzuri mashllah wow hongera kaka🎉🎉

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc23 күн бұрын

    😂😂😂😂 Kazimiwa umeme tu

  • @rudofumgimba9975
    @rudofumgimba997524 күн бұрын

    Unyama

  • @ZahraVuai
    @ZahraVuai24 күн бұрын

    😮

  • @user-ir4nn9on4t
    @user-ir4nn9on4t25 күн бұрын

    😢

  • @user-jj1uj3my7b
    @user-jj1uj3my7b26 күн бұрын

    Hhhhhh ccm munajidanga hapo mtoni hapana tofaut namtabwe au micheweni ccm hapo mudajidanganya😅

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np26 күн бұрын

    hhhhhh pole yenuu aaoo wakirud hom wanasema mie naenda nipate kuingia uko vikosini tuh

  • @user-ky3pp8zs2i
    @user-ky3pp8zs2i27 күн бұрын

    ❤❤

  • @user-ld6qu2qe1d
    @user-ld6qu2qe1d27 күн бұрын

    🎉

  • @user-ld6qu2qe1d
    @user-ld6qu2qe1d28 күн бұрын

    Safii sana kwa ushirikiano huu

  • @AhmedAlly-wc7li
    @AhmedAlly-wc7li29 күн бұрын

    Sasa siyasa gani hizo kusemana wazazi basi na ww kantibu babaako aliyepewa Lana na mungu kwakutesa watu

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali522229 күн бұрын

    Nani kafa

  • @user-ld6qu2qe1d
    @user-ld6qu2qe1d29 күн бұрын

    Upinzani umekwisha habar yao

  • @user-sj8vx8wk7d
    @user-sj8vx8wk7dАй бұрын

    Jamani hiyo kanzu ulio vaa haistahiki kuvaliwa kofia hiyo

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4npАй бұрын

    asaa msijibu vp na mshajib subirin dozi iwaingie leo

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241Ай бұрын

    Heee huyu gani

  • @Alburtukal
    @AlburtukalАй бұрын

    Barabara iyo mumeacha uturn nyingi, izo uturn ambazo hazina traffic lights ni ajali

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222Ай бұрын

    Hayati

  • @user-df1cw2xl4h
    @user-df1cw2xl4hАй бұрын

    Innalillah wainna ilayh rajiun

  • @harithwhite589
    @harithwhite589Ай бұрын

    Kuhusu kivuko cha daraja ilo ni sawa

  • @harithwhite589
    @harithwhite589Ай бұрын

    Mji hautoleta haiba kamwe kama hamtoamua kubomoa vibanda vibanda kando ya barabara kuu mnazozijenga

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715Ай бұрын

    Kabisa

  • @saidiomar6642
    @saidiomar66425 күн бұрын

    Kweli vibanda vichafu vya kahawa lazima sio vivujwe bali visagwesagwe hata fusi lisipatikane 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SniperKiller-do5re
    @SniperKiller-do5reАй бұрын

    Pumzika kwq Aman Rico

  • @saidmohd2491
    @saidmohd2491Ай бұрын

    Ila hakuwafundisha wanawaka hijabu ya kisheria na mmibaki kuwa watu wa bidaaa Allah amsamehe

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341Ай бұрын

    Ati flying over zanzibar jamenii

  • @kombodenge9781
    @kombodenge9781Ай бұрын

    Hili nenobarazuli ni matusi tafadhali uombe radhi kwani hujui kamusi ya kiswahili haya ni matusiuliongea pumba sana

  • @MahmoudDouchi
    @MahmoudDouchiАй бұрын

    Yaani Apo kwenye icho kiungo ni manyago matupu dahh