mvutu wa kuku hatukeri nchi na wananchi wake wakotaabani
@shaabanmohammed261111 сағат бұрын
Hizo ni pesa zetu Wananchi na ndio maana tuna Haki ya kuhoji namna zinavyotumika. Tusiporidhika na matumizi yake tuna Haki ya kuwawajibisha wale viongozi ama wasimamizi waliopewa dhamana ya kuzisimamia. Kama hili halifanyiki Leo basi ujuwe iko siku hilo litafanyika. Kenya wameonyesha mfano. Wananchi wanahoji uhalali wa matumizi ya pesa zao. Narudia tena...ni pesa za Wananchi. Wananchi walipa Kodi. Na si pesa za Raisi. Akizitumia kinyume na interest ya Wananchi basi Wanawanchi tuna kila sababu ya kumuajibisha. Namna nyengine ya kuiwajibisha Serikali na viongozi wake ni kutumia njia ya kupiga Kura. One Man one vote. Every vote should count. Tutaonana oktoba 2025 in sha Allah
@saidal-hind533821 сағат бұрын
Mbona hamukanushi kwa point jibuni
@eddynaeem670810 сағат бұрын
nanyinyi mara hii hamuwezi na kama 🎉hamuamini subirini siku ifike mutalizana kama vitoto vya paka😂
@shaabanmohammed2611Күн бұрын
Ni pesa za walipa kodi Bibie. Hii lugha ya pesa za Rais tusiikuze. Rais hana pesa hizo.
@gracekagoma32312 күн бұрын
This is a joke😮
@RayaRashid-qc8cn2 күн бұрын
Allah amjaalie apate mke mwema ili azi kucharge
@DoctorBondia2 күн бұрын
Wameanzia kwerekwe kwenda Fuoni?
@beutifulasa5 күн бұрын
Wananchi wenzangu tunatakiwa tuyaweke mazingira kuwa safi tujitahidini tu
@user-ld6qu2qe1d9 күн бұрын
🎉
@user-hk2oz2eg4j12 күн бұрын
Mbona nyinyi munalipana mishara mikubwa mikubwa. Wala hamsemi kua atakulipeni Mungu. Nao walipeni mishahara mikubwa kisha ndio waambieni watalipwa na Mungu
@zuhuramuhanga540013 күн бұрын
usafi mhim angalieni masoko yawenzenu nchi za nje
@beutifulasa14 күн бұрын
🎉🎉🎉
@user-ld6qu2qe1d14 күн бұрын
Nyumba uloizowea
@Bin_ally_14 күн бұрын
Kazi nzuri 🎉
@user-ld6qu2qe1d15 күн бұрын
Safi sana Viongzoi
@omarymaalim66515 күн бұрын
Good job
@harithwhite58915 күн бұрын
Ngumu mji huu kukaa sawa kwasababu hauna uburn planning, kila pahala ni vibanda na viduka vya biashara mpaka barabara zinashindwa kupumua, hukuti maeneo ya maegesho wala mabustani
@NassorMohammed-oy7bc15 күн бұрын
Kabad mpira wa miguu au
@beutifulasa17 күн бұрын
Kipindi Cha toto iddi show nimekipenda natamani kirejee tena❤
@Ablahisaid19 күн бұрын
Badala ikajengwa barara ya mkowni kwnza haipitiki mashimo matupu lakini silaumu ss wapemba hatuna haki km wa unguja kwni kinachonishangaza tunalipa makodi lakini barara za pemba mtihani mtupu hata ukisikia kwjengwa nikwjili ya waekezaji sisi wnanchi tunateseka
@Alghanny01620 күн бұрын
Comment yng ❤
@ZanDaily_21 күн бұрын
SAFI Zanroads
@Bin_ally_21 күн бұрын
Kazi nzuri.mashallah ila aunty khanifa umeupiga mwingi 🎉🎉🎉🎉 na mwenzako
@SomalianCute23 күн бұрын
Mashlah kaz nzury kaka🎉🎉
@SomalianCute23 күн бұрын
Kazi nzuri mashllah wow hongera kaka🎉🎉
@MohdAli-cx7bc23 күн бұрын
😂😂😂😂 Kazimiwa umeme tu
@rudofumgimba997524 күн бұрын
Unyama
@ZahraVuai24 күн бұрын
😮
@user-ir4nn9on4t25 күн бұрын
😢
@user-jj1uj3my7b26 күн бұрын
Hhhhhh ccm munajidanga hapo mtoni hapana tofaut namtabwe au micheweni ccm hapo mudajidanganya😅
@fahmysaid-zw4np26 күн бұрын
hhhhhh pole yenuu aaoo wakirud hom wanasema mie naenda nipate kuingia uko vikosini tuh
@user-ky3pp8zs2i27 күн бұрын
❤❤
@user-ld6qu2qe1d27 күн бұрын
🎉
@user-ld6qu2qe1d28 күн бұрын
Safii sana kwa ushirikiano huu
@AhmedAlly-wc7li29 күн бұрын
Sasa siyasa gani hizo kusemana wazazi basi na ww kantibu babaako aliyepewa Lana na mungu kwakutesa watu
@bahatinassorali522229 күн бұрын
Nani kafa
@user-ld6qu2qe1d29 күн бұрын
Upinzani umekwisha habar yao
@user-sj8vx8wk7dАй бұрын
Jamani hiyo kanzu ulio vaa haistahiki kuvaliwa kofia hiyo
@fahmysaid-zw4npАй бұрын
asaa msijibu vp na mshajib subirin dozi iwaingie leo
@pavillioncry5241Ай бұрын
Heee huyu gani
@AlburtukalАй бұрын
Barabara iyo mumeacha uturn nyingi, izo uturn ambazo hazina traffic lights ni ajali
@bahatinassorali5222Ай бұрын
Hayati
@user-df1cw2xl4hАй бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiun
@harithwhite589Ай бұрын
Kuhusu kivuko cha daraja ilo ni sawa
@harithwhite589Ай бұрын
Mji hautoleta haiba kamwe kama hamtoamua kubomoa vibanda vibanda kando ya barabara kuu mnazozijenga
@rajabmsinzia1715Ай бұрын
Kabisa
@saidiomar66425 күн бұрын
Kweli vibanda vichafu vya kahawa lazima sio vivujwe bali visagwesagwe hata fusi lisipatikane 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SniperKiller-do5reАй бұрын
Pumzika kwq Aman Rico
@saidmohd2491Ай бұрын
Ila hakuwafundisha wanawaka hijabu ya kisheria na mmibaki kuwa watu wa bidaaa Allah amsamehe
@sifuelinyaki3341Ай бұрын
Ati flying over zanzibar jamenii
@kombodenge9781Ай бұрын
Hili nenobarazuli ni matusi tafadhali uombe radhi kwani hujui kamusi ya kiswahili haya ni matusiuliongea pumba sana
@MahmoudDouchiАй бұрын
Yaani Apo kwenye icho kiungo ni manyago matupu dahh
Пікірлер
mvutu wa kuku hatukeri nchi na wananchi wake wakotaabani
Hizo ni pesa zetu Wananchi na ndio maana tuna Haki ya kuhoji namna zinavyotumika. Tusiporidhika na matumizi yake tuna Haki ya kuwawajibisha wale viongozi ama wasimamizi waliopewa dhamana ya kuzisimamia. Kama hili halifanyiki Leo basi ujuwe iko siku hilo litafanyika. Kenya wameonyesha mfano. Wananchi wanahoji uhalali wa matumizi ya pesa zao. Narudia tena...ni pesa za Wananchi. Wananchi walipa Kodi. Na si pesa za Raisi. Akizitumia kinyume na interest ya Wananchi basi Wanawanchi tuna kila sababu ya kumuajibisha. Namna nyengine ya kuiwajibisha Serikali na viongozi wake ni kutumia njia ya kupiga Kura. One Man one vote. Every vote should count. Tutaonana oktoba 2025 in sha Allah
Mbona hamukanushi kwa point jibuni
nanyinyi mara hii hamuwezi na kama 🎉hamuamini subirini siku ifike mutalizana kama vitoto vya paka😂
Ni pesa za walipa kodi Bibie. Hii lugha ya pesa za Rais tusiikuze. Rais hana pesa hizo.
This is a joke😮
Allah amjaalie apate mke mwema ili azi kucharge
Wameanzia kwerekwe kwenda Fuoni?
Wananchi wenzangu tunatakiwa tuyaweke mazingira kuwa safi tujitahidini tu
🎉
Mbona nyinyi munalipana mishara mikubwa mikubwa. Wala hamsemi kua atakulipeni Mungu. Nao walipeni mishahara mikubwa kisha ndio waambieni watalipwa na Mungu
usafi mhim angalieni masoko yawenzenu nchi za nje
🎉🎉🎉
Nyumba uloizowea
Kazi nzuri 🎉
Safi sana Viongzoi
Good job
Ngumu mji huu kukaa sawa kwasababu hauna uburn planning, kila pahala ni vibanda na viduka vya biashara mpaka barabara zinashindwa kupumua, hukuti maeneo ya maegesho wala mabustani
Kabad mpira wa miguu au
Kipindi Cha toto iddi show nimekipenda natamani kirejee tena❤
Badala ikajengwa barara ya mkowni kwnza haipitiki mashimo matupu lakini silaumu ss wapemba hatuna haki km wa unguja kwni kinachonishangaza tunalipa makodi lakini barara za pemba mtihani mtupu hata ukisikia kwjengwa nikwjili ya waekezaji sisi wnanchi tunateseka
Comment yng ❤
SAFI Zanroads
Kazi nzuri.mashallah ila aunty khanifa umeupiga mwingi 🎉🎉🎉🎉 na mwenzako
Mashlah kaz nzury kaka🎉🎉
Kazi nzuri mashllah wow hongera kaka🎉🎉
😂😂😂😂 Kazimiwa umeme tu
Unyama
😮
😢
Hhhhhh ccm munajidanga hapo mtoni hapana tofaut namtabwe au micheweni ccm hapo mudajidanganya😅
hhhhhh pole yenuu aaoo wakirud hom wanasema mie naenda nipate kuingia uko vikosini tuh
❤❤
🎉
Safii sana kwa ushirikiano huu
Sasa siyasa gani hizo kusemana wazazi basi na ww kantibu babaako aliyepewa Lana na mungu kwakutesa watu
Nani kafa
Upinzani umekwisha habar yao
Jamani hiyo kanzu ulio vaa haistahiki kuvaliwa kofia hiyo
asaa msijibu vp na mshajib subirin dozi iwaingie leo
Heee huyu gani
Barabara iyo mumeacha uturn nyingi, izo uturn ambazo hazina traffic lights ni ajali
Hayati
Innalillah wainna ilayh rajiun
Kuhusu kivuko cha daraja ilo ni sawa
Mji hautoleta haiba kamwe kama hamtoamua kubomoa vibanda vibanda kando ya barabara kuu mnazozijenga
Kabisa
Kweli vibanda vichafu vya kahawa lazima sio vivujwe bali visagwesagwe hata fusi lisipatikane 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pumzika kwq Aman Rico
Ila hakuwafundisha wanawaka hijabu ya kisheria na mmibaki kuwa watu wa bidaaa Allah amsamehe
Ati flying over zanzibar jamenii
Hili nenobarazuli ni matusi tafadhali uombe radhi kwani hujui kamusi ya kiswahili haya ni matusiuliongea pumba sana
Yaani Apo kwenye icho kiungo ni manyago matupu dahh