ZIARA YA SHEIKH AL HATIMY VISIWANI ZANZIBAR
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 35
Allah atuongoze katika haqqi atuepushe na bidaa.
Kwa kweli tunajifinza mengi kupitia mashekhe wetu Allah atukutanishe pamoja jannah
MashaAllah ❤❤❤❤❤❤
Mashallah
Allah azidi kutulinda
Assalamu alaikum Mimi naomba mashekhe wanapokuja kututembelea tuwe tunapewa taarifa tuweze kuhudhuria darsa zao kwani tunakosa mengi Allah ambarik na amhifadhi
Allah akuhifadhi kipenzi chetu Alhatimy
God bless Zanzibar, yaa Rabb
Mashaallah
Shekhe hongera sana kariba tanga
masha allah
HUYU NI MLINGANIZI KATIKA SHIRKI,ANALINGANIA KINYUME NA SUNNAH.
@AllySalim-ov3jn
3 ай бұрын
Na baba ako pia analingania kwenye shirki jahilul murakkab
Mashaallah tunaomba n Pemba inshallah mumpeleke Allahuma aamin
@asilahassan9965
3 ай бұрын
ATA na Mimi napendekeza ivo
Shehe wa makaburi huyu
@AllySalim-ov3jn
3 ай бұрын
Mpuuz ww
Hii ni riya 😮
@asilahassan9965
3 ай бұрын
Kwa nn
اتخذ الناس رؤوسا جهالا!!!
Kilemba skio moja wazi na moja limefinikwa ni design tu?ama inamaana yake?si vibaya kujua tukapata elimu kdg
@user-jh4sw3ww6w
3 ай бұрын
Kwani kilemba ni nguzo ya ngapi ya Kiislam au Ya Imani
@Khalid-mf3iu
3 ай бұрын
Huyu loverboy wa kawaida tu....ndevu hizo zilivochongwa
@hamicpina1151
3 ай бұрын
Shekh wa maulid uyo
@rukiakhamis-xy1hg
3 ай бұрын
Bonge la swaahibul bidaaa
@salmafaraj6544
3 ай бұрын
Bwanaweee Allah atuongoze sote wallahi
Mfujkuzen mzushi huyo
@AllySalim-ov3jn
3 ай бұрын
Utafukuzwa ww khabith ww
Khurafi, nothing special!
@ramadhanmusa2878
3 ай бұрын
We mwishowe utakua mchawi
Wacha mjinga, na wajinga, wenzake
Mashallah