#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Kamanda Maalum Mkoa wa DSM Muliro kupitia kipindi cha #PowerBreakfast
Жүктеу.....
Пікірлер: 163
@nurumussa9107Ай бұрын
Kaka masoud umeuliza swali zuri Sana lakini Cha kusikitisha halijatolewa majibu sahihi, tunamuamini kamanda wetu mulilo na tunaipenda kazi yake hivo ni vizuri alichukue Ilo swali na kulifanyia kazi. Asante
@michaelmwambije36035 ай бұрын
Inaonyesha huyu mlilo nimiongoni mwa watekaji mana kauli zake zinaleta ukakas pia ninacho kielewa Tanzania hatuna jeshi tunakikundi kimejivisha elementi ya kijeshi lakin kazizao ni kazin zao ni majambaz kiujumla tuna majambaz hatuna jeshi mungu ndo anajua
@user-uh3eg5cj2r
4 ай бұрын
Mh!
@fdizzo5 ай бұрын
Jeshi letu La polisi ni janga Aisee sijui limepatwa na nini!!!? Weledi sifuri. taaluma ukichanganya na siasa ni umekwisha masood kipanya uko vzr Sana kaka pamoja na team yako msichoke endeleeni ivoivo na endeleeni kuwaalika tuone panapo Vuja.
@user-ie2sr4fi4k5 ай бұрын
Kama ujawai kupelekwa police uwez kujua omba yasikukute et uchunguz yani! mungu atusamehe
@DonMooSTUDIO_Express
5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mikidadichisala61365 ай бұрын
Kama huyu anaetoa majibu hapa ni jeshi la polisi basi tunayo kazi kubwa
@FrankMushi-cs5js5 ай бұрын
Yani katika watu siwapendi duniania ni polic wa tanzania maana awana hutuu kabsa alfu awa viongozi wao wanawatetea sana ila ingekuwa rahia kampiga polic yani watakamata mtaa mzima awa awana maana kabisaaaa
@mayungarichard74435 ай бұрын
Masud uko vizuri sana
@jackmabirangacharles93985 ай бұрын
Huyu.Bwana ni Mropokaji na Hana Jipya ana Linda Jeshi lake
@avitusmwemeziandrea73175 ай бұрын
Hakuna anachojibu afande, anazunguka tu. Swali liko wazi, kwenye hali ambayo askari anatajwa jina nini kinafanyika? Hatoi jibu, anazunguka.
@knight6757
5 ай бұрын
👀
@user-ie2sr4fi4k
5 ай бұрын
Kaz ya hawa watu ni changamoto
@isackignas17525 ай бұрын
Tuendelee kushika tama
@user-uh3eg5cj2r4 ай бұрын
Haya mambo bhana MUNGU atusaidie tu!
@bimumaulid11715 ай бұрын
Afande mbona anazunguruka tuu zuieni hicho kiti kwanza tuelewane
@sadiqadam7971
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@lifeofbeed_2216
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah
@joycemkeka3769
5 ай бұрын
😂😂😂
@vicentlyimo59745 ай бұрын
Mmmmmh tunachamoto kubwa kwenye jeshi letu la police
@abubakarsuleman19835 ай бұрын
Uyu afande kisisiasa zaidi
@qonquererqanquerer1781
4 ай бұрын
Naam Kabisa
@allyomary22715 ай бұрын
Hongera sana kamanda murilo ila kwenye jeshi la police kuna tatizo kubwa sana hujma za ubambikiaji kesi kwa raia umekuwa kwa kasi sana chunguza hilo na chukua hatua
@venancemushi7461Ай бұрын
Msiba mzito.
@claudiajames20035 ай бұрын
Kusema kweli Mimi binafsi huyu kamanda huwa simuelewi maana naona kama ana udhaifu katika kusimamia watendaji wake,ye naona amebase katika siasa tu sio kuangalia majanga yanayosababishwa na jeshi la police Kwa wananchi!
@user-uh3eg5cj2r
4 ай бұрын
Kuna kitu kinaitwa Leadership (kiukweli kwa Tz viongozi wa Umma wanatakiwa kulitendea Haki hili NENO hasa Jeshi LA POLICE TANZANIA)
@MashakaShobo-cs5wj5 ай бұрын
Kipanya unaokomavu sana kwenye utangazaji hongera ila huyo afande ni siasa tu
@petermgaya9693
5 ай бұрын
Mm kwangu Power break fast ikiisha nafungaga radio
@Snuky545 ай бұрын
Masha Allah masoud umeuliza swali zuri sana
@jimmyhabarugira42325 ай бұрын
Haja jibu swali la Masud Kipanya Naona anakwepa swali 🤣
@bakarimashi8485 ай бұрын
Mmmh tuendelee kujifukiza tu
@user-zr9cb8mi6k5 ай бұрын
Uchunguzi wa nn na unamchunguza nani acheni usaninii hata kamanda ana familia kazi yako isiwe laana kwako
@youthmediatv15 ай бұрын
Duh
@charlesmoshi19835 ай бұрын
Kuna mtu amesema askari fulani tunamjua na kulikua na cctv camera
@bakarimahenge5 ай бұрын
sasaivi tuwetunawapiga picha wakikamata mtu ili wakikataa tunawaonesha picha
@user-lt1bi5nr1x
Ай бұрын
Ndio dawa
@kaslali20395 ай бұрын
Afisa ni dhaifu mno ktk kazi yake, anaonyesha uwezo mdogo sana ktk kuelezea kiupolisi hana uwezo wa kuwa mkuu wa police anaeleza kisiasa kabisa
@lizp68265 ай бұрын
Hamna kitu hapa Hana analojibu, mbambamba nyingi
@user-ug9nl8lo1oАй бұрын
MRR Kakengeuka
@denisntinabo40185 ай бұрын
Afande anatamani nipindi kisirushwe😂😂😂
@user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын
Jeshi linafanya kazi kisayansi😅
@ibrahimomari24585 ай бұрын
Hakuna kazi ngumu kama kutetea uongo...
@Princewaweru5 ай бұрын
Jeshi la police ni bado kizungumkuti
@user-jv1ht5nh4g5 ай бұрын
UYO mlilo muongo kashindwa kukujib Na awezi kujibu ata akijatena apo studio
@tonysadick533824 күн бұрын
Mungu saidia wache kuteuliwa wachaguliwe
@BarakaWilliammwaka-ei3cb5 ай бұрын
❤ penzi nitamu endapo unaependa munaelewana
@jacksonsilaa4155 ай бұрын
Tutachukua picha kila tukio la police arrest report.
@mikemutabuzi36655 ай бұрын
Je afande anatushauri kwamba watakaokuja kuchukua watu wananchi waungane wawadhibiti kama hawatatoa vitambulisho?
@franknzowa225 ай бұрын
Afande hapo naona kama Masoud Kipanya hajapata alichokuwa anahitaji hapo
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Jeshi la polisi linahusika na utekaji wa raia, hapo kamanda hataki kumjibu, xx wanainchi yuyamalizana noa mtaani waendelee mamba yao watajuta
@emanuelkilangilo55855 ай бұрын
Masudi lile GARI LA UMEME umetupiga limeishia wapi?.Yan wabongo 😂😂😂😂
@Its_Goodluck5 ай бұрын
Safari ni ndefu sana na hata robo atujafika
@hizamawa60465 ай бұрын
Anajibu kisiasa tu
@user-zr9cb8mi6k5 ай бұрын
Una jua kabisa musa aliko kwa haya mahojiano rpc dar
@remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын
Ebu niulize kwani polic xhelia wanazijua wenyewe sikukamata mwalifu akae ndani mahakama ndoo wenye kutafusili xhelia sio uyo wala aeleweki anaulizwa iki anajibu tofauti mtoeni umo tafuteni wanao jua xhelia 😪😪😪😪😪
@gwamakagwamaka5 ай бұрын
Anajibu kisiasa napolojo
@qonquererqanquerer1781
4 ай бұрын
Uelewa Ni Kidogo Sana Ndiyo Maana Anafanya Hivyo 😁😄
@user-iw5hu3mc7l5 ай бұрын
Nyinyi waonevu tu
@silverman69305 ай бұрын
Answer the question wewe .. completely useless police
@user-rc1dp6ux3k5 ай бұрын
Jeshi la polisi mara nyingi halina ueledi kabisa
@qonquererqanquerer17814 ай бұрын
Huyu Mwana Ccm Anazungumza Siasa Yaan Hapo Amesahau Kubeba Ilani Ya Ccm Peke Yake 😁😄
@deodathsilayo36395 ай бұрын
Mbna hajajibu swali
@kapingageorge76355 ай бұрын
mbona hana anachojibu kinachoeleweka wa2 wanaumia yy anajibu siasa
@TwahaMpakani-pn4ov5 ай бұрын
Huyu kamanda amesema mambo ya kiuchunguz siyo siasa halafu yeye mwenyewe anaileta siasa apo
@ernestmaina42684 ай бұрын
Wakenya tuige kamanda Moliro
@hubman67805 ай бұрын
Reporting line and triangular plan is compromised. mamlaka kisheria ziko Kwa ajili ya wananchi ila kinadharia ni sio
@furahachuma90395 ай бұрын
Aisee, mbona majibu yake yana ubabaishaji mwingi? Kamanda yupo tayari kuwalinda askari polisi ilimradi waonekane ni malaika sana.
@hubman67805 ай бұрын
Mara nyingi serikali na majeshi Huwa na lugha zao kikazi
KAMANDA USIWEKE KONA KUWALINDA WAOVU WALIOKO JESHINI KWAKO KUBALI ASIKARI SIO WOTE WABAYA NA WEMA
@aloycelucas18235 ай бұрын
Huyu afande yeye ndiye analeta siasa kwenye mahojiano.
@remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын
Kikundi cha wahuni 2 amna ki2 apo😪
@abedichande24975 ай бұрын
Oya amna kitu hapo zimeni tv...naona ni mtu wa mifano zaidi 😂😂
@directorimmah_vfx30435 ай бұрын
katoa maelezo mengii lakin hakuna alichojbu apo
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
Huyu ni kamanda anajibu kisiasa ivi
@jahhloveyou44625 ай бұрын
Mmmm sample yake ya kwanza 😢😢😢😅
@MagrethMallya-we8ui5 ай бұрын
Masoud muulize mpaka akujibu.😮😮😮
@AhmedHassan-vl5zf5 ай бұрын
Tuhuma ya polisi kutajwa ilitakiwa asimamishhwe an apishe uchuguzi
@AishaHaji-jn7sgАй бұрын
Alafu mtu kama huyu unamtukana 😂🤣🤣😂😂😂mwijaku ndugu yangu jela uko nayo na utatamba nayo soon
@user-my5yp6xx5s5 ай бұрын
Murilo nisehemu ya watekaji anazungumza nini kwanini anawatetea police, police sio wakumwamini ni waharifu namba one nandio wako na mabunduki lakini wanafikili hatujui
@user-rc1dp6ux3k5 ай бұрын
Kwa kweli kamanda hajajibu maswali
@user-zr9cb8mi6k5 ай бұрын
Mnazinguà kama ni raia wako kwa nn usimtafutilie na anaonekana kama mmemsikia kamandà anajuakabisa anajua kabisa musa aliko
@sophiapatrick48245 ай бұрын
Hajajibu maswali anayouliza anakwepa
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
Siwezi kumtaja Mlilo wakati sijamuona
@user-vy9pz7sk4z5 ай бұрын
Nchi hii police tatzo sana wanafanya matukio kisha wanateteana sasa ww uwende wap
@msomaliwilliam5 ай бұрын
Polisi sasa hivi magari . Yenu number za magari yenu zinachanganya wananchi
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
TUkubaliane kuwa si kila asikari ni mwadilifu
@abedichande24975 ай бұрын
Hata kuelezea kwenyewe tu shidah ss nan hataelewa...police nyie sio bhanaaaa
@user-gb9gk8bm6eАй бұрын
Amnaa majibu sahii apoo
@jumamarley79645 ай бұрын
Maelezo ya Afande Mulilo ayatoshelezi hata kidogo kwenye Hilo swali
@user-db5hv2xw3y5 ай бұрын
Mulilo mwenyewe ni mtekaji mkuu
@Zakaria2025wiliamuwiliamu5 ай бұрын
polis kwenye nchii ni janga kaka masud uwez mtaja mtu ambaye humjui kana kwamba s yeye aliye mteka wakat sura yake jina lake muniro anawaficha kwanza hajui PGO
@smarty10645 ай бұрын
Afande anakwama kwama sana kujieleza
@andrewcharugamba74985 ай бұрын
Mpuuzi huyu
@musamwakitwange83325 ай бұрын
Mlilo hajajibu swali. Kazi ya polisi ni kulinda raia ni pamoja ya walioteswa.
@yokoi39705 ай бұрын
Hakuna kitu hapa aibu tu
@ScopionScopion-zj9cd5 ай бұрын
mimi mtu mhalifu akipotea Wala sina tatizo ila kama atakua ameonewa hapo ndio tatizo
@Hussein-gx4qu5 ай бұрын
ni kweli police ni watekaji hata kaka yangu pia walimteka wakaenda kuficha kituo cha police tazara na tulienda kuulizia wakakataa katu katu kuwa hayupo bahati nzuri piki piki yake hao police walikua bado hawajaificha hiyo ndio iliwaumbua
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
Kama vp mnapowakama watu.kama wana siasa mbona wapo ndani hata kama hakuna ushahidi
@user-et2rb5ej8j5 ай бұрын
Uyu ni afante au takataka
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
Ivi muriro anamiaka mingapi
@FrankMushi-cs5js5 ай бұрын
Polic mnazinguwa sana nyinyi
@mohamoudhussein45705 ай бұрын
Huyu anaongea upuuzi kama avo mpuuzi yeye mwenyeww
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
Kamanda jibu swali mbona ivyo?
@bertinkimati26745 ай бұрын
Jeshi la polisi linaongozwa na viongozi ambao ni criminals. Muliro hawezi kukubali Askari wake ni wahusika kwenye kumteka na kuooteza watu . Cha msingi ni wananchi kupewa elimu kuhusu jinsi polisi anapaswa kukujamata. Ikitokea police wanekuja bila uniform basi wake na mjumbe au afisa mtendaji wa eneo husika vinginevyo hata yeye asiondoke eneo Hilo salama labda aje kuokolewa na Askari wenye sare zinazotambulika.
@AishaTarimo5 ай бұрын
Mlilo bhana jibu maswali usiruke ruke kama chura bhana😅😅😅😅
@user-rc1dp6ux3k5 ай бұрын
Yaani kamanda haueleweki kabisa
@user-my5yp6xx5s5 ай бұрын
mlilo unatuambia nini jeshi la police niwatekaji ni mahalamia
@user-zr9cb8mi6k5 ай бұрын
Ishu taarifa afande mbona hamuhelewi waandish
@athanasmasmami5389Ай бұрын
Hamna kitu hapo
@fredyfile6235 ай бұрын
Anaulizwa a anajibu z aibuu mkuu kama huyo hajui kujibu maswali anazunguka zunguka tu hovyo kabisaa.
Пікірлер: 163
Kaka masoud umeuliza swali zuri Sana lakini Cha kusikitisha halijatolewa majibu sahihi, tunamuamini kamanda wetu mulilo na tunaipenda kazi yake hivo ni vizuri alichukue Ilo swali na kulifanyia kazi. Asante
Inaonyesha huyu mlilo nimiongoni mwa watekaji mana kauli zake zinaleta ukakas pia ninacho kielewa Tanzania hatuna jeshi tunakikundi kimejivisha elementi ya kijeshi lakin kazizao ni kazin zao ni majambaz kiujumla tuna majambaz hatuna jeshi mungu ndo anajua
@user-uh3eg5cj2r
4 ай бұрын
Mh!
Jeshi letu La polisi ni janga Aisee sijui limepatwa na nini!!!? Weledi sifuri. taaluma ukichanganya na siasa ni umekwisha masood kipanya uko vzr Sana kaka pamoja na team yako msichoke endeleeni ivoivo na endeleeni kuwaalika tuone panapo Vuja.
Kama ujawai kupelekwa police uwez kujua omba yasikukute et uchunguz yani! mungu atusamehe
@DonMooSTUDIO_Express
5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
Kama huyu anaetoa majibu hapa ni jeshi la polisi basi tunayo kazi kubwa
Yani katika watu siwapendi duniania ni polic wa tanzania maana awana hutuu kabsa alfu awa viongozi wao wanawatetea sana ila ingekuwa rahia kampiga polic yani watakamata mtaa mzima awa awana maana kabisaaaa
Masud uko vizuri sana
Huyu.Bwana ni Mropokaji na Hana Jipya ana Linda Jeshi lake
Hakuna anachojibu afande, anazunguka tu. Swali liko wazi, kwenye hali ambayo askari anatajwa jina nini kinafanyika? Hatoi jibu, anazunguka.
@knight6757
5 ай бұрын
👀
@user-ie2sr4fi4k
5 ай бұрын
Kaz ya hawa watu ni changamoto
Tuendelee kushika tama
Haya mambo bhana MUNGU atusaidie tu!
Afande mbona anazunguruka tuu zuieni hicho kiti kwanza tuelewane
@sadiqadam7971
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@lifeofbeed_2216
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah
@joycemkeka3769
5 ай бұрын
😂😂😂
Mmmmmh tunachamoto kubwa kwenye jeshi letu la police
Uyu afande kisisiasa zaidi
@qonquererqanquerer1781
4 ай бұрын
Naam Kabisa
Hongera sana kamanda murilo ila kwenye jeshi la police kuna tatizo kubwa sana hujma za ubambikiaji kesi kwa raia umekuwa kwa kasi sana chunguza hilo na chukua hatua
Msiba mzito.
Kusema kweli Mimi binafsi huyu kamanda huwa simuelewi maana naona kama ana udhaifu katika kusimamia watendaji wake,ye naona amebase katika siasa tu sio kuangalia majanga yanayosababishwa na jeshi la police Kwa wananchi!
@user-uh3eg5cj2r
4 ай бұрын
Kuna kitu kinaitwa Leadership (kiukweli kwa Tz viongozi wa Umma wanatakiwa kulitendea Haki hili NENO hasa Jeshi LA POLICE TANZANIA)
Kipanya unaokomavu sana kwenye utangazaji hongera ila huyo afande ni siasa tu
@petermgaya9693
5 ай бұрын
Mm kwangu Power break fast ikiisha nafungaga radio
Masha Allah masoud umeuliza swali zuri sana
Haja jibu swali la Masud Kipanya Naona anakwepa swali 🤣
Mmmh tuendelee kujifukiza tu
Uchunguzi wa nn na unamchunguza nani acheni usaninii hata kamanda ana familia kazi yako isiwe laana kwako
Duh
Kuna mtu amesema askari fulani tunamjua na kulikua na cctv camera
sasaivi tuwetunawapiga picha wakikamata mtu ili wakikataa tunawaonesha picha
@user-lt1bi5nr1x
Ай бұрын
Ndio dawa
Afisa ni dhaifu mno ktk kazi yake, anaonyesha uwezo mdogo sana ktk kuelezea kiupolisi hana uwezo wa kuwa mkuu wa police anaeleza kisiasa kabisa
Hamna kitu hapa Hana analojibu, mbambamba nyingi
MRR Kakengeuka
Afande anatamani nipindi kisirushwe😂😂😂
Jeshi linafanya kazi kisayansi😅
Hakuna kazi ngumu kama kutetea uongo...
Jeshi la police ni bado kizungumkuti
UYO mlilo muongo kashindwa kukujib Na awezi kujibu ata akijatena apo studio
Mungu saidia wache kuteuliwa wachaguliwe
❤ penzi nitamu endapo unaependa munaelewana
Tutachukua picha kila tukio la police arrest report.
Je afande anatushauri kwamba watakaokuja kuchukua watu wananchi waungane wawadhibiti kama hawatatoa vitambulisho?
Afande hapo naona kama Masoud Kipanya hajapata alichokuwa anahitaji hapo
Jeshi la polisi linahusika na utekaji wa raia, hapo kamanda hataki kumjibu, xx wanainchi yuyamalizana noa mtaani waendelee mamba yao watajuta
Masudi lile GARI LA UMEME umetupiga limeishia wapi?.Yan wabongo 😂😂😂😂
Safari ni ndefu sana na hata robo atujafika
Anajibu kisiasa tu
Una jua kabisa musa aliko kwa haya mahojiano rpc dar
Ebu niulize kwani polic xhelia wanazijua wenyewe sikukamata mwalifu akae ndani mahakama ndoo wenye kutafusili xhelia sio uyo wala aeleweki anaulizwa iki anajibu tofauti mtoeni umo tafuteni wanao jua xhelia 😪😪😪😪😪
Anajibu kisiasa napolojo
@qonquererqanquerer1781
4 ай бұрын
Uelewa Ni Kidogo Sana Ndiyo Maana Anafanya Hivyo 😁😄
Nyinyi waonevu tu
Answer the question wewe .. completely useless police
Jeshi la polisi mara nyingi halina ueledi kabisa
Huyu Mwana Ccm Anazungumza Siasa Yaan Hapo Amesahau Kubeba Ilani Ya Ccm Peke Yake 😁😄
Mbna hajajibu swali
mbona hana anachojibu kinachoeleweka wa2 wanaumia yy anajibu siasa
Huyu kamanda amesema mambo ya kiuchunguz siyo siasa halafu yeye mwenyewe anaileta siasa apo
Wakenya tuige kamanda Moliro
Reporting line and triangular plan is compromised. mamlaka kisheria ziko Kwa ajili ya wananchi ila kinadharia ni sio
Aisee, mbona majibu yake yana ubabaishaji mwingi? Kamanda yupo tayari kuwalinda askari polisi ilimradi waonekane ni malaika sana.
Mara nyingi serikali na majeshi Huwa na lugha zao kikazi
Kiukweli cjaelew anachoongea huyo afande nikama anatetea atoi jibu sahihi
Mlilo muogo ameshindwa maswali
KAMANDA USIWEKE KONA KUWALINDA WAOVU WALIOKO JESHINI KWAKO KUBALI ASIKARI SIO WOTE WABAYA NA WEMA
Huyu afande yeye ndiye analeta siasa kwenye mahojiano.
Kikundi cha wahuni 2 amna ki2 apo😪
Oya amna kitu hapo zimeni tv...naona ni mtu wa mifano zaidi 😂😂
katoa maelezo mengii lakin hakuna alichojbu apo
Huyu ni kamanda anajibu kisiasa ivi
Mmmm sample yake ya kwanza 😢😢😢😅
Masoud muulize mpaka akujibu.😮😮😮
Tuhuma ya polisi kutajwa ilitakiwa asimamishhwe an apishe uchuguzi
Alafu mtu kama huyu unamtukana 😂🤣🤣😂😂😂mwijaku ndugu yangu jela uko nayo na utatamba nayo soon
Murilo nisehemu ya watekaji anazungumza nini kwanini anawatetea police, police sio wakumwamini ni waharifu namba one nandio wako na mabunduki lakini wanafikili hatujui
Kwa kweli kamanda hajajibu maswali
Mnazinguà kama ni raia wako kwa nn usimtafutilie na anaonekana kama mmemsikia kamandà anajuakabisa anajua kabisa musa aliko
Hajajibu maswali anayouliza anakwepa
Siwezi kumtaja Mlilo wakati sijamuona
Nchi hii police tatzo sana wanafanya matukio kisha wanateteana sasa ww uwende wap
Polisi sasa hivi magari . Yenu number za magari yenu zinachanganya wananchi
TUkubaliane kuwa si kila asikari ni mwadilifu
Hata kuelezea kwenyewe tu shidah ss nan hataelewa...police nyie sio bhanaaaa
Amnaa majibu sahii apoo
Maelezo ya Afande Mulilo ayatoshelezi hata kidogo kwenye Hilo swali
Mulilo mwenyewe ni mtekaji mkuu
polis kwenye nchii ni janga kaka masud uwez mtaja mtu ambaye humjui kana kwamba s yeye aliye mteka wakat sura yake jina lake muniro anawaficha kwanza hajui PGO
Afande anakwama kwama sana kujieleza
Mpuuzi huyu
Mlilo hajajibu swali. Kazi ya polisi ni kulinda raia ni pamoja ya walioteswa.
Hakuna kitu hapa aibu tu
mimi mtu mhalifu akipotea Wala sina tatizo ila kama atakua ameonewa hapo ndio tatizo
ni kweli police ni watekaji hata kaka yangu pia walimteka wakaenda kuficha kituo cha police tazara na tulienda kuulizia wakakataa katu katu kuwa hayupo bahati nzuri piki piki yake hao police walikua bado hawajaificha hiyo ndio iliwaumbua
Kama vp mnapowakama watu.kama wana siasa mbona wapo ndani hata kama hakuna ushahidi
Uyu ni afante au takataka
Ivi muriro anamiaka mingapi
Polic mnazinguwa sana nyinyi
Huyu anaongea upuuzi kama avo mpuuzi yeye mwenyeww
Kamanda jibu swali mbona ivyo?
Jeshi la polisi linaongozwa na viongozi ambao ni criminals. Muliro hawezi kukubali Askari wake ni wahusika kwenye kumteka na kuooteza watu . Cha msingi ni wananchi kupewa elimu kuhusu jinsi polisi anapaswa kukujamata. Ikitokea police wanekuja bila uniform basi wake na mjumbe au afisa mtendaji wa eneo husika vinginevyo hata yeye asiondoke eneo Hilo salama labda aje kuokolewa na Askari wenye sare zinazotambulika.
Mlilo bhana jibu maswali usiruke ruke kama chura bhana😅😅😅😅
Yaani kamanda haueleweki kabisa
mlilo unatuambia nini jeshi la police niwatekaji ni mahalamia
Ishu taarifa afande mbona hamuhelewi waandish
Hamna kitu hapo
Anaulizwa a anajibu z aibuu mkuu kama huyo hajui kujibu maswali anazunguka zunguka tu hovyo kabisaa.