MASANJA ALIVYOTAPELIWA NA WEZI WA MITANDAONI N
Музыка
MASANJA ALIVYOTAPELIWA NA WEZI WA MITANDAONI N#FREECHURCH #FREECHURCHDSM
Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
Jumatano saa9 -12 jioni
Ijumaa saa 9-12 jioni
JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
+255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI
Пікірлер: 81
Kweli siku ya mwisho kutakuwa na kitimtim,, Ee YESU UTUHURUMIE.
Sikunyingine usileshe mtandaoni kabla hujafikamwisho angaliasasa wanakutukana alafu umerusha hewani kibatazaidi wamekutukania mama mzazi sjapenda kabisa yaani tanzania nzima wamesikia hi ilotusi umeniboasana hao mwixho nilazima aktukane tu hiyoclip hatamamayako ataisikiatu yaani umeniuzi mpaka
Pastor
Muwe makini Sana na hawa wanaosajili line mtaani ni heri uende moja kwa moja office husika
Wao jamaa wasumbua sana
🤣🤣🤣 aiseee hawa watu mi nashaur serikali wakikamatwa wasipelekwe mahakamani wakatwe viganja vya mikono na waachiliwe
Napenda huu ujinga mm hahahaha masanja
Hahahaaaaa Na sasa hivi kuna wizi mwingone unaendelea gar za mnaz mmoja buza zinazopita kirwa hazifiki buza Yaani ukitoka posta unapanda gar iloandikwa buza unatoa hela afu tandika unaambiwa ndio mwisho Watu wa buza wanaibiwa sanaa
matapeli noma jamaa anakaza kweli kutoa namba 😆😆wanataka kumtapeli mwana wa mungu jamani
Hahahaha umeliweza
🤣🤣🤣 we masanja si pastor wew umemludishia
Wanazingua hawa alaf wanamatusi sn wakijua umewashtukia.
Safi
Hao ukiwapelekesha kama vile mjinga af mwisho unawachomolea wanaanza matusi bc mi kabla hawajaanza naeka cm pemben
Hawa shemeji yangu mke wa brother mpaka nililazimika kuondoka maama sio kwA matusi yale
Duuuu hyo ,,,,, Mitusi x pouwa,,,,
Duh nimecheka sana aisee mpaka nimelala chini
Wanamatusi kweli ukiwapatia
Mchungaji uvumilivu umemshinda kaludisha, Wakati Yesu alisema ukipigwa shavu la kushoto mgeuzie na la kulia. Kwa masanja NOOO Hapo hapo mnamalizana Ahaa ahaaa ahaaaaa
😅😅😅oooooo ziwe sita , Mungu awalaani wapenda vya bure
😂 😂 😂 brother
Duh atari sana matapeli wanaforce pole mtumishi
@barakamafwimbo8323
2 жыл бұрын
Kipande cha mwisho kingetolea, maana nmesikiliza na mama mkwe wangu hapa, nimeishia kupata aibu mwishon
ungekaa sawa tuu kaka wangekuwashia chekundu😂😂😂
Shida nihapo ukiwaambia ukweli 😂😂😂😂 inatakiwa usiwe karibu na wakubwa.
@yuzotv458
2 жыл бұрын
Hahahahahaha!!!!
Masanja yaani nimecheka mpaka jasho limenitoka !!!!
Mwanawane kesho piga Uzi wa Simba sports club basi.
Leo wameyakanyaga tuuuu
Hahahahahaaaaaaaa
🐱🐱🐱🐱
Atariii matapeli
Aisee, ila umemuweza sana, ni mafala sana hawa majamaa
😁😁😁😁😁
Mchungaji usingepost hii video kwa tusi hilo mwishoni unajishushia heshimaaa
Nimecheka hatari na tusi lao kubwa ndiyo Hilo😂😂😂😂
Acha Ubahiri, Tuma Pesa Bw. Mdogo🤣
🤣🤣🤣🤣
Umemuweeza Aseee umempeleka hadi Mwisho Hahahahhahaha
Wanataka kumtapeli Mchungaji😂😂😂😂😂
Haaaaaaaa uwiiii
Wanazinguwa saaan hao hahahah
@normwajomb7384
2 жыл бұрын
Mhh! Kweli kabisa ila kaka kawagundua mapemaa😁😁😁
WAHEHE HATUIBIWI KILAIS 🤣🤣🤣🤣🤣
Utajisikiaje mteka akitekwa na mtekaji🤣🤣🤣
Masanjaaa😂😂😂😂
Tena huyo jamaa na saut yake hiyo hiyo ana matusi ya ajabu ukimsikilizia tu mwisho wa cku akakosa😀😀😀
Hahaha wamekutana na masanja
Duu hawojama ni hatal
😆😆😆😆 niliwanyoosha siku moja hao!!! Hawatasahau!
@everlinemdope4151
2 жыл бұрын
Sanga
Be mdimi, we kina navahichi?
Hahahaa mchungaji karudisha tusi 😂😂
@anacretsindabaha9395
2 жыл бұрын
Hahahaaaa umeona jamaa
Hahahaha wazingua Sana
Hahahahahaha
haaaaaaa
Hahahahhhaa
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣matapeler kufuruuuu🤣🤣🤣😂😂😂
Hahahahahahahaha kangiiiiiiiiiiiii
😂🤣😂🤣 Mamaako ananini.
@kanutimakanyaga4760
2 жыл бұрын
Hapa mch alifeli yaani mpaka nimehic mwili kusisimuka alipojibu hiii🤭🤭🤭
@yakobomkristo872
2 жыл бұрын
Jamani Eeee! Mchungaji Kauliza Tu Ili Kumuweka Sawa Yule Mpuuzi Aliyeropoka
@evalineemmanuel8178
2 жыл бұрын
jmn mimi.nilituksnwa ivo ivoo
🤣🤣🤣🤣alafu wako seriously
Alafu ukiwagundua wanakutukana matusi ya nguoni
Hahahahahahha
Mama yako ana nini? Masanja kama masanja tu
Brother kwenye hiyo sauti ya tusi ikate awojamaa wajinga wakafanye kazi
🤣🤣🤣🤣🤲🤲 nimecheka
hahahahaha
🤪🤪🤪🤪🤣🤣🤣🤣🤣
Masanja🤣🤣🤣🤣😫
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unjingiunjilinjingira unjingi ng'wiye😂😂😂
@gracewaziri3221
2 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣
Hahahaha hahahaha, wanahatari yao hawa watu
😂😂😂😂😂😂😂