MARLAW : NILIACHA KUFANYA MUZIKI MWAKA 2010, KILA MSANII ALIKUWA ANANITAZAMA MIMI

Ойын-сауық

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 28

  • @asiaasia1069
    @asiaasia1069 Жыл бұрын

    Hakika Mungu akukuzie kipaji chako na penye zito afanye kuwa mepesi halingi wala hajisikii wakawaida lakini nyimbo zake nzuri na zinaeleweka🔥🔥🔥👏👏👏👏👏

  • @ismailmatari3889
    @ismailmatari3889 Жыл бұрын

    bro ulifanya makosa sana kupumzika game 2010 ambayo ulikua wa moto kuna mwehu mmoja hivi aliibuka na kufanya mziki kazi alikua na shida sana ila nyie mlifanya mzika mzuri na mkafanya burudani ila for now game imebadilika but kaza bro keki yako ipo.

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 Жыл бұрын

    Mm ni mkenya huyu ndio alifanya nikuwe na Tanzanian boyfriend i just love him na his songs ❤❤pia my Tz hubby I love you so much ❤ my love 💓 💘

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 Жыл бұрын

    Mpole sana brother Marlow

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    Marlaw mda kwel welcome again

  • @ernestbiseko1608
    @ernestbiseko1608 Жыл бұрын

    Kama nakumbuka vyema bro ndio alituibulia mtindo wa kucheza "kiduku" kibodaboda.

  • @asiaasia1069

    @asiaasia1069

    Жыл бұрын

    Ndio niliangukaga mimi kwenye ile nimechoka kupiga honi pipii mpaka na leo nakovu kwenye goti la wimbo wa huyu @marlow much lisp ECT anko❤❤❤❤❤

  • @njungedennis8227
    @njungedennis8227 Жыл бұрын

    Nairobi we appreciate you all days bro

  • @benedictinestory1454
    @benedictinestory1454 Жыл бұрын

    Nakukubali sana brow malow

  • @mohamedmwinjuma
    @mohamedmwinjuma Жыл бұрын

    Usalama wa taifa huyo ukimuona mpole lakini mtu wa sistym huyo Marlow

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Жыл бұрын

    Daaah, noma 👊

  • @davidosodo548
    @davidosodo548 Жыл бұрын

    MarLaw Ma-sheria 🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @martinmwai1853
    @martinmwai1853 Жыл бұрын

    Marlaw the legend

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын

    The true legend 💓💓💓

  • @mohamednamungu4113
    @mohamednamungu4113 Жыл бұрын

    Legend

  • @majidy_og1
    @majidy_og1 Жыл бұрын

    Hakika umenikumbusha mbali Sana mzee baba lud kwenye gem

  • @ernestbiseko1608
    @ernestbiseko1608 Жыл бұрын

    Sauti yake haihitaji makompyuta kuing'arisha. Tungo zake ni moto. Tunakukosa sana

  • @abdulzanzibar7154
    @abdulzanzibar7154 Жыл бұрын

    Unaweza Sana Marlow

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Жыл бұрын

    Bro usikubari kupumzika maisha mapumziko yapo mbinguni

  • @frankvianey2438

    @frankvianey2438

    Жыл бұрын

    Kabisa asee,huyu jamaa ana kipaj sana inabid akiendeleze atafanikiwa sana

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Жыл бұрын

    Kurudi tena aiwezekani,kishaliacha gemu ndo imetoka hiyo.

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Жыл бұрын

    Hii ndo tunaita “Talented “kwa maana P Funk alikuwa hana time ya Auto tune

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai7303 Жыл бұрын

    Kwenye intro mpuuzi anatuambia eti Marlaw atafafanua kuhusu wimbo wa rita lakini maswali yenyewe tofauti na intro aliyotupa

  • @lewishamadi6008
    @lewishamadi60084 ай бұрын

    Uko wapi bro

  • @deevon3364
    @deevon3364 Жыл бұрын

    Mzee malima tunakuhitaji sanaaa

  • @emmanuelmeena6542
    @emmanuelmeena6542 Жыл бұрын

    Marlow now game umebadilika utawezaa father 🤔. Vijana wamotoo ckuiz

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Жыл бұрын

    Umri umekwenda sounds like too late for now but let’s see n wait

  • @jebbymnyama2379
    @jebbymnyama2379 Жыл бұрын

    Legend

Келесі