MARLAW : NILIACHA KUFANYA MUZIKI MWAKA 2010, KILA MSANII ALIKUWA ANANITAZAMA MIMI
Ойын-сауық
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 28
Hakika Mungu akukuzie kipaji chako na penye zito afanye kuwa mepesi halingi wala hajisikii wakawaida lakini nyimbo zake nzuri na zinaeleweka🔥🔥🔥👏👏👏👏👏
bro ulifanya makosa sana kupumzika game 2010 ambayo ulikua wa moto kuna mwehu mmoja hivi aliibuka na kufanya mziki kazi alikua na shida sana ila nyie mlifanya mzika mzuri na mkafanya burudani ila for now game imebadilika but kaza bro keki yako ipo.
Mm ni mkenya huyu ndio alifanya nikuwe na Tanzanian boyfriend i just love him na his songs ❤❤pia my Tz hubby I love you so much ❤ my love 💓 💘
Mpole sana brother Marlow
Marlaw mda kwel welcome again
Kama nakumbuka vyema bro ndio alituibulia mtindo wa kucheza "kiduku" kibodaboda.
@asiaasia1069
Жыл бұрын
Ndio niliangukaga mimi kwenye ile nimechoka kupiga honi pipii mpaka na leo nakovu kwenye goti la wimbo wa huyu @marlow much lisp ECT anko❤❤❤❤❤
Nairobi we appreciate you all days bro
Nakukubali sana brow malow
Usalama wa taifa huyo ukimuona mpole lakini mtu wa sistym huyo Marlow
Daaah, noma 👊
MarLaw Ma-sheria 🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Marlaw the legend
The true legend 💓💓💓
Legend
Hakika umenikumbusha mbali Sana mzee baba lud kwenye gem
Sauti yake haihitaji makompyuta kuing'arisha. Tungo zake ni moto. Tunakukosa sana
Unaweza Sana Marlow
Bro usikubari kupumzika maisha mapumziko yapo mbinguni
@frankvianey2438
Жыл бұрын
Kabisa asee,huyu jamaa ana kipaj sana inabid akiendeleze atafanikiwa sana
Kurudi tena aiwezekani,kishaliacha gemu ndo imetoka hiyo.
Hii ndo tunaita “Talented “kwa maana P Funk alikuwa hana time ya Auto tune
Kwenye intro mpuuzi anatuambia eti Marlaw atafafanua kuhusu wimbo wa rita lakini maswali yenyewe tofauti na intro aliyotupa
Uko wapi bro
Mzee malima tunakuhitaji sanaaa
Marlow now game umebadilika utawezaa father 🤔. Vijana wamotoo ckuiz
Umri umekwenda sounds like too late for now but let’s see n wait
Legend