Vitu muhimu vya kuzingatia kabla ya ujenzi wa nyumba yako | Ushauri wa mafundi
Ойын-сауық
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 77
Kamera man uwe mbunifu sio unachukuwa picha waongeaji tunaitaji tuone mandhari ya kinachoongelewa
@rosemachui8949
Жыл бұрын
Kwel kabisa anaboa kinoma
Fund uko vzr sana ,,unautendea haki ujuz wako piga kelele kwa fund akeeeeee weweeeeeeee
Masha Allah
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
Asante sana fundi kwa maelezo yako mazuri
Fundi umeelezea vizuri sana your verry good
Mashallah fundi
Shabah. Namb
Nzuri sana fundi mzuri sana
Nimekuelewa fundi asante
Nimependa sana fundi anajuwa kuelezea vizur namm nahitaji nijifunze zaidi nakupata vp
Nimekupenda fundi
Dada nisaidie namba ya fundi Shabani tafadhali
Nambari ya shabani tafadhali
Shabani siuje malindi kenya tuna tafuta fundi mzuri kama wewe. Uko na kazi nzuri sana
@fatmaathman8214
2 жыл бұрын
Kabsa hta mm natafuta fundi mzuri walalh huku malindi
@user-ng6yt2od7l
2 жыл бұрын
Tumlete huyu fundi
@VickKulekana-si1ib
6 ай бұрын
Ata Mimi Fatma natafuta fundi Kama uyu ndio wanasemaga hivyo Cha muhimu bolesha msingi
@VickKulekana-si1ib
6 ай бұрын
Ndio madilisha makubwa yanapendezesha nyumba
@VickKulekana-si1ib
6 ай бұрын
Stepu za kibaraza napenda na mawe napenda yanapendezesha
Namba zenu
Dada yake mi nakubali sana
Kazi zuri naomba namba ya fundi.
East Africa naomba number y hyo fundi please
Me nilikua naomba nijiunge na ao mafund naomba mawasiliano nae😮😮
Habari naomba no ya fundi
1:01 sawa
Number za fundi
Ndio fundi ana maelekezo mazur
Number please ya fundi
Compun gan hii
Namba ya fundi
Thamani ya nyumba mxingi
Madirisha mazuri ningapi kwangapi
Naomba namba ya fundi shabani
hata mm naomba namba ya fundi tafadhal
Namba za fundi jamani
Nwombw number ya Fundi Shanabi jamani
Weka na namba ya fundi
Mbona hamkuweka namba za cm nataka kujengewa na mimi niko kenya lkn
Nilikuwa nakipendaga ichi kipindi
Mimi pia naomba number ya fundi shebani
Dah fundi tunakupataje?
Fundi sheby nimekuelewa
Fundi weka namba tunataka tujenge
Do mm naomba msaada hv mwonekana wa nyumba ya million 15 ukoje
Yaonekanamkoghali
Na fundi shabani ani saidiye na plans sababu na mimi na tarajiya kuanza majengo.
@zayr4691
2 жыл бұрын
Me nataka namb ya fundi
@maryamiddy9167
Жыл бұрын
Ikonarumngapi
nitumieni mamb ya fundi
Naomba kila vídeo ya ujez naomba
@melkizedekkessy1280
2 жыл бұрын
Munitumie namm nifundi ujez pia nakuwa najifuza vitu
Fundi shabani unatafutwa
Mkuu, kiwanja kipo sehemu tambarare msingi kozi 5 za nini kaka?? Hizo ni gharama zisizo za lazma brother, hapo sio ushauri..yaani kisa muonekano uingie gharama ya msingi kama unajenga kilimani?? Hamna haja ya kozi 5 kwenye kiwanja tambarare kaka, usifanye watu waogope kujenga..
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Huyo amekariri
Tutumie namba ya fundi shabani
Mshindwe nyie tuu kumuita fundi
Namba yako tafadhal
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Mashaalah
Kuna kitu nmepata hapa
Kwaujenzi Bora imara na mafundi bora tucheki tupo dar0766587867
Ni fundi mzuri sana unastahili pongez kabisa
Nyumbanzuri jamani inahuzwa?
@fetychina3273
3 жыл бұрын
😀😀
@rogerlitamwe2948
3 жыл бұрын
Shabbani vp kurasini
Nz
@catherinemasasi8667
2 жыл бұрын
Naonba no ya fundi shabani.
@natanaelamarcel1271
2 жыл бұрын
Unajenga sehemu nyingine ukiitwa zaidi ya Dar kaka Shabani?
Toeni number ya huyo Fundi!
Naomba number pls
@maxkletusmunyuku1922
Жыл бұрын
Wewe kama Huna uwezo wa kozi tano hizo jenga unavyoweza hajakulazimisha.
Namba ya fundi tafadhali