Mansour Himid awashukia CCM, asema hata wakisema wanawawe si raia, mapambano bado yataendelea

"Hatutanii tunasema tunaitaka nchi yetu, hatupumui mpaka tuhakikishe tunakizika Chama cha Mapinduzi"
Mansour Yussuf Himid
Mjumbe wa Kamati Kuu @ACTwazalendo

Пікірлер: 5

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n18 күн бұрын

    Ndio baba tunakupenda sana kiongozi wetu mansur

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866Ай бұрын

    kaka ulikula Hela chafu sana kule ccM na leo unajifanya kusahau lakini badi tupo hatujasahau

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tubeАй бұрын

    Duh uchaguz ujao una shida

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866Ай бұрын

    Ni kweli kauza nyumba na kaburi la Baba yake jamani?

  • @hamadmaliki0029
    @hamadmaliki0029Ай бұрын

    Uyu jamaa kafanana sana na Almarkhuum, tunaomba uyu jamaa asimamishwe 2025, pls

Келесі