Mansour Himid awashukia CCM, asema hata wakisema wanawawe si raia, mapambano bado yataendelea
"Hatutanii tunasema tunaitaka nchi yetu, hatupumui mpaka tuhakikishe tunakizika Chama cha Mapinduzi"
Mansour Yussuf Himid
Mjumbe wa Kamati Kuu @ACTwazalendo
Пікірлер: 5
Ndio baba tunakupenda sana kiongozi wetu mansur
kaka ulikula Hela chafu sana kule ccM na leo unajifanya kusahau lakini badi tupo hatujasahau
Duh uchaguz ujao una shida
Ni kweli kauza nyumba na kaburi la Baba yake jamani?
Uyu jamaa kafanana sana na Almarkhuum, tunaomba uyu jamaa asimamishwe 2025, pls