Wanaoangalia hii baada ya Manara kutoka Simba Tujuane kwa Like
@abdulazizmwipi9295
2 жыл бұрын
Tupo
@hashimjumanne37793 жыл бұрын
Allah awape maisha mareee team simbaa woooooote simba baba laoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤😘😘😘😘😘😘🙏🙏🙏🙏❤❤💪💪💯💯💯
@boramilanzi938
3 жыл бұрын
Gg
@muhammadfadhil98352 жыл бұрын
Hahahahahahahaha watu wana vitu ndani ulimi vina hatari kweli kweli.
@actionscene47532 жыл бұрын
Kwa hapa Haji ulimfichia MO ila juzi ndio umemwaga ugali
@dicksonmwita9263
2 жыл бұрын
Hahahahaaaaa
@darkplatnum90062 жыл бұрын
Nan anaaangalia hii interview kipind hiki cha mambo kuvulugika
@tanzaniatouristsattraction1622
2 жыл бұрын
Hahaha binadamu sie
@godfreymasele8853
2 жыл бұрын
Haji manara mnafiki sana mssahili huyu
@reubenismail36723 жыл бұрын
Mo mungu atakulipa maana unaupendo Sana pia nasi tunakupenda Sana!pia mond nampenda sana!mungu awape maisha marefu!Simba mbele daima
@rizikiidd2631
2 жыл бұрын
Mungu akuongezee zaido
@user-gp4tk4yc9n8 ай бұрын
Bado haujasema manara yaani mpaka usemeeeee😂😂😂😂
@sundaymwanga21742 жыл бұрын
Mmmmmmmhhh nyoooo
@mbaroukrashid62012 жыл бұрын
Mimi naangalia ,sasa manara kumbe uliwahi kumsifia mo kiasi hichi
@kheryonlinetv2922 жыл бұрын
Kumbe yalikuwa maneno ya kinafiki tu , Mwamwediiiiiiiiii
@mbozeevanc43253 жыл бұрын
Moo unaupendo nakila mtu mungu akubarik Boss
@musakiangio86193 жыл бұрын
Huyu MOO...DEWJ, ALLAH ambariki sana wapo matajir tz wanaona kabisa baadhi ya familia zina hali ngumu kimaisha lkn wanchykulia poa ila huyu jamaa anaguswa sna na familia nyonge. Mtu kama huyu ALLAH haachi kumpa GOD BLESS YOU BRO🙏🙏🙏
@bestnasomgeveke22443 жыл бұрын
Waaaaaaoooooooooooooo,Mo,wasafi juuuuuuuu
@angelmalavanu97232 жыл бұрын
Huyu haji manara hajielewi
@benedictojanuary52223 жыл бұрын
Asee Haji Mimi mwanasimba na nakukubali sana hupaswi kuacha piga kazi
@augustinomwamasinga22003 жыл бұрын
Mimi naona Haji Manara aje astaafu usemaji akiwa na umri wa miaka 70
@abubakarimsebenge2592
3 жыл бұрын
Mpak afe maana akizeeka ndio maneno yanaongezeka
@RioIpo
3 жыл бұрын
Mie sitaki asaa aje msemaji mwengine
@eliahmunna14822 жыл бұрын
Honger hongereni sana , hii ndiyo Simba , Manara kazi iendelee
@papaamasauti5964
2 жыл бұрын
Umekoment ila ulikua hii vedio iliwekwa lini?
@jumakapilima56743 жыл бұрын
"Unaweza ukazaliwa mtu lakini ukawa sio binadamu "- ( Haji Manara)
@fatmafeisal43282 жыл бұрын
Haya maneno inakuwaje sasa ????? Leo hii anamuanika MO
@octavian542 жыл бұрын
😂😂Mbona leo hutaki awe maarufuu
@charleshabibutz23582 жыл бұрын
Nice MO
@salehsuleiman12183 жыл бұрын
MO MO MO MO MO MO NO MORE THAN U MO. Manara oye Simba oye
@muhamedjaffar81483 жыл бұрын
Alhamdulillah kusikia uko poa ndugu,Allah akusimamie na akupe nguv zaid kuipigania brand ,nguv moja daima
@tajiringoiva8791
2 жыл бұрын
Manara anasepa
@ramadhanimushi97273 жыл бұрын
Safi sanaaaa boss wetu mungu akupe maisha na zaidi
@hussenissa5092
3 жыл бұрын
Ww unasema,wahindi wana,roho mbaya,ww kwenye family yako umewasaidia,akina,nani acha,uchoko ww
@vitukotv4473 жыл бұрын
Namuona simba
@habibasallah81393 жыл бұрын
Mashaallah tuna wapenda
@charlesmwandenuka79862 жыл бұрын
Nakuelewa sana haji manara... Mo dewiji kweli Upo ju sana Unatakiwa kuwa hivyo ili hata pepo inakusubuli siku utakapo chukuliwa na mungu.... ......simba inapaswa kuwepo milele
@salumungaunga36303 жыл бұрын
Mo 🔥🔥🔥
@reubenkissinga58022 жыл бұрын
Dunia inaenda kasi mnoo,,kwa sasa hawapatani tena ni maadui haswaa kmmmkeee!!!Daahh!!🙌🙌
@missangela6720
2 жыл бұрын
Kwa hisani ya Barbra Gonzalez
@missangela6720
2 жыл бұрын
Kwa hisani ya Barbra Gonzalez
@pendomhawi2373 жыл бұрын
Tunakupendaaa
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Moo ni mtu mmoja muelewa sn
@azizaayoub84873 жыл бұрын
Wakwanza leo😂😂😂😂😂😂
@edwardmassawe51162 жыл бұрын
Sasa unaweza kugundua manara mlia tumbo na mnafki
@sngrafx80002 жыл бұрын
Mmmh
@saidsuleiman17532 жыл бұрын
Hapa ndio utajua binadamu ni kiumbe hatari. sana, Haji anampamba Mo kupita maelezo leo hii Haji kabadilisha maneno kwa Dewji hana utu dah.
@papaamasauti5964
2 жыл бұрын
Maisha kubadilika broo
@missangela6720
2 жыл бұрын
Barbra hahahahaha
@sulemponra69012 жыл бұрын
Nani anangalia hii baada ya manara kuondoka
@emmyarestarcki34312 жыл бұрын
Asanteeee manara tunakupenda xana
@abdiabdi42992 жыл бұрын
Mo Ni mtu mwenye utu
@zainabthimis40253 жыл бұрын
Daaa pole sana Bosi uliia
@eliudibrahim30583 жыл бұрын
Mo longlife bro
@hamudseif3 жыл бұрын
Mondi ajui chchote kwenye mpira anaitikia tu apo 😂😂 apo ongelea mziki atakuelewa
@josephjoh8260
3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@penuelyjulius1173
3 жыл бұрын
Ht mm naon anaitika2
@veredianavenance2901 Жыл бұрын
Mo tajiri wetu wa simba
@sabihimnyetuka71782 жыл бұрын
Zilipendwa nazinakiki had leo
@njamamwalimu28082 жыл бұрын
Haji njaa
@nichorasandrew27703 жыл бұрын
Mo👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
@marcomasunga8986
3 жыл бұрын
Za siku
@faisalswalehe59912 жыл бұрын
Dah
@dullybrown36353 жыл бұрын
Hiyi ndo simba,kwetu upendo ndo mali.Mapenzi yangu ya simba yanazidi kuengezeka kila kukicha.Big up sana
@mathayomalolo1071
2 жыл бұрын
p
@mathayomalolo1071
2 жыл бұрын
pppp
@costantfaliala38423 жыл бұрын
Simba juu 🦁
@musanyuka32143 жыл бұрын
Vizuri MO
@mutalemwagabrie97913 жыл бұрын
Ahaaaa, nimekuelewa MO🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@erickthegreat18872 жыл бұрын
Kumbe hili ka umaarufu lilianza zamani,
@AdamHMoshi3 жыл бұрын
Kwa nini Manara anamuongelea Mo Kama mtu wa tatu 😁
@annamushi123
2 жыл бұрын
Kwan we unataka axeamaje
@mamutz73203 жыл бұрын
Safi bossi
@loishiyesamwel13742 жыл бұрын
Binadamu ni kiumbe hatari sana, huwezi kuamini kama Manara anayoyaongea leo aliwahi kutendewa Mema na Mo, Siijui Imani yake anavyoamini lkn inatia shaka, hata hao Yanga wawe makini nae. Inaelekea ni mtu asie na aibu ktk maisha yake, Watu wa aina hii ni hatari sana
@kidjhdf75683 жыл бұрын
Jaman mwenzenu nipo saudia hadi naona mambo yananipita
@ramadhanimushi97273 жыл бұрын
Tupo nyuma yako boss wetu
@clustermqsir98402 жыл бұрын
Diamond anavyoitikia kama mwanamichezo vile
@vitukotv4473 жыл бұрын
Safi mo
@allymisanya2 жыл бұрын
Duuuuuuh haya maisha yanaend kasi sana kwakwel eti leo haji na Mo hawaendan daaah,,,,!!!!
@suleimanabdillah74902 жыл бұрын
Babraa anaonekana nyuma as hana Raha kvilee
@nachiamussa99983 жыл бұрын
Nmependa iyo wana msimbazii
@veredianavenance2901 Жыл бұрын
Mo tajiri
@michaelcellbaba48532 жыл бұрын
Du kula tapishi baba
@donaldmwakasasa20643 жыл бұрын
sema manara maana wengi hawajui hasa utoporo
@munaahmed84992 жыл бұрын
Nimekuja hapa baada ya vurumati ktk mitandao jmn nani alokuja kwa ajili hiyo kam mie? Gonga like japo 10 jmn sijawahi pata hata 2 leo nawambaa
@sadamissa56873 жыл бұрын
Wapiliii mwamedi kaongea pwenti sana huyu jamaa
@nassorsalehsalum97362 жыл бұрын
Sasa mbona jamaa hapo hamuumpi choice na yeye aongee @diamond platinumz
@bakariabdala23092 жыл бұрын
Mo nimmoja tuu
@nasrimohamed75562 жыл бұрын
Enzi hzo
@ndagiletv5212 жыл бұрын
Naona nyuma yupo mchepuko barbra
@saidymohamedy72892 жыл бұрын
MANALA RUDIA HIII VIDEO ITAKUTOWA MACHOZI
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Ikiwa tajili mkubwa anajitolea Hy yote na kujishusha Chini ili awe swwa na masikini ww masikini Nani hs HD uvimbe
@ufugajiwetu77823 жыл бұрын
Mooo Ni, 🔥
@hajishabani79303 жыл бұрын
This is next level
@johnsiria1633
2 жыл бұрын
Taiko
@johnsiria1633
2 жыл бұрын
Taiko lukas
@jmusic96272 жыл бұрын
Simba juu young mtakubar tu
@octavianfranc13843 жыл бұрын
Simba sport Club baba lao
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Tunajifunza jambo kubwa la umuhimu wa kuweka akiba ya maneno katika kuzungumza!
@uwesusaid97643 жыл бұрын
Naaam mwamedi
@jumaramadhan95042 жыл бұрын
Haji usituzarau Sana mambo madogo tu
@azizamihungo96592 жыл бұрын
Huyu Manara Ni mnafki Sana nyoo!Maneno yako mwenyez yatakuhukumu
@charlesamonikaunda50332 жыл бұрын
Hapo ndo ujuwe hela ni mzizi wa shetani Jana manara kasema mo anarombaya kkkkkkkkkkk
@ndagiletv5212 жыл бұрын
Apa alikuwa anaficha...
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
WAISLM WANASEMA ALAMA ZA MNAFIKI NI 3.., HUYU BWANA ANAJUA VIZUR, ATAFAKAR..
@jumaramadhan95042 жыл бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli
@jmusic96272 жыл бұрын
Ha ha ha haaa
@theresiateddimboya10792 жыл бұрын
Daymondi unaakili nyingi hawa walikuwa na tofaut nahizi kwa akili yangu asante kwa kuondowa tofaut zao
@kishingokishingo1840
2 жыл бұрын
Yazamani sana
@kabumbabarongo7873 жыл бұрын
Haji manara una shukrani tulipokuchangia hauna fedha mbona umeshasahau? Acha unafiki
@Commentsplus2 жыл бұрын
Kwa interview hii haji ulipaswa utunze akiba ya maneno
@issaiddi32613 жыл бұрын
Hatari wataendelea kusubiri
@octavian542 жыл бұрын
Sawa leo kimeumanaaa
@abdulazizmwipi9295
2 жыл бұрын
Kwa hisan ya barbra
@jonathanzacharia33222 жыл бұрын
Duuh
@mawereremawe11712 жыл бұрын
Siri ya ndoa chumbani alivujisha kwa mara ya kwanza sauti ndie msaliti.
@jumaramadhan95042 жыл бұрын
Kumbe munafiki manara
@ndagiletv5212 жыл бұрын
Boss mswahili....mo
@busungujohn44102 жыл бұрын
Najua huo ulikuwa mchezo wakumuua mtani ,,ww manala
@adelaidehumay94093 жыл бұрын
Unajua
@subrynerysegerow13233 жыл бұрын
"Heshima utu na kumthamini mtu ni muhimu sana awe maskini awe tajiri "Mo Dewji
Пікірлер: 154
Wanaoangalia hii baada ya Manara kutoka Simba Tujuane kwa Like
@abdulazizmwipi9295
2 жыл бұрын
Tupo
Allah awape maisha mareee team simbaa woooooote simba baba laoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤😘😘😘😘😘😘🙏🙏🙏🙏❤❤💪💪💯💯💯
@boramilanzi938
3 жыл бұрын
Gg
Hahahahahahahaha watu wana vitu ndani ulimi vina hatari kweli kweli.
Kwa hapa Haji ulimfichia MO ila juzi ndio umemwaga ugali
@dicksonmwita9263
2 жыл бұрын
Hahahahaaaaa
Nan anaaangalia hii interview kipind hiki cha mambo kuvulugika
@tanzaniatouristsattraction1622
2 жыл бұрын
Hahaha binadamu sie
@godfreymasele8853
2 жыл бұрын
Haji manara mnafiki sana mssahili huyu
Mo mungu atakulipa maana unaupendo Sana pia nasi tunakupenda Sana!pia mond nampenda sana!mungu awape maisha marefu!Simba mbele daima
@rizikiidd2631
2 жыл бұрын
Mungu akuongezee zaido
Bado haujasema manara yaani mpaka usemeeeee😂😂😂😂
Mmmmmmmhhh nyoooo
Mimi naangalia ,sasa manara kumbe uliwahi kumsifia mo kiasi hichi
Kumbe yalikuwa maneno ya kinafiki tu , Mwamwediiiiiiiiii
Moo unaupendo nakila mtu mungu akubarik Boss
Huyu MOO...DEWJ, ALLAH ambariki sana wapo matajir tz wanaona kabisa baadhi ya familia zina hali ngumu kimaisha lkn wanchykulia poa ila huyu jamaa anaguswa sna na familia nyonge. Mtu kama huyu ALLAH haachi kumpa GOD BLESS YOU BRO🙏🙏🙏
Waaaaaaoooooooooooooo,Mo,wasafi juuuuuuuu
Huyu haji manara hajielewi
Asee Haji Mimi mwanasimba na nakukubali sana hupaswi kuacha piga kazi
Mimi naona Haji Manara aje astaafu usemaji akiwa na umri wa miaka 70
@abubakarimsebenge2592
3 жыл бұрын
Mpak afe maana akizeeka ndio maneno yanaongezeka
@RioIpo
3 жыл бұрын
Mie sitaki asaa aje msemaji mwengine
Honger hongereni sana , hii ndiyo Simba , Manara kazi iendelee
@papaamasauti5964
2 жыл бұрын
Umekoment ila ulikua hii vedio iliwekwa lini?
"Unaweza ukazaliwa mtu lakini ukawa sio binadamu "- ( Haji Manara)
Haya maneno inakuwaje sasa ????? Leo hii anamuanika MO
😂😂Mbona leo hutaki awe maarufuu
Nice MO
MO MO MO MO MO MO NO MORE THAN U MO. Manara oye Simba oye
Alhamdulillah kusikia uko poa ndugu,Allah akusimamie na akupe nguv zaid kuipigania brand ,nguv moja daima
@tajiringoiva8791
2 жыл бұрын
Manara anasepa
Safi sanaaaa boss wetu mungu akupe maisha na zaidi
@hussenissa5092
3 жыл бұрын
Ww unasema,wahindi wana,roho mbaya,ww kwenye family yako umewasaidia,akina,nani acha,uchoko ww
Namuona simba
Mashaallah tuna wapenda
Nakuelewa sana haji manara... Mo dewiji kweli Upo ju sana Unatakiwa kuwa hivyo ili hata pepo inakusubuli siku utakapo chukuliwa na mungu.... ......simba inapaswa kuwepo milele
Mo 🔥🔥🔥
Dunia inaenda kasi mnoo,,kwa sasa hawapatani tena ni maadui haswaa kmmmkeee!!!Daahh!!🙌🙌
@missangela6720
2 жыл бұрын
Kwa hisani ya Barbra Gonzalez
@missangela6720
2 жыл бұрын
Kwa hisani ya Barbra Gonzalez
Tunakupendaaa
Moo ni mtu mmoja muelewa sn
Wakwanza leo😂😂😂😂😂😂
Sasa unaweza kugundua manara mlia tumbo na mnafki
Mmmh
Hapa ndio utajua binadamu ni kiumbe hatari. sana, Haji anampamba Mo kupita maelezo leo hii Haji kabadilisha maneno kwa Dewji hana utu dah.
@papaamasauti5964
2 жыл бұрын
Maisha kubadilika broo
@missangela6720
2 жыл бұрын
Barbra hahahahaha
Nani anangalia hii baada ya manara kuondoka
Asanteeee manara tunakupenda xana
Mo Ni mtu mwenye utu
Daaa pole sana Bosi uliia
Mo longlife bro
Mondi ajui chchote kwenye mpira anaitikia tu apo 😂😂 apo ongelea mziki atakuelewa
@josephjoh8260
3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@penuelyjulius1173
3 жыл бұрын
Ht mm naon anaitika2
Mo tajiri wetu wa simba
Zilipendwa nazinakiki had leo
Haji njaa
Mo👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
@marcomasunga8986
3 жыл бұрын
Za siku
Dah
Hiyi ndo simba,kwetu upendo ndo mali.Mapenzi yangu ya simba yanazidi kuengezeka kila kukicha.Big up sana
@mathayomalolo1071
2 жыл бұрын
p
@mathayomalolo1071
2 жыл бұрын
pppp
Simba juu 🦁
Vizuri MO
Ahaaaa, nimekuelewa MO🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kumbe hili ka umaarufu lilianza zamani,
Kwa nini Manara anamuongelea Mo Kama mtu wa tatu 😁
@annamushi123
2 жыл бұрын
Kwan we unataka axeamaje
Safi bossi
Binadamu ni kiumbe hatari sana, huwezi kuamini kama Manara anayoyaongea leo aliwahi kutendewa Mema na Mo, Siijui Imani yake anavyoamini lkn inatia shaka, hata hao Yanga wawe makini nae. Inaelekea ni mtu asie na aibu ktk maisha yake, Watu wa aina hii ni hatari sana
Jaman mwenzenu nipo saudia hadi naona mambo yananipita
Tupo nyuma yako boss wetu
Diamond anavyoitikia kama mwanamichezo vile
Safi mo
Duuuuuuh haya maisha yanaend kasi sana kwakwel eti leo haji na Mo hawaendan daaah,,,,!!!!
Babraa anaonekana nyuma as hana Raha kvilee
Nmependa iyo wana msimbazii
Mo tajiri
Du kula tapishi baba
sema manara maana wengi hawajui hasa utoporo
Nimekuja hapa baada ya vurumati ktk mitandao jmn nani alokuja kwa ajili hiyo kam mie? Gonga like japo 10 jmn sijawahi pata hata 2 leo nawambaa
Wapiliii mwamedi kaongea pwenti sana huyu jamaa
Sasa mbona jamaa hapo hamuumpi choice na yeye aongee @diamond platinumz
Mo nimmoja tuu
Enzi hzo
Naona nyuma yupo mchepuko barbra
MANALA RUDIA HIII VIDEO ITAKUTOWA MACHOZI
Ikiwa tajili mkubwa anajitolea Hy yote na kujishusha Chini ili awe swwa na masikini ww masikini Nani hs HD uvimbe
Mooo Ni, 🔥
This is next level
@johnsiria1633
2 жыл бұрын
Taiko
@johnsiria1633
2 жыл бұрын
Taiko lukas
Simba juu young mtakubar tu
Simba sport Club baba lao
Tunajifunza jambo kubwa la umuhimu wa kuweka akiba ya maneno katika kuzungumza!
Naaam mwamedi
Haji usituzarau Sana mambo madogo tu
Huyu Manara Ni mnafki Sana nyoo!Maneno yako mwenyez yatakuhukumu
Hapo ndo ujuwe hela ni mzizi wa shetani Jana manara kasema mo anarombaya kkkkkkkkkkk
Apa alikuwa anaficha...
WAISLM WANASEMA ALAMA ZA MNAFIKI NI 3.., HUYU BWANA ANAJUA VIZUR, ATAFAKAR..
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Ha ha ha haaa
Daymondi unaakili nyingi hawa walikuwa na tofaut nahizi kwa akili yangu asante kwa kuondowa tofaut zao
@kishingokishingo1840
2 жыл бұрын
Yazamani sana
Haji manara una shukrani tulipokuchangia hauna fedha mbona umeshasahau? Acha unafiki
Kwa interview hii haji ulipaswa utunze akiba ya maneno
Hatari wataendelea kusubiri
Sawa leo kimeumanaaa
@abdulazizmwipi9295
2 жыл бұрын
Kwa hisan ya barbra
Duuh
Siri ya ndoa chumbani alivujisha kwa mara ya kwanza sauti ndie msaliti.
Kumbe munafiki manara
Boss mswahili....mo
Najua huo ulikuwa mchezo wakumuua mtani ,,ww manala
Unajua
"Heshima utu na kumthamini mtu ni muhimu sana awe maskini awe tajiri "Mo Dewji
Tuliorud tujuane
Jmn raa sn
Huo ndo unafki sasa uliopitiliza