MANARA : SIIACHI SIMBA KAMWE/ NIMEUMWA WAMEOKOA MAISHA YANGU/ MO ANA UTU SANA

Ойын-сауық

Пікірлер: 154

  • @chambotz9352
    @chambotz93522 жыл бұрын

    Wanaoangalia hii baada ya Manara kutoka Simba Tujuane kwa Like

  • @abdulazizmwipi9295

    @abdulazizmwipi9295

    2 жыл бұрын

    Tupo

  • @hashimjumanne3779
    @hashimjumanne37793 жыл бұрын

    Allah awape maisha mareee team simbaa woooooote simba baba laoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤😘😘😘😘😘😘🙏🙏🙏🙏❤❤💪💪💯💯💯

  • @boramilanzi938

    @boramilanzi938

    3 жыл бұрын

    Gg

  • @muhammadfadhil9835
    @muhammadfadhil98352 жыл бұрын

    Hahahahahahahaha watu wana vitu ndani ulimi vina hatari kweli kweli.

  • @actionscene4753
    @actionscene47532 жыл бұрын

    Kwa hapa Haji ulimfichia MO ila juzi ndio umemwaga ugali

  • @dicksonmwita9263

    @dicksonmwita9263

    2 жыл бұрын

    Hahahahaaaaa

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum90062 жыл бұрын

    Nan anaaangalia hii interview kipind hiki cha mambo kuvulugika

  • @tanzaniatouristsattraction1622

    @tanzaniatouristsattraction1622

    2 жыл бұрын

    Hahaha binadamu sie

  • @godfreymasele8853

    @godfreymasele8853

    2 жыл бұрын

    Haji manara mnafiki sana mssahili huyu

  • @reubenismail3672
    @reubenismail36723 жыл бұрын

    Mo mungu atakulipa maana unaupendo Sana pia nasi tunakupenda Sana!pia mond nampenda sana!mungu awape maisha marefu!Simba mbele daima

  • @rizikiidd2631

    @rizikiidd2631

    2 жыл бұрын

    Mungu akuongezee zaido

  • @user-gp4tk4yc9n
    @user-gp4tk4yc9n8 ай бұрын

    Bado haujasema manara yaani mpaka usemeeeee😂😂😂😂

  • @sundaymwanga2174
    @sundaymwanga21742 жыл бұрын

    Mmmmmmmhhh nyoooo

  • @mbaroukrashid6201
    @mbaroukrashid62012 жыл бұрын

    Mimi naangalia ,sasa manara kumbe uliwahi kumsifia mo kiasi hichi

  • @kheryonlinetv292
    @kheryonlinetv2922 жыл бұрын

    Kumbe yalikuwa maneno ya kinafiki tu , Mwamwediiiiiiiiii

  • @mbozeevanc4325
    @mbozeevanc43253 жыл бұрын

    Moo unaupendo nakila mtu mungu akubarik Boss

  • @musakiangio8619
    @musakiangio86193 жыл бұрын

    Huyu MOO...DEWJ, ALLAH ambariki sana wapo matajir tz wanaona kabisa baadhi ya familia zina hali ngumu kimaisha lkn wanchykulia poa ila huyu jamaa anaguswa sna na familia nyonge. Mtu kama huyu ALLAH haachi kumpa GOD BLESS YOU BRO🙏🙏🙏

  • @bestnasomgeveke2244
    @bestnasomgeveke22443 жыл бұрын

    Waaaaaaoooooooooooooo,Mo,wasafi juuuuuuuu

  • @angelmalavanu9723
    @angelmalavanu97232 жыл бұрын

    Huyu haji manara hajielewi

  • @benedictojanuary5222
    @benedictojanuary52223 жыл бұрын

    Asee Haji Mimi mwanasimba na nakukubali sana hupaswi kuacha piga kazi

  • @augustinomwamasinga2200
    @augustinomwamasinga22003 жыл бұрын

    Mimi naona Haji Manara aje astaafu usemaji akiwa na umri wa miaka 70

  • @abubakarimsebenge2592

    @abubakarimsebenge2592

    3 жыл бұрын

    Mpak afe maana akizeeka ndio maneno yanaongezeka

  • @RioIpo

    @RioIpo

    3 жыл бұрын

    Mie sitaki asaa aje msemaji mwengine

  • @eliahmunna1482
    @eliahmunna14822 жыл бұрын

    Honger hongereni sana , hii ndiyo Simba , Manara kazi iendelee

  • @papaamasauti5964

    @papaamasauti5964

    2 жыл бұрын

    Umekoment ila ulikua hii vedio iliwekwa lini?

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    "Unaweza ukazaliwa mtu lakini ukawa sio binadamu "- ( Haji Manara)

  • @fatmafeisal4328
    @fatmafeisal43282 жыл бұрын

    Haya maneno inakuwaje sasa ????? Leo hii anamuanika MO

  • @octavian54
    @octavian542 жыл бұрын

    😂😂Mbona leo hutaki awe maarufuu

  • @charleshabibutz2358
    @charleshabibutz23582 жыл бұрын

    Nice MO

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12183 жыл бұрын

    MO MO MO MO MO MO NO MORE THAN U MO. Manara oye Simba oye

  • @muhamedjaffar8148
    @muhamedjaffar81483 жыл бұрын

    Alhamdulillah kusikia uko poa ndugu,Allah akusimamie na akupe nguv zaid kuipigania brand ,nguv moja daima

  • @tajiringoiva8791

    @tajiringoiva8791

    2 жыл бұрын

    Manara anasepa

  • @ramadhanimushi9727
    @ramadhanimushi97273 жыл бұрын

    Safi sanaaaa boss wetu mungu akupe maisha na zaidi

  • @hussenissa5092

    @hussenissa5092

    3 жыл бұрын

    Ww unasema,wahindi wana,roho mbaya,ww kwenye family yako umewasaidia,akina,nani acha,uchoko ww

  • @vitukotv447
    @vitukotv4473 жыл бұрын

    Namuona simba

  • @habibasallah8139
    @habibasallah81393 жыл бұрын

    Mashaallah tuna wapenda

  • @charlesmwandenuka7986
    @charlesmwandenuka79862 жыл бұрын

    Nakuelewa sana haji manara... Mo dewiji kweli Upo ju sana Unatakiwa kuwa hivyo ili hata pepo inakusubuli siku utakapo chukuliwa na mungu.... ......simba inapaswa kuwepo milele

  • @salumungaunga3630
    @salumungaunga36303 жыл бұрын

    Mo 🔥🔥🔥

  • @reubenkissinga5802
    @reubenkissinga58022 жыл бұрын

    Dunia inaenda kasi mnoo,,kwa sasa hawapatani tena ni maadui haswaa kmmmkeee!!!Daahh!!🙌🙌

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    Kwa hisani ya Barbra Gonzalez

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    Kwa hisani ya Barbra Gonzalez

  • @pendomhawi237
    @pendomhawi2373 жыл бұрын

    Tunakupendaaa

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll93633 жыл бұрын

    Moo ni mtu mmoja muelewa sn

  • @azizaayoub8487
    @azizaayoub84873 жыл бұрын

    Wakwanza leo😂😂😂😂😂😂

  • @edwardmassawe5116
    @edwardmassawe51162 жыл бұрын

    Sasa unaweza kugundua manara mlia tumbo na mnafki

  • @sngrafx8000
    @sngrafx80002 жыл бұрын

    Mmmh

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17532 жыл бұрын

    Hapa ndio utajua binadamu ni kiumbe hatari. sana, Haji anampamba Mo kupita maelezo leo hii Haji kabadilisha maneno kwa Dewji hana utu dah.

  • @papaamasauti5964

    @papaamasauti5964

    2 жыл бұрын

    Maisha kubadilika broo

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    Barbra hahahahaha

  • @sulemponra6901
    @sulemponra69012 жыл бұрын

    Nani anangalia hii baada ya manara kuondoka

  • @emmyarestarcki3431
    @emmyarestarcki34312 жыл бұрын

    Asanteeee manara tunakupenda xana

  • @abdiabdi4299
    @abdiabdi42992 жыл бұрын

    Mo Ni mtu mwenye utu

  • @zainabthimis4025
    @zainabthimis40253 жыл бұрын

    Daaa pole sana Bosi uliia

  • @eliudibrahim3058
    @eliudibrahim30583 жыл бұрын

    Mo longlife bro

  • @hamudseif
    @hamudseif3 жыл бұрын

    Mondi ajui chchote kwenye mpira anaitikia tu apo 😂😂 apo ongelea mziki atakuelewa

  • @josephjoh8260

    @josephjoh8260

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @penuelyjulius1173

    @penuelyjulius1173

    3 жыл бұрын

    Ht mm naon anaitika2

  • @veredianavenance2901
    @veredianavenance2901 Жыл бұрын

    Mo tajiri wetu wa simba

  • @sabihimnyetuka7178
    @sabihimnyetuka71782 жыл бұрын

    Zilipendwa nazinakiki had leo

  • @njamamwalimu2808
    @njamamwalimu28082 жыл бұрын

    Haji njaa

  • @nichorasandrew2770
    @nichorasandrew27703 жыл бұрын

    Mo👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿

  • @marcomasunga8986

    @marcomasunga8986

    3 жыл бұрын

    Za siku

  • @faisalswalehe5991
    @faisalswalehe59912 жыл бұрын

    Dah

  • @dullybrown3635
    @dullybrown36353 жыл бұрын

    Hiyi ndo simba,kwetu upendo ndo mali.Mapenzi yangu ya simba yanazidi kuengezeka kila kukicha.Big up sana

  • @mathayomalolo1071

    @mathayomalolo1071

    2 жыл бұрын

    p

  • @mathayomalolo1071

    @mathayomalolo1071

    2 жыл бұрын

    pppp

  • @costantfaliala3842
    @costantfaliala38423 жыл бұрын

    Simba juu 🦁

  • @musanyuka3214
    @musanyuka32143 жыл бұрын

    Vizuri MO

  • @mutalemwagabrie9791
    @mutalemwagabrie97913 жыл бұрын

    Ahaaaa, nimekuelewa MO🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @erickthegreat1887
    @erickthegreat18872 жыл бұрын

    Kumbe hili ka umaarufu lilianza zamani,

  • @AdamHMoshi
    @AdamHMoshi3 жыл бұрын

    Kwa nini Manara anamuongelea Mo Kama mtu wa tatu 😁

  • @annamushi123

    @annamushi123

    2 жыл бұрын

    Kwan we unataka axeamaje

  • @mamutz7320
    @mamutz73203 жыл бұрын

    Safi bossi

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel13742 жыл бұрын

    Binadamu ni kiumbe hatari sana, huwezi kuamini kama Manara anayoyaongea leo aliwahi kutendewa Mema na Mo, Siijui Imani yake anavyoamini lkn inatia shaka, hata hao Yanga wawe makini nae. Inaelekea ni mtu asie na aibu ktk maisha yake, Watu wa aina hii ni hatari sana

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf75683 жыл бұрын

    Jaman mwenzenu nipo saudia hadi naona mambo yananipita

  • @ramadhanimushi9727
    @ramadhanimushi97273 жыл бұрын

    Tupo nyuma yako boss wetu

  • @clustermqsir9840
    @clustermqsir98402 жыл бұрын

    Diamond anavyoitikia kama mwanamichezo vile

  • @vitukotv447
    @vitukotv4473 жыл бұрын

    Safi mo

  • @allymisanya
    @allymisanya2 жыл бұрын

    Duuuuuuh haya maisha yanaend kasi sana kwakwel eti leo haji na Mo hawaendan daaah,,,,!!!!

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah74902 жыл бұрын

    Babraa anaonekana nyuma as hana Raha kvilee

  • @nachiamussa9998
    @nachiamussa99983 жыл бұрын

    Nmependa iyo wana msimbazii

  • @veredianavenance2901
    @veredianavenance2901 Жыл бұрын

    Mo tajiri

  • @michaelcellbaba4853
    @michaelcellbaba48532 жыл бұрын

    Du kula tapishi baba

  • @donaldmwakasasa2064
    @donaldmwakasasa20643 жыл бұрын

    sema manara maana wengi hawajui hasa utoporo

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84992 жыл бұрын

    Nimekuja hapa baada ya vurumati ktk mitandao jmn nani alokuja kwa ajili hiyo kam mie? Gonga like japo 10 jmn sijawahi pata hata 2 leo nawambaa

  • @sadamissa5687
    @sadamissa56873 жыл бұрын

    Wapiliii mwamedi kaongea pwenti sana huyu jamaa

  • @nassorsalehsalum9736
    @nassorsalehsalum97362 жыл бұрын

    Sasa mbona jamaa hapo hamuumpi choice na yeye aongee @diamond platinumz

  • @bakariabdala2309
    @bakariabdala23092 жыл бұрын

    Mo nimmoja tuu

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed75562 жыл бұрын

    Enzi hzo

  • @ndagiletv521
    @ndagiletv5212 жыл бұрын

    Naona nyuma yupo mchepuko barbra

  • @saidymohamedy7289
    @saidymohamedy72892 жыл бұрын

    MANALA RUDIA HIII VIDEO ITAKUTOWA MACHOZI

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll93633 жыл бұрын

    Ikiwa tajili mkubwa anajitolea Hy yote na kujishusha Chini ili awe swwa na masikini ww masikini Nani hs HD uvimbe

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu77823 жыл бұрын

    Mooo Ni, 🔥

  • @hajishabani7930
    @hajishabani79303 жыл бұрын

    This is next level

  • @johnsiria1633

    @johnsiria1633

    2 жыл бұрын

    Taiko

  • @johnsiria1633

    @johnsiria1633

    2 жыл бұрын

    Taiko lukas

  • @jmusic9627
    @jmusic96272 жыл бұрын

    Simba juu young mtakubar tu

  • @octavianfranc1384
    @octavianfranc13843 жыл бұрын

    Simba sport Club baba lao

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56742 жыл бұрын

    Tunajifunza jambo kubwa la umuhimu wa kuweka akiba ya maneno katika kuzungumza!

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid97643 жыл бұрын

    Naaam mwamedi

  • @jumaramadhan9504
    @jumaramadhan95042 жыл бұрын

    Haji usituzarau Sana mambo madogo tu

  • @azizamihungo9659
    @azizamihungo96592 жыл бұрын

    Huyu Manara Ni mnafki Sana nyoo!Maneno yako mwenyez yatakuhukumu

  • @charlesamonikaunda5033
    @charlesamonikaunda50332 жыл бұрын

    Hapo ndo ujuwe hela ni mzizi wa shetani Jana manara kasema mo anarombaya kkkkkkkkkkk

  • @ndagiletv521
    @ndagiletv5212 жыл бұрын

    Apa alikuwa anaficha...

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab47562 жыл бұрын

    WAISLM WANASEMA ALAMA ZA MNAFIKI NI 3.., HUYU BWANA ANAJUA VIZUR, ATAFAKAR..

  • @jumaramadhan9504
    @jumaramadhan95042 жыл бұрын

    Ukweli utabaki kuwa ukweli

  • @jmusic9627
    @jmusic96272 жыл бұрын

    Ha ha ha haaa

  • @theresiateddimboya1079
    @theresiateddimboya10792 жыл бұрын

    Daymondi unaakili nyingi hawa walikuwa na tofaut nahizi kwa akili yangu asante kwa kuondowa tofaut zao

  • @kishingokishingo1840

    @kishingokishingo1840

    2 жыл бұрын

    Yazamani sana

  • @kabumbabarongo787
    @kabumbabarongo7873 жыл бұрын

    Haji manara una shukrani tulipokuchangia hauna fedha mbona umeshasahau? Acha unafiki

  • @Commentsplus
    @Commentsplus2 жыл бұрын

    Kwa interview hii haji ulipaswa utunze akiba ya maneno

  • @issaiddi3261
    @issaiddi32613 жыл бұрын

    Hatari wataendelea kusubiri

  • @octavian54
    @octavian542 жыл бұрын

    Sawa leo kimeumanaaa

  • @abdulazizmwipi9295

    @abdulazizmwipi9295

    2 жыл бұрын

    Kwa hisan ya barbra

  • @jonathanzacharia3322
    @jonathanzacharia33222 жыл бұрын

    Duuh

  • @mawereremawe1171
    @mawereremawe11712 жыл бұрын

    Siri ya ndoa chumbani alivujisha kwa mara ya kwanza sauti ndie msaliti.

  • @jumaramadhan9504
    @jumaramadhan95042 жыл бұрын

    Kumbe munafiki manara

  • @ndagiletv521
    @ndagiletv5212 жыл бұрын

    Boss mswahili....mo

  • @busungujohn4410
    @busungujohn44102 жыл бұрын

    Najua huo ulikuwa mchezo wakumuua mtani ,,ww manala

  • @adelaidehumay9409
    @adelaidehumay94093 жыл бұрын

    Unajua

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow13233 жыл бұрын

    "Heshima utu na kumthamini mtu ni muhimu sana awe maskini awe tajiri "Mo Dewji

  • @aronfrancis7464
    @aronfrancis74642 жыл бұрын

    Tuliorud tujuane

  • @mshahahamzmdmd5942
    @mshahahamzmdmd59422 жыл бұрын

    Jmn raa sn

  • @calebjoshua5589
    @calebjoshua55892 жыл бұрын

    Huo ndo unafki sasa uliopitiliza

Келесі