MANARA AMWAGA MCHELE WOTE HUJUMA ZILIZOMUONDOA SIMBA NA KUHAMIA YANGA

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 183

  • @fememmethod8209
    @fememmethod82092 жыл бұрын

    Wananchi tuko na wewe MANARA 💚💛💚💛💚💛💚 Piga kazi familiya Apate kula bhana Hii ni Dunia , Achana na MAKOLO

  • @allyswale8264

    @allyswale8264

    2 жыл бұрын

    Namukubali manara

  • @ramdhaniduru6335
    @ramdhaniduru63352 жыл бұрын

    Manara angalia maisha yako sasa walitaka ww ukafanye kazi gani piga kazi sisi yanga tumekukibali hayo maneno ya wanaadam uwa ayakosi mungu akuongoze ipo siku watakuelewa jenga maisha yako dogo

  • @qadinacci

    @qadinacci

    2 жыл бұрын

    Uyooo, mlikua mnakula nondo zake za kukera sana...😄😅

  • @khalidkhaild208
    @khalidkhaild2082 жыл бұрын

    Tamaaa mbaya ipo siku itakuponza tu na njia ya msaliti ni fupi sana zingatia hilo

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani32832 жыл бұрын

    Twende tuoneeeee Inn shaa Allah

  • @ramadhananzelinemlehamo5793
    @ramadhananzelinemlehamo57932 жыл бұрын

    Pamoj sana manal umelud home

  • @allensebatian4167
    @allensebatian41672 жыл бұрын

    Umejizika Mwenyewe haji hata Yanga ni wanadam huna lolote

  • @amirimohamedi392
    @amirimohamedi3922 жыл бұрын

    Haji sema Tanzania Ina Uhuru nyumbun no nyumbani kk yangaaaaa oyeeee mungu tusaidie yanga

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi19082 жыл бұрын

    Mm simba manara uko sahihi ntaendelea kukuheshim

  • @lionofjudahtv8796
    @lionofjudahtv87962 жыл бұрын

    Umependeza manala

  • @aminamwangile4020

    @aminamwangile4020

    2 жыл бұрын

    Hahahaha hahahaha hahahaha

  • @christinamsigwa151
    @christinamsigwa1512 жыл бұрын

    Katika jamhuri ya watu wa Tanzania upo huru kusema chochote manara SEMAAAA🤣🤣🤣😃

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary23832 жыл бұрын

    We dogo upo vizuri stay calm. Kitenge kelele tu.score of all times

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47342 жыл бұрын

    Kifupi nimekuelewa vzr sana watanzania tuna midomo michafu sana kwaio sishangai ayo unayoyasema hata kama ningekua mimi ningejiunga Yanga tu waache na Mo wao maisha ameyashikilia mungu peke ake sio wao wanaotafuta kama wewe wasikutishe bhana

  • @adamzakariazakaria578
    @adamzakariazakaria5782 жыл бұрын

    Uko vzr

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg2 жыл бұрын

    Haji manara umefanya vizuri kwenda yanga sasa wao mashabiki wa simba kwa nini wakutukane kwani wanakupa pesa ya kura

  • @godfreymasele8853

    @godfreymasele8853

    2 жыл бұрын

    Anatukanwa kwasababu ya usaritiiiiii tena dawa ya msariti ni kifo tu. Haji mnafiki tu muongo mzushi .ila weka akiba siku moja utaujuwa ukweli.

  • @altojaphet3394

    @altojaphet3394

    2 жыл бұрын

    Ata yy hatulish na Hana faida yoyote kwetu huyo mamlukii tuuu na akwendeee zake shabiki wakwel huipenda timu yake nasio mtu Tena Kama huyo mlemavu waakili kumamaake

  • @sharifushafiipaulsharifush7949

    @sharifushafiipaulsharifush7949

    2 жыл бұрын

    Mnateseka sana

  • @azminaahmad9620

    @azminaahmad9620

    2 жыл бұрын

    Manara ww nimsemaji wa dunia so Tanzania hongera kwailo onesha kipaji chako

  • @asaaomar5000

    @asaaomar5000

    2 жыл бұрын

    @@godfreymasele8853 kama dawa yamnafik nikifo basi jiuwe mwenyewe kwanza maana ww pia mnafiki

  • @hassansimba2599
    @hassansimba25992 жыл бұрын

    Nc

  • @aminiyasini7271
    @aminiyasini72712 жыл бұрын

    Amekwama bila kusema SIMBA Hana issues

  • @kimweritz6364
    @kimweritz63642 жыл бұрын

    Upo sahihi manara

  • @lucasbabwila5344
    @lucasbabwila53442 жыл бұрын

    Ok

  • @joelphilemon7752
    @joelphilemon77522 жыл бұрын

    Njaa

  • @idrissajuma7308
    @idrissajuma73082 жыл бұрын

    Kati ya wanadamu 10 wavumilivu duniani Manara yumo😂😂😂😂🇹🇿

  • @shedrackjacksonkaboza4348

    @shedrackjacksonkaboza4348

    2 жыл бұрын

    Aya bhn

  • @hamrantz9134

    @hamrantz9134

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @mlangilalazaro8596

    @mlangilalazaro8596

    2 жыл бұрын

    Muongo yule kavumilianini

  • @hamzabileave7680

    @hamzabileave7680

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @salimsuleiman6969
    @salimsuleiman69692 жыл бұрын

    Mzee baba upo sahihi ,

  • @abdallahrasambih1456
    @abdallahrasambih14562 жыл бұрын

    Mbele daima nyuma mwikoo bugati

  • @lameckdomisian2907
    @lameckdomisian29072 жыл бұрын

    Karibu jangwani

  • @isayashemsika4102
    @isayashemsika41022 жыл бұрын

    Manara seems sana mwisho utanyamza tu. Simba uliikuta, waliikuta na wataikuta. Huna athari yoyote kwa Simba. Simba tutamkumbuka Patrick Mafisango kuliko wewe. Acha Simba ilivyo usibwabwaje.

  • @shedrackjacksonkaboza4348
    @shedrackjacksonkaboza43482 жыл бұрын

    Usijisifie mwenyewe

  • @georgemgomba6507
    @georgemgomba65072 жыл бұрын

    Mbona hatumfikilii hata kidogo,huyu mwehu

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5sАй бұрын

    Wanasema ungekuwa huluwangejifungia ndani

  • @alleyd.alleyd
    @alleyd.alleyd2 жыл бұрын

    HUYU JAMAA ANAPENDA KUONEWA HURUMA KISHENZI!!!

  • @qadinacci

    @qadinacci

    2 жыл бұрын

    Mpuuzi tu

  • @athumankigoro4087
    @athumankigoro40872 жыл бұрын

    Wewe ungehitaji heshima usingekuwa muongeji.sana

  • @erastonicholas5589
    @erastonicholas55892 жыл бұрын

    Ila manara kua makini mdomo wako ongea kuusu mpira usipende kuwajadili matajiri fanya kazi kitaaluma tu kutaja majina usitaje tena.lamwisho ukae ukijua moo bakresa na gsm ni marafiki usijimalize wanakuangalia kwenye site mirror

  • @sharifushafiipaulsharifush7949

    @sharifushafiipaulsharifush7949

    2 жыл бұрын

    Kilicho waponza mdomo

  • @joshuamwambene6041
    @joshuamwambene60412 жыл бұрын

    Wenzenu mtuachie Manara.ni mtoto wetu hapa jangwani. Huyu ni familia ya YANGA.

  • @eyasitiayubu6271
    @eyasitiayubu62712 жыл бұрын

    Hata senzo alipotoka maneno mengi yaliongelewa ww nenda2 sowakwanza kutoka simba

  • @sharifushafiipaulsharifush7949

    @sharifushafiipaulsharifush7949

    2 жыл бұрын

    Imekuuna

  • @josej9888
    @josej98882 жыл бұрын

    Makumbele ndio nani huyo?🤔

  • @ahmedathman1624
    @ahmedathman16242 жыл бұрын

    This man is doing something beyond anyone capabilities

  • @abdallaally1354
    @abdallaally13542 жыл бұрын

    piga hela baba..... maneno baadae

  • @shedrackmwaipopo9427
    @shedrackmwaipopo94272 жыл бұрын

    Viongozi Malaya Malaya wapo tunao

  • @kastomkanyanga8863
    @kastomkanyanga88632 жыл бұрын

    Kalibu yanga

  • @rhodabestcakes365
    @rhodabestcakes3652 жыл бұрын

    Sio wewe uliowatafut bali ni wao ndio waliokufata....fanya kazi baba maisha hayana formula

  • @danieljs4285
    @danieljs42852 жыл бұрын

    Timu cyo dini bhana watu wanatafta pesa achen ujinga

  • @zawadwhatsapmadembwe5505

    @zawadwhatsapmadembwe5505

    2 жыл бұрын

    Simba ulikuwa kazin kwa hlo ninaloliona

  • @tumainikomba9008

    @tumainikomba9008

    2 жыл бұрын

    Kwakwel...Ni kazi jaman maisha lazima yaendelee

  • @mlangilalazaro8596
    @mlangilalazaro85962 жыл бұрын

    Kuweni makini nahuyo njaakari alianzakununuliwa toka kipindicha alusiyake tuliona

  • @samsonnevele1222
    @samsonnevele12222 жыл бұрын

    Karibu yanga

  • @amryshabani2233
    @amryshabani22332 жыл бұрын

    Ukweli wa Barbara umedhihirika,cku zote mwenye-zi mungu hamfichi mtu dhalimu,mtume Muhammad S.W.A anasema alama za mtu muongo ni 3,na wwee unazo 2

  • @omaryhunte6949

    @omaryhunte6949

    2 жыл бұрын

    Acha wewe

  • @pavlotz8084

    @pavlotz8084

    2 жыл бұрын

    Wewe ulitaka akae bila kazi hizo indosement anazotangaza ungemlipia wewe???,maisha yake ungeyaendesha wewe na barbara???..

  • @rehemaconeriocostance9011

    @rehemaconeriocostance9011

    2 жыл бұрын

    Sasa ulitaka akae bila kaz ungemlish ww

  • @bainampapaya8524

    @bainampapaya8524

    2 жыл бұрын

    We ulitakaje xaxa

  • @chimbokiswaga8662

    @chimbokiswaga8662

    2 жыл бұрын

    Manara anafanya kazi ili family yake Ile siyo anauza sura hamuna kuwa makin

  • @mokiwaunderson7052
    @mokiwaunderson70522 жыл бұрын

    Mungu atakuongezea mala mia kaka hao simba wameshapotea na Mungu atawalani wachezaji wote miguu yao iwe mikavu uwanjani

  • @maulebanali1314

    @maulebanali1314

    2 жыл бұрын

    Haji manara hajazaliwa na timu za mpira huyo kazaliwa na wanadamu kwaiyo anafanya kazi kwa mafanikio yake si hayo mnayo yasema hata nyie mnae muona hafai Leo hata nyie kuna mlie wasaliti

  • @winndelule2302

    @winndelule2302

    2 жыл бұрын

    Mungu wetu sio wa ivyo ila ukiwa wew Mungu ndo utakua wa ivyo😀😀

  • @amisabakari1263
    @amisabakari12632 жыл бұрын

    Nenda2 bana maneno mengi yanini wala Simba msiwaze kumeondoka msemaji hakujaondoka mchezaji Kaz kwenu yanga

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5sАй бұрын

    Nabahatiyao wangekukoma safalihii

  • @omaryregga5315
    @omaryregga53152 жыл бұрын

    Ndio maana mpila wa bongo hauendelei kwa wanafiki kama hawa wakina manara

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza75092 жыл бұрын

    Msanii tu

  • @petermhina6535
    @petermhina65352 жыл бұрын

    Kipindi kile cha ancel Magu tulisema wananunuliwa kwa huyu tusemaje?

  • @kelvinmwakyusah7311
    @kelvinmwakyusah73112 жыл бұрын

    We nenda huna jipya tokaaaaaaa

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus85822 жыл бұрын

    Manara kwa manufaa ya maisha na heshima yako usiendelee kuongelea maisha ya ajira yako Simba. Anza kuiongelea Simba kama mtani wa jadi. Inadi Yanga kama ajira yako mpya yakatae maswali yanayo kulazimisha kufufua machungu uliyosababishiwa zamani

  • @suleymanibashiri2176

    @suleymanibashiri2176

    2 жыл бұрын

    Manala kaka acha kuwavuluga yanga

  • @beatzbyblxxd
    @beatzbyblxxd2 жыл бұрын

    Eti unampiga kijembe nani??

  • @adinankarim1996
    @adinankarim19962 жыл бұрын

    Ach sifa babaa

  • @hassankika7353
    @hassankika73532 жыл бұрын

    Hassan kika

  • @abujumanne7570
    @abujumanne75702 жыл бұрын

    Acha kudanya watu. Wewe ulionekana ukiwa na mabosi yanga uko nao mezani .ulipo ulizwa uka toa mapovu Kama yote, leo umevaa jezi yao . Barbara kiboko ya wasalit

  • @danielmmbando2242

    @danielmmbando2242

    2 жыл бұрын

    Ila tambua manara alikua brand ambassador wa GSM kipindi bhado yupo simba so ilikua nilazima akae pamoja na Boss wa GSM

  • @alleyd.alleyd

    @alleyd.alleyd

    2 жыл бұрын

    @@danielmmbando2242 Alitengezea hiyo picha ili ionekane hivyo...lkn length Mahususi analijua yeye kichwani..

  • @tattually9722
    @tattually97222 жыл бұрын

    Mwagik na sema ukwel wot

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75892 жыл бұрын

    Mikiaa na wa keraaaa

  • @kibaikiramadhani1475

    @kibaikiramadhani1475

    2 жыл бұрын

    Ww bogas mlikua mnamtukana lei kawa Mali

  • @malikshafii2968
    @malikshafii29682 жыл бұрын

    Wastahamilivu kumi duniani hivi anaweza kuvumilia kama mwanamke anaepigwa na mume uyoo

  • @divaimafuru7633
    @divaimafuru76332 жыл бұрын

    Manara uposahihi,kutoka sabbu ya kutafuta riziki,nafikiri unachokosea ni kubalisha simba topic kila unapokwenda naweza kukuuliza swali,je,ushasikia simba wao wakikuzungumzia kama wewe unavyo izungumzia?be careful wwwe umejenga jila lako kwa mda mrefu pia usije haribu kwa dk chache chunga ulimi

  • @fidelslick2086
    @fidelslick20862 жыл бұрын

    Manara feels broke need money

  • @yonandahani2510
    @yonandahani25102 жыл бұрын

    Huu ni mchezo hua hautak hasira sana

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab47562 жыл бұрын

    Ukiwa mnafiki alf ukigunduliwa ni wajibu uondoke.. uliwekwa kuihujumu Simba na Babra kafanya Kaz nzur ya kukuanika na ukakimbilia kwa wanaokutuma

  • @martinanney6192
    @martinanney61922 жыл бұрын

    We kidudumtu

  • @omaryjuma1276
    @omaryjuma12762 жыл бұрын

    Ushaaona Simba hapapigiki ukatafta pakwenda kupga

  • @mchungajisimonmayala2272
    @mchungajisimonmayala22722 жыл бұрын

    Mzandiki uyo

  • @hudheifaomar2370
    @hudheifaomar23702 жыл бұрын

    Me nafamilia yangu tulishabikia simba kwa ajili yamanara lakini now tushatoka simba sahii tupo yanga...manara hoe👍

  • @alleyd.alleyd

    @alleyd.alleyd

    2 жыл бұрын

    Sijui Mungu kunawatu kawaumbaje sijui!!

  • @saadashoje313

    @saadashoje313

    2 жыл бұрын

    We n mshabiki w Manara sio Simba

  • @wendinkomba2083

    @wendinkomba2083

    2 жыл бұрын

    Karibu sana kwa wana jangwani

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm4352 жыл бұрын

    Sasa huyu mbona makelele mengi maana kama umeacha kazi siuende tu

  • @andrecuswasonga9932
    @andrecuswasonga99322 жыл бұрын

    Hujaondoka simb! Bali umeondolewa kwa usaliti limedhihirika.

  • @binyakuti2090

    @binyakuti2090

    2 жыл бұрын

    Hivi brother haji hana jingine LA kuongea zidi ya kuiponda simba ,mwambie yeye tuna muheshimu ahache maneno maneno tumechoka apambene na mengine huwo ndiyo unaume,sisi pia uwa tunafukuzwa kazi na tuna pambana upya na maisha bila maneno,tumechoka kusikia mile mile kila siku.Sikh njema

  • @husnaibrahim6026
    @husnaibrahim60262 жыл бұрын

    jeneza umeliacha wp maaana ulixema ww kubadilika kuwa shabiki wayanga labda uwe kwenye jeneza,,,baba ww ni mlamatapixhi hai2stui

  • @yohanamabula7088
    @yohanamabula70882 жыл бұрын

    Manara kila akilala anaota simba ndiyo maana kila kukicha anaiongelea simba haiwezi kutoka

  • @jafariakili2360
    @jafariakili23602 жыл бұрын

    Mstahamilivu?

  • @rtv6317
    @rtv63172 жыл бұрын

    Ashakuwa mpinga Kristo huyu

  • @mbogolelamikaelymbogo7641
    @mbogolelamikaelymbogo76412 жыл бұрын

    Jifunze kukaa kimya we hawa

  • @buyukubwa9713
    @buyukubwa97132 жыл бұрын

    Wanasimba tuwe makini sana na wanachama tunaowachukua kwa kuangalia Watu wanaogeukageuka ukikuta mtu anageuka na kutoka alipokuwa tuwe makini sana kwa watu kama huyu anachongea huyu mtu siyo kweli akashitaki ushahidi autoe kwa anachongea maneno maneno hapana msingi

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18022 жыл бұрын

    Huna ustahmilivu wowote manara ukiongea na waandishi wa habari kidogo tu unapanik na pia una kitu kujiskia una kiburi ulikaa simba vizuri lakini kumbe huna nia njema na simba nenda tu ila usiseme vibaya simba mana haijakukosea wewe ndio uloikosea

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal94722 жыл бұрын

    Roho inamuuma manar anaongea huku anameza mate sisi simba tutaufunga mdomo wako simba Mbele daima simba ni ya miaka wew umeikuta tu so nenda tu usitupigie kelel

  • @simbamaduhu1600
    @simbamaduhu16002 жыл бұрын

    Kinachofuata yanga ugomvi wa nugaz na manara au manara na bumbuli.

  • @dinimanabii833
    @dinimanabii8332 жыл бұрын

    Hebu jikaze hata mwezi bila kuiongelea simba kama wewe ni mwanaume kweli

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official2 жыл бұрын

    Mimi namfata Manara Yanga jamani ndo nimeisha sema

  • @upendomtaly1325

    @upendomtaly1325

    2 жыл бұрын

    Karibu mwaya

  • @fahadsaid9616
    @fahadsaid96162 жыл бұрын

    Hii ni mara yangu ya kwanza kuona ushabiki unahama,mara nyingi huu ni unafiki au kukurupuka,mpaka sasa sielewi ukweli kuhusu manara,je ni Simba kweli au ni yanga kweli

  • @elishavicentmhina3545

    @elishavicentmhina3545

    2 жыл бұрын

    Huyo ni shabiki wa simba ila masirahi lazima yawe mbele

  • @princegerard4704

    @princegerard4704

    2 жыл бұрын

    Kafukuzwa na Simba ulitaka awe shabiki Afe Njaaa

  • @willegamba1479

    @willegamba1479

    2 жыл бұрын

    Mtafuta ridhiki.. mlitaka ale wapi??

  • @sajadizuberi7604
    @sajadizuberi76042 жыл бұрын

    Jamaa muongo San wakat anaondoka alsema akrud aatakuwa msemaj ila hajui tmu gan sas anasema kuwa katafta akiwa Dubai km mwelew utaelekwa hch KTU klkuwa before hajaondoka na alkuwa anajua kla ktu knachoendelea na yanga!!!

  • @wakati20
    @wakati202 жыл бұрын

    Manara mnafiki. Unatafuta kiki na kujikosha kwa watu. Ungekuwa mvumivu usingetukana. Acha kujipendekeza kwa watanzania hawakulipi hao. Hata huko yanga kumbe haujapewa kitengo ndio maana ulisema hautawaingilia majukumu ya bumbuli.

  • @diffanystar4com693
    @diffanystar4com6932 жыл бұрын

    Uponyumbanisasa lelacy

  • @saidomary6414
    @saidomary64142 жыл бұрын

    Mzee c ysmeisha nini tena

  • @qadinacci
    @qadinacci2 жыл бұрын

    Muongo huyoo, Wanasimba wamemkiambia wenyewe, ulichotegemea kupata kwa mashabiki wa Simba umekikosa. nani a destroy maisha ya we mpuuzi hao ni mashabiki wa Simba tu na hakuna aliyetumwa...

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto72102 жыл бұрын

    Haji manara apimwe akili mana anaongea Sana,mtu mpk anasema akiacha simba Basi ameikana dini Leo hi kipo wapi, alisema. Akienda Yanga Basi n maiti,awe na akiba ya maneno,na ajue Kila neno unalotamka basi linaandikwa Basi tusiwe tunaongea na kutaja Muumba wetu.tuwe na akiba y maneno.

  • @bonnymwasekaga9617

    @bonnymwasekaga9617

    2 жыл бұрын

    Huyo alisema akihamia yanga basi itakuwa maiti yake. Basi hiyo inaongea ndiyo maiti ya Manara

  • @aminiyasini7271

    @aminiyasini7271

    2 жыл бұрын

    Apime akili

  • @salimmrisho1424
    @salimmrisho14242 жыл бұрын

    kwenda huko hayo unayo yasema yataisha

  • @rashidhussein2549

    @rashidhussein2549

    2 жыл бұрын

    Manala kumbuka maneno yako yanyuma iyo no njaa

  • @chachanyamaisa7571
    @chachanyamaisa75712 жыл бұрын

    Manala kuja yanga nisawa na rowasa alivyoenda kuvuluga chama cha chadema mimi kama mshabiki wa yanga sijapendezewa huyu atakuwa ana lake jambo.

  • @shabanimiyumbaniki1777
    @shabanimiyumbaniki17772 жыл бұрын

    Mudagani msenge ww

  • @tiffawaithan6505
    @tiffawaithan65052 жыл бұрын

    Hakuna aliyeumia kwa kuondoka huyo mdomo mchafu

  • @brightmackmwaky7968
    @brightmackmwaky79682 жыл бұрын

    Sana simba tuungane pamoja tujenge timu yetu,ilk tufanikiwe msimfatilie wala kusikiliza habari zake nawala msmjibu,muacheni aseme. Dont argue with a fool might people not notes the deffere

  • @emanueledwin2158
    @emanueledwin21582 жыл бұрын

    I A Am not going going going

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51922 жыл бұрын

    Maisha ya usanii simba hayapo nenda tuu kwa wasanii wenzako

  • @elliacmbwambo2639
    @elliacmbwambo26392 жыл бұрын

    Khaji ulijipaka mavi upande mmoja ulipo ambiwa ukakana ukageuka upande ambao hukujipaka ukauliza wap nimejipaka sahvi umegeuka upandeulio jipaka na kudhihirisha kuwa ww ni mpumbavu achaporojo ww msaka tonge cumesha achana na simba CEO alisha kugundua mapema ww ni chawa wa yanga na kwenda huko kumempa CEO nguvu kuwa katuondelea chawa na kunguni kwenye Club ya mabingwa chawa ww

  • @esuvathjoseph6504
    @esuvathjoseph65042 жыл бұрын

    Bwana usituchoshe we nenda kwasababu kwanza kwa maongezi yako ww ni yuda mchangamfu

  • @stellansabi9506
    @stellansabi95062 жыл бұрын

    Pamok xaana

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen7862 жыл бұрын

    *Habar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za Asili mbali mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia KZread andika sir Binladen 786 yaliyomo kumvuta mpenzi, Tiba ya kizazi, Tiba ya nguvu za kiume, Mvuto wa biashara na mengineo mengi karbuun mjifunze*

  • @twahashearer8302

    @twahashearer8302

    2 жыл бұрын

    Wapi huko kaka

  • @hassanissa388

    @hassanissa388

    2 жыл бұрын

    Sir Binladen786

  • @sirbinladen786

    @sirbinladen786

    2 жыл бұрын

    @@twahashearer8302 KZread andika sir Binladen 786 nafundisha bila malipo yoyote

  • @michaelgwimbugwa1535
    @michaelgwimbugwa15352 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/eqKos8eSndfbqpM.html kaangalia Barbra alivyojibu baada ya manara kuhamia yanga

  • @jacksonjoseph44
    @jacksonjoseph442 жыл бұрын

    we tafuta ugali jombaa ...ukiina pamekauka urudi tu msimbaz wachukukie vihela vyao hao utopolo

  • @omarsaid9083
    @omarsaid90832 жыл бұрын

    Nonsense eti manara anajenga team ila bongo hatari 😂😂😂😂

  • @luckygmdegela8477

    @luckygmdegela8477

    2 жыл бұрын

    Team haijengwi Kwa pesa Peke yake , na ikwa pesa pia inasababishwa na watu ili iwepo.

  • @hiyarimakelele6899
    @hiyarimakelele68992 жыл бұрын

    eti makumbele😂😂