MANARA AMWAGA MCHELE WOTE HUJUMA ZILIZOMUONDOA SIMBA NA KUHAMIA YANGA
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 183
Wananchi tuko na wewe MANARA 💚💛💚💛💚💛💚 Piga kazi familiya Apate kula bhana Hii ni Dunia , Achana na MAKOLO
@allyswale8264
2 жыл бұрын
Namukubali manara
Manara angalia maisha yako sasa walitaka ww ukafanye kazi gani piga kazi sisi yanga tumekukibali hayo maneno ya wanaadam uwa ayakosi mungu akuongoze ipo siku watakuelewa jenga maisha yako dogo
@qadinacci
2 жыл бұрын
Uyooo, mlikua mnakula nondo zake za kukera sana...😄😅
Tamaaa mbaya ipo siku itakuponza tu na njia ya msaliti ni fupi sana zingatia hilo
Twende tuoneeeee Inn shaa Allah
Pamoj sana manal umelud home
Umejizika Mwenyewe haji hata Yanga ni wanadam huna lolote
Haji sema Tanzania Ina Uhuru nyumbun no nyumbani kk yangaaaaa oyeeee mungu tusaidie yanga
Mm simba manara uko sahihi ntaendelea kukuheshim
Umependeza manala
@aminamwangile4020
2 жыл бұрын
Hahahaha hahahaha hahahaha
Katika jamhuri ya watu wa Tanzania upo huru kusema chochote manara SEMAAAA🤣🤣🤣😃
We dogo upo vizuri stay calm. Kitenge kelele tu.score of all times
Kifupi nimekuelewa vzr sana watanzania tuna midomo michafu sana kwaio sishangai ayo unayoyasema hata kama ningekua mimi ningejiunga Yanga tu waache na Mo wao maisha ameyashikilia mungu peke ake sio wao wanaotafuta kama wewe wasikutishe bhana
Uko vzr
Haji manara umefanya vizuri kwenda yanga sasa wao mashabiki wa simba kwa nini wakutukane kwani wanakupa pesa ya kura
@godfreymasele8853
2 жыл бұрын
Anatukanwa kwasababu ya usaritiiiiii tena dawa ya msariti ni kifo tu. Haji mnafiki tu muongo mzushi .ila weka akiba siku moja utaujuwa ukweli.
@altojaphet3394
2 жыл бұрын
Ata yy hatulish na Hana faida yoyote kwetu huyo mamlukii tuuu na akwendeee zake shabiki wakwel huipenda timu yake nasio mtu Tena Kama huyo mlemavu waakili kumamaake
@sharifushafiipaulsharifush7949
2 жыл бұрын
Mnateseka sana
@azminaahmad9620
2 жыл бұрын
Manara ww nimsemaji wa dunia so Tanzania hongera kwailo onesha kipaji chako
@asaaomar5000
2 жыл бұрын
@@godfreymasele8853 kama dawa yamnafik nikifo basi jiuwe mwenyewe kwanza maana ww pia mnafiki
Nc
Amekwama bila kusema SIMBA Hana issues
Upo sahihi manara
Ok
Njaa
Kati ya wanadamu 10 wavumilivu duniani Manara yumo😂😂😂😂🇹🇿
@shedrackjacksonkaboza4348
2 жыл бұрын
Aya bhn
@hamrantz9134
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mlangilalazaro8596
2 жыл бұрын
Muongo yule kavumilianini
@hamzabileave7680
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Mzee baba upo sahihi ,
Mbele daima nyuma mwikoo bugati
Karibu jangwani
Manara seems sana mwisho utanyamza tu. Simba uliikuta, waliikuta na wataikuta. Huna athari yoyote kwa Simba. Simba tutamkumbuka Patrick Mafisango kuliko wewe. Acha Simba ilivyo usibwabwaje.
Usijisifie mwenyewe
Mbona hatumfikilii hata kidogo,huyu mwehu
Wanasema ungekuwa huluwangejifungia ndani
HUYU JAMAA ANAPENDA KUONEWA HURUMA KISHENZI!!!
@qadinacci
2 жыл бұрын
Mpuuzi tu
Wewe ungehitaji heshima usingekuwa muongeji.sana
Ila manara kua makini mdomo wako ongea kuusu mpira usipende kuwajadili matajiri fanya kazi kitaaluma tu kutaja majina usitaje tena.lamwisho ukae ukijua moo bakresa na gsm ni marafiki usijimalize wanakuangalia kwenye site mirror
@sharifushafiipaulsharifush7949
2 жыл бұрын
Kilicho waponza mdomo
Wenzenu mtuachie Manara.ni mtoto wetu hapa jangwani. Huyu ni familia ya YANGA.
Hata senzo alipotoka maneno mengi yaliongelewa ww nenda2 sowakwanza kutoka simba
@sharifushafiipaulsharifush7949
2 жыл бұрын
Imekuuna
Makumbele ndio nani huyo?🤔
This man is doing something beyond anyone capabilities
piga hela baba..... maneno baadae
Viongozi Malaya Malaya wapo tunao
Kalibu yanga
Sio wewe uliowatafut bali ni wao ndio waliokufata....fanya kazi baba maisha hayana formula
Timu cyo dini bhana watu wanatafta pesa achen ujinga
@zawadwhatsapmadembwe5505
2 жыл бұрын
Simba ulikuwa kazin kwa hlo ninaloliona
@tumainikomba9008
2 жыл бұрын
Kwakwel...Ni kazi jaman maisha lazima yaendelee
Kuweni makini nahuyo njaakari alianzakununuliwa toka kipindicha alusiyake tuliona
Karibu yanga
Ukweli wa Barbara umedhihirika,cku zote mwenye-zi mungu hamfichi mtu dhalimu,mtume Muhammad S.W.A anasema alama za mtu muongo ni 3,na wwee unazo 2
@omaryhunte6949
2 жыл бұрын
Acha wewe
@pavlotz8084
2 жыл бұрын
Wewe ulitaka akae bila kazi hizo indosement anazotangaza ungemlipia wewe???,maisha yake ungeyaendesha wewe na barbara???..
@rehemaconeriocostance9011
2 жыл бұрын
Sasa ulitaka akae bila kaz ungemlish ww
@bainampapaya8524
2 жыл бұрын
We ulitakaje xaxa
@chimbokiswaga8662
2 жыл бұрын
Manara anafanya kazi ili family yake Ile siyo anauza sura hamuna kuwa makin
Mungu atakuongezea mala mia kaka hao simba wameshapotea na Mungu atawalani wachezaji wote miguu yao iwe mikavu uwanjani
@maulebanali1314
2 жыл бұрын
Haji manara hajazaliwa na timu za mpira huyo kazaliwa na wanadamu kwaiyo anafanya kazi kwa mafanikio yake si hayo mnayo yasema hata nyie mnae muona hafai Leo hata nyie kuna mlie wasaliti
@winndelule2302
2 жыл бұрын
Mungu wetu sio wa ivyo ila ukiwa wew Mungu ndo utakua wa ivyo😀😀
Nenda2 bana maneno mengi yanini wala Simba msiwaze kumeondoka msemaji hakujaondoka mchezaji Kaz kwenu yanga
Nabahatiyao wangekukoma safalihii
Ndio maana mpila wa bongo hauendelei kwa wanafiki kama hawa wakina manara
Msanii tu
Kipindi kile cha ancel Magu tulisema wananunuliwa kwa huyu tusemaje?
We nenda huna jipya tokaaaaaaa
Manara kwa manufaa ya maisha na heshima yako usiendelee kuongelea maisha ya ajira yako Simba. Anza kuiongelea Simba kama mtani wa jadi. Inadi Yanga kama ajira yako mpya yakatae maswali yanayo kulazimisha kufufua machungu uliyosababishiwa zamani
@suleymanibashiri2176
2 жыл бұрын
Manala kaka acha kuwavuluga yanga
Eti unampiga kijembe nani??
Ach sifa babaa
Hassan kika
Acha kudanya watu. Wewe ulionekana ukiwa na mabosi yanga uko nao mezani .ulipo ulizwa uka toa mapovu Kama yote, leo umevaa jezi yao . Barbara kiboko ya wasalit
@danielmmbando2242
2 жыл бұрын
Ila tambua manara alikua brand ambassador wa GSM kipindi bhado yupo simba so ilikua nilazima akae pamoja na Boss wa GSM
@alleyd.alleyd
2 жыл бұрын
@@danielmmbando2242 Alitengezea hiyo picha ili ionekane hivyo...lkn length Mahususi analijua yeye kichwani..
Mwagik na sema ukwel wot
Mikiaa na wa keraaaa
@kibaikiramadhani1475
2 жыл бұрын
Ww bogas mlikua mnamtukana lei kawa Mali
Wastahamilivu kumi duniani hivi anaweza kuvumilia kama mwanamke anaepigwa na mume uyoo
Manara uposahihi,kutoka sabbu ya kutafuta riziki,nafikiri unachokosea ni kubalisha simba topic kila unapokwenda naweza kukuuliza swali,je,ushasikia simba wao wakikuzungumzia kama wewe unavyo izungumzia?be careful wwwe umejenga jila lako kwa mda mrefu pia usije haribu kwa dk chache chunga ulimi
Manara feels broke need money
Huu ni mchezo hua hautak hasira sana
Ukiwa mnafiki alf ukigunduliwa ni wajibu uondoke.. uliwekwa kuihujumu Simba na Babra kafanya Kaz nzur ya kukuanika na ukakimbilia kwa wanaokutuma
We kidudumtu
Ushaaona Simba hapapigiki ukatafta pakwenda kupga
Mzandiki uyo
Me nafamilia yangu tulishabikia simba kwa ajili yamanara lakini now tushatoka simba sahii tupo yanga...manara hoe👍
@alleyd.alleyd
2 жыл бұрын
Sijui Mungu kunawatu kawaumbaje sijui!!
@saadashoje313
2 жыл бұрын
We n mshabiki w Manara sio Simba
@wendinkomba2083
2 жыл бұрын
Karibu sana kwa wana jangwani
Sasa huyu mbona makelele mengi maana kama umeacha kazi siuende tu
Hujaondoka simb! Bali umeondolewa kwa usaliti limedhihirika.
@binyakuti2090
2 жыл бұрын
Hivi brother haji hana jingine LA kuongea zidi ya kuiponda simba ,mwambie yeye tuna muheshimu ahache maneno maneno tumechoka apambene na mengine huwo ndiyo unaume,sisi pia uwa tunafukuzwa kazi na tuna pambana upya na maisha bila maneno,tumechoka kusikia mile mile kila siku.Sikh njema
jeneza umeliacha wp maaana ulixema ww kubadilika kuwa shabiki wayanga labda uwe kwenye jeneza,,,baba ww ni mlamatapixhi hai2stui
Manara kila akilala anaota simba ndiyo maana kila kukicha anaiongelea simba haiwezi kutoka
Mstahamilivu?
Ashakuwa mpinga Kristo huyu
Jifunze kukaa kimya we hawa
Wanasimba tuwe makini sana na wanachama tunaowachukua kwa kuangalia Watu wanaogeukageuka ukikuta mtu anageuka na kutoka alipokuwa tuwe makini sana kwa watu kama huyu anachongea huyu mtu siyo kweli akashitaki ushahidi autoe kwa anachongea maneno maneno hapana msingi
Huna ustahmilivu wowote manara ukiongea na waandishi wa habari kidogo tu unapanik na pia una kitu kujiskia una kiburi ulikaa simba vizuri lakini kumbe huna nia njema na simba nenda tu ila usiseme vibaya simba mana haijakukosea wewe ndio uloikosea
Roho inamuuma manar anaongea huku anameza mate sisi simba tutaufunga mdomo wako simba Mbele daima simba ni ya miaka wew umeikuta tu so nenda tu usitupigie kelel
Kinachofuata yanga ugomvi wa nugaz na manara au manara na bumbuli.
Hebu jikaze hata mwezi bila kuiongelea simba kama wewe ni mwanaume kweli
Mimi namfata Manara Yanga jamani ndo nimeisha sema
@upendomtaly1325
2 жыл бұрын
Karibu mwaya
Hii ni mara yangu ya kwanza kuona ushabiki unahama,mara nyingi huu ni unafiki au kukurupuka,mpaka sasa sielewi ukweli kuhusu manara,je ni Simba kweli au ni yanga kweli
@elishavicentmhina3545
2 жыл бұрын
Huyo ni shabiki wa simba ila masirahi lazima yawe mbele
@princegerard4704
2 жыл бұрын
Kafukuzwa na Simba ulitaka awe shabiki Afe Njaaa
@willegamba1479
2 жыл бұрын
Mtafuta ridhiki.. mlitaka ale wapi??
Jamaa muongo San wakat anaondoka alsema akrud aatakuwa msemaj ila hajui tmu gan sas anasema kuwa katafta akiwa Dubai km mwelew utaelekwa hch KTU klkuwa before hajaondoka na alkuwa anajua kla ktu knachoendelea na yanga!!!
Manara mnafiki. Unatafuta kiki na kujikosha kwa watu. Ungekuwa mvumivu usingetukana. Acha kujipendekeza kwa watanzania hawakulipi hao. Hata huko yanga kumbe haujapewa kitengo ndio maana ulisema hautawaingilia majukumu ya bumbuli.
Uponyumbanisasa lelacy
Mzee c ysmeisha nini tena
Muongo huyoo, Wanasimba wamemkiambia wenyewe, ulichotegemea kupata kwa mashabiki wa Simba umekikosa. nani a destroy maisha ya we mpuuzi hao ni mashabiki wa Simba tu na hakuna aliyetumwa...
Haji manara apimwe akili mana anaongea Sana,mtu mpk anasema akiacha simba Basi ameikana dini Leo hi kipo wapi, alisema. Akienda Yanga Basi n maiti,awe na akiba ya maneno,na ajue Kila neno unalotamka basi linaandikwa Basi tusiwe tunaongea na kutaja Muumba wetu.tuwe na akiba y maneno.
@bonnymwasekaga9617
2 жыл бұрын
Huyo alisema akihamia yanga basi itakuwa maiti yake. Basi hiyo inaongea ndiyo maiti ya Manara
@aminiyasini7271
2 жыл бұрын
Apime akili
kwenda huko hayo unayo yasema yataisha
@rashidhussein2549
2 жыл бұрын
Manala kumbuka maneno yako yanyuma iyo no njaa
Manala kuja yanga nisawa na rowasa alivyoenda kuvuluga chama cha chadema mimi kama mshabiki wa yanga sijapendezewa huyu atakuwa ana lake jambo.
Mudagani msenge ww
Hakuna aliyeumia kwa kuondoka huyo mdomo mchafu
Sana simba tuungane pamoja tujenge timu yetu,ilk tufanikiwe msimfatilie wala kusikiliza habari zake nawala msmjibu,muacheni aseme. Dont argue with a fool might people not notes the deffere
I A Am not going going going
Maisha ya usanii simba hayapo nenda tuu kwa wasanii wenzako
Khaji ulijipaka mavi upande mmoja ulipo ambiwa ukakana ukageuka upande ambao hukujipaka ukauliza wap nimejipaka sahvi umegeuka upandeulio jipaka na kudhihirisha kuwa ww ni mpumbavu achaporojo ww msaka tonge cumesha achana na simba CEO alisha kugundua mapema ww ni chawa wa yanga na kwenda huko kumempa CEO nguvu kuwa katuondelea chawa na kunguni kwenye Club ya mabingwa chawa ww
Bwana usituchoshe we nenda kwasababu kwanza kwa maongezi yako ww ni yuda mchangamfu
Pamok xaana
*Habar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za Asili mbali mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia KZread andika sir Binladen 786 yaliyomo kumvuta mpenzi, Tiba ya kizazi, Tiba ya nguvu za kiume, Mvuto wa biashara na mengineo mengi karbuun mjifunze*
@twahashearer8302
2 жыл бұрын
Wapi huko kaka
@hassanissa388
2 жыл бұрын
Sir Binladen786
@sirbinladen786
2 жыл бұрын
@@twahashearer8302 KZread andika sir Binladen 786 nafundisha bila malipo yoyote
kzread.info/dash/bejne/eqKos8eSndfbqpM.html kaangalia Barbra alivyojibu baada ya manara kuhamia yanga
we tafuta ugali jombaa ...ukiina pamekauka urudi tu msimbaz wachukukie vihela vyao hao utopolo
Nonsense eti manara anajenga team ila bongo hatari 😂😂😂😂
@luckygmdegela8477
2 жыл бұрын
Team haijengwi Kwa pesa Peke yake , na ikwa pesa pia inasababishwa na watu ili iwepo.
eti makumbele😂😂