MBWADUKE: STRATEGIC SIGNING! DUBE ATUA YANGA KUIPA MAKALI LIGI KUU, CAF CL/PACOME, KI, MAXI, CHAMA..
Usisahau kusubscribe, ku-comment na ku-like...
Жүктеу.....
Пікірлер: 56
@Stevmwamba20908 күн бұрын
Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉
@User255tv8 күн бұрын
Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.
@OS-pf6op8 күн бұрын
Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!
@AmanaAmos-hv3yz8 күн бұрын
Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂
@MartinMgogo8 күн бұрын
Yes dube ni mtu na nusu
@sallyeliya52138 күн бұрын
Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ShafiiHungo8 күн бұрын
A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele
@mrishojuma46958 күн бұрын
Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu
@user-yn6wf7qq7s7 күн бұрын
💚💚Yang aaaaa
@jacksontanda54318 күн бұрын
Welcome at House of cups DUBE
@ImanuelMwaipaja-wf7xq8 күн бұрын
Kwaiyo una watishia makolo
@robertphilip385
8 күн бұрын
Ndiyo
@charlesroswe8 күн бұрын
dube yupo vzr👍👍👍👍👍
@MbwadukeStats
7 күн бұрын
Yeah!
@raikamsela8 күн бұрын
Young African 💛💚🔰💪
@MozesKalikumbi8 күн бұрын
Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans
@BedictoPetroKazumba8 күн бұрын
#Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@michaelnkobi22018 күн бұрын
Saaaafiii
@KarokiaNdirango-lj3wf8 күн бұрын
Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉
@emanuelsamwel9998 күн бұрын
❤
@user-ce8wc9te7y8 күн бұрын
Vizuriiiiiy
@malietamalieta96588 күн бұрын
mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga
@JacksonKadwela-cb6sq7 күн бұрын
❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai
@jacksontanda54318 күн бұрын
Ngoja 2one
@user-wl7zm5vj7v8 күн бұрын
Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂
@GibsonNtamamilo8 күн бұрын
Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.
@EdgarAlphonce8 күн бұрын
Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%
@MbwadukeStats
7 күн бұрын
Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@gasperelasto88428 күн бұрын
Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?
@MbwadukeStats
7 күн бұрын
Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,
@amaniomar17558 күн бұрын
Safi 🎉🎉🎉
@AndrewFilemon8 күн бұрын
Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige
@juliusejulius67048 күн бұрын
mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu
@abdallahakida79088 күн бұрын
Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence
@Mobmob2013
8 күн бұрын
Kolo unateseka Ukiwa wapi
@RashidKaoneka-bj8mm
8 күн бұрын
Kolo unawivu usije ukajinyonga
@bsmonline8482
8 күн бұрын
Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita
@user-ox3ij7ki3t
8 күн бұрын
Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha
@fredyjunior6961
8 күн бұрын
DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE
@FabianDasson8 күн бұрын
Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake 7:40
@AjiaMohamed-rt5pb
8 күн бұрын
Kwa kuwa yupo yanga uyu n fit
@Ba638287 күн бұрын
Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?
@MbwadukeStats
7 күн бұрын
Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!
@abdallahakida79088 күн бұрын
Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.
@omarydaudy3744
8 күн бұрын
Hata mudathiri alikuwa azam
@Mobmob2013
8 күн бұрын
@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri
@user-ox3ij7ki3t
8 күн бұрын
Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo
Пікірлер: 56
Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉
Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.
Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!
Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂
Yes dube ni mtu na nusu
Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉
A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele
Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu
💚💚Yang aaaaa
Welcome at House of cups DUBE
Kwaiyo una watishia makolo
@robertphilip385
8 күн бұрын
Ndiyo
dube yupo vzr👍👍👍👍👍
@MbwadukeStats
7 күн бұрын
Yeah!
Young African 💛💚🔰💪
Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans
#Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Saaaafiii
Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉
❤
Vizuriiiiiy
mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga
❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai
Ngoja 2one
Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂
Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.
Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%
@MbwadukeStats
7 күн бұрын
Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?
@MbwadukeStats
7 күн бұрын
Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,
Safi 🎉🎉🎉
Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige
mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu
Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence
@Mobmob2013
8 күн бұрын
Kolo unateseka Ukiwa wapi
@RashidKaoneka-bj8mm
8 күн бұрын
Kolo unawivu usije ukajinyonga
@bsmonline8482
8 күн бұрын
Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita
@user-ox3ij7ki3t
8 күн бұрын
Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha
@fredyjunior6961
8 күн бұрын
DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE
Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake 7:40
@AjiaMohamed-rt5pb
8 күн бұрын
Kwa kuwa yupo yanga uyu n fit
Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?
@MbwadukeStats
7 күн бұрын
Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!
Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.
@omarydaudy3744
8 күн бұрын
Hata mudathiri alikuwa azam
@Mobmob2013
8 күн бұрын
@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri
@user-ox3ij7ki3t
8 күн бұрын
Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo
@fatmaally7252
8 күн бұрын
😂😂😂😂😂 unakufa ukiwa wapi
@mrishojuma4695
8 күн бұрын
Roho mbaya inajulikana tu sasa nyie mnanini?