MAMBO MATANO ALIOYASEMA TUNDU LISSU KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI MWANZA NA KUOMBA KURA
Leo september 01, umefanyika uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu katika uwanja wa Furahisha Mwanza
Пікірлер: 946
Millad ayo nakukubali Sana mtu wangu ahsate kwa kutupatia habari Kama hizi
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@francisbatonsadalla1445
3 жыл бұрын
Mwanza Mwisho
@gervasbaraka109
3 жыл бұрын
Saa lissu
@youtubesuccessshorts7389
3 жыл бұрын
@@CyimSky KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 kzread.info/dash/bejne/o4efu8iMqN26g7w.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
This time CHADEMA haita pass like a shadow Kwa muamko huo respect xana MWANZA🌠🌠🌠
Moja na maja tatu Nyerere alisema ,ccm kwisha kwisha kabisa 1+1=3 ✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤ Peoples Power ❤❤❤❤❤❤❤❤❤✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@santosclassic9935
3 жыл бұрын
✌️
@husseinshabani9522
3 жыл бұрын
Ukumbuke "peoples power"ndo hao hao .Wanaitwaga Wajumbe...leo wanakusikiliza kesho Wanakutosa.
@hadija846
3 жыл бұрын
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️😍🙏🏼
@kalistomwelekete8359
3 жыл бұрын
Wanao kutukana hawana akili mi baba nakupenda sana mtetezi wawa nyonge
Rais ni Magufuli tu! Mara nyingi vibaka huwa wanafurahiana! Poleni sana
@richmavoko6224
3 жыл бұрын
unajipya weewee 😂😂😂😂😂😂
@yasiralkindi5332
3 жыл бұрын
Wote ni woga huo bro na hio pole nafkiri inaemfaa khaswa ni ww apo
HAWA WATU WANAKIU YAHAKI JAMANI😭😭😭😭😭😭😭😭😭,KOMOENI SASA KUPIGA KURA MAMBO YATAKUA🔥🔥🔥🔥,PEPOOOOOZ!!!!!💪💪💪💪💪
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@rukiamussa9509
3 жыл бұрын
KwAnza watanzania hatujui English so hata wakiambiwa pipos Hawajui nini maana yake atupishe sieee 😏😏😏 ccm hoyeeeeee ❤❤👍
@yuzotv458
3 жыл бұрын
@@rukiamussa9509 choko wewee!
@makongoronyerere2595
3 жыл бұрын
@@rukiamussa9509 ww pita2 ila Kuna kupita nakupitiliza, kuw makin
@venancephilbert9397
3 жыл бұрын
Nduguyo akienda kijijini kwetu kigoma ufundishe asiseme "people's" hatamwelewa kwan sipo wa kutafsiri "power"...hili ndo tatizo kiinerez arudu Belgium
Milardayo tunakupenda na umetenda haki
Huyuu Mh TUNDU ANTIPUS LISSU ni true Genius
Hakuna nchi inayotoa bima sema nchi gani Canada na baadhi ya nchi wanalipia marekani wengi hatuna bima uongo huo mie niko marekani
@bertinkimati2674
3 жыл бұрын
Marekani kweli hawana kila mtu lakini Marekani ukiumwa ukifika hospital utatibiwa ugonjwa wa aina yoyote bila kuulizwa pesa yoyote. Utaulizwa kama una bima kama hauna bado utatibiwa na bill zako zitaletwa baadae ukiwa umeshatibiwa sio? Na kama bado huwezi kulipa unapewa payment plan hata kama utasema unaweza kulipa dola 10 kila wiki au mwezi watapokea. Na ukishindwa kabisa bado kuna bima ya serikali inachukua deni lako. Nafikiri hoja anayojenga ni kuonyesha ulqzima wa mtu kupatiwa matibabu . Ila kwa kuwataka watanzania wote wai gizwe kwenye bima ili wachangie kiiwango fair huku wakiwa na uhakika wa maribabu.
Kweli lissu yuko sawa mwanza mmetapika
@husseinshabani9522
3 жыл бұрын
Corona vp?
@JKQGAME
3 жыл бұрын
@@husseinshabani9522 🤣🤣🤣🤣🤣
@daudkihava8528
3 жыл бұрын
Kuna idadi kubwa ya watu ambao wameenda kushangaa, na siyo kutilia umakini anachozungumza.
@devothangomeni4750
3 жыл бұрын
Ccm kwanin wasiwaenguwe wagombea wa upinzani yote hiyo hofu
Mwanza mumetishaa sio kwa nyomi iyo
@samsonelias1836
3 жыл бұрын
Mungu kashusha nema kwetu
@samwelrupoja4795
3 жыл бұрын
Pamoja ayo tv
Ujekigomaa tunakuhitaj""""salut kwako baba""""!!!!!
@sarahalex8380
3 жыл бұрын
Soon tunakuka husihofu
@aggreyenock1221
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@youtubesuccessshorts7389
3 жыл бұрын
KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 kzread.info/dash/bejne/o4efu8iMqN26g7w.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
@suzan638
3 жыл бұрын
kigoma hana chake
Hongera sana Ayo kwa kubalance unatendea haki taaluma ya habari.
Huna sera Tundu lissu subir tar 28 utakiona kwa magufi rais wa vitendo
@richmavoko6224
3 жыл бұрын
unajipya wwee
@saidrai121
3 жыл бұрын
magufuli ndo nani broo ama ni huyo nyani mshamba
Millard umebak ww tyu Asante kwa ujasili huu
@edwardkamina8718
3 жыл бұрын
Nasikia kuna tv imefungiwa
@ashimbakuza8199
3 жыл бұрын
Sawa mkuu
Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪
Hya bna mkuu pmbn pmbn SIASA mchzo mchfu
Sera Hana huyu magu juuu💪💪💪
Ukitaka kumshinda shetani nenda kwenye mbuyu wake
@alphamunicy9650
3 жыл бұрын
Rashid, hahahaahahaa umesema ukitaka kumshinda nani vile ,amakweli ww ni fundi
@zabronnkoy4908
3 жыл бұрын
😂😂😂
@benjaminmasasi6892
3 жыл бұрын
Kaka duuuh ilo fumbo nimelikubali
@aggreyenock1221
3 жыл бұрын
😂😂🔥🔥🔥🔥
@mamakambuga3267
3 жыл бұрын
Duuu watu mnamaneno ya fasihi uwiii
Kweli millard we ni mtu wa nguvu💪
Mwanza imetisha ninoma
@bonifacekalima5273
3 жыл бұрын
Chadema isingekuwa ukandamizaji naunyag'anyi ,, pia bila kuiteka tume.. hakika ingechukua nchi na kuongoza..
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@muniraramadhani1557
3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@abrahamkibona7038
3 жыл бұрын
Awapi?
Mungu atufunguwe akil kwa ili,waTanzaniya wenzangu tuwe makini kwaili,wenye smati wote tuendelee kuperuz kunavitu vingi vya kujifunza kuusu kupiga kila na kuilinda amani yetu
@calvinkapinga8341
3 жыл бұрын
watanzania hatuna shukrani na tunasahau sana Embu angalia Mwanza ilivyopendeza kwa hilo daraja kwanza
@sarahalex8380
3 жыл бұрын
Kwahiyo unataka kusemaje
Lisu we ninoma
Mwanzaaaa!! Duuhuu! Imetisha kinoma.
Haya loads ilikua nyomi hvyo hvyo mwisho wasiku magu juuu 💪
Mm ni mjita bana lkn nilikuepo
@revocatusemmanuel9880
3 жыл бұрын
Ulimjita mumumuuu utana bhwenge
@shahiburamadhani7205
3 жыл бұрын
Jendeyo lata
@innocentjoseph805
3 жыл бұрын
@@shahiburamadhani7205 ataeshwe ikija kushosha rais wa nchi ya Tanzania, mwaka 2035 .
Hawajapewa kitu chochote wanampenda sana Tundu lissu
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
nasikia singida walikuwa wañasafirishwa kwa punda
@albadrysadiq8884
3 жыл бұрын
@@witneskilinda5034 duuh
Kweli lisu ni mpango wa mungu Ahsanteni sana wanangu wa mwanza # Ni yeye 2020
Kumbe tuko wengi BADO
@JKQGAME
3 жыл бұрын
Wa kushato
@devothangomeni4750
3 жыл бұрын
Tumejaa
@emmiesulee4620
3 жыл бұрын
Unawajua wajumbe ww
@yasiralkindi5332
3 жыл бұрын
Hapo hpn diamond wala alikiba
@youtubesuccessshorts7389
3 жыл бұрын
@@emmiesulee4620 KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 kzread.info/dash/bejne/o4efu8iMqN26g7w.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
Nyomi kwl kbs
Mafuriko...
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@francisbatonsadalla1445
3 жыл бұрын
Kimbunga
Alivunja rekodi ya dunia kwa kupigwa risasi kumi na sita bila kufariki mungu akupe maisha marefu
Barabara tamu, kumbe mwanza imejengwa hivyo basi wajumbe tu watu wa mwanza nilicho kigundua
Mnaomponda lissu, tambueni hii nchi ni ya demokrasia ya vyama vingi, kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Alafu tambueni wapinzani wanafaida kubwa kwenye nchi yetu, ccm sometime wanajiona kama nchi ni yao wanafanya lolote, so lazima wawepo watu wa kuwapa challenge na kuwapinga wanapokosea.
@shazzshadrackshazzshadrack5796
3 жыл бұрын
Kweliii kabisaaa unaongeaa ukweliiii
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@godfreymalinga1476
3 жыл бұрын
@Anold potentin Unachosema ni kweli ila miaka nenda miaka rudi ccm watashinda tyu yani hiyo weka kichwani haitakuja tokea dora achukue mpinzani wata leta chachu za maendeleo ila cyo kushika dora abadani hiyo wataisikia kwenye bomba
@kassimali3682
3 жыл бұрын
@@godfreymalinga1476 kila jambo lina mwanzo na mwisho😁😁😁
@shahiburamadhani7205
3 жыл бұрын
Fact
Chadema nguvu moja
@babalwantsimango2364
3 жыл бұрын
Mpumbav hamka nduguyangu mm cna uchama huyo jamaa co mtu eeeh mh!
@tareqhilal6750
3 жыл бұрын
Nguvu moja braza..
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@bettymrema6580
3 жыл бұрын
Hakika atubadilishwi hisia.
@alphamunicy9650
3 жыл бұрын
@@babalwantsimango2364 hunalolote ww kawambie ccm wenzio oooh sina chama haliyekuita huku utuelekeze nani kama huna chama ungepita tu au kunyamaza
Hata nchi nzima nikiwa peke yangu haijalishi. Kura Yangu nampa Lisu. Nilimpa Magu 2015.. But sahizi nampa Lisu. Lisu moja tayari unayo.. YANGU.
Hongera ccm ndiyo chama kuuuuuuuuuuuuuuu
Safi sana Ayo
Hongereni watu wa mkoa wa Mwanza
Alikuwa hajavaa Barakoa na hakuhamasisha wananchi wavae Barakoa.
Nyomi km yote hongereni sn mwanza tuko pamojs
Mwanza nilikuwa nawaona wajanja kumbe mbulula hivi....adi sahivi bado mnageuzwa geuzwa kama chapati hamuwezi ata kutambua kiongozi yupi anatufaaa?
Ndyo CCM wnaposhundwa kupumua hapo
@chumilamanyama5078
3 жыл бұрын
Hapo ccm mavi yanagonga chupi
@mbarikiwambarikiwa3988
3 жыл бұрын
Kwa lipi mavi yagonge chupi??! Hv mtu hajui chochote kuhusu nchi halafu asababishe mavi yagonge chupi 🙄🙄
@damianlugendo9161
3 жыл бұрын
Ata ccm ikija ndo ivyoivyo lilenijiji sio wilaya
Siasa siasa 😭 Kuna watu walisha kuita ww ni mchezo mchafu ,,, tujitaidi kuchunga mda ndugu zangu ,,, hamna mwenye huruma na ww ktk haya maisha kila MTU anavutia na kula pekeake na familia take 🙏🕞
Daraja ni kazi nzuri ya Magufuli
Wazungu walitengeneza Miundombinu lakini tuliwatimua kwa nini? Ukipata Jibu la hapo ndo utaweza kumuelewa Tundu Lissu. Heshima Mlima Chadema ✌🏼✌🏼🙌
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
Dah mwanza mmeua
@Millardayo apa ndo naheshim kaz yako kuwa n habar na kwaajil ya watanzania nakuona mbali mwandishi mweledi zaidi apa nimekuelewa naipenda kaz yako njema💪
Watanzania wana kiu ya mabadiliko jamani 😭 😭 😭 EE Mungu jalia this time wayapate
@henrylugongo632
3 жыл бұрын
Hamna llote,
@asharamadan3254
3 жыл бұрын
Lisu tapeli tu
@asharamadan3254
3 жыл бұрын
Urais atausikiya tu tapeli mkubwa tundu la shimo
@annapeter4994
3 жыл бұрын
@@asharamadan3254 chaguo la Mungu ndo maana marisasi yao haykumuua. Na siku anaingia Tanzania watu walitishiwa wasimpokeee, uliona kilichotokea? Tusomeni ishara za nyakati...
@annapeter4994
3 жыл бұрын
@@asharamadan3254 nilifikiri najibu mtu mwenye hekima zake.... 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Hahahahaaa ... Hii mikusanyiko inawachanganya sana rafiki zangu wa CDM. Hawajazoea kuona...mbona kwa Magu kila kona anajaza tu...2015 Lowasa alileta mafuriko lakini sijui hata yalienda wapi sembuse hii.. Aaa kuweni serious watu wa CDM bhana..
@davismaluli9852
3 жыл бұрын
Toooka
Hata waseme vipi Mimi nakubali Chadema sipo huko kwengine
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
Tuvushe baba Lissu tuvushe, mungu kakurudisha duniani na ujumbe mzito kwa watanzania. Baba tuvushe. Uhuru na maendeleo.
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
anatokea mjinga mmoja kavimbiwa anasema chadema imekufa
Mi nasubiria octoba yangu macho
Daikari Sana sijahamini Kama mwanza wanamwamko Kama wuu safisana
Ayo tv big up, huo ndio uzalendo wote ni watanzania haki sawa.
Ongera lisu natamani kutoa chozi pia milad ayo
@messiasulleydidy2585
3 жыл бұрын
Hakika!
Kwa mtu mwenye akili ndogo nivigumu kumjua tapeli nahuo ndo ubinadamu, huyu jamaa ukisikiza vizuri nitapeli kabisa, hakuna chochote hapo
@jaylosalphonce9659
3 жыл бұрын
Yani uyu zwazwa
Apa 80% utakuta ni CCM ndo wameenda kumtia moyo lisu ila kwenye kula wanamchinjilia mbali . utashangaa Magu akipita eti Lisu anaenda kumpongeza.!!! Hahahaha.!!!
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
Misconception
@innocenthamisonndalahwa9541
3 жыл бұрын
Hiyo ndio siasa
@trueprophet7627
3 жыл бұрын
Endelea kuumia. Wahamasishe na upinzani wafanye kwa washidani wao
@pendosamwel8947
3 жыл бұрын
Jidanganye
Kupiga kula ndo tatizo la wabongo.. wakupe upaji wa bule...🤣🤣🤗 Tatizo linaanzia kwenye sanduku bhana
Shikamoo mwanza
Mwanza Imevunja rekodi
Sio kila anayeenda kwenye mikutano ya siasa ni mpiga kura wengine wanaenda kumshangaa
@azzahtz3083
3 жыл бұрын
Hahaha
Lisu upo vizuri Ila kwenye urais apana. Jpm tena Naona hoja nyepesi sana Mshahara mambo mengine unafanya SAA ngapi. Hiyo mishahara unaongezaje !? Hata hujui kwann hawaongezi
Magu baba laooo💪
Sela hazina mashiko,,,, magufuri alio yafanya nimakubwa bado tunaimani nae magufuri juu
@elijimyco2179
3 жыл бұрын
Magufuli amefanya vizur lkn hapa mwixhon anayumba Kama kwenye kuubana vyombo vya habar kushindwa maisha ya watanzania nakuona upinzani Kama sio sehemu ya nchi kwangu mm naona watanzania wanamaisha magumu zaidi ya mwanzo
@marycelinapaschal9619
3 жыл бұрын
@@elijimyco2179 kubana maisha Ya watanzania kivipi ubataka akutafutie chakula? Magufuri ataki janja janja
@mbarikiwambarikiwa3988
3 жыл бұрын
@@elijimyco2179 ulitaka akuwekee pesa mfukoni 🙄🙄?Mwanaume mzima badala ufanye kazi kipato kiongezeke unajilalamisha tu 🤗🤗🤗kwangu Mimi miaka yake mitano imenibariki sn kutokana na kuwajibika kwangu na siyo kujilalamisha tu.
Ayo anaitendea haki taaluma yake, big up ayoooooooo
Tuliambiwa NCCR ndo kitakuwa chama kikuu Cha upinzani sjui kiko wapi nakitafuta
Huyu ndo rais mtarajiwa
@babalwantsimango2364
3 жыл бұрын
Mhhh! Wake p brthr
Asantee Mwanzaa kwa mahaba haya
WTz tusidanganywe nahuyokibalaka tumuulize malizetu asili kamawanyama madinimisitu nafezayataifa utasimamiavip? Maanahuondomuimilimkuuwamaendeleo lakinihao hawaongeleilushwa wtapambana vpkupambananalushwa?
Nyie hv mnawajuwa wasukuma kweli au mnawaskia
@gloryjoe6396
3 жыл бұрын
Awatujui subili aje
@tinayotham9035
3 жыл бұрын
Hahahaaa
Siwashangai WATANZANIA Ingekuwa ni kweli wote ni wapiga kura ningeamini lakini ni ushabiki tu
@selemanmkaraboka7696
3 жыл бұрын
Kama ni ushabik we mbona hujaenda na family yako
@henrylugongo632
3 жыл бұрын
AF si unaona wengi ni vijana
@ramadhanikibenga6317
3 жыл бұрын
@@selemanmkaraboka7696 hahahaha usitukane jibu hoja yangu, MIMI NASEMA HAO NI MASHABIKI TU SI WAPIGA KURA INGEKUWA NI NCHI TOFAUTI NA TANZANIA ANGALAU NINGEWAAMINI. NA UKITAKA KUAMINI SUBIRI TENA AENDE MTAWALA UTAONA NI WALE WALE WANAMSHANGILIA
@mhayaboy9646
3 жыл бұрын
Watu wanajitabua kaka
@zephaniajohn8282
3 жыл бұрын
Huna jipya mjumbe wew hakuna cha bure kima wew
Nakupenda Lissu mpaka machozi yananilegalega, lakini Mungu Yupooooooooo aseeee tumechokaaaaaa
Uko sawa mh Tundulisu ila shida yako kubwa haswa unatumia mda mwingi kuiumbua serikali badala ya ww kueleza Sera na ilani ya chama chako husika
Nyomi Nyomi.... 💪💪💪💪💪
@danielbaraka8903
3 жыл бұрын
ubarikiwe dada nakuona wewe ni mwana chadema mwenzangu kila crip za chadema nakuona umecoment umenipa furaha anna peter.
@annapeter4994
3 жыл бұрын
@@danielbaraka8903 mimi napenda haki sana. Sera zenu na Act wazalendo zinaleta nuru mpya kwa watanzania. Watanzania waliojaa huzuni na kufungwa midomo kwa miaka 5...watanzania ambao maeneo mengi hawakuchagua wenyeviti maana system imeamua kuwa na ujanja wake... Watanzania ambao miaka mitano ilopita walikuwa wanajimudu leo hii wanalalia mlo mmoja.... Watu wamechoka wanataka mabadiliko. BILA UHURU NA HAKI, NCHI YOYOTE HATA KAMA KUNA MAENDELEO KIASI GANI WATU WAKE HAWANA FURAHA YA KWELI. KUTOA MAONI SIO KUPINGA MAENDELEO..... HILI JAMBO LIELEWEKE KWA VIONGOZI
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@husseinshabani9522
3 жыл бұрын
@@annapeter4994 corona vp? ilishaishaga hivi?,mlishauli tufungiwage ndani Mkakimbia Bungeni ikawaje tena vile ...kama kweli Wewe Mpenda Haki Embu nikumbushe kidogo......
@annapeter4994
3 жыл бұрын
@@husseinshabani9522 kwanza kabisa mi sio chadema, sina Chama. Kwa upande wangu walifanya vema kuchukua tahadhari baada ya kuona kuwa bungeni kuna watu wamepatikana na corona. Mungu amelijalia Taifa letu corona imepungua makali sana, lakini msisifie mtu yeyote kuwa kamaliza corona. Sifa na utukufu apewe Mungu wetu aliyewapa ufahamu watanzania wakajiongeza na dawa za kienyeji. Ambazo zilianza kutumika hata kabla waziri hajasema watu watumie nyungu. Mpeni sifa MUUMBA wetu badala ya kuabudu watu
Mwanza iache kama ilivyo hasubuhi tu hao wasukuma wanakuchinjia baharini wakimpigia msukuma mwenzao tunaijua mwanza
@bestscene5730
3 жыл бұрын
Hapana NI kwamba CCM ni jeshi la wakimya
@firibathandrea8597
3 жыл бұрын
Unapoteza mda wako tu mzee wewe ccm mbele chadema mtateseka Sana ayo unayo ongea Ni marudio tu wenzio waliongea wakachoka we unarudia tu mzee hauna vishawishi weww alafu usitishiwe na wingi wa watu tambua kuwa watu weus tunapenda sifa tu akuna rorote watakutafuna wakuaacha mzee hahahahah po
Nilikuepo
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
@francisbatonsadalla1445
3 жыл бұрын
Hongey
Ccm mbele daima 💪💪 💪 magufuli oyeee
@netiousfrance8449
3 жыл бұрын
Kumamayo mbwa wewe
@jumamkokota8564
3 жыл бұрын
@@netiousfrance8449 asante
@jumamkokota8564
3 жыл бұрын
Coz akuna tusi jipya apo yote ni ya zamani
@michaeltarimo2241
3 жыл бұрын
@@netiousfrance8449 matusi ya nn mkichukia nchi mtaweka vipindi vya matusi mashuleni?
@michaeltarimo2241
3 жыл бұрын
@@jumamkokota8564 usiogope matusi ndio sera zao majukwani nawafuasi wao
Wapigakelele ote kula niza CCM
Rais Watu tuko Pmj san km ugal na mbog
Ccm kwisha kabisa ,lisu my president to be
asante mkombozi wetu millardayo
Ni yeye 2020
Nchi yetu ni nzur Ila viongozi wachache wanaweza tuletea shida tume igeni kwa IGP na viongozi Wa upinzani kuweni wakweli Kama siro alivyo wachana viongozi Wa dini
Mungu akujaalie upite uchaguzi mkuu utimize ahadi unazo tuahidi
Napenda speech zake zake MTU huyu manake anajiamini sana dah
dah my President
Serikali yangu yangu!! We veeep?? Serikali yetu au ya chadema chini ya uongozi wako!! Usiwe kama Magufuli!!
@tareqhilal6750
3 жыл бұрын
Kakosea kidogo lakini anamaanisha yetu
@CyimSky
3 жыл бұрын
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES kzread.info/dash/bejne/nXynmNOqk5OWptY.html
WANAFUNZI NJOO UJIFUNZE JINSI YA KUJIBU MITIHANI YA TAIFA NECTA Pita kwenye channel yangu yapo MENGI mazuri
Maaskari hawawezi kuwanyanyasa ila wanasimamia ulinzi wa Mali ya umma na ya wananchi. Naipenda CCM DAIMA......
Ahsante mwanza
Powerful!
Hongera our herous wellcam home again for future mission
Nipo hapa ila sijaona sera za kunifurahisha
Nchi zote zilizoendelea? How about nchi yetu
Akun wasanii kam ccm tundu nom
Mimi najuwa kama hawa watu wamekuja kumsikia kama wzlivyofanya kwa luwasa lkn huyu sio hata kidogo atachukuwa hizo picha za mikutano yake kuleta machafuko huyu sio na hana sera za kwenda kusikiliza.
Bodaboda hadi October mtakuwa nanyi Mungu amewaona nanyi.
Duh !kama CCM ikishinda mwaka huu bila shaka kutakuwa na wizi wakula
Sijaelewa hapo kwenye BIMA. Watachangia au Bure kabisa?