Mambo makuu mawili usiyoyajua kuhusu Hayati Askofu Stefano Ruben Moshi.

Kuelekea kilele cha maadhimisho ya CCT DAY, 28 Mei 2023, katika historia, leo tunapitia kumbukumbu za aliyekuwa Mwenyekiti wa kwanza wa CCT, hayati Askofu Stefano Ruben Moshi. Tutaelezwa mengi kuhusu maisha yake, huku tukiangalia mambo aliyoyapenda na mambo ambayo alikuwa hapendi.

Пікірлер

    Келесі