Mama DANGOTE amjibu HAMISA? "Mkwe hakutaki" Mashabiki wamuomba amsamehe kwa uchungu waguswa

#HamisaMobetto #MamaDangote #Gingerme

Пікірлер: 344

  • @rehemahussein748
    @rehemahussein7483 жыл бұрын

    Sisi sote ni waja wake Allah! Don't worry hamisa Ukipendwa na Mungu hiyo imetosha!

  • @irenewanini6716

    @irenewanini6716

    3 жыл бұрын

    Mama diamond kwani ni mungu,

  • @saumuhassan6365

    @saumuhassan6365

    3 жыл бұрын

    Exactly my dear, yeye ni nani kwani 😏😏😏

  • @saumuhassan6365

    @saumuhassan6365

    3 жыл бұрын

    @@irenewanini6716 Eti

  • @rehemahussein748

    @rehemahussein748

    3 жыл бұрын

    @@saumuhassan6365 amejisahau kuwa pesa ni mapambo ya dunia tuu! Huwezi kumchukia mwana wa mwenzio buree Bila sababu!

  • @mymunamymuna4807

    @mymunamymuna4807

    3 жыл бұрын

    Achana nae huyo bibi mchawi, kama mungu anakutosha inatosha huyo mwanga asikusumbue

  • @catherinemuthoki2614
    @catherinemuthoki26143 жыл бұрын

    Hamissa dada ...achana na huyu mama siku yake yaja chuki ...ikunyime kuishi ...jikaze na maisha yako ...let her be God's love is important than human being love...may God protect you and your son

  • @Kal-Mary
    @Kal-Mary3 жыл бұрын

    Hamissa Hamissa Hamissa nakupenda ila nakuomba ukaye mbali na hao watu hawakupendi,fanya kazi zako Mungu atakubari tena kama inawezekana ata kuhusu matumizi ya mtoto usiombi labda mwenyew Dai ajitume.kaa mbali Mama usiruhusu kuwa karibu nao please 😔Roho inaniuma utafikiri ni Mimi daah.Please achana nao na uyo Daimond hakupendi ju yeye njo katunga uyo wimbo 😭😭😭

  • @omanmuscat299

    @omanmuscat299

    3 жыл бұрын

    Kweli hata mimi namuomba Hamisa angejitenga nao yani sijui kwanini anawafata wakati hawamtaki anajidhalilisha aachane nao asonge mbele Allah atambarik

  • @Kal-Mary

    @Kal-Mary

    3 жыл бұрын

    @@omanmuscat299 kwli kabisa wng,yani wanamzarau kupita kiasi.kama ni upendo ameshawaonyesha ila wapi.Sasa ajitenge nao

  • @maimunamunisigloyyixigjsgs6638
    @maimunamunisigloyyixigjsgs66383 жыл бұрын

    Wewe mama kuwa kiakili mtoto Hana tatizo kiumbe Cha mungu hicho. Duniani tunapita

  • @deeruta9894

    @deeruta9894

    3 жыл бұрын

    True kabsa

  • @lm6373
    @lm63733 жыл бұрын

    Hamisa mzuri sana anajuwa ku jivicha ona video yake machallah anapendeza anasema vizuri good personality lakini zuchu nguo ana vaa kama zime chonwa kwa fundi wa barabani mmmh hamisa well done

  • @mariajoackim1368
    @mariajoackim13683 жыл бұрын

    Daah,,,,Mimi kama mwanamke sijajisikia vizuri Ila hapo hamissa akae mbali na hiyo familia wanaweza kumpoteza mtoto wake aombe uhai alee mtoto wake mabibi wa upande wa kiume sometimes miyeyusho,,,yaani hamisa jinsi anavyojielezea nimejisikia vibaya

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD4883 жыл бұрын

    Kwani kama Hamisa alimkosea. Huyu mtoto mdogo Malaika amemkosea nini ? Jeuri ya pesa, zote tutaziacha hapa hapa. Hamisa Mungu atazidi kukufungulia njia. Huyo mwanamke sio Mungu

  • @costavalenci7699
    @costavalenci76993 жыл бұрын

    Jamanie mama kauliza nyimbo kaimbiwa Nani ? Ubaya wake uko wapi?

  • @tajjudinihaji2776
    @tajjudinihaji27763 жыл бұрын

    Ukizaa mtoto nnje ya ndoa.ujue ni wa mwanamke .so acha watoto walelewe na mama zao

  • @user-lq6kr2gl7n

    @user-lq6kr2gl7n

    2 ай бұрын

    Ni kweli kabisa wanawake weng wanafel hapo kuzaa kabla ya ndoa au nje ya ndoa huyo mtoto ni wa mwanamke na tumeshaambiwa ktk din haifai baadae ndio matatizo kam haya na hili Wimbi la kuzaa pasina ndoa wanawake weng has wa kiafrika ni shidaa

  • @marthaemmanuel3323
    @marthaemmanuel33233 жыл бұрын

    Safi sana mama dangote mkomeshe huyo

  • @vanessamagezi6986

    @vanessamagezi6986

    3 жыл бұрын

    Acha roho mbaya,au wewe ndo mrithi wake

  • @nenadurra8477
    @nenadurra84773 жыл бұрын

    Mama Dangote oyee, nani kama mama, yaani I love this woman. Mama Dangote knows exactly what she is doing, she is not stupid. This so called Hamisa should stay away... Hivi Tanzania hamna wanaume?

  • @luckyvenance4576

    @luckyvenance4576

    3 жыл бұрын

    Inaonekana hata mamaako anatabia hizi

  • @mariegriffin9952

    @mariegriffin9952

    3 жыл бұрын

    Can you please translate what Hamisa is saying? Google translate is not accurate😂…I tried to translate Swahili into English but nope; doesn’t make any sense! Thanks in advance

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisaa

  • @faithkagendo2548

    @faithkagendo2548

    3 жыл бұрын

    Umeongea ukweli.u r wise

  • @nenadurra8477

    @nenadurra8477

    3 жыл бұрын

    @@faithkagendo2548 Thanks

  • @janemusa9529
    @janemusa95293 жыл бұрын

    If she thinks she is beautiful and young why can't she get anther man???? Even father( Fantacy) your daughter left you and he is at peace, get a life girl.

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari52093 жыл бұрын

    Yani mama anatakiwa kuwa mfano ila ndo anatia aibu....huu ujinga jmn yani aibu naona mm😂😂

  • @salamagat4784

    @salamagat4784

    3 жыл бұрын

    Yani huyu mama taaabu 2

  • @hopechidera
    @hopechidera3 жыл бұрын

    Huyu Hamisa nayeye anajinyimaga thamani sana,mtu unajua hakupendi bali unazidi kujipendekeza kwake😏😏😏bila aibu eti na birthday ya iyi mwaka ukamu wish😏😏😏kuliko nawewe ujitenge nae usimjali unajikaza kwake na ndo sababu hawezi kukupenda,mtu wa roho mbaya kama mama Dangote dawa yake nikutomjali na kumsahau kama alie fariki ili nayeye akuone wa thamani sababu humjali. Onyo ndogo👉🏽ukigundua mtu hakupendi usiforce kujipendekeza kwake just walk away kama wangereza wasemavyo and that's it.

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    3 жыл бұрын

    nashangaaaa mie m2 km huyu namtakaaaa haswaa awe ktk anga zng akipita kishoto napita kulia mwisho wa cku anachiii😀😀😀😀😂😂😂😂😂

  • @lonelady3368

    @lonelady3368

    3 жыл бұрын

    Kwani mwanaume ni Diamond tuu...mbona aongelei kuusu mamake babake mtoto wake wakwanza?

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    3 жыл бұрын

    Unajua hiki kitu chamkwe hata mm kilinipata,tena maneno yalikuwa mengi yakudhalilishwa,lkn sikufungua mdomo kujibu wala kujipendekeza,napita kule anapita kule.mwisho wasiku kaanza kuona aibu mwenyewe nakutaka tusalimiane kanikuta sina habari,tena bila sababu yoyote.sawa Hamisa alikosea nakaomba msamaha amsamehe tu.hii nidunia tunapita tu

  • @gracesiwale7066

    @gracesiwale7066

    3 жыл бұрын

    Hamisa angeachana nao na kufanya mambo yake

  • @pinkygrey3459

    @pinkygrey3459

    3 жыл бұрын

    Umegonga dipo sioni anajilazimisha nini kwani bila hiyo familia hawezi ishi? Ashadhalilisha mara nyingi sana na hakomi Wanawake wengi huku nje ni masingle moms but wanalea watoto wao sasa sioni hamisa kwa nini anajilazimisha ku fit in kwa hiyo familia na hapendwi Kwanza nae pia ana pesa kwani hizo pesa zake hawezi shughulikia mtoto wake? Awache kua mjinga ingalikua ni mimi keee hata ndio singetaka kuwaskia ningejiwekq mbali sana na wao duh

  • @evaristmrope
    @evaristmrope3 жыл бұрын

    I really appreciate

  • @mariyamumadebari4296
    @mariyamumadebari42963 жыл бұрын

    Mungu atakupa riziki yako my dear!

  • @elitrudesulul1963
    @elitrudesulul19633 жыл бұрын

    Uhusiano hau lazimiswi.

  • @anithaemmanuel8981
    @anithaemmanuel89813 жыл бұрын

    Kwan huyo mama dangote ndo nani labda embu atupishe mtu mzima hovyo😏😏😏....

  • @mereyamhomesmariamhomes3464

    @mereyamhomesmariamhomes3464

    3 жыл бұрын

    Anawatenganisha Watoto simjui kwa nn

  • @saumuhassan6365

    @saumuhassan6365

    3 жыл бұрын

    Eti yeye ni nani kwani uyo Mama Dangote, ajui hizo Mali na maisha mazuri tutayaacha hapa hapa Duniani 😏😏😏😏 akanye mbele, mimi mwenyewe simkubali wala nini mxiiiiiiii

  • @safijohn6079

    @safijohn6079

    3 жыл бұрын

    Huyo mtu mzima hovyo hajielew huyoo

  • @subiraomari5908

    @subiraomari5908

    3 жыл бұрын

    @@saumuhassan6365 mtu mzima kisheti huyo

  • @bimkubwaali1605

    @bimkubwaali1605

    3 жыл бұрын

    Unaaakili wewe hembu kunywa soda kwanza.who is mamadangote.bullshit huyu hamisa nae kwani mama dangote sura yake barabara ya mafanikio hata hamisa akashindwa kupita.mxiewww

  • @mdzainb3722
    @mdzainb37223 жыл бұрын

    Si atulie kwani ameambiwa toka mda hawampendwi sasa kinachomfanya aendelee kuhangaika anayataka mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari52093 жыл бұрын

    Mama dangote pride itamuua mapema....kwan yy nan

  • @ashasuleiman9607
    @ashasuleiman96073 жыл бұрын

    Mimi nakushauri Mama Dangote kuwa usihadaike na pumzi ya Mwenyezi Mungu ambayo muda wowote Mwenyewe Subhanahuwata'ala anaweza kuisitisha, hivyo unajua hukmu ya mtu kama wewe ambaye unaendeleza chuki na kutokusamehe? Mwenyezi Mungu hukuuliza je yeye akisema hakusamehe madhambi yako utakuwa mgeni wa nani kesho akhera? Please samehe saba mara sabini, kimsingi tunatakiwa ili tufe tukiwa na radhi za Mwenyezi Mungu tunatakiwa tukilala tumuombe Allah atusamehe madhambi yetu na kusamehe waliotukosea kila siku. So think about this, Binadamu hujui unaondoka saa ngapi maisha ni mafupi mno ndugu yangu. Think twice. Nahisi Hamisa ameambiwa haya ndio maana anafanya hivyo anavyofanya ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu. Please fikiria sana akhera kugumu ndugu yangu.

  • @luckyvenance4576
    @luckyvenance45763 жыл бұрын

    Ivi hamisa siufate maisha yako unanichosha

  • @abdulrazzaqchou3004
    @abdulrazzaqchou30043 жыл бұрын

    Nakupenda sana hamisa mungu akupe nguvu dunia ni mapito akuna kilicho kuwa Bora isipokuwa allah 😭😭

  • @isaachayes9783
    @isaachayes97833 жыл бұрын

    Mama mtu Mzima hovyoo..

  • @salmasaid8964
    @salmasaid89643 жыл бұрын

    Awez kumpenda maana yeye ndio sababu diamond na zari kuachana . alijifanya Rafk Wa zari kumbe anatembea na diamond ad kupata mimba.. Awez kupendwa ata kdgo

  • @nightwishisthegreatestband6355

    @nightwishisthegreatestband6355

    3 жыл бұрын

    Mama dangote na esma si walimleta ndani ya nyumba na kunwalika kwenye 40. Leo analalamika nini?

  • @copacabannaswax5061

    @copacabannaswax5061

    3 жыл бұрын

    Kwani huyo mod alimzakia mod peke yake kuna mwanamume wa mtu ktk hii dunia hiyo sio sababu, niloho mbaya tu ten yakichawii.

  • @khadijamohanani6476

    @khadijamohanani6476

    3 жыл бұрын

    Sasa kwani huyo zari aliowea .si wote michepuko tu.

  • @vanessalaizer4363

    @vanessalaizer4363

    3 жыл бұрын

    @@jonathanenock2329 alikuwa anamcheat Majizo??

  • @deeruta9894
    @deeruta98943 жыл бұрын

    Wa mama wengine uwaga wanajisahau kabisa awajuwi mpaji ni mungu na sio binadamu, mtu mzima hovyo. Hamisa upendo wa mungu ni bora kuliko wa binadamu take ur time🙏🏽🙏🏽🤲🏽

  • @aminaabdallah3644

    @aminaabdallah3644

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @uwasesifa4167
    @uwasesifa41673 жыл бұрын

    Mama dangote wakuache kila mama ana choice ya mwanae kuoa bibi mwenye anapenda na mimi Hamisa simukubali kabisa.

  • @lm6373

    @lm6373

    3 жыл бұрын

    Utapewa mfukko wa mchele

  • @khadijamohanani6476

    @khadijamohanani6476

    3 жыл бұрын

    Hata kama ana choice lakini wanawake wote hao takua wote hawafai. Huyu mama sura mbaya mpaka roho yake mbaya.

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    3 жыл бұрын

    Hayaja kukuta

  • @fatmas7338

    @fatmas7338

    3 жыл бұрын

    Kama ww humkubali Ila mungu namkubali ndio maana yupo hai mpaka leo

  • @lisajackson5867

    @lisajackson5867

    3 жыл бұрын

    mama dangote alimpenda sana zari n wema katika mademu w diamond coz walikua n mapenz y kweli ndo mn mpk leo roho yamuuma sana n ukiangalia hmisa ndo aliyevuruga uhusiano w diamond n zari yaani movie bdo inaendelea hahaha nacheka km mazuri usiombe uchukiwe n mkwe or mawifi utakunya mawe

  • @Kanicynjuguna
    @Kanicynjuguna3 жыл бұрын

    Sasa kwa nini Hamisa worrying about this woman..mama mwenyewe mafi ya kuku 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Liz-2315

    @Liz-2315

    3 жыл бұрын

    Yani uyu mama n mafi tu chuki ya nini na vile Hanmisa alivyo mzuri

  • @sarahtony3937

    @sarahtony3937

    3 жыл бұрын

    Naww ni mafi

  • @sharonchristian3711

    @sharonchristian3711

    3 жыл бұрын

    Mnamlazimishaje ampende hamisa wakati hampendi Bora at ivo anavyojionyesha Kama alijipendkeza akapewa mimba akazaa yy akaushe na mwanae c ameyataka ebu achen kumchamba mama wa watu

  • @Kanicynjuguna

    @Kanicynjuguna

    3 жыл бұрын

    @@sharonchristian3711 kama.mama dagote hampendi mtoto wa hamisa. You think this woman will ever love hamisa...?

  • @najma3268
    @najma32683 жыл бұрын

    Mimi wote nawapenda, nawaombea mungu to waweze kuyamaliza mapema kabla hawajaingia mwanandani, cc sote tumepanga mstari hatujui nani anaetangulia

  • @salamagat4784
    @salamagat47843 жыл бұрын

    Huyu bibi anazengua 2

  • @phoebeachieng3197
    @phoebeachieng31973 жыл бұрын

    Dont worry she will came back crawling 😢

  • @marieimanishimwe4874
    @marieimanishimwe48743 жыл бұрын

    Mama dangote let your grandson be.what your doing is not right at all .you must be the good example to these kids cause they are your future fmly

  • @bettycrawshaw183

    @bettycrawshaw183

    3 жыл бұрын

    They one she is hurting most is her son, Does she really think his happy with her! At the end of the day Dylan is innocent! She is a wicked human being

  • @getmad9908
    @getmad99083 жыл бұрын

    😂😂😂😂 wako wapi walisema wimbo alimbiwa tanasha mko wapi nilijuwa tuu no donge Kwa hamisa. Tuuu😂😂,

  • @janatahmad7048

    @janatahmad7048

    3 жыл бұрын

    mimi.naona wote inawahusu

  • @user-mm5tf7yn6p
    @user-mm5tf7yn6p3 жыл бұрын

    Hamissa Mabeto mungu agusameh saaaana gukata damu yako yakwanza unarana kabisa🙈🙉🙊🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer75883 жыл бұрын

    Mtoto atakuwa na ataona jinsi bibi alivyomkataa. Dha ni mbaya sana Allah amlinde kabisa. Ila Hamisa kaa mbali nao ya nini kuwafata utajajuta kabisa yatakayokukuta

  • @anitakamene5073
    @anitakamene50733 жыл бұрын

    Nice

  • @gagedamoursarusaru8079
    @gagedamoursarusaru80793 жыл бұрын

    Moto hii 🔥🔥🔥

  • @joynamagembe5703
    @joynamagembe57033 жыл бұрын

    Kindly translate for me, what's it about 🙏

  • @louangesid
    @louangesid3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭 mama mungu anakuona

  • @brightluvanda2795
    @brightluvanda27953 жыл бұрын

    Haliombi msamaha wa kweli huyo hamisa kama,,ingekuwa kweli kwanini kila siku hamisa amekaa stendby kuharibu mahusiano ya diamond na wanawake wengine?????

  • @movetcaren4208
    @movetcaren42083 жыл бұрын

    Sio lazima umpenda mapenzi ya Allah tosha

  • @faustermathiasfaustet5362
    @faustermathiasfaustet53623 жыл бұрын

    Oooh!!

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28873 жыл бұрын

    Maisha mengine co ykuiga jmn midiocre ndo hao tunawaona et mtoto hatutaki 😂😂😂😂 cjpta kuona aliyemshaur mama aongee hvyo kpuynga kwakweli

  • @lucylucy2404
    @lucylucy24043 жыл бұрын

    Asipo kupost kwn hauli hamisa acha mambo fny kazi kaa mbl n hiyo family ukion mama akupndi jua n mtot akupndi n siyo we tu umezaa watu wengii ila hawana kingngniz kama chako .

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes31613 жыл бұрын

    oke

  • @nathaliefikiri5003
    @nathaliefikiri50033 жыл бұрын

    You broke her family what you think, you can’t make her like you if she not ready

  • @ELISSKGTV

    @ELISSKGTV

    3 жыл бұрын

    Adui wa mwanamke ni mwanamke, wewe ni nyoka

  • @stephanieeunice8572

    @stephanieeunice8572

    3 жыл бұрын

    Family gani

  • @nathaliefikiri5003

    @nathaliefikiri5003

    3 жыл бұрын

    @@stephanieeunice8572 Let me refresh your mind if you don’t follow this family once upon a time zari and diamond had a family had two beautiful kids and then hamisa come along,so diamond said he was going to be there for his child since he cheated on his girlfriend had a whole baby he’s gonna be a good father but Hamisa wanted the world to know that diamond was the baby daddy and she never apologize for coming between Zari and diamond family, mama diamond, loved Zari kids they were happy family, so whenever she is ready she will accept her.

  • @ELISSKGTV

    @ELISSKGTV

    3 жыл бұрын

    @@nathaliefikiri5003 tombwa kuma chafu

  • @ELISSKGTV

    @ELISSKGTV

    3 жыл бұрын

    @@nathaliefikiri5003 akiforce diamond kulala naye???

  • @felisterraphaely7678
    @felisterraphaely76783 жыл бұрын

    Hamisa mama achana nao Anza maisha yako mwenyewe hakka utaweza

  • @angelasenga5800
    @angelasenga58003 жыл бұрын

    Ucjl hamisa mungu yupo nawe

  • @deriodubose4199
    @deriodubose41993 жыл бұрын

    Mkwewe akikukataa mungu nakukubali.yeye ni mtu au mja

  • @anithaemmanuel8981

    @anithaemmanuel8981

    3 жыл бұрын

    👌👌👌

  • @salamagat4784

    @salamagat4784

    3 жыл бұрын

    Apo sasa

  • @aeeazz8170
    @aeeazz81703 жыл бұрын

    Maana warundi wanasemaga hivi umwana yankwa niwe akura sema insha allah

  • @jasmineshemweta4547
    @jasmineshemweta45473 жыл бұрын

    Huyo Juma lokole asipo mkubari hamisa anamsaidia na kitu gni,,yy mwenyewe danga😏😏

  • @matswelopelemphela9676
    @matswelopelemphela96763 жыл бұрын

    Mama unajenga misikiti inamaana unamjua mungu samehe

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar84273 жыл бұрын

    Aaah hiyo imeenda kwa hamisa 😪

  • @nooromar6233
    @nooromar62333 жыл бұрын

    Jamani kama kweli waislam kubalini hiki kitu sio mimi bali ni amri ya Allah hakuna kitu damu yake kama hakukuwa na ndoa msi halalishe kitu alicho kiharamisha Allah muna zini muki pata watoto kisha muna sahihisha makosa naelewe nita udhi wengi lakini ukweli una udhi lakini lazima usemwe mbona hatu laumu wanao fanya haki

  • @yusrasalmin9563
    @yusrasalmin95633 жыл бұрын

    Haki hizi online tv nazo ni chonganishi,mmh

  • @mariegriffin9952
    @mariegriffin99523 жыл бұрын

    Okay, from what I can see HAMISA is all nice and sweet in front of the cameras while her fans and trolls hurl insults toward Zari and her kids Tiffa and Nee, even at Mama Dangote for posting them on her IG?…And before you start coming at me, Hamisa and her son LIVE IN TANZANIA but Tiffa, Nee live inSouth Africa! Hamisa is changing her tune because she has seen that her prior tactics didn’t work! One more thing👉🏽About her DNA test, I believe Mama Dangote knows more about it, just saying!

  • @joharijj2164

    @joharijj2164

    3 жыл бұрын

    You're right

  • @rahabnyambura688
    @rahabnyambura6883 жыл бұрын

    Hamisa your beautiful young ad handworking,just move on ad let this diamond ad family be....stop even mentioning them just move on dear

  • @tatiya6883
    @tatiya68833 жыл бұрын

    mie kinacho nifurahisha utakufa2 na Miwani kama kobe nyoooooo wajiona dunia yakwako Etieee🙃🤗🥱☹😏😏😏😏

  • @fatmatz5086

    @fatmatz5086

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣😂umejuwa kunichekesha duh🤣🤣

  • @tatiya6883

    @tatiya6883

    3 жыл бұрын

    @@fatmatz5086 😅😅wallahi anaboaa uyo bibi

  • @susymuganda6326
    @susymuganda63263 жыл бұрын

    Asiyekupenda wachana na yeye, anayekupenda pendana na yeye maisha ni mafupi kama mtu anadai ni mcha mungu na hawezi samehe ibada Yake ni bure mbele ya mwenyewezi mungu.

  • @stanslauselias9002
    @stanslauselias90023 жыл бұрын

    Mwanamke amezaa na wanaume tofautu kila siku mond mond mond anazingua mbona hatuoni anataja wanaume wengine

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    3 жыл бұрын

    Ndoujuwe huyo mwingine kila kitu kikosawa.nainasemekana anamjengo wake kabisaaaaa

  • @junemuchiri609

    @junemuchiri609

    3 жыл бұрын

    Dada akiulizwa maswali na page za udaku na waandishi asijibu ama?

  • @calvinloveambroce842

    @calvinloveambroce842

    3 жыл бұрын

    Golddigger huyo demu

  • @johnmwasilu7087

    @johnmwasilu7087

    3 жыл бұрын

    @@m.mmarckus6298 hamna kitu

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50903 жыл бұрын

    Jaman haoo mashabiki wananivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lydiakemuntookindo7254

    @lydiakemuntookindo7254

    3 жыл бұрын

    Hamisa yeye anaonakana desparate,yaani unaforce upendwe mamamkwe

  • @anniesilvester4315
    @anniesilvester43153 жыл бұрын

    Daaah,Hamisa kaa mbali kuwa na busy na mambo yako atakufata akiona unafaa

  • @mwanaidisuriah3072
    @mwanaidisuriah30723 жыл бұрын

    This mama will never see heaven

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye51273 жыл бұрын

    Amprnde asimpende kilicho andikwa ndicho kitakuwa kupendwa na bibi haina maana hao wajuku ndio watakao kufaa. Anajisumbuwa bibi mwagiliya zote.

  • @ashaali7154
    @ashaali71543 жыл бұрын

    Anaombwa amsamehe yeye ni Mungu aende huko mtu mzima asiyejijua wala kujitambua alikotokea.

  • @nasraiddy9678
    @nasraiddy96783 жыл бұрын

    Mjukuuu hana makosa ...kuna leo nakesho Mama angu dangote hujui mjukuu yupi atakufaa ,kama Mama ana ttzo na wew dili na Mama yake tu wajukuu wafanye wawe pamoja Bibi wew dunia hii siyetu wako wapi kina mengi matajiri wameacha familia zao maisha mafupi haya jamani tusidanganyike na pumzi hizii zinatuhadaa

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger65373 жыл бұрын

    Mama Dangote amsamehe tu hii ni dunia na tunapita pia Hamisa kashajishusha

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs63613 жыл бұрын

    Msilazimishe watz mnahaibu kwani hamisa ninani kwa mama mondi mondi hajawai kuowa ata siku moja uwoni uzinifu mnaukumbatia ,mama dangote mungu amnahaibu ,hamisa alikwenda mahakamani kudai huduma ya mtoto hao ni watoto wa zinaa watoto wa mama msifosi haibu,ukiachwa achika ndiye,mama ngote mshauli mondi aowe aachane na uzinifu au kweli mondi free.

  • @saumukaisi7003
    @saumukaisi70033 жыл бұрын

    Kama hamkubali hamissa lkn mungu anampenda nibasi siolazima binadamu wakupende

  • @kidawaali4160
    @kidawaali41603 жыл бұрын

    Inaonyesha Hamisa bado anampenda dai shoga utakiwi uliomfanyia umesahau haaaaa

  • @lisajackson5867

    @lisajackson5867

    3 жыл бұрын

    mwenzangu gundu kweli

  • @KhadijaKhadija-cv9db
    @KhadijaKhadija-cv9db3 жыл бұрын

    Kuna Leo na kesho we mama haya ni maisha tu tunapita

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi48093 жыл бұрын

    Mama dangote balaa mhmm

  • @irenekatumwa5963
    @irenekatumwa59633 жыл бұрын

    Hamisa nakpenda ila acha kujipendekeza kwa hawa watu

  • @mrphylophylo7842
    @mrphylophylo78423 жыл бұрын

    Account ya KZread ya chinga imefutwa hamna nyimbo yke hata moja plaz fuatilia

  • @queenbellamicky7745
    @queenbellamicky77453 жыл бұрын

    Ndo shida ya kupata pesa uzeeni,yeye ndo wa kwanza kuwa mama apa duniani?

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    Si kila mja atakupenda ila mungu wetu hana ubaguzi anatupenda waja wake bila kubagua kwanini sisi twabagua?so sad 😔

  • @maureenswai3275
    @maureenswai32753 жыл бұрын

    Malipo na hapa hapa Dunia kila kitu vitasemaa

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63653 жыл бұрын

    Wa kwanza alie comment kanikosha kwakweli, sasa anawafundisha nini watoto wengine, simkubali kabisa uyu Bibi kwa mbwembwe zake za kijinga 😏😏😏😏

  • @agwalubifaridah7079

    @agwalubifaridah7079

    3 жыл бұрын

    Hamisa naye mbona king'ang'anizi c ashughulike na maisha yake kama hupendwi hupendwi tu .

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын

    Huyo Hamisa nae asikii toka amekataliwa ni leo??! Kwa nini asiwachunie km wao hawamutaki?!.

  • @shakylahamad8326
    @shakylahamad83263 жыл бұрын

    Msamehe, mama dangote hamisa kashakiri kosa lake

  • @rebeccachikuru7605
    @rebeccachikuru76053 жыл бұрын

    Inawezekana uyu hamisa alimukoseya adabu mama dagonte njomana. Ni kwa hamisa kwenda kuomba musamaha

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai35303 жыл бұрын

    Hamisa acha kujikomba mama hawakutaki we bado tu.

  • @sterlingmemes8966
    @sterlingmemes89663 жыл бұрын

    And lets the comments fight begin🔔🔔🔔🕭🕭📣📣

  • @gracenaluboka7626
    @gracenaluboka76263 жыл бұрын

    When you forgive God for gives also please mama

  • @madamboss348
    @madamboss3483 жыл бұрын

    Dylan n mtoto wa jaguar hata mama dangote anajua

  • @nyabukitundu2929
    @nyabukitundu29293 жыл бұрын

    Hamisa kama unataka kusamehewa . Nadhani wewe ni muislamu basi kumbuka kuhusu ulivyokuwa unafanya unajifungua mpaka wa arobain jaribu kumwogopa mungu hamisa achana na mitandao huu mama alikuwa anakupenda sana.kumbuka ulivyokuwa hospital achana kwanini utaki kutafuta watu wazima na Dini zenu ni mmoja naamini sana huyu atampokea mjukuu kama kweli ni damu wake.

  • @IHIRWE146
    @IHIRWE1463 жыл бұрын

    Kitu mama Dangote anatikia kujyua Hata hamissa amemkusoea kiasai gani akumbuk kwamb Mtoto Ni Mtu mwema hana kosalolote Haoni kilichotakia katika Mtoto wake diamond NA babaake daaaahhhh Maisha haa😊

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed45493 жыл бұрын

    Uyo mama dangot anajion amefik apa dunian kumbe ajui punzi ndiy inamsumbua ila atambue nitunia t hi

  • @alicesamson6316
    @alicesamson63163 жыл бұрын

    Misa nae kazidi mtto anaangaliwa yeye kila kukicha dai dai katowa nyimbo imesahaulika yanayo ongelewa sasa ni mama dangote

  • @lorraineatieno6544
    @lorraineatieno65443 жыл бұрын

    Lea mwanao Hamisa bora babake anamtambua nimwanawe. Huyo mavyaa hapendi wakaza wana ana choyo na wivu. Hamisa angalia kando yako kampenda nani huyo mavyaa..hamna Diamond yuatangatanga tu kama ndege..ana hela Diamond kwann asioe akatulia kwa ndoa moja yakueleweka..mama tushakujua

  • @exsaverymachaninga6138
    @exsaverymachaninga61383 жыл бұрын

    Mama Ajielewi huyoooo

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti36573 жыл бұрын

    Watajuana wenyewe

  • @jasmineshemweta4547
    @jasmineshemweta45473 жыл бұрын

    Hamisa wala usijali sio wewe tu unao chukiwa Sisi tuko na wtt kuanzia Baba yao na familia Yao yote lkn maisha yanaenda

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie29263 жыл бұрын

    Duh majivuno tuu,,, Anataka kuabudiwa ahaaaaaaaaaaaaaa

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa98873 жыл бұрын

    Yamungu nimengi yakuku mayai namwanaume ni Mkr......, so yeye huyu mwanamuke ajiweke juu mara sijuwi nini kwa masharti yaku lala na mtoto wako eti awe maharufu nakupata utajiri soon tutakuwa nastori tofauti hapa hapa kwa media, unajifanya wewe ndio mungu nahuyo Hamisa achane nao, huwezi lazimisha ambaye anakuchukia eti akupende kamwe, and huwezi zuwiya mkundu kunyamba so stop that nonsense and move on, watu wenyewe umarufu na pesa ila afya niyawasi wasi nivile ninyi hamuja kutana nao kama bado hawaja paka makeup duuuuuu utajiuliza ni misukule ilio hai au vipi daaaaaa polesana .

  • @hotcakerealcake5412
    @hotcakerealcake54123 жыл бұрын

    Sasa huyo mama nani msuri kwake? Kila binti ni mbaya,? Mwanaye ako chini ya miguu yake, yeye asalishe tu na alee

  • @wanaupendotv7183
    @wanaupendotv71833 жыл бұрын

    Ni hatari kama hataki amuache tunaomba sapoti yenu muangaliya vitu vyetu ndo bado tunaanza bila nyiye hatutafika

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28082 ай бұрын

    Wanawake watanzania acheni taamaaa ukiamua kuzzaa namtu simama nae. Sasa tamaa zinawapoza tukisema tufatilie wanaume wa Tanzania wengi wanawatoto bandia sanaa sababu wanawake wabongo elim hakuna

  • @firdausiabdulkarim2424
    @firdausiabdulkarim24243 жыл бұрын

    Hamisa alizid kujipendekeza alijua zar ataachwa jumla mungu kamrudishia ubaya wake mwenyewe 😏😏

  • @husnamanase3943
    @husnamanase39432 жыл бұрын

    Huyu mama nimshama siku zote maskini akaipata matako ulia mbwata

Келесі