Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Mmh,ni ngumu kwa mimi lakini ina make sense sababu mwanamke anahaki yakuchagua pia.
Nimependa sana Mungu awabarik na awahifadhi na shari za walimwengu na majini❤❤❤
Nimeceka mbaka🤣👍🏾👍🏾👍🏾
Kama ulimtongoza itakuwa pia unamkazaaaa jamaaaa jamaaa mpole aongeiiii tu
ZUCHU ANA UMWANDOWA😂😂😂😂😂
Kipengele😂😂
Sio zambi ata dini inaluhusu ata adamu na hawa ilikua ivyo pia
Kajidhalilisha😂😂. Asee mdomo komaa
Ni mtazamo tu wa tamaduni zetu za kiafrica
Kueleza hisia zako si vibaya tumekaririshwa tu
@@noelmarapachi1808kwanza wewe mkaka nmekupenda kama upo single ni dm
Mnakosa wanaume wa ndoto zenu kwa sababu mnaogopa kutongoza.
Hajajidalilisha kwasababu ameolewa tayari na mume anampenda
😂😂😂😂eti zuchu asema usajiri huo hana baada ya ujasiri
Wakwanza
Sasa uwe unaangalia iyo caption vizuri kabla ya kupost😂, eti usajiri
Hangalia vizur wew io caption pia kabla uja comment ndiwe umeona vibaya
MBONA JAMAA NIWAKAWAIDA SANA YANI NIKIJANA FUKALAN
Kwaiyo ndo hapaswi kupendwa au?
Kama ni huyo kwenye picha anaonekana ana hela za kulisha ukoo wenu mzima. Mwanamke hawezi kukutongoza kama huna hela
Kila mtu ana mzuri wake wakawaida kwako ila ndio kipenzi chake
Ukunikumzalilisha Mme wako anauzaifu Gani handi atongozwe yeye nasikutongoza ka mwanaume 😂
Kuelezea hisia zako Hakuna aliwekewa kuwa muongeaji yoyote anaweza Fanya hvyo
Hakumlazimisha alimpa muda na sio dhambi mtu kueleza hisia zake
Mnakosa wanaume wa ndoto zenu kwa sababu ya kuogopa kutongoza.
Пікірлер: 25
Mmh,ni ngumu kwa mimi lakini ina make sense sababu mwanamke anahaki yakuchagua pia.
Nimependa sana Mungu awabarik na awahifadhi na shari za walimwengu na majini❤❤❤
Nimeceka mbaka🤣👍🏾👍🏾👍🏾
Kama ulimtongoza itakuwa pia unamkazaaaa jamaaaa jamaaa mpole aongeiiii tu
ZUCHU ANA UMWANDOWA😂😂😂😂😂
Kipengele😂😂
Sio zambi ata dini inaluhusu ata adamu na hawa ilikua ivyo pia
Kajidhalilisha😂😂. Asee mdomo komaa
@noelmarapachi1808
13 күн бұрын
Ni mtazamo tu wa tamaduni zetu za kiafrica
@Humanity21216
13 күн бұрын
Kueleza hisia zako si vibaya tumekaririshwa tu
@Chrisscherry
12 күн бұрын
@@noelmarapachi1808kwanza wewe mkaka nmekupenda kama upo single ni dm
@rumdeesonsoa1811
12 күн бұрын
Mnakosa wanaume wa ndoto zenu kwa sababu mnaogopa kutongoza.
@user-lh4bb8mm8w
11 күн бұрын
Hajajidalilisha kwasababu ameolewa tayari na mume anampenda
😂😂😂😂eti zuchu asema usajiri huo hana baada ya ujasiri
Wakwanza
Sasa uwe unaangalia iyo caption vizuri kabla ya kupost😂, eti usajiri
@rajah9328
13 күн бұрын
Hangalia vizur wew io caption pia kabla uja comment ndiwe umeona vibaya
MBONA JAMAA NIWAKAWAIDA SANA YANI NIKIJANA FUKALAN
@Humanity21216
13 күн бұрын
Kwaiyo ndo hapaswi kupendwa au?
@rumdeesonsoa1811
12 күн бұрын
Kama ni huyo kwenye picha anaonekana ana hela za kulisha ukoo wenu mzima. Mwanamke hawezi kukutongoza kama huna hela
@ashurajengela3926
11 күн бұрын
Kila mtu ana mzuri wake wakawaida kwako ila ndio kipenzi chake
Ukunikumzalilisha Mme wako anauzaifu Gani handi atongozwe yeye nasikutongoza ka mwanaume 😂
@hammytototundu9292
13 күн бұрын
Kuelezea hisia zako Hakuna aliwekewa kuwa muongeaji yoyote anaweza Fanya hvyo
@Humanity21216
13 күн бұрын
Hakumlazimisha alimpa muda na sio dhambi mtu kueleza hisia zake
@rumdeesonsoa1811
12 күн бұрын
Mnakosa wanaume wa ndoto zenu kwa sababu ya kuogopa kutongoza.