Mahojiano kamili na Balozi Masilingi na Mbunge Tundu Lissu
Mbunge wa upinzani Tundu Lissu na Balozi Wilson Masilingi wa Tanzania nchini Marekani katika mahojiano na Sauti ya Amerika mjini Washington
Originally published at - www.voaswahili.com/a/4777565....
Пікірлер: 566
Kama umeelewa tofauti ya serikali na taifa katika mjadala huu gonga like tujuane
@nelsonmwasisoba5400
5 жыл бұрын
tatizo analelewa ndo maana anashindwaa kuongea
@mansoormushweki1349
4 жыл бұрын
Sema usikike
Kama umemuona balozi anataka kushika glass ya maji lakini imemshinda kuichukua,,kwakumuogopa lissu gonga like
@aizackalifredkawishekawish670
4 жыл бұрын
Lisu iko visuri
Barikiwa sana Mh. Lissu
Hahahaha ukiwa unampenda tundu lissu...unapata raha sana...
@barakaluis5158
5 жыл бұрын
Sasa wewe kama shoga unaachaje kumpenda Tundu Lissu na ngojea wazungu waje watawalamba kweli
Eti wapinzani wanaogea wanapo taka kila sehemu duuuuuuh....! Gonga like km umeskia
Mi nadhani bora baraza la mitihani, NECTA waandae majibu sahihi juu ya swala hili (marking scheme) la sivyo mtu anaweza akarusha ngumi hivi hivi.
Kila hatuwa duwa tundu lisu one love
Napenda sana Lissu anavyopanga hoja.
@mohamedturanardan8871
Жыл бұрын
Lissu is genious
big up...lissu... #viva lissu#
sijui Kama balozi n Baba kwny familia yake... ajielewi
Tundu Lissu Mungu akubariki achana na hao wasaka tonge hata kuongea hawawezi wanatetea matumbo yao tuu. Tunaendelea kukuweka kwenye maombi yetu Comrade.
wote mnaemuombe tundu lisu katka opereshen yake ya 23 like hapa twende sawa
Kama umeona balozi alitaka kunywa maji akaona kikombe cha moto acha like yako hapa tujuane
Halafu humu inayomwona Tundu Lisu ni mjinga ni mitoto ya mifisadi"ukute mitoto ya mawaziri au mibunge ya ccm!'"Mungu amempa Tundu lisu nafasi nyingine ya kuishi mwacheni ashuhudie makuu Mungu aliyomtendea:'",,THE LIVING MIRACLE!!!!
@chaavikachangilamathew5753
5 жыл бұрын
it sounds
@livingstonenyambaya1640
5 жыл бұрын
Balozi Hugo ni choko anataka dereva arudi kiholela wamuuwe
Masilingi anazungumza hoja kama mtu wa mtaani eti watoto bure hajui watu wanachangishwa kwa nguvu 60,000/= kila darasa
@shivobs4485
5 жыл бұрын
Kikojozi tu huyo jamaa bure ya wapi tunasoma bure elimu haitukomboi
@siamollel9725
5 жыл бұрын
60 tu,,,hela zakulipa walimu je
You very intelligent Tundu Lissu than huyo Mashilingi. Mashilingi anatetea ugali wake huyo.Ningekuwepo balozi ningempa ngumi moja ya pua.
Pale akili ndogo inapokutuna na akili kubwa. God bless you hon. Lissu.
When you speak the truth you become so confident and when you speak the lies you become so emotional Mmoja kati ya hao amekasirika na mmoja anaongea kwa kujiamini, mwenye akili timamu ameshajua nnachomaanisha.
Mashiringi mbona una jazba ? Jicho lime kutoka, jibu hoja sio una payuka payuka
@alenfelix8610
5 жыл бұрын
Hana uwezo wa kubishana Kwa hoja
@erasmusaloyce4398
5 жыл бұрын
Olivia Seth anayepayuka ni yule anayetukana, na akijibiwa ana anasemama mwanasheria Wa wapi , wakati mwenzake ana first class ya degree ya sheria isitoshe ana experience kubwa kuliko yeye na katka mahojiono ya kingereza alikili hilo,
@raphaelsamwel2640
4 жыл бұрын
Kwani first class ndo nini ?? Mitihani??
Balozi mjinga kweli eti anamwambia Tundu lisu kufa sasa wauwaji wakubwa nyie.
@jeremiahmwasapilicharlie2926
5 жыл бұрын
Suma Hunga kasema hukufa sasa hujamsikiliza vizur
@jambostaamringa9490
5 жыл бұрын
Nimecheka kifala et kufa ssa uyu baloz amka ki2 apo
@smarty1064
5 жыл бұрын
Suma Hunga masikio yako umepeleka wap? kasema NDO HUKUFA SASA yaani uko mzima
@lizb2012
5 жыл бұрын
@@smarty1064 kusikiliza ni karama pia si kila mmoja anayo. Hawa vijana wameamua kusikia yale ambayo wameyajenga mawazoni mwao na si kinachozungumzwa. Wamepoteza ufahamu 😁😁
@smarty1064
5 жыл бұрын
@@lizb2012 ni kweli, hapo ndo linakuja swala la namna ubongo unavyotafsiri, kuna slow learners, kuna intelligent people na wengine ni ma genius kwahiyo twende nao polepole
Huyu jamaa amuwezi lissu watafute mtu mwengne apambane na lissu huyo kashindwa
Wanao msifia mashilingi wote akili zao zikapimwe...kwataarifa yenu mashilingi kakutana na moto chuma ety anamladhimisha lissu arudi nyumban kwel hawajamaa wanatetea matumbo yao ameulizwa jeshi la polisi limemhoji nan anaanza kumumunya maneno....na subirini Tundu lisu aupate uraisi ndio tutaelewana manake watu wasisiemu mmezidi sana uonevu
@ukweliunauma4570
5 жыл бұрын
Anataka Arudi wakammalize tu hawa huyu ambassy analilia kula yake
@stevenkambeytz2459
5 жыл бұрын
Geofrey Emanuel mmm
@josephmichael2225
5 жыл бұрын
Geofrey Emanuel we nae ni nyumbu kweli kweli
@barakaluis5158
5 жыл бұрын
Wewe huna akili ndio maana huoni kitu fall wewe na nahisi wewe ni shogaaa kataaa Mungu anakuona jinga wewe
@ericmashulano8769
5 жыл бұрын
wewe utakua mwebdawazimu sio bure
Huyu balozi nae kichwa maji kabisaaa ,kateuliwa na ccm kwa hiyo hata huyu balozi ni kichwa maji
@harunmpuga8122
5 жыл бұрын
Nusu
@harunmpuga8122
5 жыл бұрын
Nusu
@greensky9607
5 жыл бұрын
Hujioni kuwa kichwa maji ni wewe?
Lisu unahistahili kuwa raisi wa TANZANIA;jamaa analinda kibaruwa.dr Congo tumupate mtu kama mheshimiwa Lisu ni raha sana ila nabii hana heshima kwao.
mungu akulinde lisu..hakika hutokufa utadumi milele
Huyu balozi gani hana weledinwa kujibu maswali kama ndio hivi unafikiri kuna usalama gani kwa mwenendo huu hafai huyu kengele jibu swali acha hasira za kiyaya
Masilingi wakati wote ambao kikwete amekuwa raisi tukumbushe lini kuliwahi kutokea wabunge kupigwa risasi Na watu kunyanyaswa kiasi kama cha leo
Hhhhhhhh hhhhhhhh tundu brother unawapa tabu watu alwayzzzzz mungu akulinde nakukubali sanaa ndgu
Kwakweli kama balozi unatakiwa kuwa na hekima unapojibu hoja, Ni kweli kila mmoja ana mapungufu yake lakin kwa hili hapana mmezidi na inaonekana wewe kama balozi unashindwa hata kumvumilia mtu ejieleze kwa uhuru, mpe uhuru jenga hoja na jibu hoja ya kujibuu
Kijana tulia baba aongee we vip nanataka arud tanzania hili mtume watu wasio julikana hiiii.aujui ata kuongea hiloooooo Chadema oyeeeeeee
Mabalozi wengine bana si bora mnipatie hata mimi huo ubalozi
@sirialemmy37
5 жыл бұрын
Usijadharau kiasi hicho bro! Time yako itafika na utakula Kwenye sahani yako iliyosafi. Mkosee tuu mtu ila kiwango chako kama raia mwema wa nchi yetu huwezi linganishwa na mabongo Lala!
@ukweliunauma4570
5 жыл бұрын
Watu wa chama cha mapinduzi nguvu tu
Mbona balozi umepaniki!?!ukweli huwa unauma jamiii
Duuh unajua nini tunaumbuka daah inatia huruma sana lissu wasamehe hawa watu huwenda wakajirekebisha wakiumbuka wao kilio chao ni aibu kwa taifa
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
Inatakiwa waumbuke wajutie makosa yao
@josephmichael2225
5 жыл бұрын
Said Shoka amsamehe nani we nyau mwenye utindio wa ubongo?
@masoudsaid6427
5 жыл бұрын
Said Shoka haaa haaa duh umeliona hilo mkuu
Huyu hana Sifa ya kuwa balozi mbn anabishana kienyeji tena anamkatisha Lisu duuuh ,,kweli ushabiki mbaya
@johnbusoro6018
5 жыл бұрын
0
@ambokileosward8850
5 жыл бұрын
Nenda ukawe Balozi wewe bata wewee
@shukurually2011
5 жыл бұрын
Hunda mania Mania tatizo kutetea tonge ivi kweli kama angekufa uchunguzi ucngefanyika? jibu la balozi ndani kuja jambo kiukweli lisu amemfafanulia vizuri sn balozi ameelewa ila anahofia kuwa kunamtu anaangalia lazima ajibu kihuni
@valentinamussa4212
5 жыл бұрын
Hata kama niwewe unadhani unaweza kuungana na tundu lisu,uharibu ugali mbele ya magufuri,
@shukurually2011
5 жыл бұрын
Valentina Mussa ndio maana hajitambui eti kama ngekufa kufa basi balozi hajui hata kumjibu mtu balozi akiongea lisu ananyamaza lisu akiongea yeye anamzuia alafu anajiita mwana sheria ndio maana lisu kamuuliza ww mwanasheria gani kwasababu haongei pwenti
Sasa wewe balozi una taka kuliya kwasababu ume hulizwa maswali magumu yenye kujaa ukweli ,wewe ni Mjinga kweli
Uyo hana sifa zakua boloz iv ingetokea kapigwa yy lisasi ingekuaj? Hana maana.
@salumsaburi5049
5 жыл бұрын
Huyu balosi ameekwa tu hajui llte sijui kama hata amefika form4
@idgafbmw295
5 жыл бұрын
Ndezi boy sanga lisu ksvulugwa ,siurudi kwenu kwanza au kama hukutaki njoo uchukue family yako
@idgafbmw295
5 жыл бұрын
Ndezi boy sanga Dah hili pank, kiduku?
@marcomashimba2225
4 жыл бұрын
moringa. devid
@marcomashimba2225
4 жыл бұрын
moringa. devid
Dhambi ya kumwaga damu inawamaliza kwakweli!
Jasho lina kutoka Mashiringi
Huyu balozi si level ya lissu kabisa
@fanikioshaweji8174
4 жыл бұрын
LAST GENERATION
Hahaha wanang'ang'ania arudi Tanzania ili wamkamate. Ccm bwana wanajifanya wajanja, Mr Lissu usirudi tz ng'o
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
Sio kumkatama tu watamuuwa kabisa
@eliajimmy4841
5 жыл бұрын
Wanataka wakamuue kabisa lisu ama kweli ccm ni magaidi
Mungu Mkubwa Ongera sana Tundu Lisu Huyo Balozi siyo Revo ya Tundu Lisu labda Wangemleta mtu mwingine
Huyu baloz kilaza kweli anongea mpaka anataka kulia
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
Kaona kitumbua kinatiwa mchanga, keshazoea unyamwezini tena akitumbuliwa....?!
@subekhasleyium8862
5 жыл бұрын
Duuh kumbe hata wewe umemuona aiseee balozi katia aibu swali la kwanza tu alitetemeka mpaka akawa hajui kama anywe maji au ajibu swali kabaki anapepesa macho
@adrianokubila8374
5 жыл бұрын
Huyo balozi akili nyepesi mtetea tumbo
@nicksongerson6416
4 жыл бұрын
Hii tz mabalozi wetu ndio wajing kiasi hiki ... Kweli ndio maana wazungu wametuonea muda wote
Baloziiiiiiiii, umeminywa😂😂😂😂
lissu wa Tanzania tunaimani nae hajawai kutuzalau watanzania wala hajatukana watanzania uyu balozi anatetea tumbo lake
@jamesnicholas6091
5 жыл бұрын
Watanzania na nani
Huyo barozi walichelewa kumpa somo kachemsha kweli kaka .Tundu Lissu wasamehe tu .Huyo balozi hawezi hatakujibu swali just kutapatapa alivyo tumwa kujibu hawezi bora arudishe kulima kuliko Aibu .Duuuuu Jesus Bless Tundu Lissu Amen.
Long long life tundu lisu .
Huyu balozi ni mwanasheria wa wapi mbna hafati protocol
@damianmgonela5827
5 жыл бұрын
barozi hajibu maswali yanayostahili Na siyo mwanasheria huyo anatakiwa kutulia asikilize hoja halafu ajibu nasiyo kumkatisha maongezi yake siyo haki kabisa hiyo ndiyowatu husema ndiyo Wale wale
Ushauri kwa Tundu Lissu.Uko mahiri sana ktk kujibu maswali kwa ufasaha ,hoja nzito na weledi wa sheria.Dosari ndogo kwako iko kwenye lugha ya mwili (body language).Jizuie kumnyooshea usoni kidole yule unayeongea naye.Vinginevyo Mungu amekujaalia umahiri wa kujieleza.Hongera kijana.
Nmecheka sana et asante balozi
Mashilingi umeambiwa mambo mawili matatu... Hahahhh unataja mambo meeengiiiiiii.... Chaaaaa!!!! Taja ya muhimuuuu!!! Doooooh...
Nimemkubali lisu
hahahahaha 😂 6:12 Balozi "unajua kwanini TUNAUMBUKA...?" kumbe unafahamu kuwa mnaumbuka eh?
Balozi wetu kwa tundulisu ni mwepesi sana tundu ni Level nyengine kabisa mpaka unamuona hapo kasha kwepa mishale mingi!
@mohamedturanardan8871
Жыл бұрын
hahahha, nimecheka kwa kweli
Viva Lissu Viva ...Niko tayari kuingia msituni kupigana kwa ajili yako
Mashiringi hawez bishana na lisu , lisu is too good for him
Masilingi humuwezi huyo...Kabudi ndo level zake!
"Wewe mwanasheria wa wa wapi!??" lissu
Pole sana tundu lisu. Nashukuru mungu umepona.
Masilingi tulia basi hiyo ngoma ni nzito
balozi hajui anachokiongea anakua Kama sio mwanasheria hajui kujielezea na hana ushaidi wakutosha anabishana kienyeji tu
@donaldthomas3728
5 жыл бұрын
Raymond Paulla Uncle Hakuna kazi ngumu Kama kuongea uongo ndo maana baloz amepata tabu, ukwel una tabia ya kujitetea wenyewe, Hata huyo baloz najua nafc inamsuta ila no way
Duh sio kwa ku Punic huko
Tundu lisu mmoja ni sawa na wabunge wote wa ccm.
Barozi anaweweseka Kweli Kapanic mbaya hana hoja za kumjibu Lissu zaidi ya kusema arudi nyumbani. Waswahili wanasema mchawi akikuroga akashindwa kukuua anapokuona unatembea huwa anumia sanaa.
@johaivenmugisha4919
4 жыл бұрын
Mbunge wa zamani wa Muleba kasikazini
Huyu balozi anatumbuliwa muda si mwingi maana anaonekana hajui hata kujibu maswali
@adrianokubila8374
5 жыл бұрын
Balozi apimwe mkojo maana hiyo siyo akili ya mtu mzima
@hchriss7930
Жыл бұрын
Utabili wako ulitimiaga alishatmbuliwaga kitambo sana
@kassimrajabu7805
Жыл бұрын
@@hchriss7930 kumbe??
Huyu Baloziiii nimemshusha hadhi ya kuwa baloziiii kwa pressure hii!shida sana!
Balozi anatetea ugali wa familia yake tu pumbavu
Wana akili ndogo sana. Live long lissu!
Kama Tanzania yetu kuna wanasheria wa aina ya Masilingi, hawafai kuwa Watanzania kabisa, maana wanasheria wa aina hii mwisho wa siku ndio wanaotusainia mikataba mibovu, sasa mwanasheria gani anaulizwa swali kuwa mmefikia wapi kuhusu kesi ya Lissu? eti anajibu Lissu hajaonyesha ushirikiano, Lissu anamuuliza tena ningekuwa nimekufa msingefanya uchunguzi? mwanasheria Masilingi anamjibu haujakufa hupo, wakati wanajua kabisa huyu jamaa ndg Lissu yuko kitandani anaumwa zaidi ya mwaka sasa hakuna uchunguzi uliofanyika, kwa maana kwamba Lissu akipona aje afanye mwenyewe uchunguzi wa waliompiga lisasi, maana tumeanza kuona baadhi ya wabunge wa ccm wakitoa majibu ya namna hiyo ya kuwa Lissu anatakiwa aje afanye uchunguzi mwenyewe atawabaini waliompiga lisasi. Kwa majibu haya inaonyesha dhahiri shahiri wanawajua waliomshambulia Lissu na ndio maana uchunguzi hauwezi fanyika habadani. Ila wakae wakijua siku za mabadiliko ya kweli zaja na ndio itakuwa kuna kulia na kusaga meno,namaliza kwa kusema hivi hao wasiojulikana wangejulikana wangepewa kazi maalum ya kuwaondoa wanasheria wa aina ya Masilingi ambao wapo nhchi hii kwa masirahi yao binafsi.
@paultarimo4152
5 жыл бұрын
Mkiza Kamuhungilao
Kazi nzuri ya serikali gani wanafiki
this is America Mr gambino
Kuna comment nikisoma hakika nakosa mengi yakusema na sijui kwamba watu huwa mnatumia kichwa kutafakari kweli?
duuh balozi hana uwezo wa kuongea wala kujenga hoja, walio koswa koswa kuuliwa wanajua thaman ya uhai,bravo lisu,, yan hapo shikilia nchi ni ya wananchi wa tanzania na si serikali
Afya ya kuzulula uko unayo yakurudi huku huna heeeh aya saw
lissu upo vizuli sana umesema ukweli lissu
Huyu Masilingi amepwaya kama chupi ya kuazima. Asante sana Lissu
@thomastarimo
Жыл бұрын
Uyo balozi ni mzushi
Balozi masilingi kunywa mvinyo mi nipo kwenye dream liner nakuja kulipa bili hiyo nyambafu umepigilia misumali ya maana kweli.
Duh hawana sheria jaman duh
Lisu yuko vizuri mno isipokua huyo balozi ni mpiga debe wa CCM
Masilingi kafunikwa
Hahahaha... Balozi nimepata neno kwako..MZEE WA FURIIIII....
Safi sana nchi yangu Tanzania Pimbi kama huyu inatakiwa kula nae sahani kama hivi
Viva lissu hili mashilingi jinga kabisa eti linasema "tangu mheshimiwa,raisi ,amiri jeshi mkuu,dokta, John pombe Joseph Magufuli" hivi kwenye viwango vya kujipendekeza lazima utaje mavyeo yake yoote hayo??
Wanyeeeeee babaaaaa
Power of knowledge vs power position
@adrianokubila8374
5 жыл бұрын
Balozi kilaza
Umetufundisha vibaya sana utawala was makufuli
Yan Kama ni kesi lisu anaweza kushnda... nmecheka sanaaa
Balozi bana?
BALOZI WA NYUMBA KIMI. Duuh kachanganyikiwa ukweli kweli unauma hatari anatamani awe tz akamuuwe. Mungu mkubwa watakufa wao mwanzo kuliko lissu sasa hofu imewaingia
@suleimanmagembe8841
4 жыл бұрын
Wewe kwan ukisndwa kuja tanzania ndo itakuwamwisho wa tanzania wapo wengi wlio chagua kuishi ughaibun na wakaishi mpaka kifo chao kama vile idiamin alikimbia inchi yake na wewe unaruhusa wa kuishi huko huko mpakamilele
Uyubalozi nimlevi xana
kwa kifupi balozi hamuwezi lissu
Nimemuelewa balozi sana, hataki longo longo hataki maneno ya kusikia
@mohamedturanardan8871
Жыл бұрын
Inamaana maisha yako yote balozi hukuwahi kusikiliza maneno ya watu, mpka ujionee mwenyewe?
Balozi anapewa shule lakin naona haelewa kabosaaa
Ila lissu ni lawyer bhana... Balozi akipanic, anamuangalia anatabasamu😂😂dah..
Huyu kweli ubaluzi duh
balozi una fact....pointless unatetea tumbo
TUNDU LISSU shikamooo
Daaaah hii Nchi bana Lisu alipiga nondo za ukweli kbc apaah
Lisu ana akil balaa yani kamachanganya masilingee Kwa neno ujinga masilingee akapanik mwanzon ,sikilizen watanzania wenzangu siku lisu akituondoka dunian italichukua taifa miak 1000 kumpata lisu mwengine
Hapo bora balozi angepewa Steve Nyerere
balozi hataki kusikia kamati ya bunge ya ulinzi na usalama ilimaliza kazi yake(ripoti?????) kabatini
@waltermbelwa4973
5 жыл бұрын
Emilian Pasiens Hiyo pointi ilikuwa nzito yenye mantiki kubwa.Wewe ni mfuatiliaji mzuri.