MAGUFULI AMTUMBUA OCD NJOMBE, AMREJESHA BAADA YA SALA YA TOBA

Rais John #Magufuli amemtumbua #OCD wa Mkoa wa #Njombe wakati wa hotuba yake kutokana na uzembe uliosababisha mauaji ya watoto saba mkoani humo na kumrejesha katika nafasi yake dakika saba baadaye

Пікірлер: 13

  • @marcoisaack9811
    @marcoisaack98115 жыл бұрын

    mzee mungu akupe maisha marefu. mimi kama kjana wa kitanzania i must concur you.

  • @privamushi2512
    @privamushi25122 жыл бұрын

    Kama upo na Mimi unaangalia hii clip ya shujaa wetu gonga like tuend pamoja.

  • @rajabumaziku9857
    @rajabumaziku9857 Жыл бұрын

    Kauli tet za mzeee

  • @agnesjames6811
    @agnesjames68115 жыл бұрын

    Mkuu wetu umenena mazito na kweli tupu. Hongera yako prezo

  • @suzyjohnas4259
    @suzyjohnas42593 жыл бұрын

    Daaaah wewe ilikuwa cyo wakufa jaman 😭😭

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange13705 жыл бұрын

    RPC tena mweupe mzuri

  • @carolineedwin867

    @carolineedwin867

    5 жыл бұрын

    Wasukuma wanapenda watu weupe jamani

  • @ednambata9503

    @ednambata9503

    3 жыл бұрын

    Ni kweli ukiwa mweupe haa utalipiwa mahali nying

  • @ednambata9503
    @ednambata95033 жыл бұрын

    Ukweli wako mungu ndy anajua mwingne hayup wakuongea live hivo MTU kakosa awajibishe hapohap

  • @ednambata9503
    @ednambata95033 жыл бұрын

    Daaa jaman babaang

  • @saidsahd1971
    @saidsahd19715 жыл бұрын

    Rais leo ndio nimekuona kukasirika zaidi kweli hilo limekuumiza Zaid mungu akupe nguvu

  • @geraldmakalala6091

    @geraldmakalala6091

    5 жыл бұрын

    Huyu Ni Raisi kweli watu wanapotea Sana.

Келесі