MAGUFULI AMTUMBUA OCD NJOMBE, AMREJESHA BAADA YA SALA YA TOBA
Rais John #Magufuli amemtumbua #OCD wa Mkoa wa #Njombe wakati wa hotuba yake kutokana na uzembe uliosababisha mauaji ya watoto saba mkoani humo na kumrejesha katika nafasi yake dakika saba baadaye
Пікірлер: 13
mzee mungu akupe maisha marefu. mimi kama kjana wa kitanzania i must concur you.
Kama upo na Mimi unaangalia hii clip ya shujaa wetu gonga like tuend pamoja.
Kauli tet za mzeee
Mkuu wetu umenena mazito na kweli tupu. Hongera yako prezo
Daaaah wewe ilikuwa cyo wakufa jaman 😭😭
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
RPC tena mweupe mzuri
@carolineedwin867
5 жыл бұрын
Wasukuma wanapenda watu weupe jamani
@ednambata9503
3 жыл бұрын
Ni kweli ukiwa mweupe haa utalipiwa mahali nying
Ukweli wako mungu ndy anajua mwingne hayup wakuongea live hivo MTU kakosa awajibishe hapohap
Daaa jaman babaang
Rais leo ndio nimekuona kukasirika zaidi kweli hilo limekuumiza Zaid mungu akupe nguvu
@geraldmakalala6091
5 жыл бұрын
Huyu Ni Raisi kweli watu wanapotea Sana.