Mafunzo sahihi kuhusu Uke Wenza | Sheikh Salim Barahiyan
Ni kipindi cha Al Jawaabul Kaafy {Jawabu lenye kutosheleza} kinachoruka hewani Mubaashara kupitia Channel yetu ya KZread na Radio Ihsaan Fm, 102.1 Kila siku ya Jumatano kuanzia saa 03:30 usiku hadi saa 05:00 usiku.
Namba za kuuliza maswali ni +255 773 277 444
Пікірлер: 2
Allah atuhifadhi na hasadi za binadamu na mashetwani wabaya Shekhe
Je ikiwa mke hatak kukaa eneo moja yafaa kumuacha?