MABANDA YA MASAJI YAPIGWA 'STOP' ZANZIBAR, KAMISHENI YASHTUKIZA NA KUBAINI MAMBO HAYA

Пікірлер: 29

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid90359 ай бұрын

    Safi sana humo ndipo Ushoga mwingi unafanyika na umaraya na wizi

  • @Worldunite
    @Worldunite9 ай бұрын

    Pigeni STOP mabaa na vilabu vya pombe, sio mabanda ya massaging peke yake

  • @user-wr7io8lh6j
    @user-wr7io8lh6j9 ай бұрын

    Hii imeenda

  • @LapaniMwarabu
    @LapaniMwarabu9 ай бұрын

    Elimu itolewe watu wafuate utaratibu za biashara

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi2 ай бұрын

    Hmna. Lolote. Zanzibar. Inazama. Kwa. Laaana. Mnazozifumbia. Macho. Viogozi

  • @FaziliJuma-od3kr
    @FaziliJuma-od3kr3 ай бұрын

    Hayo ni machaka ya ukahaba tuu

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc9 ай бұрын

    Huwo ndio utalii kuziniana kwenda mbele

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn9 ай бұрын

    Lengo kuu sio kulinda maadili bali ni kudhibiti upotevu wa mapato

  • @saidkhamis9507

    @saidkhamis9507

    8 ай бұрын

    Mtihani kwakweli

  • @zainabwage4658
    @zainabwage46589 ай бұрын

    Miongon mwa biashara haram izo

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    9 ай бұрын

    Mnapenda hela za watalii, wacheni wa wafanye mashoga mpaka vizazi vyenu vyote. Zanzibar maadili yameporomoka sana hata huko kwenye fukwe

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4jАй бұрын

    Kodi zenu haziendani na kipato cha hao wanaofanya hizo kazi,kodi huzidi kiwango cha hela unayoipata kwenye kazi zako.kuwaboresha mnashindwa kazi yenu ni kuwaangamiza hao wasaka tonde kwa jasho jingi tu hamna lolote munatengeza njia za rushwa kwa watendaji wenu.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72958 ай бұрын

    Mmefungia massage clinics au wale Tu wasio na leseni?

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi24549 ай бұрын

    Fukuza kabisa hiyo biashara hao wanaeneza ushoga

  • @dancerboy2686
    @dancerboy26869 ай бұрын

    😂😂

  • @user-qt3sk6pj7j
    @user-qt3sk6pj7j3 ай бұрын

    Hawa wabongo hatuwataki aaaaa mimi naomba niwe raisi nauvunja muungano kumamazenu hadi wazanzibar mnawaharibu asa watu wawe wezi auuuu kumaa nyinyi kumaaaaaaaaa milaardayo nakuombeni hii comment muisome kumaaaa nyeeeeee

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc9 ай бұрын

    Tunataka utalii

  • @khatibmako3500
    @khatibmako35009 ай бұрын

    Dola elfu kumi tanzania money kiasi ganiii jamaniii

  • @user-ok3ws8jl2s

    @user-ok3ws8jl2s

    9 ай бұрын

    Milioni mia

  • @saidmo8392

    @saidmo8392

    9 ай бұрын

    Ml 25

  • @SampleKiller99

    @SampleKiller99

    9 ай бұрын

    25,010,000/-

  • @Chanell32

    @Chanell32

    9 ай бұрын

    ​@@user-ok3ws8jl2s Wewe jamani 😂😂😂

  • @pamelamkuchu577

    @pamelamkuchu577

    9 ай бұрын

    Milioni 25😂😂😂

Келесі