🔴
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
Endelea kubarikiwa na somo hili.
..........................................................................
Neno la Mungu ni Taa ya Miguu yangu na Mwanga wa njia yangu.
Neno la Mungu ni Pumzi ya maisha yangu, unapolisoma neno la Mungu hautapotea gizani bali Nuru ya Bwana itaangaza Maishani mwako kila wakati.
..............................................................................................................................................................................................................................................................................................
Naitwa Japhet Magoti ni mtumishi wa Mungu ambaye nahubiri na kufundisha neno la Mungu kuhusu habari za Yesu mwenye wokovu. Mungu amenipa baraka ya mke mmoja Veronica Japhet Magoti na watoto wawili wa kiume Jayson na Jayvyn Japhet Magoti.
...............................................................................................................................................
Unaweza kushiriki huduma hii kwa sadaka yako ili tuzidi kupeleka injili kwa watu wengi kwa njia zifuatazo:-
Mpesa 0764062976 jina JAPHET MAGOTI MATOTI
Safaricom mpesa number 0713307222 Japhet Matoti
Tigopesa 0712526937 Veronica Kanick
CRBD BANK 0152318092200 JAPHET MAGOTI
Mungu akubariki sana.
Пікірлер: 9
Njia za mungu ni nyingi, 🙏🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako mchungaji 1:16
Fedinah frm ogembo in Kenya ,l like our sermon pastor
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako mchungaji
I thank God, am blessed.
pastor kupitia wewe mtumishi wa mungu,naomba nitoke kwenye laana zote, maana nimegundua ni laana zinaniteza
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako mchungaji
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako mchungaji
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako mchungaji