Naitwa Japhet Magoti ni mtumishi wa Mungu ambaye nahubiri na kufundisha neno la Mungu kuhusu habari za Yesu mwenye wokovu. Kupitia somo hili utajifunza mambo mengi na ili uweze kumjua Mungu aliyekuumba na kumuishia yeye.
Somo hili likakubariki, likakujenge na kukutia moyo katika kila hatua ya maisha unayoipitia.
.....................................................................................................................................................................................................................
Mungu amenipa baraka ya mke mmoja Veronica Japhet Magoti na watoto wawili wa kiume Jayson na Jayvyn Japhet Magoti.
Unaweza kushiriki huduma hii kwa sadaka yako ili tuzidi kupeleka injili kwa watu wengi kwa njia zifuatazo:-
Mpesa 0764062976 jina JAPHET MAGOTI MATOTI
Safaricom mpesa number 0713307222 Japhet Matoti
Tigopesa 0712626937 Veronica Kanick
CRBD BANK 0152318092200 JAPHET MAGOTI
Mungu akubariki sana.
Пікірлер
Happy birthday 🎂
Mungu akumbuke siku zako za kuzaliwa, akutendee yasiyowezekana 🙏🙏🙏🙏
Athanas Nhungo
Amen from Kenya
Mubarikiwe sana watu wa Mungu ninabarikiwa na mahubiri na vipindi vyote Mungu awabariki
Amina n'a barikiwa n'a fundisho ni jacques pa Goma
Baba mzazi that testimony na hii ya Botswana man of God imenichallenge sana! Amina Amina
Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Ameeeeeeeeen Ameeeeeeeeen 🙏
😂😂😂😂😂pastor when you visit me I won't cook any greens! I will cook all kinds of meat😂😂
Nimefurahia sana mtumishi , mungu anakutumia sana,mungu awakumbuke team magoti tv 🙏🙏🙏mungu akumbuke tarehe zenu
Amee
Ameeeeeen 🙏🙏🙏
Mungu abariki hili andiko kwa jina la yesu
Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana Amen barikiwa
Ameeeeeen 🙏🙏🙏
Ameeeeeen 🙏🙏🙏 blessings 🙏
I have been so blessed. Amen amen 🙏🏽
Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen be blessed pastor
A big amen 🎉🎉🎉
Asante sana pasta kwa neno nzuri
May the Holy Spirit give you strength and a guide that you can deliver according to God His will Amen
amen
Mungu ni mwema! Na akatende kupitia neema yake!
Be blessed Magoti Tv from Voi Kenya
Amen 🙏🙏🙏
Ameeen balikiwa pastor wang
Mungu akutangulie mtumishi umekuwa baraka kwetu
Mungu atufungue macho ya ndani pamoja na masikio 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana watoto wadogo mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏
Amina mtumishi tuna balikiwa na mafungisho tupo mm na familia yangu makongoloc chunya tumekumic pastar magot
Amen barikiwa mtumishi kwa funzo ambayo umetupa siku ya lep😇😇😇🥰🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen 🎉🎉🎉🎉
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Nafurahi umwnitia moyo
Welcome back Ellena msusa. I really missed you. Be blessed
Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙏
Barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana 🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙏
Ni kama hapa saudi Arabia,hakuna uhuru sazingine Wala amani,haki sazingine tunaomba mungu afungue njia tutoke utumwani,nikikumbuka Mwanzo 15:13:14 ,natoa machozi,watu wetu hapa wanauliwa ,na hatuna mtetezi ila mungu tu🙏🙏,baba wa mbinguni tutoe kwenye kifungo hiki
Baba atusamehe makoza yetu 🙏🙏
pr magoti
Be blessed Mchungaji🙏🏾🙏🏾
Tuko pamoja mwanzo mwisho
Ameeeeeen and ameeeen
Hili somo nimelielewa mtumishi nafuatilia na watoto wetu malezi kwa sasa sio kama ya zamani kweli wazazi tubadilike maana malezi ya zamani yalikuwa mazuri na bora mungu atusaidie Ameeeeen nimepokea huu ujumbe natokea south Africa🇿🇦🇿🇦🇿🇦
How can I get your number