🔴

Тәжірибелік нұсқаулар және стиль

Endelea kubarikiwa na somo hili.
..........................................................................
Neno la Mungu ni Taa ya Miguu yangu na Mwanga wa njia yangu.
Neno la Mungu ni Pumzi ya maisha yangu, unapolisoma neno la Mungu hautapotea gizani bali Nuru ya Bwana itaangaza Maishani mwako kila wakati.
..............................................................................................................................................................................................................................................................................................
Naitwa Japhet Magoti ni mtumishi wa Mungu ambaye nahubiri na kufundisha neno la Mungu kuhusu habari za Yesu mwenye wokovu. Mungu amenipa baraka ya mke mmoja Veronica Japhet Magoti na watoto wawili wa kiume Jayson na Jayvyn Japhet Magoti.
...............................................................................................................................................
Unaweza kushiriki huduma hii kwa sadaka yako ili tuzidi kupeleka injili kwa watu wengi kwa njia zifuatazo:-
Mpesa 0764062976 jina JAPHET MAGOTI MATOTI
Safaricom mpesa number 0713307222 Japhet Matoti
Tigopesa 0712526937 Veronica Kanick
CRBD BANK 0152318092200 JAPHET MAGOTI
Mungu akubariki sana.

Пікірлер: 7

  • @GfhGfg-y7h
    @GfhGfg-y7h22 сағат бұрын

    Amen from Kenya

  • @user-ov4cn6cf3z
    @user-ov4cn6cf3z2 ай бұрын

    Amen be blessed pastor naoba uniobee nikaweze kufanikiwa maishani

  • @user-qd7yw7bi7w
    @user-qd7yw7bi7w2 ай бұрын

    Nimebarikiwa San

  • @JaneMaiga
    @JaneMaiga2 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe mtumishi Nashukuru Mungu kwa mahubiri yako kuhusu watoto kama vile umenihubiri mimi kuhusu kijana wangu naomba nikumbuke kwenye maombi

  • @erickogero4359
    @erickogero43592 ай бұрын

    Mungu akubariki zaidi pastor, nimejifunza mengi juma hili. Happy sabbath from kenya

  • @CharlesRomo-ot9ou
    @CharlesRomo-ot9ou2 ай бұрын

    Mchungaj mungu akubariki ultupatia masomo matamu

  • @JaneMaiga
    @JaneMaiga2 ай бұрын

    Alikuwa anakunywa sana pombe lla Nashukuru Mungu kwa sasa anaendelea vizuri naomba endelea kumuombea

Келесі