Mtumishi asante kwa somo unaeleweka vizuri na uko vizuri mungu akujaalie kwa maono
@teddclive1506 Жыл бұрын
Waislamu wanaleta ubishi na mwalimu ansoma tu vitabu vya Uislamu. Huyu jamaa ana elimu ya kiislamu, nanyi mwapinga tu na elimu duni ya madrasa. Kazi nzuri Omari
@danielmako249311 ай бұрын
Excellent teaching
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Amen
@Ali-ui7qh Жыл бұрын
HUJALAZIMISHWA KUFA UKAKIONE NA ALLAH HAVUNJI MIADI KITAWELEWEKA KESHO QURAAN 67:29
@jumamaulid9462 Жыл бұрын
Nafurahi kuwa muislamu kwa vile sidanganywi ktk imani yangu. FUATILIA YAFUATAYO UPATE KUAMKA, KWANI WACHUNGAJI WENGI WANAPOUZUNGUMZIA UISLAMU HUCHOMOA VIPANDE VYA AYA HALAFU WAKAVIUNGANISHA ILI KUFIKIA MALENGO YAO. Na ndo mana kila kukicha, kila mtu anajiita Nabii eti katokewa na Yesu lkn cha ajabu Nabii A, hapatani na Nabii B, kanisa tofauti, ibada tofauti na hata mafundisho tofauti, lakini wote wanadai wametumwa na Yesu. AJABU🙈 Note: 1. Yesu alimwita Razaro akiwa kaburini na akatoka. Mbona alisikia na kuamka? 2. Waislamu hawaombi maiti wala makaburi lakini waislamu huwaombea dua maiti. Hata WAKRISTO pia wanapozika husema: (FULANI..... umetoka mavumbini na umerudi mavumbini) Je, hapo huwa anasikia? Au ktk nyimbo za WAKRISTO za maombolezo husema (FULANI umeumaliza mwendo ) Je, huwa anasikia? LAKINI pia WAKRISTO huwa mnaaga maiti, Je, kuna mawasiliano gani kati yenu na maiti hapo? 3.Wale watu wa pangoni kwa mujibu wa Qur'an hawakuwa kaburini bali hawakuwa wafu. Ila walikuwa wamelala usingizi mzito. Hapo mwenye elimi sahihi hawezi kuwafananisha na maiti. 4.Hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumsemesha wala kumsikilizisha binadamu mwenzie haijalishi yu hai au umfu bali hayo yote yawezekana kwa uwezo wa Mungu tu. Ndo mana maana Muhammad akaambiwa wewe huwezi kumsikilizisha maiti bali afanyaye hivyo ni Allaah tu. HIVYO hata kilugha kuna kuna tofauti kati ya KUSIKIA na KUSIKILIZISHA.
@hilaryarande-gs8ht6 ай бұрын
Waislamu wanagadhabu Leo umeweka uchafu wao wazi na kuambia ni mizimu hii watu wanaamini
@HusseinGabu-wr3xh10 ай бұрын
Huyu mpuuzi anajua ukweli lakini anakwepa anahepa jinga kapisa
@erickmurwiri2778 Жыл бұрын
Kanzi niija kuhuthuria ibaada au la
@kesammachenya54912 жыл бұрын
naomba namba ya mtumishi huyo
@badruseif1318 Жыл бұрын
Huyu jamaa mpk sura imefubaa Kwa kuwapoteza watu
@HusseinGabu-wr3xh10 ай бұрын
Huyu mpuuzi anajua lakini anakwepa kadiri Makubwa weye
@sylviakazimily8760 Жыл бұрын
Mtumishi upo sawa kabisa hata huku tunahudhuria misiba tunajionea hilo sipingi hongera naendelea kufundisha ili kondoo wa bwana waliopotea wapate kurudi kundini mungu akubariki sana popote ulipo ameen!!
@HusseinGabu-wr3xh10 ай бұрын
Kafie mbele na ukafiri wako
@crescentvscross1132 Жыл бұрын
Hunogi wala watu wako wanamashaka pia ila wanapoteza muda itangazeni Quran. Usabato hausogelei Uislamu hata robo . Mtakesha
@adolphsibomana4549
Жыл бұрын
nikweli watu shetani ana watu wengi saana hiio namungu anajuwa kwasababu njia yambingu ni nyepesi lakini yashetani nikubwa nawatu niwengi wanao yipitia
@Ali-ui7qh Жыл бұрын
WW MUONGO UMESOMA KIARABU MIAKA MINGI UNAVOSEMA NA BROKEN UNAVOSEMA MUNGO WW
@mohamedhamimally4121
Жыл бұрын
Huyu hana elimu ni msaka tonge tuu muwacheni awapoteshe tuu
@adolphsibomana4549
Жыл бұрын
hahahaha eish kicwa ngumu
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
@@mohamedhamimally4121 weka Ukweli kwa Neno la MUNGU
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
Weka Ukweli kwa Neno la MUNGU
@abuumaryam1922 Жыл бұрын
Huyu jamaaaa ni muongo sijaona daaah aise wakristo dini yao inajengeka kwa uongo kwa wasojua kiarab wanaona jamaaa msomi kwelkwel kumbe garasa Hamna kitu la mbele nyuma la nyuma mbele kumbuka siku utasimama mbele ya mola wako kwa unavyo wapotosha watu utajuta Siku hiyo uislam huujui jamaa wala hujausoma hujui unawapotosha watu
@adolphsibomana4549
Жыл бұрын
sass leta ukweli wako tuwusikiye kwakuwa amesema mambo viyongozi wa islam hawawezi kukwambia utasema ni uwongo uyo mungu anasikia lugha moja tu ya ki arabu nimungu gani sisi Yesu kristo ana juwa lugha zote njooni kwa yesu ndugu yangu acana nahao warabu
@nicksnicks6201
Жыл бұрын
Uislamu ni uwongo washirikina makafiri
@hilaryarande-gs8ht6 ай бұрын
Aki hii ni dini ya ajabu
@mohamedhamimally4121 Жыл бұрын
Msaka tonge huyu mwacheni atafute riziki yake hawa tunawajua huyu bwana elimu ya kiisilim haijui
@poveldeo9647
Жыл бұрын
Kwl mtu ananukuuuu kwny kitabu cha Quran anaitwa msaka tonge msema kwl
@justintabu7291
Жыл бұрын
Wewe msema ukweli tuambie tukuelewe
@ezekielmurimi6874
Жыл бұрын
Toa hoja za kupinga anayoyasema, usiwe na jazba
@felixgitonga6783
11 ай бұрын
Waislamu mpaka uombea mwamendi dua dua gani kwa mwamendi Joni kwa yesu kristo mupate usima wa milele
Пікірлер: 30
Mtumishi asante kwa somo unaeleweka vizuri na uko vizuri mungu akujaalie kwa maono
Waislamu wanaleta ubishi na mwalimu ansoma tu vitabu vya Uislamu. Huyu jamaa ana elimu ya kiislamu, nanyi mwapinga tu na elimu duni ya madrasa. Kazi nzuri Omari
Excellent teaching
Amen
HUJALAZIMISHWA KUFA UKAKIONE NA ALLAH HAVUNJI MIADI KITAWELEWEKA KESHO QURAAN 67:29
Nafurahi kuwa muislamu kwa vile sidanganywi ktk imani yangu. FUATILIA YAFUATAYO UPATE KUAMKA, KWANI WACHUNGAJI WENGI WANAPOUZUNGUMZIA UISLAMU HUCHOMOA VIPANDE VYA AYA HALAFU WAKAVIUNGANISHA ILI KUFIKIA MALENGO YAO. Na ndo mana kila kukicha, kila mtu anajiita Nabii eti katokewa na Yesu lkn cha ajabu Nabii A, hapatani na Nabii B, kanisa tofauti, ibada tofauti na hata mafundisho tofauti, lakini wote wanadai wametumwa na Yesu. AJABU🙈 Note: 1. Yesu alimwita Razaro akiwa kaburini na akatoka. Mbona alisikia na kuamka? 2. Waislamu hawaombi maiti wala makaburi lakini waislamu huwaombea dua maiti. Hata WAKRISTO pia wanapozika husema: (FULANI..... umetoka mavumbini na umerudi mavumbini) Je, hapo huwa anasikia? Au ktk nyimbo za WAKRISTO za maombolezo husema (FULANI umeumaliza mwendo ) Je, huwa anasikia? LAKINI pia WAKRISTO huwa mnaaga maiti, Je, kuna mawasiliano gani kati yenu na maiti hapo? 3.Wale watu wa pangoni kwa mujibu wa Qur'an hawakuwa kaburini bali hawakuwa wafu. Ila walikuwa wamelala usingizi mzito. Hapo mwenye elimi sahihi hawezi kuwafananisha na maiti. 4.Hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumsemesha wala kumsikilizisha binadamu mwenzie haijalishi yu hai au umfu bali hayo yote yawezekana kwa uwezo wa Mungu tu. Ndo mana maana Muhammad akaambiwa wewe huwezi kumsikilizisha maiti bali afanyaye hivyo ni Allaah tu. HIVYO hata kilugha kuna kuna tofauti kati ya KUSIKIA na KUSIKILIZISHA.
Waislamu wanagadhabu Leo umeweka uchafu wao wazi na kuambia ni mizimu hii watu wanaamini
Huyu mpuuzi anajua ukweli lakini anakwepa anahepa jinga kapisa
Kanzi niija kuhuthuria ibaada au la
naomba namba ya mtumishi huyo
Huyu jamaa mpk sura imefubaa Kwa kuwapoteza watu
Huyu mpuuzi anajua lakini anakwepa kadiri Makubwa weye
Mtumishi upo sawa kabisa hata huku tunahudhuria misiba tunajionea hilo sipingi hongera naendelea kufundisha ili kondoo wa bwana waliopotea wapate kurudi kundini mungu akubariki sana popote ulipo ameen!!
Kafie mbele na ukafiri wako
Hunogi wala watu wako wanamashaka pia ila wanapoteza muda itangazeni Quran. Usabato hausogelei Uislamu hata robo . Mtakesha
@adolphsibomana4549
Жыл бұрын
nikweli watu shetani ana watu wengi saana hiio namungu anajuwa kwasababu njia yambingu ni nyepesi lakini yashetani nikubwa nawatu niwengi wanao yipitia
WW MUONGO UMESOMA KIARABU MIAKA MINGI UNAVOSEMA NA BROKEN UNAVOSEMA MUNGO WW
@mohamedhamimally4121
Жыл бұрын
Huyu hana elimu ni msaka tonge tuu muwacheni awapoteshe tuu
@adolphsibomana4549
Жыл бұрын
hahahaha eish kicwa ngumu
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
@@mohamedhamimally4121 weka Ukweli kwa Neno la MUNGU
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
Weka Ukweli kwa Neno la MUNGU
Huyu jamaaaa ni muongo sijaona daaah aise wakristo dini yao inajengeka kwa uongo kwa wasojua kiarab wanaona jamaaa msomi kwelkwel kumbe garasa Hamna kitu la mbele nyuma la nyuma mbele kumbuka siku utasimama mbele ya mola wako kwa unavyo wapotosha watu utajuta Siku hiyo uislam huujui jamaa wala hujausoma hujui unawapotosha watu
@adolphsibomana4549
Жыл бұрын
sass leta ukweli wako tuwusikiye kwakuwa amesema mambo viyongozi wa islam hawawezi kukwambia utasema ni uwongo uyo mungu anasikia lugha moja tu ya ki arabu nimungu gani sisi Yesu kristo ana juwa lugha zote njooni kwa yesu ndugu yangu acana nahao warabu
@nicksnicks6201
Жыл бұрын
Uislamu ni uwongo washirikina makafiri
Aki hii ni dini ya ajabu
Msaka tonge huyu mwacheni atafute riziki yake hawa tunawajua huyu bwana elimu ya kiisilim haijui
@poveldeo9647
Жыл бұрын
Kwl mtu ananukuuuu kwny kitabu cha Quran anaitwa msaka tonge msema kwl
@justintabu7291
Жыл бұрын
Wewe msema ukweli tuambie tukuelewe
@ezekielmurimi6874
Жыл бұрын
Toa hoja za kupinga anayoyasema, usiwe na jazba
@felixgitonga6783
11 ай бұрын
Waislamu mpaka uombea mwamendi dua dua gani kwa mwamendi Joni kwa yesu kristo mupate usima wa milele