Miraj Khan 0nline kauli yetu ni MKWELI MWAMINIFU pata kusikiliza mawaidha ya masheikh mbalimbali wasiliana nasi au tutumie tukiololote linalohusu DINI na JAMII kwa whatsap +255 713 730 907 au kwa email: buikhan21@gmail.com
Жүктеу.....
Пікірлер: 142
@cabylake2320 Жыл бұрын
Mashaallah 💓❤️💓 love Muslim 💓💓 Allah awape maisha marefu kulingania dini yake
@hubertlamlam73092 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu yohana uwahubirie waislam wamjue yesu waokolewe
@rhiophiri68572 жыл бұрын
Kinyogoli, you are a good teacher of both books, the Holly Quran and the bibles, undisputably well versed
@habibaoman242 жыл бұрын
Maashaallah mwenyezimungu awaongoze mashehe wetu
@luqmanimbugwa92972 жыл бұрын
MeshaAllah shekh w2 Allah Subhan w thalan awatia nguvu kw kazi nzuri
@ommy36172 жыл бұрын
Kinyogoli Allah akupatie maisha marefu uitete dini ya mwenyezimungu
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Kinyogoli wew ni mkali Bana nakukubali....Mungu akuzidishie....
@hasinabaraka3042 жыл бұрын
Uislamu utabaki kuwa juu poleni sana kwa upotevu
@annkuya1446
2 жыл бұрын
Lakini hautamfikia Yesu Kristo. Yesu wetu ako juu,juu mbinguni kwa Nuru.
@omanomqn43452 жыл бұрын
Mashekh wetu, Allah AWAHIFADHI na vitimbi vya SHEITWANI,,, mashekhe majibu yenu mazuri Sana na mnakwenda vizuri na mdahalo huu,, sio hao wakiristo hawana hoja,, uislamu ndio dini sahihi, na mtume muhammad ndie anafaa kufuatwa
@rizikiyusuf22502 жыл бұрын
Mashallah Allah awalinde masheh wetu
@daudyussuf8180
2 жыл бұрын
Mashallah
@mchopaluka43192 жыл бұрын
Safi sana Yohana Omar kumbe umestukia jinsi wanavyoharibu film
@jamilamohammed27712 жыл бұрын
Sheikh uko poa ma sha Allah
@husseinibrahim54382 жыл бұрын
MA SHA ALLAH
@abdalaauame38632 жыл бұрын
Mashalla allbdulilai ustaz juma kinhogor 👐👐👐👐👐
@emmyndunge6406 Жыл бұрын
Yesu do njia
@rqiyaabdallah8402 жыл бұрын
Mashallah Allah Awapenguvu
@BnoeFieldtechnicalsworks1000y2 жыл бұрын
Waisilamu okokeni pokeyeni Yesu kristo
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah
@mauliddunia79552 жыл бұрын
Mwalimu.munguakubaliki.walikuwa.wanatuonea
@musasaanane27582 жыл бұрын
Kinyogoli jamani nikupe nini mm na hao wenzako allah awazishie sana kila hali
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Raha ausi Raha 💓
@joelmwirigi17412 жыл бұрын
Hakika hii mnafanya kama siasa walimu,ila amukumbuki mungu akimuahidi Abraham baraka,uzao kama mchanga.someni kwa kuelewa wala si Kwa kuzindana. mungu ni mkuu yote yawezekana kwake.
@husseinhamad42522 жыл бұрын
Safi Sana mungu awabariki
@nganetz32512 жыл бұрын
Maashalah
@modestamwampashi48752 жыл бұрын
Akika kila mtu anahaki yakufuata kitu anachokiamin kuoji imani ya mwenzio kuwa ni ubatili yako nisalama uoni upofu wa macho yote anajua mungu binadam tutakufa dini zote tutaziacha. Sas apo tuache kubishania dini musiingilia majukumu yamungu
@BnoeFieldtechnicalsworks1000y2 жыл бұрын
Kristo nidjiwe limekatariwa na wadjenzi lakini kwa Mungu limecaguriwa
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali
@abdulathumani51252 жыл бұрын
Allah awaokoe mana hja hawana wakrixto
@jamilamohammed27712 жыл бұрын
Allahu akbar
@abdisalamshee36982 жыл бұрын
Masha Allah kazi ya daawa mzurii alafu huyu jamaa wakwanza ameritadi au nn 🤔
@sebastianmanufred58552 жыл бұрын
hamna hoja za msingi waislamu
@dadamkubwa10872 жыл бұрын
Mungu alituma mwana wake wapekee, saitani alitupwa toka mbinguni?je mbona uamini yesu alifufuka na akaenda mbinguni na alikuwa mwana wapekee,?sasa tufuate Muhammad, musa, yona Samuel, matayo, Luke, Alisha, yakobo, wote wako in bible, jamani nani alisameha yesu au Muhammad mimi nafuata mwenye alifufuka akaenda mbinguni.
@christian-jw4zb2 жыл бұрын
Jesus Christ is the Son of God. he can save us. Acts 17:30
@saadiashariff53772 жыл бұрын
Mashaa Allah, this sheikh is eloquent , Allah amuhifadhi ,Ameen thumma Ameen
@ademisho165
2 жыл бұрын
Huyu Sheikh ana hoja dhaifu sana. Hoja ni kati ya Muhammad na Yesu ni nani wa kufuatwa? Lakini yeye analeta hoja ya Musa na Haruni ambao wakati wao wala hakukuwa na Kanisa wala Sinagogi. Nilitegemea angetoa aya inayozungumzia Yesu bali anahama. Uwezo ni mdogo mdogo sana. Habari ya Muhammad kupanda farasi alidai yeye mwenyewe ilimtokea kwenye ndoto na hakuna aliyeishuhudia. Hivyo sio hoja
@rhiophiri6857
2 жыл бұрын
Kinyogoli is fantastically eloquent and to the point
Hao si watoto wa ahadi,hivyo hawana Hekima wala maarifa.😎😂
@huseinshedrack6180
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂sishangai kuona maneno haya sababu hta mm kabla cjaslim nilikuwa km ww,asikudanganye mtu km una akil timam ukiskiliza kwa nia ya kujifunza huwez kuwa mkristo sema ttzo la nyie wakristo mlio manyumbu hamko kwa kujifunza ila mna kariri tu
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
Yohana omari hunajipya wew huko umefata maslahi lakini jahannam inakusubiri
@noahwamalwa4385
2 жыл бұрын
si ukweli kzread.info/dash/bejne/dK1ouKONcrLYZ5M.html
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Omar usisome Quran na kiarabu wew ni kafiri....kaa huko huko usitusomee Quran yenyewe hujui kuisona waikufuru...
@jamilamohammed27712 жыл бұрын
S.A.w
@fatumabakari14802 жыл бұрын
Adam so mtume😂😂wakristo 🙌🙌🙌
@rayaalhabsi17252 жыл бұрын
Wewe ume kwenda kutafuta pesa kwa kusema uwongo hasbiya Allah wani'mal wakiil
@dicksonassery50832 жыл бұрын
Duuuh someni Marko 16:15 utaelewa vzuri who is Jesus
@angelalexalex43862 жыл бұрын
Msikate vpande bna
@adansalah62532 жыл бұрын
Wakati kristo wanajibu Wana ongea kama Wana pigana maana hawana confidence.hata wkati wako church .
@lisauroble312 жыл бұрын
NAWAPENDA SANA KINYOGOLI UPO VIZURI
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Hawa wakristo wamepotea kweli kweli
@mchopaluka43192 жыл бұрын
Ukweli unajulikana sasa na waislamu wanaelewa wafanye mabadiliko tu Na la msingi ni sisi wakristo tushikamane bila kujadili umadhehebu
@rayaalhabsi17252 жыл бұрын
Huyo yohana ni muongo na mzandiq, hana lake moja
@fatumabakari14802 жыл бұрын
Yaaan wakristo Wana kashfaaa mno awajuii kuongea kwa adabuu na mtachomwa motoo 😩😩😩Allah awaongozeee
Ubishi wa nini ndugu zangu,,mambo ya kidini yanahitaji hekima ya kiroho siyo ya kimwili,,,mungu awa hurumie,,ila nawa sihi tu,mtafute ufunuo wa maneno ya kiroho,,acheni kuzitamka tu,,
@kazungukonde84062 жыл бұрын
Ipo siku watanzania mtakuja juta kumruhusu mazinge kupotosha imani zenu .... Najua xai yanayotokea Mozambique yalianza tu hivi ...ijueni kesho yenu sababu Ushindanishi wa dini unaleta vita
@kondesaidi5728
2 жыл бұрын
Ndo walivokudanganya wazungu 😆
@witnesskefa774 Жыл бұрын
Jifunze kuelewa
@MohamedAhmed-yi1yf2 жыл бұрын
Hivi huyu yohana murtadi anawezaji kumuabudu binadamu (issa bin maryam) yesu badala kumuabudu mungu mmoja hilo ni tatizo la kisaikology
@daudyussuf81802 жыл бұрын
Kwely haki itabaki kuwa haki
@muddymuller34542 жыл бұрын
Ndacha ashindwa kujibu swali la prof:Mazinge Tanga kzread.info/dash/bejne/qYaOsaNsgpund6w.html
@muendokiawa94022 жыл бұрын
Yesu kasema uongo mara kadha kwa mjibu wa biblia ata ni hajabu sana waislam hawajui kwamba yesu kadanganya
@annkuya1446
2 жыл бұрын
Na bado ako mbinguni, waongo na wauaji hawataona mbingu LA Yesu.Na Yesu Kristo ndiye ufufuo Wa Mwisho,sasa tunafuata ufufuo Wa Mwisho ambaye ako hai milele na milele.Na bado tunafuata Nuru ya Yesu aliye Hai mbinguni.
@katendemmayara3722 жыл бұрын
Waislamu hawatokaa waelewe maana kitabu chao kimekuja kigeni na kitaondoka kigeni!.
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Wakiristo wengi hawajui bibilia na wengi wao hawajaisoma mpaka wakaimaliza , Igeni mfano Kwa waislamu wanasoma QURAAN yote na isitoshe wanahifadhi nyie mnabaki kupayuka TU ... Soma sana kijana
@salehegiza33052 жыл бұрын
Sasa umesema cc ni Vipofu na mbele yetu kuna mtume na yesu halafu Moja wetu amepona sasa cc tunaona vip.wkt Cc wote ni vipofu
@pavlovdeking37252 жыл бұрын
Mnaweka vipande vinavyowabeba zaidi waislam, mbna mnakata ivyo 😁😁😁, weken full
Cjakuelewa vifup vp kwan anae anza kuongea hapo ni Shekh....? Tulia dawa iwaingie
@newlightmoviesproduction35982 жыл бұрын
Ningekua rais wa tz nisingemrusu mazinge kupotoza wa tanzania 🇹🇿
@aminatatu5692
2 жыл бұрын
Nahayitotokeeya weyekuwa rahisi tuliya
@cabylake2320
Жыл бұрын
Wewe jinga kabisa naainge tokea ww kua rais
@mejjarsagent2272 жыл бұрын
Mazinge hauna lolote ....tulia ufunzwe
@issmuking39872 жыл бұрын
yaaan unajua wazi kwamba wakristo hawana hoja za msingi a b wanajua wanachokizungumza ni pumba ila wanawapotosha wanaotaka kujua dini ya haki mbele Allah kama ni uislamu tu
@farajapeasonmagota8226
2 жыл бұрын
Mchungaji uko fiti
@makutanochristoph2820
2 жыл бұрын
Hebu nambie,ikiwa ungepatiwa kuku ukachinje upate kula na ukapewa kuku aliyekufa mwenyewe yaani nyamafu, Bila shaka ungechagua asiyejifia mwenyewe, Sasa je, ikiwa watumainia uzima wa milele peponi Napo pakawa na wajumbe wawili wakwanza yeye aliyekufa kisha akafufuka, wapili yeye alikufa na hakufufuka lakini nawe watumainia uzima wa milele ungemfuata yupi kwa mafundisho yapasayo kuuingia uzima wa milele?
@moseselinisafi6425
2 жыл бұрын
@@makutanochristoph2820 yesu juu
@khadijeyjumar6794
2 жыл бұрын
Kabisa wanapotosha tu watu haoo
@mbesinghabi1994
2 жыл бұрын
Mbona mohammad alikunja paji la uso kipofu alipomuendea.
@pavlovdeking37252 жыл бұрын
Mohamed alikufa hajafufuka, Yesu alikufa akafufuka, sasa nitamfuata vipi asiyefufuka??, kifo kimempiga
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Nenda kasome kijana uelewa wako mdogo sana na ujitahidi kutafuta ukweli kasome bibilia yote mwenyewe alaf ndo uongee na ujenge hoja sio Sasa huna tofauti na CHOKORAA ...
@mwanahija968 Жыл бұрын
Nashkuru kuwa muslim
@ramadhanishabani164411 ай бұрын
Yohana acha kuongopea watu mdahalo wa south Africa likuwepo ulikosaga chakujibu kabisa
@dadamkubwa10872 жыл бұрын
Akuna cha hiyo walemafu wasiende kanisani kwa nini??nana yesu alitoka wapi?pia Muhammad alitoka wapi??yesu alifufuka akaenda mbinguni, Muhammad alifufuka akazikwa kama mwanadamu mungu akilundi atafufuliwa, yesu akasema aliyeniona ameona baba, so we have one God a+Jesus the son of God, Okey the Bible says that yesu akasema siku za mwisho atarudi kama mwizi, je kuna mahali Muhammad anaandika atarudi na ako wapi mbinguni ama nduniani @£€€€₩
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
You are right,JESUS is everything we need now days🙏🙏
@pungopungo411
Жыл бұрын
Kuna walioandikiwa kwenda upotevuni. Mimi leo najua Yesu anarudi niache kumuamini atakaerudi nikamuamini ambae nitasimama nae kwenye foleni ya hukumu. Not make sense
@moseselinisafi64252 жыл бұрын
Yesu juu aruke juu uanguke chini
@hamisimzira95982 жыл бұрын
Shida sio kukata Tanzania inch huru Kama wakristo mnaona midahalo inakatwa waambien waalimu zenu nao watupie vile ambavyo wanaweka wenzao wanaona kabisa Hana hoja ndo Mana hawaweki hoja zao kwahiyo wakristo tulieni
@hamisimuhammad6225
2 жыл бұрын
Sana
@egidideule72855 ай бұрын
Waislam hawana hoja polopaganda nyingii
@mbarakambuguni32282 жыл бұрын
unajifurahisha tu mazinge kiboko yako
@moseselinisafi64252 жыл бұрын
Waislamu wamebakia tu kuwa wabishi ila hawana hoja
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
Unfuatilia vizuri lkn? Hayo uliyocomment ni kinyume chenu nyie ndio hamna jipya miaka yote mnafurukuta lkn hamuwezi kuinuka mkasimama
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Takwimu za Dunia Kila siku zinaonyesha dini inayokua Kwa Kasi ni uislamu japokua inapigwa vita, tunaonewa , mabalaa yote kwetu waislamu lakini Bado wanasilimu , WEWE HUJIULIZI TU MASWALI INAKUAJE ? Millie sana mola wako akuongoze kwenye haki
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
Wakristo ndo wakufuatwa,maana sifa nzuri zimetoka kwa JESUS. Maisha ya YESU ni mazuri ila Mohammad ana sifa mbaya kwanza alikuwa mpenda wanawake,alikuwa hana future,sasa unafuata vipi mtu asiye na future!!
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
punda wa watu Yuko wapi ? MWIZIIIIIIIII
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Uislamu ndio dini ya haki mpaka KIAMA...
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 Mohammad was a WOMANIZER😎
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 What ever you say it's nothing to Christians,our JESUS is BETTER than Mohammad. That's why even when you use his name things HAPPEN😎 Thank you JESUS we Love you!!🙏🙏
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
May the Almighty guide you ... Aameen
@elbaricktv16322 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mnatuchekesha kwakwel
@kisosekatere6282 Жыл бұрын
Sheik kumkataa Muhamad unaelewa kamaanisha nini? Mbona liko wazi kumkataa sio hoja yeye Muhamad alikuepo ila hali na Matendo yake yakonwazi pia, hapo bila ushabiki Waalim wa Kikristo wako juu m'no wala elim yao haiwezi kufananishwa na ya waalim wa kiislam Tatizo USHABIKI tu mbona jibu liko wazi KIPOFU Mfano mzuri sana wala hauhitaji MJADALA.
@jamilamohammed27712 жыл бұрын
Unapotosha watu
@ismailyussuf18052 жыл бұрын
Maskini WAGALA KILA HOJA ANASHINDAGWA NA MADA.HUYO YOHANA ni Muongo.
@kiaiezekiel33342 жыл бұрын
Bilali alikuwa mfungwa wapi Mohammad akamfungulia ?he kept begging for his realise
@saadiashariff5377
2 жыл бұрын
Bilal alikua mfugwa kabla hajakua mwislamu alinunuliwa Abu Bakr Al-Siddique, went to Bilal's master to try and put an end to the torture. He knew the master would value money more than a human soul. So, he offered to buy Bilal for a fair price. After He was bought by Abubakar Sadiq R.A he was set free ( Abu Bakar was companion of Muhammad s.a.w)
@kiaiezekiel3334
2 жыл бұрын
@@saadiashariff5377 then why Mohammed owned slaves ?if true he was a prophet of God
@saadiashariff5377
2 жыл бұрын
@@kiaiezekiel3334 please i refer you to read the legacy of Muhammad. You can get it until u read we are people of reading. Knowledge is power seek it to get the truth
@saadiashariff5377
2 жыл бұрын
*you cant*
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
YESU tu ndo anafaa kufuatwa,huyo Mohammed ni mtu haeleweki tu.
@@aminatatu5692 Amina hebu rudi darasani kwanza,then uje na maandishi yanayoso meka na kueleweka. We unaandika tu bila ya kufanya editing??😎😂
@mbarakambuguni32282 жыл бұрын
Kasome bado mazinge kiboko yako
@amurisabiti70372 жыл бұрын
Wa kufatwa ni Muhamad s.a.w basi nyie mukatae shauri yenu
@mbesinghabi1994
2 жыл бұрын
Nionyeshe andiko lolote kama mtume muhammad alikufa akafufuka
@michaelvicem63232 жыл бұрын
Nyinyi mnaotoa comment amtak ata kuelewa ni na MASHABIKI wa Yanga, Mbwa nyinyi
@user-gi4ls3bh3l
2 жыл бұрын
Mbwa niwewe kafiri mkubwa kenge wewe kombawmwiko kunguni jini wamgu moja
@iddmohammed1086
2 жыл бұрын
Michael unadiriki kuwaita waislamu mbwa, hivi ukristo haukatazi vitu vya kijinga kama hivyo? Basi mm ni muislamu ila cwezi kumwita mkristo mbwa maana dini yangu ni dini ya wastaarabu.
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Wakiristo wengi ni MACHOKORAA kwasababu hawasomi bibilia ... Wanaburuzwa tu ndo maana wanaitwa kondoo ... Ushahidi na mfano huo hapo mbele yenu alichokiongea
@michaelvicem6323
2 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 Sawaa sisi kondoo wew Kafiri unasemaje maana ya Uislam ni Ukafili Wa Maaka mpaka Leo mnaabudu sanamu LA jiwe jeusi,,mnasema Allah Allah kumbe siri lmefichuka Allah kumbe jiwe jeusi lipo ndani ya al Kaaba,
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Kweli wewe CHOKORAA wahed ... Nenda kasome ujifunze hivi wewe unaweza ukampanda yesu kimungu chenu juu ya kichwa hamuwezi hata siku moja Kwa taarifa yako Sasa we CHOKORAA wahed watu tofauti walikua wakipanda juu ya Alkaaba na wakitoa adhana kabla ya kuswali, mpaka hapo nimekupa elimu ya Bure kondoo wa kike wahed we ...
@aceofspades372811 ай бұрын
Muslims hawanaga hoja😅
@huseinshedrack61802 жыл бұрын
Hahahahahaha ndg zangu wakristo nyie kila mdaharo ni kushindwa tu, kwel Mungu ni mwema kunitoa huko
@rayaalhabsi17252 жыл бұрын
Astaghfirullah wewe unae jiita yohana wewe ni murtadi na mna fiqi mmoja, usipo rudi katika njia ya haqi uta ipata pata huko unako kwenda. Halafu una tafsiri unavyo taka wewe ama kweli huna elimu kabisa ya dini ya ki Islam nenda uka some tena
@jamilamohammed27712 жыл бұрын
Allahu akbar
@salehegiza33052 жыл бұрын
Sasa umesema cc ni Vipofu na mbele yetu kuna mtume na yesu halafu Moja wetu amepona sasa cc tunaona vip.wkt Cc wote ni vipofu
Пікірлер: 142
Mashaallah 💓❤️💓 love Muslim 💓💓 Allah awape maisha marefu kulingania dini yake
Mungu akutie nguvu yohana uwahubirie waislam wamjue yesu waokolewe
Kinyogoli, you are a good teacher of both books, the Holly Quran and the bibles, undisputably well versed
Maashaallah mwenyezimungu awaongoze mashehe wetu
MeshaAllah shekh w2 Allah Subhan w thalan awatia nguvu kw kazi nzuri
Kinyogoli Allah akupatie maisha marefu uitete dini ya mwenyezimungu
Kinyogoli wew ni mkali Bana nakukubali....Mungu akuzidishie....
Uislamu utabaki kuwa juu poleni sana kwa upotevu
@annkuya1446
2 жыл бұрын
Lakini hautamfikia Yesu Kristo. Yesu wetu ako juu,juu mbinguni kwa Nuru.
Mashekh wetu, Allah AWAHIFADHI na vitimbi vya SHEITWANI,,, mashekhe majibu yenu mazuri Sana na mnakwenda vizuri na mdahalo huu,, sio hao wakiristo hawana hoja,, uislamu ndio dini sahihi, na mtume muhammad ndie anafaa kufuatwa
Mashallah Allah awalinde masheh wetu
@daudyussuf8180
2 жыл бұрын
Mashallah
Safi sana Yohana Omar kumbe umestukia jinsi wanavyoharibu film
Sheikh uko poa ma sha Allah
MA SHA ALLAH
Mashalla allbdulilai ustaz juma kinhogor 👐👐👐👐👐
Yesu do njia
Mashallah Allah Awapenguvu
Waisilamu okokeni pokeyeni Yesu kristo
Mashallah Allah
Mwalimu.munguakubaliki.walikuwa.wanatuonea
Kinyogoli jamani nikupe nini mm na hao wenzako allah awazishie sana kila hali
Raha ausi Raha 💓
Hakika hii mnafanya kama siasa walimu,ila amukumbuki mungu akimuahidi Abraham baraka,uzao kama mchanga.someni kwa kuelewa wala si Kwa kuzindana. mungu ni mkuu yote yawezekana kwake.
Safi Sana mungu awabariki
Maashalah
Akika kila mtu anahaki yakufuata kitu anachokiamin kuoji imani ya mwenzio kuwa ni ubatili yako nisalama uoni upofu wa macho yote anajua mungu binadam tutakufa dini zote tutaziacha. Sas apo tuache kubishania dini musiingilia majukumu yamungu
Kristo nidjiwe limekatariwa na wadjenzi lakini kwa Mungu limecaguriwa
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali
Allah awaokoe mana hja hawana wakrixto
Allahu akbar
Masha Allah kazi ya daawa mzurii alafu huyu jamaa wakwanza ameritadi au nn 🤔
hamna hoja za msingi waislamu
Mungu alituma mwana wake wapekee, saitani alitupwa toka mbinguni?je mbona uamini yesu alifufuka na akaenda mbinguni na alikuwa mwana wapekee,?sasa tufuate Muhammad, musa, yona Samuel, matayo, Luke, Alisha, yakobo, wote wako in bible, jamani nani alisameha yesu au Muhammad mimi nafuata mwenye alifufuka akaenda mbinguni.
Jesus Christ is the Son of God. he can save us. Acts 17:30
Mashaa Allah, this sheikh is eloquent , Allah amuhifadhi ,Ameen thumma Ameen
@ademisho165
2 жыл бұрын
Huyu Sheikh ana hoja dhaifu sana. Hoja ni kati ya Muhammad na Yesu ni nani wa kufuatwa? Lakini yeye analeta hoja ya Musa na Haruni ambao wakati wao wala hakukuwa na Kanisa wala Sinagogi. Nilitegemea angetoa aya inayozungumzia Yesu bali anahama. Uwezo ni mdogo mdogo sana. Habari ya Muhammad kupanda farasi alidai yeye mwenyewe ilimtokea kwenye ndoto na hakuna aliyeishuhudia. Hivyo sio hoja
@rhiophiri6857
2 жыл бұрын
Kinyogoli is fantastically eloquent and to the point
Mdahaloo endelerni kuendeleza vidyo zake
jibuni kwa hoja nzuri zenye vina waislamu majibu yenu hamtumii akili
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
Hao si watoto wa ahadi,hivyo hawana Hekima wala maarifa.😎😂
@huseinshedrack6180
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂sishangai kuona maneno haya sababu hta mm kabla cjaslim nilikuwa km ww,asikudanganye mtu km una akil timam ukiskiliza kwa nia ya kujifunza huwez kuwa mkristo sema ttzo la nyie wakristo mlio manyumbu hamko kwa kujifunza ila mna kariri tu
Yohana omari hunajipya wew huko umefata maslahi lakini jahannam inakusubiri
@noahwamalwa4385
2 жыл бұрын
si ukweli kzread.info/dash/bejne/dK1ouKONcrLYZ5M.html
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Omar usisome Quran na kiarabu wew ni kafiri....kaa huko huko usitusomee Quran yenyewe hujui kuisona waikufuru...
S.A.w
Adam so mtume😂😂wakristo 🙌🙌🙌
Wewe ume kwenda kutafuta pesa kwa kusema uwongo hasbiya Allah wani'mal wakiil
Duuuh someni Marko 16:15 utaelewa vzuri who is Jesus
Msikate vpande bna
Wakati kristo wanajibu Wana ongea kama Wana pigana maana hawana confidence.hata wkati wako church .
NAWAPENDA SANA KINYOGOLI UPO VIZURI
Hawa wakristo wamepotea kweli kweli
Ukweli unajulikana sasa na waislamu wanaelewa wafanye mabadiliko tu Na la msingi ni sisi wakristo tushikamane bila kujadili umadhehebu
Huyo yohana ni muongo na mzandiq, hana lake moja
Yaaan wakristo Wana kashfaaa mno awajuii kuongea kwa adabuu na mtachomwa motoo 😩😩😩Allah awaongozeee
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
Utachomwa moto wewe na waislam wenzio 👹
Mimi nimkiristo ukweli unapatika kwakusoma mandiko.
Ubishi wa nini ndugu zangu,,mambo ya kidini yanahitaji hekima ya kiroho siyo ya kimwili,,,mungu awa hurumie,,ila nawa sihi tu,mtafute ufunuo wa maneno ya kiroho,,acheni kuzitamka tu,,
Ipo siku watanzania mtakuja juta kumruhusu mazinge kupotosha imani zenu .... Najua xai yanayotokea Mozambique yalianza tu hivi ...ijueni kesho yenu sababu Ushindanishi wa dini unaleta vita
@kondesaidi5728
2 жыл бұрын
Ndo walivokudanganya wazungu 😆
Jifunze kuelewa
Hivi huyu yohana murtadi anawezaji kumuabudu binadamu (issa bin maryam) yesu badala kumuabudu mungu mmoja hilo ni tatizo la kisaikology
Kwely haki itabaki kuwa haki
Ndacha ashindwa kujibu swali la prof:Mazinge Tanga kzread.info/dash/bejne/qYaOsaNsgpund6w.html
Yesu kasema uongo mara kadha kwa mjibu wa biblia ata ni hajabu sana waislam hawajui kwamba yesu kadanganya
@annkuya1446
2 жыл бұрын
Na bado ako mbinguni, waongo na wauaji hawataona mbingu LA Yesu.Na Yesu Kristo ndiye ufufuo Wa Mwisho,sasa tunafuata ufufuo Wa Mwisho ambaye ako hai milele na milele.Na bado tunafuata Nuru ya Yesu aliye Hai mbinguni.
Waislamu hawatokaa waelewe maana kitabu chao kimekuja kigeni na kitaondoka kigeni!.
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Wakiristo wengi hawajui bibilia na wengi wao hawajaisoma mpaka wakaimaliza , Igeni mfano Kwa waislamu wanasoma QURAAN yote na isitoshe wanahifadhi nyie mnabaki kupayuka TU ... Soma sana kijana
Sasa umesema cc ni Vipofu na mbele yetu kuna mtume na yesu halafu Moja wetu amepona sasa cc tunaona vip.wkt Cc wote ni vipofu
Mnaweka vipande vinavyowabeba zaidi waislam, mbna mnakata ivyo 😁😁😁, weken full
@sylvesterhezron8062
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@noahwamalwa4385
2 жыл бұрын
mashalaah kzread.info/dash/bejne/dK1ouKONcrLYZ5M.html
@huseinshedrack6180
2 жыл бұрын
Cjakuelewa vifup vp kwan anae anza kuongea hapo ni Shekh....? Tulia dawa iwaingie
Ningekua rais wa tz nisingemrusu mazinge kupotoza wa tanzania 🇹🇿
@aminatatu5692
2 жыл бұрын
Nahayitotokeeya weyekuwa rahisi tuliya
@cabylake2320
Жыл бұрын
Wewe jinga kabisa naainge tokea ww kua rais
Mazinge hauna lolote ....tulia ufunzwe
yaaan unajua wazi kwamba wakristo hawana hoja za msingi a b wanajua wanachokizungumza ni pumba ila wanawapotosha wanaotaka kujua dini ya haki mbele Allah kama ni uislamu tu
@farajapeasonmagota8226
2 жыл бұрын
Mchungaji uko fiti
@makutanochristoph2820
2 жыл бұрын
Hebu nambie,ikiwa ungepatiwa kuku ukachinje upate kula na ukapewa kuku aliyekufa mwenyewe yaani nyamafu, Bila shaka ungechagua asiyejifia mwenyewe, Sasa je, ikiwa watumainia uzima wa milele peponi Napo pakawa na wajumbe wawili wakwanza yeye aliyekufa kisha akafufuka, wapili yeye alikufa na hakufufuka lakini nawe watumainia uzima wa milele ungemfuata yupi kwa mafundisho yapasayo kuuingia uzima wa milele?
@moseselinisafi6425
2 жыл бұрын
@@makutanochristoph2820 yesu juu
@khadijeyjumar6794
2 жыл бұрын
Kabisa wanapotosha tu watu haoo
@mbesinghabi1994
2 жыл бұрын
Mbona mohammad alikunja paji la uso kipofu alipomuendea.
Mohamed alikufa hajafufuka, Yesu alikufa akafufuka, sasa nitamfuata vipi asiyefufuka??, kifo kimempiga
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Nenda kasome kijana uelewa wako mdogo sana na ujitahidi kutafuta ukweli kasome bibilia yote mwenyewe alaf ndo uongee na ujenge hoja sio Sasa huna tofauti na CHOKORAA ...
Nashkuru kuwa muslim
Yohana acha kuongopea watu mdahalo wa south Africa likuwepo ulikosaga chakujibu kabisa
Akuna cha hiyo walemafu wasiende kanisani kwa nini??nana yesu alitoka wapi?pia Muhammad alitoka wapi??yesu alifufuka akaenda mbinguni, Muhammad alifufuka akazikwa kama mwanadamu mungu akilundi atafufuliwa, yesu akasema aliyeniona ameona baba, so we have one God a+Jesus the son of God, Okey the Bible says that yesu akasema siku za mwisho atarudi kama mwizi, je kuna mahali Muhammad anaandika atarudi na ako wapi mbinguni ama nduniani @£€€€₩
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
You are right,JESUS is everything we need now days🙏🙏
@pungopungo411
Жыл бұрын
Kuna walioandikiwa kwenda upotevuni. Mimi leo najua Yesu anarudi niache kumuamini atakaerudi nikamuamini ambae nitasimama nae kwenye foleni ya hukumu. Not make sense
Yesu juu aruke juu uanguke chini
Shida sio kukata Tanzania inch huru Kama wakristo mnaona midahalo inakatwa waambien waalimu zenu nao watupie vile ambavyo wanaweka wenzao wanaona kabisa Hana hoja ndo Mana hawaweki hoja zao kwahiyo wakristo tulieni
@hamisimuhammad6225
2 жыл бұрын
Sana
Waislam hawana hoja polopaganda nyingii
unajifurahisha tu mazinge kiboko yako
Waislamu wamebakia tu kuwa wabishi ila hawana hoja
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
Unfuatilia vizuri lkn? Hayo uliyocomment ni kinyume chenu nyie ndio hamna jipya miaka yote mnafurukuta lkn hamuwezi kuinuka mkasimama
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Takwimu za Dunia Kila siku zinaonyesha dini inayokua Kwa Kasi ni uislamu japokua inapigwa vita, tunaonewa , mabalaa yote kwetu waislamu lakini Bado wanasilimu , WEWE HUJIULIZI TU MASWALI INAKUAJE ? Millie sana mola wako akuongoze kwenye haki
Wakristo ndo wakufuatwa,maana sifa nzuri zimetoka kwa JESUS. Maisha ya YESU ni mazuri ila Mohammad ana sifa mbaya kwanza alikuwa mpenda wanawake,alikuwa hana future,sasa unafuata vipi mtu asiye na future!!
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
punda wa watu Yuko wapi ? MWIZIIIIIIIII
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Uislamu ndio dini ya haki mpaka KIAMA...
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 Mohammad was a WOMANIZER😎
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 What ever you say it's nothing to Christians,our JESUS is BETTER than Mohammad. That's why even when you use his name things HAPPEN😎 Thank you JESUS we Love you!!🙏🙏
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
May the Almighty guide you ... Aameen
🤣🤣🤣🤣mnatuchekesha kwakwel
Sheik kumkataa Muhamad unaelewa kamaanisha nini? Mbona liko wazi kumkataa sio hoja yeye Muhamad alikuepo ila hali na Matendo yake yakonwazi pia, hapo bila ushabiki Waalim wa Kikristo wako juu m'no wala elim yao haiwezi kufananishwa na ya waalim wa kiislam Tatizo USHABIKI tu mbona jibu liko wazi KIPOFU Mfano mzuri sana wala hauhitaji MJADALA.
Unapotosha watu
Maskini WAGALA KILA HOJA ANASHINDAGWA NA MADA.HUYO YOHANA ni Muongo.
Bilali alikuwa mfungwa wapi Mohammad akamfungulia ?he kept begging for his realise
@saadiashariff5377
2 жыл бұрын
Bilal alikua mfugwa kabla hajakua mwislamu alinunuliwa Abu Bakr Al-Siddique, went to Bilal's master to try and put an end to the torture. He knew the master would value money more than a human soul. So, he offered to buy Bilal for a fair price. After He was bought by Abubakar Sadiq R.A he was set free ( Abu Bakar was companion of Muhammad s.a.w)
@kiaiezekiel3334
2 жыл бұрын
@@saadiashariff5377 then why Mohammed owned slaves ?if true he was a prophet of God
@saadiashariff5377
2 жыл бұрын
@@kiaiezekiel3334 please i refer you to read the legacy of Muhammad. You can get it until u read we are people of reading. Knowledge is power seek it to get the truth
@saadiashariff5377
2 жыл бұрын
*you cant*
YESU tu ndo anafaa kufuatwa,huyo Mohammed ni mtu haeleweki tu.
@aminatatu5692
2 жыл бұрын
Alokutuma umfatu muhamdi nani?mbonatopowengi waslamu atukutaki
@editrudesmbonde9051
2 жыл бұрын
@@aminatatu5692 Amina hebu rudi darasani kwanza,then uje na maandishi yanayoso meka na kueleweka. We unaandika tu bila ya kufanya editing??😎😂
Kasome bado mazinge kiboko yako
Wa kufatwa ni Muhamad s.a.w basi nyie mukatae shauri yenu
@mbesinghabi1994
2 жыл бұрын
Nionyeshe andiko lolote kama mtume muhammad alikufa akafufuka
Nyinyi mnaotoa comment amtak ata kuelewa ni na MASHABIKI wa Yanga, Mbwa nyinyi
@user-gi4ls3bh3l
2 жыл бұрын
Mbwa niwewe kafiri mkubwa kenge wewe kombawmwiko kunguni jini wamgu moja
@iddmohammed1086
2 жыл бұрын
Michael unadiriki kuwaita waislamu mbwa, hivi ukristo haukatazi vitu vya kijinga kama hivyo? Basi mm ni muislamu ila cwezi kumwita mkristo mbwa maana dini yangu ni dini ya wastaarabu.
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Wakiristo wengi ni MACHOKORAA kwasababu hawasomi bibilia ... Wanaburuzwa tu ndo maana wanaitwa kondoo ... Ushahidi na mfano huo hapo mbele yenu alichokiongea
@michaelvicem6323
2 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 Sawaa sisi kondoo wew Kafiri unasemaje maana ya Uislam ni Ukafili Wa Maaka mpaka Leo mnaabudu sanamu LA jiwe jeusi,,mnasema Allah Allah kumbe siri lmefichuka Allah kumbe jiwe jeusi lipo ndani ya al Kaaba,
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Kweli wewe CHOKORAA wahed ... Nenda kasome ujifunze hivi wewe unaweza ukampanda yesu kimungu chenu juu ya kichwa hamuwezi hata siku moja Kwa taarifa yako Sasa we CHOKORAA wahed watu tofauti walikua wakipanda juu ya Alkaaba na wakitoa adhana kabla ya kuswali, mpaka hapo nimekupa elimu ya Bure kondoo wa kike wahed we ...
Muslims hawanaga hoja😅
Hahahahahaha ndg zangu wakristo nyie kila mdaharo ni kushindwa tu, kwel Mungu ni mwema kunitoa huko
Astaghfirullah wewe unae jiita yohana wewe ni murtadi na mna fiqi mmoja, usipo rudi katika njia ya haqi uta ipata pata huko unako kwenda. Halafu una tafsiri unavyo taka wewe ama kweli huna elimu kabisa ya dini ya ki Islam nenda uka some tena
Allahu akbar
Sasa umesema cc ni Vipofu na mbele yetu kuna mtume na yesu halafu Moja wetu amepona sasa cc tunaona vip.wkt Cc wote ni vipofu