Jiepusheni Sana Utani wa makabila Kwenye Siasa za mateso... Dont give a chance to any counter productive communication.
@adelinelyaruu303615 күн бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@elibarikimollel714915 күн бұрын
Tuwe nao na wote tuwe na uthubutu wa kuwakemea sio kusemewa tu wakati saa hizi wanatungiwa mbinu za kuwaengua na kuwateka,sisi tunarudi majumbani kimya kwa dhambi ya uoga! Wekeni lengo mkomae kulinda kura!
@odoieriasmonga659115 күн бұрын
Mama Aduli kauza kila kitu
@bukurunestory354015 күн бұрын
Let us Go
@abdillahamour23415 күн бұрын
Hujui kitu
@MichaelMwasese14 күн бұрын
Mama Samia nipo chini yamguu yko kuongoza kuingozwa. Natu ambaao hawakuchaguliwa nn manakke Tanganyika watu wanamaind sio vzri Sasa Sasa aahh Putin aanataka bandari hifadhi zetu tumpe putini AA menzza na ginee tz watu wanaumwa putini ata waponya now twende muda utaongea
@donatusrupoli484515 күн бұрын
hakika hotuba imetulia kisawasawa.
@evelina962115 күн бұрын
Watania.wanaunga Mkono.kukoma.wakubali
@baizoboy171915 күн бұрын
Nilikuwepo sema sionekani maana walichukuliwa walokuwa mbele tu😠
@alvezog_383615 күн бұрын
Tanzania Sisi Ni Wahoga Sana Yani Tulitakiwa Kufanya Kama Kenya Mamaee😂😂
@elibarikimollel714915 күн бұрын
Wananchi wa Mwanga hayo yote ni kweli tupu,Jiulizeni kwanini huduma za Elimu,na Afya wao hatuwaoni huko tatizo au tofauti yao na sisi ninini?! Chunguzeni wenyewe kama mtaona watoto wao kwenye foleni hospitalini ama katika mashule na vyuo vyetu ndipo mtaamini au kukataa maneno ya mh.Lema...
Za kuzijaza mafuta ya bure zikienda popote nchini zimetengwa ngapi,hatujui lakini walipaji ni sisi kwenye tozo!. Yani hawa! Haidhuru Mungu anawaona...
@charlesshitobelo6870
14 күн бұрын
Mungu amekupa akili ya kutambua mema na mabaya, acha kujificha kwenye kivuli cha Mungu yeye amekwisha fanya kazi yake. Ni wajibu wako kuyakataa kwa vitendo hayo mabaya yanayotendwa na viongozi.
Пікірлер: 15
Jiepusheni Sana Utani wa makabila Kwenye Siasa za mateso... Dont give a chance to any counter productive communication.
Mungu ibariki Tanzania
Tuwe nao na wote tuwe na uthubutu wa kuwakemea sio kusemewa tu wakati saa hizi wanatungiwa mbinu za kuwaengua na kuwateka,sisi tunarudi majumbani kimya kwa dhambi ya uoga! Wekeni lengo mkomae kulinda kura!
Mama Aduli kauza kila kitu
Let us Go
Hujui kitu
Mama Samia nipo chini yamguu yko kuongoza kuingozwa. Natu ambaao hawakuchaguliwa nn manakke Tanganyika watu wanamaind sio vzri Sasa Sasa aahh Putin aanataka bandari hifadhi zetu tumpe putini AA menzza na ginee tz watu wanaumwa putini ata waponya now twende muda utaongea
hakika hotuba imetulia kisawasawa.
Watania.wanaunga Mkono.kukoma.wakubali
Nilikuwepo sema sionekani maana walichukuliwa walokuwa mbele tu😠
Tanzania Sisi Ni Wahoga Sana Yani Tulitakiwa Kufanya Kama Kenya Mamaee😂😂
Wananchi wa Mwanga hayo yote ni kweli tupu,Jiulizeni kwanini huduma za Elimu,na Afya wao hatuwaoni huko tatizo au tofauti yao na sisi ninini?! Chunguzeni wenyewe kama mtaona watoto wao kwenye foleni hospitalini ama katika mashule na vyuo vyetu ndipo mtaamini au kukataa maneno ya mh.Lema...
Mbowe.kazana.usirudi.nyuma.ccm.wasikutisha.ma.samia.kucheka..nimefurahi.hutuba.yako.geuzeni.sera.ccm.basi
Za kuzijaza mafuta ya bure zikienda popote nchini zimetengwa ngapi,hatujui lakini walipaji ni sisi kwenye tozo!. Yani hawa! Haidhuru Mungu anawaona...
@charlesshitobelo6870
14 күн бұрын
Mungu amekupa akili ya kutambua mema na mabaya, acha kujificha kwenye kivuli cha Mungu yeye amekwisha fanya kazi yake. Ni wajibu wako kuyakataa kwa vitendo hayo mabaya yanayotendwa na viongozi.