#live

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 18

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6wАй бұрын

    God bless you mchungaji, umekuwa wa baraka kwangu.🙏❤️

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289Ай бұрын

    Injiri isonge mbele mbarikiwe kwa kazi njema ya injiri

  • @nallymwamba1330
    @nallymwamba1330Ай бұрын

    Amen YESU akuzingire na familia Yako pamoja na Promover TV Kwa damu yake iliyomwagika pale msalabani

  • @victorianchimbi8640
    @victorianchimbi8640Ай бұрын

    Mungu akubariki baba mchungaji moyo wangu unakufurahia sana kwa kristo Yesu,ubarikiwe sana na familia, na promover tv

  • @Uplifiting
    @UplifitingАй бұрын

    Bwana Yesu asifiwe Mtumishi wa Mungu katekela. Nimelipokea Neno la leo kwa maana, yote uliyo nena na maombi, ulikuwa una niambia mimi ndiyo ninayo yapitia pamoja na Family yangu. Nkuomba upokee simu yangu. Nina ujumbe mkubwa kwa ajili yako ! Asante saana kwa kutuombea na kuturudisha kwa Bwana Yesu Kristo. Ni yule nilikuomba ufike kwetu Nyamongoro, bali hukufika, kwa ajili ya kazi kuwa kubwa! Tukumbike tena! Tunkungojea. Mungu wa Mbinguni akutunze!❤❤❤

  • @josephmuli8300
    @josephmuli8300Ай бұрын

    Amina mtu wa MUNGU, nimebarikiwa sana

  • @carolinemasaka1400
    @carolinemasaka1400Ай бұрын

    Amen Baba

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444Ай бұрын

    Nimebarikiwa sana leo nimetoka bunju Kuja mbezi kusiikiliz neno takatifu

  • @user-hk5lj4qv1g
    @user-hk5lj4qv1gАй бұрын

    Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu,ubarikiwe sana Kwa Kasi unayofanya Mungu akutie nguvu ,akupee afya njema akuongesee ujasiri katika Kasi ya Mungu pamoja na jamii yako

  • @ZianaKangalawe
    @ZianaKangalaweАй бұрын

    Amen

  • @vailetlemenya6576
    @vailetlemenya6576Ай бұрын

    🔥🔥🙏🙏💪👍

  • @machariakahia3697
    @machariakahia3697Ай бұрын

    Kudos Amieli

  • @AmosMwita-mg3sz
    @AmosMwita-mg3szАй бұрын

    Mungu akubariki sana mimi nipo kahama tunaomba namba yako ya simu ili siku ukiwa masumbwe nije nina hamu nikuone live uso kwa uso kweli injili yako inanibariki sana amenipandisha viwango hata viwango ubarikiwe sana .

  • @joycensaho6527
    @joycensaho6527Ай бұрын

    Naomba uruhusu tu download

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21Ай бұрын

    Ni hatali mafunuo inje inje

  • @FelisterLigazio-mw3hh
    @FelisterLigazio-mw3hhАй бұрын

    Hapo ni sehem gani?

  • @FelisterLigazio-mw3hh
    @FelisterLigazio-mw3hhАй бұрын

    Dr ni kubwa, hapo sehem gani? Ili na wengine tuweze kuja

  • @failanangeso26
    @failanangeso26Ай бұрын

    Amen

Келесі