#live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 18
God bless you mchungaji, umekuwa wa baraka kwangu.🙏❤️
Injiri isonge mbele mbarikiwe kwa kazi njema ya injiri
Amen YESU akuzingire na familia Yako pamoja na Promover TV Kwa damu yake iliyomwagika pale msalabani
Mungu akubariki baba mchungaji moyo wangu unakufurahia sana kwa kristo Yesu,ubarikiwe sana na familia, na promover tv
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi wa Mungu katekela. Nimelipokea Neno la leo kwa maana, yote uliyo nena na maombi, ulikuwa una niambia mimi ndiyo ninayo yapitia pamoja na Family yangu. Nkuomba upokee simu yangu. Nina ujumbe mkubwa kwa ajili yako ! Asante saana kwa kutuombea na kuturudisha kwa Bwana Yesu Kristo. Ni yule nilikuomba ufike kwetu Nyamongoro, bali hukufika, kwa ajili ya kazi kuwa kubwa! Tukumbike tena! Tunkungojea. Mungu wa Mbinguni akutunze!❤❤❤
Amina mtu wa MUNGU, nimebarikiwa sana
Amen Baba
Nimebarikiwa sana leo nimetoka bunju Kuja mbezi kusiikiliz neno takatifu
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu,ubarikiwe sana Kwa Kasi unayofanya Mungu akutie nguvu ,akupee afya njema akuongesee ujasiri katika Kasi ya Mungu pamoja na jamii yako
Amen
🔥🔥🙏🙏💪👍
Kudos Amieli
Mungu akubariki sana mimi nipo kahama tunaomba namba yako ya simu ili siku ukiwa masumbwe nije nina hamu nikuone live uso kwa uso kweli injili yako inanibariki sana amenipandisha viwango hata viwango ubarikiwe sana .
Naomba uruhusu tu download
Ni hatali mafunuo inje inje
Hapo ni sehem gani?
Dr ni kubwa, hapo sehem gani? Ili na wengine tuweze kuja
Amen