#live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 36
Mch. Mungu akulinde sana sana sana Kaka Mungu akulinde sana binafsi mimi nakufuatilia kila mara na umenibadilisha sana na injili unayoihubiri imenipandisha viwango sana kaka.
Ameeeeeeeeeen, hakika Yesu ni Bwana haleluyaaaaaaa
Pasta Katekela,Mungu,akubariki sana kwa kazi nzuri,naomba niombee na Mimi magonjwa yangu yaniondoke ya ganzi na pressure,Amen
Tunakupenda sn Pastor Katekela
Ameen and ameen be blessed more and more pastor nimebarikiwa sana
Asante yesu kwa ajili ya mtumishi wako amieli watu wote wenye sikio na wasikie injili ya kweli na kuwa huru kwa jina la yesu
Amen mchungaji....🎉🎉🎉
Kweli kabisa baba yangu Mungu akutiye nguvu katika huduma hii ya moto.
Mwenyezi Mungu akulinde mchungaji Amiel,umekuwa wa baraka Africa yote.❤🎉🙏
Jina la YESU Lina NGUVU! MUNGU akulinde
Pokea utukufu Bwana Yesu.unaweza.hakika wewe ni Mungu wa uweza na mamlaka na nguvu zaidi na juu ya nguvu zote.Ubarikiwe sana jembe la Yesu.Mungu akutunze. .
Amen👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Mbarikiwe Promover na mtumishi Amiel
Mungu akubariki mchungaji mimi na familia yangu tunakupenda, na Bwana Yesu aendelee kuwalinda na familia yako na promover TV kaka Jactan na timu yako Mungu awe nanyi mpka ukamilifu wa dahali.
Amen Mtumishi wa Mungu Bwana wa Majeshi
Ubarikiwe mtumishi wa mungu,
Mungu awabaliki sana
Ubarikiwe San mchungaji
Nawafuatilia vizuri nikiwa Kasulu Kigoma Tanzania.
Shuhuda zako zinanipandisha zinatenda moyoni mwangu.
Jaman mungu awabaliki
Amina
Amen and amen 🙏🙏
Mtumishi unanibariki sana na mahubili yako, ila natamani nikuone ili uniombee.
Amina ❤
Ameni
AMEN 🙏
Muchungaji katekela nimefanya hello kwenye wasapu mbona ujibu mtumishi
Mchungaji anyoaje sikuhizi sina ubaya lakini
Jaman mbezi suil sehem.gan natamani kumuona katekel plz jamn
@EmmaSanga-uq5hv
Ай бұрын
Mbezi luisi
@EmmaSanga-uq5hv
Ай бұрын
Ni Mbezi stand nafkir
@PromovertvTz
Ай бұрын
Stand ya Mabasi Magufuli ni hapo jirani
@naomicharles5444
Ай бұрын
@@PromovertvTz nimefik jana na leo
Wataje kwa majina tuwajuwe
Amina