#live

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 36

  • @AmosMwita-mg3sz
    @AmosMwita-mg3szАй бұрын

    Mch. Mungu akulinde sana sana sana Kaka Mungu akulinde sana binafsi mimi nakufuatilia kila mara na umenibadilisha sana na injili unayoihubiri imenipandisha viwango sana kaka.

  • @carolinemrosso9006
    @carolinemrosso9006Ай бұрын

    Ameeeeeeeeeen, hakika Yesu ni Bwana haleluyaaaaaaa

  • @AgnesKarara
    @AgnesKararaАй бұрын

    Pasta Katekela,Mungu,akubariki sana kwa kazi nzuri,naomba niombee na Mimi magonjwa yangu yaniondoke ya ganzi na pressure,Amen

  • @elizabethconstantino6056
    @elizabethconstantino6056Ай бұрын

    Tunakupenda sn Pastor Katekela

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8fАй бұрын

    Ameen and ameen be blessed more and more pastor nimebarikiwa sana

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902Ай бұрын

    Asante yesu kwa ajili ya mtumishi wako amieli watu wote wenye sikio na wasikie injili ya kweli na kuwa huru kwa jina la yesu

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cvАй бұрын

    Amen mchungaji....🎉🎉🎉

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687Ай бұрын

    Kweli kabisa baba yangu Mungu akutiye nguvu katika huduma hii ya moto.

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6wАй бұрын

    Mwenyezi Mungu akulinde mchungaji Amiel,umekuwa wa baraka Africa yote.❤🎉🙏

  • @nallymwamba1330
    @nallymwamba1330Ай бұрын

    Jina la YESU Lina NGUVU! MUNGU akulinde

  • @tatubanadi4710
    @tatubanadi4710Ай бұрын

    Pokea utukufu Bwana Yesu.unaweza.hakika wewe ni Mungu wa uweza na mamlaka na nguvu zaidi na juu ya nguvu zote.Ubarikiwe sana jembe la Yesu.Mungu akutunze. .

  • @marthamwakatobe1596
    @marthamwakatobe1596Ай бұрын

    Amen👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289Ай бұрын

    Mbarikiwe Promover na mtumishi Amiel

  • @victorianchimbi8640
    @victorianchimbi8640Ай бұрын

    Mungu akubariki mchungaji mimi na familia yangu tunakupenda, na Bwana Yesu aendelee kuwalinda na familia yako na promover TV kaka Jactan na timu yako Mungu awe nanyi mpka ukamilifu wa dahali.

  • @carolinemasaka1400
    @carolinemasaka1400Ай бұрын

    Amen Mtumishi wa Mungu Bwana wa Majeshi

  • @upendomhagama3236
    @upendomhagama3236Ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu,

  • @shaidlaston5267
    @shaidlaston5267Ай бұрын

    Mungu awabaliki sana

  • @MarkoAxweso
    @MarkoAxwesoАй бұрын

    Ubarikiwe San mchungaji

  • @florahlumenyera8907
    @florahlumenyera8907Ай бұрын

    Nawafuatilia vizuri nikiwa Kasulu Kigoma Tanzania.

  • @EmmaSanga-uq5hv
    @EmmaSanga-uq5hvАй бұрын

    Shuhuda zako zinanipandisha zinatenda moyoni mwangu.

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qfАй бұрын

    Jaman mungu awabaliki

  • @alinamark2640
    @alinamark2640Ай бұрын

    Amina

  • @adeladamasi4391
    @adeladamasi4391Ай бұрын

    Amen and amen 🙏🙏

  • @user-sr6ij1hn3w
    @user-sr6ij1hn3wАй бұрын

    Mtumishi unanibariki sana na mahubili yako, ila natamani nikuone ili uniombee.

  • @josephkaveya4284
    @josephkaveya4284Ай бұрын

    Amina ❤

  • @Kingsalumoni
    @KingsalumoniАй бұрын

    Ameni

  • @tumpedaudi6681
    @tumpedaudi6681Ай бұрын

    AMEN 🙏

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qfАй бұрын

    Muchungaji katekela nimefanya hello kwenye wasapu mbona ujibu mtumishi

  • @user-go3me6cj6r
    @user-go3me6cj6rАй бұрын

    Mchungaji anyoaje sikuhizi sina ubaya lakini

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444Ай бұрын

    Jaman mbezi suil sehem.gan natamani kumuona katekel plz jamn

  • @EmmaSanga-uq5hv

    @EmmaSanga-uq5hv

    Ай бұрын

    Mbezi luisi

  • @EmmaSanga-uq5hv

    @EmmaSanga-uq5hv

    Ай бұрын

    Ni Mbezi stand nafkir

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Ай бұрын

    Stand ya Mabasi Magufuli ni hapo jirani

  • @naomicharles5444

    @naomicharles5444

    Ай бұрын

    @@PromovertvTz nimefik jana na leo

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3ufАй бұрын

    Wataje kwa majina tuwajuwe

  • @marthamwakatobe1596
    @marthamwakatobe1596Ай бұрын

    Amina

Келесі