She is a legend Tanzanian need to crown this woman, ama mwangoja afariki ndio muanze sifa zakumpost na show off nyingi. Celebrate this woman now wen she is alive.
@mercyjoan267
4 жыл бұрын
I am from Uganda and i agree with you 😍
@shukriomar579
4 жыл бұрын
Sure sweetheart
@user-qh2bx5em6j
Ай бұрын
Umenena Mama
@sheilalolila22335 жыл бұрын
Mama kopa hongera sana utabaki kuwa juu mawinguni
@donnahtellah25505 жыл бұрын
Malkia wa taraab nakwaminia tuu Sana....nyimbo zako hazinipitii ninazo zote na pia kuziimba.KHADIJA KOPA you're my role model 😍😘
@ivymutinda3169
Жыл бұрын
Nyimbo zake tamu Sana,hii nyimbo yaitwaje
@user-mm9ko2jh8o
Жыл бұрын
Mjini chuo kikuu
@halimamshami32795 жыл бұрын
The best taarab musician from Tanzania, much love from Qatar
@kassimahmed2189
4 жыл бұрын
Team doha halima
@kassimahmed2189
4 жыл бұрын
Vipi uko poa
@abdulrahamanonyango3495
2 жыл бұрын
Mama mpango mzima no.1 in taarab 👃😄👍
@makonodonaldf..389
2 жыл бұрын
@@kassimahmed2189 ✊
@p.kasongot9795 жыл бұрын
Huyu mama nampenda sana 💕💋💋🇨🇩🇨🇩💋💋🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💋💋💋
@nyabisemaro55745 жыл бұрын
Kama umesikia harafu anasema haushi kuvutana Mawigi gonga like
@beautyibrahim84285 жыл бұрын
Khadija kopa atabaki kileeen hatari firee utabaki mawingun
@halimamoto3217
5 жыл бұрын
Waoooooo
@beautyibrahim8428
5 жыл бұрын
@@halimamoto3217 😘😘
@minaniissa4786
4 жыл бұрын
Uko juu kutoka kenya
@ukhutfatumah11544 жыл бұрын
Mama la mama nakupenda mno wallah najifunza vingi sana kutoka kwako sikat taamaa katika kutafuta ridhik
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Nakukumbuka Hadija Morogoro enzi yako ya TOT, Big up
mimi nampenda sana mama Khadija kopa hasa ile mwanamke jeuri mchukulie mumewe inanikosha sana.
@John-xv1nt4 жыл бұрын
Powerful Queen. She deserves accolades. African Voice
@josephmwakima68723 жыл бұрын
Queen of taarab Afrika mashariki yote. Much love.
@lightnessseifu59834 жыл бұрын
Ww mama nakupendaga mno ♥️ mungu akuweke miaka mingi
@lizynyeze75215 жыл бұрын
Wa mama sikuizi mlikosea wapi...ata vigelegele hampigi...fyuuuu
@abshirilyaas7930
5 жыл бұрын
Asc
@delabossreizer94715 жыл бұрын
Uyu mama waga akosei kwa stage nawala azeeki alaka yaani ndio kwanza ana kuwa sister duu mrembo mbaya mbovu ww kwl khadja kopa sizn Kama kuna mwingine atakuja tokea akija tokea atakuja kuwa khadija rejeshaa sio kopa tena
@saudabakarnassor7886
5 жыл бұрын
Kwa sababu hajichubui ndo mana
@delabossreizer9471
5 жыл бұрын
@@saudabakarnassor7886 mmmmh
@judymangi9226
4 жыл бұрын
Hii nyimbo naitaka aki
@akidasimba745
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@terrykinuthia45755 жыл бұрын
I love you khadija kopa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@peterokalo96323 жыл бұрын
The Africa’s Tanzania 🇹🇿 queen ☝🏽⭐️🌟💫🪐🌍👏🏽🙏🏽🔥🔥☄️☄️☄️
@JoanExplores3 жыл бұрын
The woman made me fall in love with Tarab 🥰
@aaroncohoon5603
2 жыл бұрын
Same here her and the late Bi Kidude RIP Mama
@hawasham5705 жыл бұрын
Kama umemuona shilole weka laiki yako apa jaman!!
@isayamuna9500
5 жыл бұрын
Ok
@rehemasalim513
5 жыл бұрын
Shilole kapendeza Mashallah... simple but best
@jordankyanzi2038
5 жыл бұрын
Hawa Sham
@starnfordmihungo653
5 жыл бұрын
nakupe sana
@godblessanna7174
5 жыл бұрын
Alidamshi sana mnyamwezi mwenzangu
@frantonmwasemu14553 жыл бұрын
She is a legend both Tanzania and East Africa as a whole
@zaynabteyie49363 жыл бұрын
My favorite ogopa kopa
@octaviandoreen28373 жыл бұрын
Hongera sana khadijah napenda sana nyimbo zako.😍
@alphredmlelwa82703 жыл бұрын
Adija kopa anajuakuimba nyinyi ndomana atamwanaee zuchu naeanajuakuimba mama akealimuwekew misingi mizur Sana penda Sana Adija kopa ngonga like kamaunamkubar
@valineatieno70385 жыл бұрын
Amazing performance kopa🔥🔥🔥🔥🔥
@p.kasongot9795 жыл бұрын
Napenda yako mashine 💕💖💖🤣🤣
@youngyayoo2805
4 жыл бұрын
😂
@jacklinemoshi84875 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mama,hanaga skendo
@fatimamohammed23325 жыл бұрын
kopa umepungua umependeza
@hasinatilafaeli6165 жыл бұрын
Love ❤️ Sana hafijakopaaaaa
@shubygrevare78175 жыл бұрын
Umependza Mamy
@nuuringoogle41042 жыл бұрын
Good women 🙏🏽🙏🏽beutiful Songs❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@swalehelshabiby59154 жыл бұрын
Kopa ni wetu Ahsant😘😘🖐
@salmasaid7795 жыл бұрын
Bi khadija upo juu kila wakati
@tatumuddy17095 жыл бұрын
Ilove kopa💞
@marywinny18905 жыл бұрын
Uko juu my Mommy Queen 😘😘😘😘
@salmaomar7335 жыл бұрын
Mama kopa uko juu sana ❤❤❤❤❤
@billylovebilly94185 жыл бұрын
Oyooo wachaweee ongera mama wamipasho jamani tunaitaji jina yaiyo taharabu nzuri jamani
@noelamadadi57312 жыл бұрын
Tiktok brought me here all the way from Kenya
@wennybarny1685 жыл бұрын
Hadija Kopa naona hapa kapungua kidogo amependeza sana na mwili huu.
@marywinny18905 жыл бұрын
Namuona shilole haha dada wewe 😘😘
@jamilmwinge3695
4 жыл бұрын
Shilole a.k.a dada wa igunga. 😆😆😆
@cheiknamouna2058
4 жыл бұрын
Basi shilole kajiachia hapo ndo mahala pake
@khadijahomankweliyamjahaya74215 жыл бұрын
Kabisa mama nakupenda sana kazi kazi mm
@brightnessegdiuspancrass14562 жыл бұрын
Zuchu kavaa kiatu kbx,Like mother like daughter💥💥💥
@mwabiawahadi6247 Жыл бұрын
Huy Mam Anajua Mpk Anakera
@starnykastiko18874 жыл бұрын
Nakukubali xana mama wa ngwasuma ( wachane wasio jielewa)
@sarahmohamed3375 жыл бұрын
Kopa Wacha muziki utubie kwa ALLAH,mauti hayana taarifa mamangu.
@lenisteramisi-dy9hv
Жыл бұрын
Usipende kuhukumu Allah ye ndo mtoa hukumu tuombeane mwisho mwema2
@sallysafisanakijanakazibut1688 Жыл бұрын
Wow umependeza dada uko vizuri
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Hongera Sana Mama Khadija kipa
@celinamgundoi56015 жыл бұрын
Mungu akutunze mama
@moseskadenge90055 жыл бұрын
Umegonga ndipo Khadija Kopa
@hawathabiti34025 жыл бұрын
Malkia wa nguvu 2019, lkn nampenda khadija kopa anastara ya maongez, mavaz, na at a nyimbo zake zina stara na mafunzo
@TheSalma19995 жыл бұрын
Tufunde mama
@rhinakiza4 жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana👏👏
@topelevenhighlights4 жыл бұрын
Hatariii 🔥🔥🔥
@ashamganga66365 жыл бұрын
kukupenda siachi nakupenda had naisi mm mwenyewe aijipendi 😂😂😂
@shukriomar5794 жыл бұрын
Long live mama khadija I love this woman from Addis @ Ethiopia
@lucybernad13903 жыл бұрын
Nimependa Sana mamaa nyimbo yk
@fausterkanyonga43665 жыл бұрын
Khadija we ni konki wa kitaa, penda sn ww, ila umepungua kamwili nipe sir ya urembo!!!
@mimahsaid2326
5 жыл бұрын
😂😂😂
@mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын
Santaaaaa Malkia wa Mipashoooo.
@dainesigebo70195 жыл бұрын
Jmn nakupenda sana
@leahcornel42575 жыл бұрын
waambie wasiojielewa mume hafungiwi mlango..wala hakoromewi.waambie mama la mama..waciwe kama mbweha ..ongea malkia wangu kitaa kimekuamini..
@dinaicenzuki96615 жыл бұрын
Hongera mummy
@user-mm9ko2jh8o Жыл бұрын
I Like this song very much ❤
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Nimekubali mambo ni kwenye Stage
@hawabakari4658 Жыл бұрын
Mashallah 🥰
@sureladykiba56085 жыл бұрын
MashaaAllah mumy😘😘😘😘
@abumoyo840
5 жыл бұрын
Kkk piaa hikuu dada
@sureladykiba5608
5 жыл бұрын
@@abumoyo840 🤣🤣🤣🤣🤣haya ukanimanya mweneu
@elizabashige36825 жыл бұрын
I love her
@halimascoastalcuisine47464 жыл бұрын
Nakupenda bure Kopa❤❤❤
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
huyo ndo kopa bwana..unapewa live
@rosemarymlaki2270
5 жыл бұрын
Hatar
@abshirilyaas7930
5 жыл бұрын
Ascribed Ascribed
@margarethsaramaki3966
4 жыл бұрын
Sauti yako bi Hadija Mungu aendelee kukulinda
@mariamnagirinya1094 жыл бұрын
The name of this song
@salha.d50602 жыл бұрын
Asanteeee sichoki kukusikiliza mama.
@muniramunira4013 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@asantebabakoyi38935 жыл бұрын
Ww Dada nakupendaga sana basitu
@fauziamwakunena5495 жыл бұрын
Penda sana mama khadija kupa
@aminashabani44465 жыл бұрын
Nakupenda sana
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Jamani band munaniangushia mamangu.mna piga rythm gani
@sarahmohamed3375 жыл бұрын
Baby shishi Hi😍😍
@khadijaamani55745 жыл бұрын
Wewe umoja Hauniangushagi Hata Siku moja.
@user-qq5ye6hi7i5 ай бұрын
❤❤❤❤❤Tamu kama ya wameru
@nurumanyota24305 жыл бұрын
Wahooooo mama la mama
@AishaMwenda-sr3uu Жыл бұрын
Nakupenda sana mama
@faridafadhili17264 жыл бұрын
Aah Khadija weweeeee 👌
@gabrielrobert8677 Жыл бұрын
Ila huyu Mama ni hatari 🔥🔥🔥
@dismassamwel71302 жыл бұрын
Natafuta audio yake og siyooni au video ya live mwenye kujua njia ya kupata naomba aniambie
Пікірлер: 263
She is a legend Tanzanian need to crown this woman, ama mwangoja afariki ndio muanze sifa zakumpost na show off nyingi. Celebrate this woman now wen she is alive.
@mercyjoan267
4 жыл бұрын
I am from Uganda and i agree with you 😍
@shukriomar579
4 жыл бұрын
Sure sweetheart
@user-qh2bx5em6j
Ай бұрын
Umenena Mama
Mama kopa hongera sana utabaki kuwa juu mawinguni
Malkia wa taraab nakwaminia tuu Sana....nyimbo zako hazinipitii ninazo zote na pia kuziimba.KHADIJA KOPA you're my role model 😍😘
@ivymutinda3169
Жыл бұрын
Nyimbo zake tamu Sana,hii nyimbo yaitwaje
@user-mm9ko2jh8o
Жыл бұрын
Mjini chuo kikuu
The best taarab musician from Tanzania, much love from Qatar
@kassimahmed2189
4 жыл бұрын
Team doha halima
@kassimahmed2189
4 жыл бұрын
Vipi uko poa
@abdulrahamanonyango3495
2 жыл бұрын
Mama mpango mzima no.1 in taarab 👃😄👍
@makonodonaldf..389
2 жыл бұрын
@@kassimahmed2189 ✊
Huyu mama nampenda sana 💕💋💋🇨🇩🇨🇩💋💋🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💋💋💋
Kama umesikia harafu anasema haushi kuvutana Mawigi gonga like
Khadija kopa atabaki kileeen hatari firee utabaki mawingun
@halimamoto3217
5 жыл бұрын
Waoooooo
@beautyibrahim8428
5 жыл бұрын
@@halimamoto3217 😘😘
@minaniissa4786
4 жыл бұрын
Uko juu kutoka kenya
Mama la mama nakupenda mno wallah najifunza vingi sana kutoka kwako sikat taamaa katika kutafuta ridhik
Nakukumbuka Hadija Morogoro enzi yako ya TOT, Big up
Namuheshimu mume wanguuu, Anachotaka simuhiniii Sio ustar wangu nimvunjie heshima jamaniiii eeeeee, 😘😘😘😘😘😘
mimi nampenda sana mama Khadija kopa hasa ile mwanamke jeuri mchukulie mumewe inanikosha sana.
Powerful Queen. She deserves accolades. African Voice
Queen of taarab Afrika mashariki yote. Much love.
Ww mama nakupendaga mno ♥️ mungu akuweke miaka mingi
Wa mama sikuizi mlikosea wapi...ata vigelegele hampigi...fyuuuu
@abshirilyaas7930
5 жыл бұрын
Asc
Uyu mama waga akosei kwa stage nawala azeeki alaka yaani ndio kwanza ana kuwa sister duu mrembo mbaya mbovu ww kwl khadja kopa sizn Kama kuna mwingine atakuja tokea akija tokea atakuja kuwa khadija rejeshaa sio kopa tena
@saudabakarnassor7886
5 жыл бұрын
Kwa sababu hajichubui ndo mana
@delabossreizer9471
5 жыл бұрын
@@saudabakarnassor7886 mmmmh
@judymangi9226
4 жыл бұрын
Hii nyimbo naitaka aki
@akidasimba745
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
I love you khadija kopa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
The Africa’s Tanzania 🇹🇿 queen ☝🏽⭐️🌟💫🪐🌍👏🏽🙏🏽🔥🔥☄️☄️☄️
The woman made me fall in love with Tarab 🥰
@aaroncohoon5603
2 жыл бұрын
Same here her and the late Bi Kidude RIP Mama
Kama umemuona shilole weka laiki yako apa jaman!!
@isayamuna9500
5 жыл бұрын
Ok
@rehemasalim513
5 жыл бұрын
Shilole kapendeza Mashallah... simple but best
@jordankyanzi2038
5 жыл бұрын
Hawa Sham
@starnfordmihungo653
5 жыл бұрын
nakupe sana
@godblessanna7174
5 жыл бұрын
Alidamshi sana mnyamwezi mwenzangu
She is a legend both Tanzania and East Africa as a whole
My favorite ogopa kopa
Hongera sana khadijah napenda sana nyimbo zako.😍
Adija kopa anajuakuimba nyinyi ndomana atamwanaee zuchu naeanajuakuimba mama akealimuwekew misingi mizur Sana penda Sana Adija kopa ngonga like kamaunamkubar
Amazing performance kopa🔥🔥🔥🔥🔥
Napenda yako mashine 💕💖💖🤣🤣
@youngyayoo2805
4 жыл бұрын
😂
Nampenda sana huyu mama,hanaga skendo
kopa umepungua umependeza
Love ❤️ Sana hafijakopaaaaa
Umependza Mamy
Good women 🙏🏽🙏🏽beutiful Songs❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kopa ni wetu Ahsant😘😘🖐
Bi khadija upo juu kila wakati
Ilove kopa💞
Uko juu my Mommy Queen 😘😘😘😘
Mama kopa uko juu sana ❤❤❤❤❤
Oyooo wachaweee ongera mama wamipasho jamani tunaitaji jina yaiyo taharabu nzuri jamani
Tiktok brought me here all the way from Kenya
Hadija Kopa naona hapa kapungua kidogo amependeza sana na mwili huu.
Namuona shilole haha dada wewe 😘😘
@jamilmwinge3695
4 жыл бұрын
Shilole a.k.a dada wa igunga. 😆😆😆
@cheiknamouna2058
4 жыл бұрын
Basi shilole kajiachia hapo ndo mahala pake
Kabisa mama nakupenda sana kazi kazi mm
Zuchu kavaa kiatu kbx,Like mother like daughter💥💥💥
Huy Mam Anajua Mpk Anakera
Nakukubali xana mama wa ngwasuma ( wachane wasio jielewa)
Kopa Wacha muziki utubie kwa ALLAH,mauti hayana taarifa mamangu.
@lenisteramisi-dy9hv
Жыл бұрын
Usipende kuhukumu Allah ye ndo mtoa hukumu tuombeane mwisho mwema2
Wow umependeza dada uko vizuri
Hongera Sana Mama Khadija kipa
Mungu akutunze mama
Umegonga ndipo Khadija Kopa
Malkia wa nguvu 2019, lkn nampenda khadija kopa anastara ya maongez, mavaz, na at a nyimbo zake zina stara na mafunzo
Tufunde mama
Amina ubarikiwe sana👏👏
Hatariii 🔥🔥🔥
kukupenda siachi nakupenda had naisi mm mwenyewe aijipendi 😂😂😂
Long live mama khadija I love this woman from Addis @ Ethiopia
Nimependa Sana mamaa nyimbo yk
Khadija we ni konki wa kitaa, penda sn ww, ila umepungua kamwili nipe sir ya urembo!!!
@mimahsaid2326
5 жыл бұрын
😂😂😂
Santaaaaa Malkia wa Mipashoooo.
Jmn nakupenda sana
waambie wasiojielewa mume hafungiwi mlango..wala hakoromewi.waambie mama la mama..waciwe kama mbweha ..ongea malkia wangu kitaa kimekuamini..
Hongera mummy
I Like this song very much ❤
Nimekubali mambo ni kwenye Stage
Mashallah 🥰
MashaaAllah mumy😘😘😘😘
@abumoyo840
5 жыл бұрын
Kkk piaa hikuu dada
@sureladykiba5608
5 жыл бұрын
@@abumoyo840 🤣🤣🤣🤣🤣haya ukanimanya mweneu
I love her
Nakupenda bure Kopa❤❤❤
huyo ndo kopa bwana..unapewa live
@rosemarymlaki2270
5 жыл бұрын
Hatar
@abshirilyaas7930
5 жыл бұрын
Ascribed Ascribed
@margarethsaramaki3966
4 жыл бұрын
Sauti yako bi Hadija Mungu aendelee kukulinda
The name of this song
Asanteeee sichoki kukusikiliza mama.
🔥🔥🔥🔥
Ww Dada nakupendaga sana basitu
Penda sana mama khadija kupa
Nakupenda sana
Jamani band munaniangushia mamangu.mna piga rythm gani
Baby shishi Hi😍😍
Wewe umoja Hauniangushagi Hata Siku moja.
❤❤❤❤❤Tamu kama ya wameru
Wahooooo mama la mama
Nakupenda sana mama
Aah Khadija weweeeee 👌
Ila huyu Mama ni hatari 🔥🔥🔥
Natafuta audio yake og siyooni au video ya live mwenye kujua njia ya kupata naomba aniambie
Super woman Hadija Kopa
Mama wa nguvu penda sana
Keepupmamazuvhu! Nakupendadana
Jaman hii nyimbo inaitwaje
Ogopa Kopa
Hadija kopa uko juu
Mama la mama Mamaalai
Mama azeeki...
Mama na mama nakukubali sana
Yaaa mama uko vzr
Nakupenda mno mummy
Kweli mama khadija wa kopa
Vyombo na uimbaji tofauti
Namuona shishi baby apo🤣🤣
Atar sana mama
Nakubali
Kina shilole😂