Malkia wa mipasho dunian mama weraweraaaa hakuna kama khadija kopa ndo queen wa taarabu wengne wanasubiri kama unamkubali kopa 👍👍👍
@jacquelinenkatha6628
2 жыл бұрын
Kweli yako
@DevotaKatumbaАй бұрын
Pumzika kwa amani mama isha mashauzi 😢😢MUNGU aendelee kukupunguzia adhabu ya kabuli
@freddyfredricks3435Ай бұрын
Hadi 2024 June bado unanikosha sana Kopa... imenogea humu kenya kwa mpigoooooo. The only Malkia Wa Mipasho is still on top!! ❤❤❤❤
@olatv7306 жыл бұрын
Khadija Kopa, silali mpaka nisikize nyimbo zako...hii ndiyo kwanzo inanitia mori zaidiiiiii! kwanza whenever i drive home....mombasa...kutoka nairobi......napandisha vioo vya gari na kupokea utamu kwa loudspeakers...barabara nyweeee. Ntafurahi kukuona siku moja!
@kevohwapipelinetransami43514 жыл бұрын
"Mimi nikikuwachia ujue nimemchoka" nani ako hapa 2020 kama Mimi dondosha dole lako hapa 👍👍👍
Kila nikijaribu kusikiliza taarab za Tanzania huwa mashikio yangu nasikia makelele tu ,llakini mashallah nyimbo za huyu mama Khadija Kopa huwa zinanijaza sana. Si kwa ubaya lakini waimbaji wengine wajifunze mbwe mbwe kwa huyu mama. Huyu ndiye anaye tumbuiz roho yangu kwa TZ taraab. Nakupenda sana.
@rizikirajab2750
6 жыл бұрын
Mohammad Wallad +254705040885 nicht maa khadija kopa nazimia kwa hii nyimbo walaih
@viviankrembokarembo822
4 жыл бұрын
Kweli
@filomenakomba2720
4 жыл бұрын
Xikuwez mama mipasho
@robertmwaniki4235 Жыл бұрын
Woooow kichuna kisio kwisha utamu....kiko na masongoni.
@sakinaabdallah77133 жыл бұрын
Zuchu ni mtoto wako but bado akona kazi kuweza kukufikia top in town dada khadija is only you
@sakinaabd58989 жыл бұрын
hamuezi kunivua joho alonipa Mungu, he he hey sigombei mwanamme nikajitia mashaka shii unamrusha roho unanini we msaka,bibi ikiwanimekuachia, ujuwe nimemchoka, na kama mstaarabu juwa kuwa nisingebanduka, wameshushwa kwa vitabu chagua unoridhika heko mama mtazania
@rosetenga4333
7 жыл бұрын
mwanamke kujiamini
@ibrahimmuleli Жыл бұрын
Mie sie gumegume ila dume, tangia miaka ya tisini hadija kopa na muziki wake moto sana 👍👍👍
@TheKaramanid3 ай бұрын
Still the best taarab song iliosimama imara mpaka sasa 2025 🔥🔥🔥 Khadija Kopa 👑 The Swahili Golden Voice
@lucygiks7812 Жыл бұрын
one of the biggest queen of mipasho big respect mamake zuchu
@sakinaabd58987 жыл бұрын
hamuezi kunivua joho alonipa Mungu maneno kibao dadaangu KOPA wameshushwa kwa vitabu chagua unoridhikaa, hiyo ni kali sanaaaa
@wycliffemomanyi30312 жыл бұрын
Wimbo mkali Sana. Ndio ringtone yangu for a loooong time. Kutoka Kisauni Mombasa, nasema tamuuuuuuu
@liliankerubo1489
Жыл бұрын
Niambie jina la hii taraab song ,ni Kali Sana
@BanuliKirunda-sq1sc
Жыл бұрын
@@liliankerubo1489 uzuli was mwanamke in kujamni,, uzuli was ndege no manyowa take!!!! @ banuli kirunda at JINJA Uganda
@BanuliKirunda-sq1sc
Жыл бұрын
Uzuli was mwanamke ni kujaamini,,, uzuli wa ndege ni manyowa yake see style of dancing
Nani ako hapa baada ya kujua Khadija ni mamake Zuchu
@hamzaismael12593 жыл бұрын
Sijui mipaka zilitoka wapi?Mbona Wana East Africa wasiungane?Nchi iwe moja tu.Otherwise Zanzibar siondoki ng'o,nikiondoka naenda zangu Tanga ama Mombasa 🎶🎵🎶🇰🇪🇹🇿🇺🇬 one love 2021,June
@muleiignatius8065 жыл бұрын
Khadija wanimaliza Sana na huu wimbo wa top in town hakika nasikia utamu kweli .
@vivianongaga57953 жыл бұрын
I always love this song.kweli ni queen of taarabu.naomba siku moja aje apige show mombasa
@sherifaali7268
3 жыл бұрын
Hatutaki Kenya ni adui wa Tanzania tunakaa mbali na maadui zetu
@joanwairimu6819
2 жыл бұрын
@@sherifaali7268 🤔🤔🤔🥴🥴
@shafiirashid7374
2 жыл бұрын
Sitakimashaka
@erickiriinya8342 жыл бұрын
Vile Khadijah anajisifu hapa... Wah!!
@suwedimussa66353 жыл бұрын
Atuogopi kitu macho kwa macho macho kwa macho macho mama yake na zuchu penda San uyu mama kopa 2020 nani anaangalia like please
@sakinaabd58986 жыл бұрын
You are always beauty kopa Mungu atuengezee umri ndugu yangu pasi duplicate ma . P. D . G hupiga saluti kopa ununikosha bado ninaitwa queene
@faridafadhili17264 жыл бұрын
Jaman mama angu bi Khadija mashallah nyimbo zako hazichuj wallah kila siku nazirudia
@halfanihassan60797 жыл бұрын
Jamani huyu Dada nampenda kwamajimbo yake
@scovianlillian5535 жыл бұрын
Kopa si dupliketi,mapedeshe hupiga salute!
@hamisimwasahani82329 жыл бұрын
Hata mm nawaona Umewatoa Nishaii Mashaallah _ _!!! Kama sii Ww Nani Mwengine !!???
@bonnybonny83374 жыл бұрын
2020,2021,2023 Wakenya tupo hapa.
@delriolosmatadoros3537
11 ай бұрын
2024,2025,2026
@maryammaram26125 жыл бұрын
Mamaa wa B unit nipo gado nipo fit 👊👊👊❤❤❤
@sakinaabd58987 жыл бұрын
heheya maman wa kitanzania bado niko uwanjani nimezaliwa kikwajuni but nimesimama imara wala simdharau mtu hiyo ni khulka yangu mimi napenda utu sweet wa kizanzibar na bado ninaitwa queen mimi ni top in town tena ninagawawisha tena nimewacha gumzo comoros na merekani heko mama mtanzania
@yvonneyvonneyvonne Жыл бұрын
Nakupenda Bure mama 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sakinaabd58989 жыл бұрын
Dada Khadija kopa makauli na nyimbo poa Mungu akuweke hai uzidi kutufurahisha japo tuko mbali na nyumbani lakini roho zetu ziko pamoja na nyie raha tele
@kababy1kababy583
7 жыл бұрын
Sakina ABD iko juu sana
@hellenmaganga3979 Жыл бұрын
Can't stop listening to this song😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@123naenaee16 күн бұрын
Uzuri wa ndege manyoa. Uzuri wa Mwanamke kujiamini. Mwanamke screensaver na nyumba, makalio yanafuata baadae 🎶
@freddyfredricks34355 жыл бұрын
The best of Khadija kopa 😘😘😘😘 just love the song
@pisi_kalii37212 жыл бұрын
nimekoshewa mfedha mfedha mie.....mabo yangu hamtoyaweza mie ... tena na chenji ikabaki miee...🎶🎶😍
@agnessateko77617 жыл бұрын
Heheeeeiya sigombei mwanamme nikajitia machungu
@estherachiengomina5459 Жыл бұрын
Ending 2022 in style with this song....... much love Khadija ♥️♥️♥️
@anthonyonuti8473
Жыл бұрын
Esther uko wapi tule Ice cream....
@estherachiengomina5459
Жыл бұрын
@@anthonyonuti8473 njoo Nairobi lakini uje Na popcorns maanake huku baridi hairuhusu ice cream 👌
@aishasaid382911 ай бұрын
Wapenzi wa taarabu haai hoooi....2023 still enjoying this great master piece
mmmh! Mume ni mume ingawaje gumegume sifa za mtume anazo! Namkubali bi Khadija wallahi tena!
@hadijaramadhani1280
6 жыл бұрын
Wajina nakupenda sanaah
@julianaameli32356 жыл бұрын
heheee khadija copper malkia wa mipasho wapashe mama , karibu hapa kwetu Kenya manake twakupenda sana haya basi wacha niendelee kuimba timburi timburi weweee wimbo mtamu kweli.
@mohabasultan19203 жыл бұрын
Aliyekuwa mke wangu wa kwanza aliupenda huu wimbo, sijui mbona . Labda huenda bado anaipenda. Enzi tukiishi Kongowea Mombasa
@sumtrahammed4305
3 жыл бұрын
😂😂😂
@nafisamohammed9064
3 жыл бұрын
Mbona ukamuacha?Bado unamkumbuka yaonekana...
@mohabasultan1920
3 жыл бұрын
@@nafisamohammed9064 ni mzazi mwenza japo tuliachana
Hiyo ndo hulka yangu mimi napenda utu 😊 Kichuna wa kizaramu nisiyekwisha utamu ...Khadija kopa! Top in Town, queen yule...hakuna asiyekujua mamaa hata mwanao Zuchu twamfahamu.
@sakinaabdallah77134 жыл бұрын
Tena huswuswan mapenzi ya wingi na nywele za kubandika wakizitowa week sokwe mbouzi dada hadidja
@billalphilip57764 жыл бұрын
My kiosk listened to this song now its a supermarket!!!
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
MashaaAllah
@bhaiali7602
2 жыл бұрын
MashaAllah!!
@salmahassan57356 жыл бұрын
Kila Mara Mimi ninapenda kuangalia this song thanks khadija kopa
@aphlineamondi54832 жыл бұрын
On 30/11/2021 still listening to this song. Release the next hot one.
@sakinaabdallah77133 жыл бұрын
Mimi top in town mama wee hilo linanitosha Big boss kopa
@judynjeri13415 жыл бұрын
Who is here 2019 nice song
@hanifajuma342
5 жыл бұрын
Judy Njeri am here
@lillianmuriuki.m3342
5 жыл бұрын
Tupo tele kama mavi ya asubuhi dada-mdudiko twende kazi
Пікірлер: 867
2024 njooni kwa like
@fatumaguyo2498
2 ай бұрын
Evergreen 💯💯🔥🔥
Malkia wa mipasho dunian mama weraweraaaa hakuna kama khadija kopa ndo queen wa taarabu wengne wanasubiri kama unamkubali kopa 👍👍👍
@jacquelinenkatha6628
2 жыл бұрын
Kweli yako
Pumzika kwa amani mama isha mashauzi 😢😢MUNGU aendelee kukupunguzia adhabu ya kabuli
Hadi 2024 June bado unanikosha sana Kopa... imenogea humu kenya kwa mpigoooooo. The only Malkia Wa Mipasho is still on top!! ❤❤❤❤
Khadija Kopa, silali mpaka nisikize nyimbo zako...hii ndiyo kwanzo inanitia mori zaidiiiiii! kwanza whenever i drive home....mombasa...kutoka nairobi......napandisha vioo vya gari na kupokea utamu kwa loudspeakers...barabara nyweeee. Ntafurahi kukuona siku moja!
"Mimi nikikuwachia ujue nimemchoka" nani ako hapa 2020 kama Mimi dondosha dole lako hapa 👍👍👍
@simeonlesrima3575
Жыл бұрын
BABA YUSUFU
@simeonlesrima3575
Жыл бұрын
Baba Yusufu
@simeonlesrima3575
Жыл бұрын
😂
Sigombei mwanaume nikajitia mashaka kopa mami penda wewe sana😍😍😍😍🤩
Kama unaangalia hii nyimbo 2020 like tujuwane
@rashidroja9722
3 жыл бұрын
Washabiki bado nipo
@zeyshaomar3501
3 жыл бұрын
@@rashidroja9722 We are together 2/11/2020
@eliwandoakituku3713
Жыл бұрын
2022
@tumainimasha9591
Жыл бұрын
Mnachelewa jamanj 2023 nko hapa
@reginalddaniel8312
10 ай бұрын
@@zeyshaomar3501mama Mama M
Uliimba vizuri dada mwanake unatakiwa ujiamini sio kugombania bwana
Top in 2024. ❤❤❤❤
wapi likes za 2021
Kila nikijaribu kusikiliza taarab za Tanzania huwa mashikio yangu nasikia makelele tu ,llakini mashallah nyimbo za huyu mama Khadija Kopa huwa zinanijaza sana. Si kwa ubaya lakini waimbaji wengine wajifunze mbwe mbwe kwa huyu mama. Huyu ndiye anaye tumbuiz roho yangu kwa TZ taraab. Nakupenda sana.
@rizikirajab2750
6 жыл бұрын
Mohammad Wallad +254705040885 nicht maa khadija kopa nazimia kwa hii nyimbo walaih
@viviankrembokarembo822
4 жыл бұрын
Kweli
@filomenakomba2720
4 жыл бұрын
Xikuwez mama mipasho
Woooow kichuna kisio kwisha utamu....kiko na masongoni.
Zuchu ni mtoto wako but bado akona kazi kuweza kukufikia top in town dada khadija is only you
hamuezi kunivua joho alonipa Mungu, he he hey sigombei mwanamme nikajitia mashaka shii unamrusha roho unanini we msaka,bibi ikiwanimekuachia, ujuwe nimemchoka, na kama mstaarabu juwa kuwa nisingebanduka, wameshushwa kwa vitabu chagua unoridhika heko mama mtazania
@rosetenga4333
7 жыл бұрын
mwanamke kujiamini
Mie sie gumegume ila dume, tangia miaka ya tisini hadija kopa na muziki wake moto sana 👍👍👍
Still the best taarab song iliosimama imara mpaka sasa 2025 🔥🔥🔥 Khadija Kopa 👑 The Swahili Golden Voice
one of the biggest queen of mipasho big respect mamake zuchu
hamuezi kunivua joho alonipa Mungu maneno kibao dadaangu KOPA wameshushwa kwa vitabu chagua unoridhikaa, hiyo ni kali sanaaaa
Wimbo mkali Sana. Ndio ringtone yangu for a loooong time. Kutoka Kisauni Mombasa, nasema tamuuuuuuu
@liliankerubo1489
Жыл бұрын
Niambie jina la hii taraab song ,ni Kali Sana
@BanuliKirunda-sq1sc
Жыл бұрын
@@liliankerubo1489 uzuli was mwanamke in kujamni,, uzuli was ndege no manyowa take!!!! @ banuli kirunda at JINJA Uganda
@BanuliKirunda-sq1sc
Жыл бұрын
Uzuli was mwanamke ni kujaamini,,, uzuli wa ndege ni manyowa yake see style of dancing
nakupenda sana mamy mwaaah mwanamke kujiamini eee hapana chezeya ww tenaaa😍😍😍😍😍
Nani ako hapa baada ya kujua Khadija ni mamake Zuchu
Sijui mipaka zilitoka wapi?Mbona Wana East Africa wasiungane?Nchi iwe moja tu.Otherwise Zanzibar siondoki ng'o,nikiondoka naenda zangu Tanga ama Mombasa 🎶🎵🎶🇰🇪🇹🇿🇺🇬 one love 2021,June
Khadija wanimaliza Sana na huu wimbo wa top in town hakika nasikia utamu kweli .
I always love this song.kweli ni queen of taarabu.naomba siku moja aje apige show mombasa
@sherifaali7268
3 жыл бұрын
Hatutaki Kenya ni adui wa Tanzania tunakaa mbali na maadui zetu
@joanwairimu6819
2 жыл бұрын
@@sherifaali7268 🤔🤔🤔🥴🥴
@shafiirashid7374
2 жыл бұрын
Sitakimashaka
Vile Khadijah anajisifu hapa... Wah!!
Atuogopi kitu macho kwa macho macho kwa macho macho mama yake na zuchu penda San uyu mama kopa 2020 nani anaangalia like please
You are always beauty kopa Mungu atuengezee umri ndugu yangu pasi duplicate ma . P. D . G hupiga saluti kopa ununikosha bado ninaitwa queene
Jaman mama angu bi Khadija mashallah nyimbo zako hazichuj wallah kila siku nazirudia
Jamani huyu Dada nampenda kwamajimbo yake
Kopa si dupliketi,mapedeshe hupiga salute!
Hata mm nawaona Umewatoa Nishaii Mashaallah _ _!!! Kama sii Ww Nani Mwengine !!???
2020,2021,2023 Wakenya tupo hapa.
@delriolosmatadoros3537
11 ай бұрын
2024,2025,2026
Mamaa wa B unit nipo gado nipo fit 👊👊👊❤❤❤
heheya maman wa kitanzania bado niko uwanjani nimezaliwa kikwajuni but nimesimama imara wala simdharau mtu hiyo ni khulka yangu mimi napenda utu sweet wa kizanzibar na bado ninaitwa queen mimi ni top in town tena ninagawawisha tena nimewacha gumzo comoros na merekani heko mama mtanzania
Nakupenda Bure mama 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dada Khadija kopa makauli na nyimbo poa Mungu akuweke hai uzidi kutufurahisha japo tuko mbali na nyumbani lakini roho zetu ziko pamoja na nyie raha tele
@kababy1kababy583
7 жыл бұрын
Sakina ABD iko juu sana
Can't stop listening to this song😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Uzuri wa ndege manyoa. Uzuri wa Mwanamke kujiamini. Mwanamke screensaver na nyumba, makalio yanafuata baadae 🎶
The best of Khadija kopa 😘😘😘😘 just love the song
nimekoshewa mfedha mfedha mie.....mabo yangu hamtoyaweza mie ... tena na chenji ikabaki miee...🎶🎶😍
Heheeeeiya sigombei mwanamme nikajitia machungu
Ending 2022 in style with this song....... much love Khadija ♥️♥️♥️
@anthonyonuti8473
Жыл бұрын
Esther uko wapi tule Ice cream....
@estherachiengomina5459
Жыл бұрын
@@anthonyonuti8473 njoo Nairobi lakini uje Na popcorns maanake huku baridi hairuhusu ice cream 👌
Wapenzi wa taarabu haai hoooi....2023 still enjoying this great master piece
singombei mwanamume nikajitia mashakaa mwanamke najiamini nipatacho naridhika hapooo chachaaaaaa
@simonngatia8900
7 жыл бұрын
apooo chaa chaaaa😂
@uncledaniel3483
6 жыл бұрын
kibaby suleiman j
@mwanambokahauliers1295
5 жыл бұрын
Penda sana wew mama
Naipenda tena sana ingawaje sijui kucheza taarab. Nashindwa kutingisha kiuno.
@isaacnewton1516
5 жыл бұрын
Niko nikufunze
@wesleychepkwony2471
5 жыл бұрын
Cynthia Atieno nakuzaitia kutingiza dada
@lebelgross2656
5 жыл бұрын
Hi
@fisadikiwembe9787
5 жыл бұрын
Cynthia Atieno 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MrJamesmumbo
5 жыл бұрын
Njoo nitakuonyesha namna wanao peleka kiuno vyao mwendo wa aste!
Ww unasema nini, khadijah mpaka kenya ww niwetu queen.
Mtoto wa kidonge Niko gado 2021
naipenda Sana hii taraab, huyu mama kwel ni top in town
@hassanmussa8930
7 жыл бұрын
noooma Saaana mama
@JoseMaasai
7 жыл бұрын
Hassan Miss A gun xTir
@zainabshabani7076
6 жыл бұрын
Maashaallah
@freddyfredricks3435
5 жыл бұрын
Hapo chacha
@wilsonmatombo2150
4 жыл бұрын
Wilixon
Zuchu brought me here...she sings exactly like her mamma❤❤
Lov u smch Mama Khadija Kopa....mpaka now 10/1/2019😘😘😘😘😘😘😘😘😘
My mother use to play this song day .she passed away this song makes miss my mother
@haneyrashidy5481
3 жыл бұрын
Sory
@ramadhansalim2804
3 жыл бұрын
sorry
@ibrahimmuigai770
3 жыл бұрын
May she rest in peace...ameen!!
@jayblack4313
3 жыл бұрын
Pole sana stay strong may Allah bless our mother's
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
Pole dear
Cjampata wakunifurahisha kwenye uhuu mziki zaidi yako mpaka Leo love u more mama Suma uishi miaka mia
I will live loving this song my mam could not spend a day without........ ❤❤❤❤
Nilipo nasweat aise💃💃 .. ngoma haijawai niishia hamu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
mmmh! Mume ni mume ingawaje gumegume sifa za mtume anazo! Namkubali bi Khadija wallahi tena!
@hadijaramadhani1280
6 жыл бұрын
Wajina nakupenda sanaah
heheee khadija copper malkia wa mipasho wapashe mama , karibu hapa kwetu Kenya manake twakupenda sana haya basi wacha niendelee kuimba timburi timburi weweee wimbo mtamu kweli.
Aliyekuwa mke wangu wa kwanza aliupenda huu wimbo, sijui mbona . Labda huenda bado anaipenda. Enzi tukiishi Kongowea Mombasa
@sumtrahammed4305
3 жыл бұрын
😂😂😂
@nafisamohammed9064
3 жыл бұрын
Mbona ukamuacha?Bado unamkumbuka yaonekana...
@mohabasultan1920
3 жыл бұрын
@@nafisamohammed9064 ni mzazi mwenza japo tuliachana
Love this song so much.All the love from Kenya!
@koletaheri9683
6 жыл бұрын
Eugenia Akochi hhhghghhhghghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
hapo hapo Kama makini ALWAYS top in town😘😘👏💖💗
@dashmande4164
6 жыл бұрын
Saida Omar wow that is a goooood coment
2022 am here listening to the amazing song🔥🔥💯👌
sitakii..... taxi bubu.... polisi atanishika....... , napenda nyimbo zako kwa sana dadangu
@nbgeepas5916
6 жыл бұрын
Miriam Akoth
Mama wa zuchu...love this song.2020.
Khadija Kopa Mammy...kukupenda silazimishwi..Mama uko Gado..love you always. 2019 niko bado kwa sana...sibanduki!
who is still listening this song @July-2020* Tujuane tafadhali.. *sasa nawapa wosia, kina Dada msikie*
2222 still my favourite song🔥
You are one of the best Khadija Kopa in intertaiment , still energetic and attractive. Keep us entertained!!
maneno matamu ya kweli,keep it up uko 🔝
Miye sisemi ki2 , amsha mizuka mama!
@zamzamsaidi8762
7 жыл бұрын
Pascal Marwa hee nakulola
@zaharambonani8961
4 жыл бұрын
Kwa hyu mama nashindwa namsfia nasemaje kwa maana du
@emmymotaungmotaung6365
3 жыл бұрын
kabisa
Weweee 2021 from kisauni mambo ngaingai mjini akili........
hongera mama khadija kopa the best mama singer of East African melody pa1👍👍
@josephodhiambo5322
5 жыл бұрын
,,
Asante mama wa mipasho,hapoooo kichuna wa kizaramu usiye isha utamu heheheiyaaa patamu hapo.
@renatusmatungwa6800
3 жыл бұрын
Hivi ni mzaramo eti eeh?
@mwanahalimamwachili9679
3 жыл бұрын
@@renatusmatungwa6800 🤣🤣🤣🤣🤣 Amesema Hivyo Mwenyewe.
How long has it been, its now 2022 and this song is🔥🔥
I love this song,en Kadija as well from Uganda
@levinakiluga3023
Жыл бұрын
I like much khadija kopa songs
Hiii taarabu ni noma sana siichoki kusikiliza
Always loving you mama khadija kopa .....taarab zako ajab sana ...
Kenya’s 🇰🇪💗 mean ??? I love this Mimi napenda utu It smean I love humanity 👏🏽🙏🏽💗👌🏽👍🏾
2020 wapi like zake Kopa from Kenya
nakubali mama wakitanzania bado walipa mwaaaaaah💖💖💖💖💖
@jumamvungi8157
7 жыл бұрын
penda wewe
@binesiharuni2609
7 жыл бұрын
Thanks
@mohammadsalim7619
7 жыл бұрын
Binesi Haruni umeolewa
@binesiharuni2609
7 жыл бұрын
Bado kwani iko shinda
@mohammadsalim7619
7 жыл бұрын
Binesi Haruni hakuna shida pia m bado uko wapi
nakupendaje kwa madonga yako aaaaaa mama unanikoshaje
The signature laughter😍 the beats😍🔥. You gotta love Khadijah 😍❤
@batulisharifu4934
3 жыл бұрын
Ilike this song so much Ina touch my heart's
@josephmorisho5761
2 жыл бұрын
j'aime la chanson
My all time favourite, Mash Allah.sauti ya ninga hadi kesho..... kichuna au sio 😘😘😘😘
Kwani unaimba n'a kucheza kwa style ambayo kila mtu Hana nice one
Drop like za Mama zuchu apa...2020
Sijaoshewa mnuka nuka jasho langu likanuka, sijaoshewa mkaratusi nikaamburia matusi,nimeishewa mfedha fedha mambo yangu hamtayaweza 😜😜😘😘😘😘💯💯💯noma sanaaaaaa
Kopa upo vizuri xana mama anguu
Hiyo ndo hulka yangu mimi napenda utu 😊 Kichuna wa kizaramu nisiyekwisha utamu ...Khadija kopa! Top in Town, queen yule...hakuna asiyekujua mamaa hata mwanao Zuchu twamfahamu.
Tena huswuswan mapenzi ya wingi na nywele za kubandika wakizitowa week sokwe mbouzi dada hadidja
My kiosk listened to this song now its a supermarket!!!
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
MashaaAllah
@bhaiali7602
2 жыл бұрын
MashaAllah!!
Kila Mara Mimi ninapenda kuangalia this song thanks khadija kopa
On 30/11/2021 still listening to this song. Release the next hot one.
Mimi top in town mama wee hilo linanitosha Big boss kopa
Who is here 2019 nice song
@hanifajuma342
5 жыл бұрын
Judy Njeri am here
@lillianmuriuki.m3342
5 жыл бұрын
Tupo tele kama mavi ya asubuhi dada-mdudiko twende kazi
@freddyfredricks3435
5 жыл бұрын
wimbo huu Naupenda .tupo tena kwa mpigo...
@isabashir3935
5 жыл бұрын
Li2llian Mu6riuki.13M d25155 56785537754
@stephenmuruithia5673
5 жыл бұрын
tuko kwa fujo Khadija Kopa heyeiya yeya
hee, huja iisha utamu bado na bado wewe ni queen
Shuka zako azijua,ndani kwako ziko nne😂🙌😂Hadija Kopa ananikosha jmn
Kweli Bado Ukele Uwanjani Kichuna wa Kizaramu _ _!! Hata mm Nimesalute _ _ _!!! Hongera Bi Kopa Mashaallah _ _
Who is here in 2018 still , Nice song.
@katanakiyeye205
5 жыл бұрын
Nice song
@isabashir3935
5 жыл бұрын
v509a0J0570ohnson Abuto 15715555 xrg4e10ew3j83a6 +6witty5 4u1fr d6f7ad16f7a5418000f053a68i5418000f7p06d6f7ad16f7a5418000f053a68i5418000f7p06714082653a6854312d6f17ad16f7a5418000f053a68i5418000f7p714053a16st535714610082653a6854312d627fg17a35d57a8316f7ga5418005k00f09253a68i5418000f7p71436145472670053a16st35 a 6st 482a685768i21603v96555fl4 s2601et 2 wry lf11125 3d575403610th 84443 12th 1146 84jr7 +21195666+211956989164 a6l 453k1298912164 6h4
@dismasjulius9961
5 жыл бұрын
Thanks
My everyday mood starter🥰🥰🥂,2022 n I so much love the queen of mpasho
Napenda huu wimbo + u hadija 😍😍😍😍😍😍😍😍💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
@gibsonokwara9638
5 жыл бұрын
Alhamthlulahi
I love their colorful dresses, all who love this song who are so sad can play it again!!!!