Bado hii nyimbo naipenda sana ,,nashimu kazi yangu inayoniweka mjini,,,hii imenda 2024
@bashirmkambala24073 жыл бұрын
Kama unaukubali huu wimbo nipe like yako hapa
@KhalidKhalid-ox4pg
2 жыл бұрын
Wimbo unakubalika hauna dosali Aisha Oman
@OmanOman-ky2oo
2 жыл бұрын
🥰🥰
@bashirmkambala2407
2 жыл бұрын
@@KhalidKhalid-ox4pg kweli kabisa
@Salma-dt9kc
10 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-iy2wt1og5p5 ай бұрын
2024 nasikiliza hii nyimbo nakupenda sana
@revocatusvedastus8893 Жыл бұрын
hadija kopa nimwisho wa reli,baada ya hapo panda boda boda umalizie safari
@sabraabdilnasir88264 жыл бұрын
Namuomba allah akujaaliye uache kuimba umrejee allah maisha haya tunapita
@leonardboy2558
4 жыл бұрын
duh!usijipe ufahiri wewe rofa hapa mjini
@rukiaosman8416
3 жыл бұрын
Amin thuma Amin
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Aaamin thumma Aaamin
@aisaonlinetv8809
4 ай бұрын
@@leonardboy2558 🤣🤣🤣
@bakaryabdull15868 ай бұрын
Nakuambia bi kopa tangu 2009 sipumui jameni...kopa yanafanya nile mihogo mbichi kila wakati...raha naenjoy ingawa sijawahi mwona uso bin uso...nakuoenda bibiye
@MarcoPolo-vo2on3 жыл бұрын
Khadija kopa aka mama mukubwa. marekani hakuna, ugiriki hakuna, uchina hakuna yupo Tanzania tuu ❤️ gonna like kama unaskiliza in 2021
@138_johnmathinjik.2
2 жыл бұрын
ananikosha waalah
@salamajalina77894 жыл бұрын
Hata Muhogo Kwa Papa Uwezo Wangu Jaman Kariakoo Sendi na Rapa nnaendea Choon Wallah maneno Kuntu Bi Khadijah Allah Akuweke Miaka Dahrii👌👌
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
Nimerudi kwa mara nyingine tena hapa 2022.💕💕
@salumseif25885 жыл бұрын
Konga like tujuane wapenda taarabu
@princehaissam7780
4 жыл бұрын
Mm moj
@bettydmply2585
4 жыл бұрын
Napenda taarabu
@khadijahomankweliyamjahaya74213 жыл бұрын
Jaman tunaoendelea kuburudika 2021 na ji songi pambe👌👌👌👌
@collinslusweti3 жыл бұрын
Usijipe ufahari wewe Lofa mjini. Mjini shule,chuo kikuu Masha a Allah. Mama mkubwa Khadija Omar Kopa.
@user-nq7xi2oj4x9 күн бұрын
Mashaallah hadijakopa mungu akupe sauti miaka yote uko juu mamaaa
@elizabethkalima59254 жыл бұрын
apapap pambeeee umenifikisha mama wamichambo
@ishatanzani17685 жыл бұрын
mume wangu nakupenda asikwambie mwingine hayo maneno maneno waache wapambe waseme si kwa wako wembamba napenda yako mengineee mahaba ya dhati eee aisee bimkubwa hatar💃💃💃
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Njoo uniiimbie basi ehh
@eunicefalex44033 жыл бұрын
Oyoooo hapo chachaaaa achia nyongaaa hyoooo achia bodi waapi mama hidaya Kati ya kinondoni first lead mwanamke mpambanaji strong leady penda Sana tupa jiwe litakae mpata akasema woooi meseji send
@ridgeglorialukusa35973 жыл бұрын
Waliosikiliza 2021🇨🇩🇰🇪🇹🇿🇷🇼🇧🇮🇺🇬👌🏼👌🏼tuko hapa!
@cadenjosiah9515
3 жыл бұрын
I guess it is quite off topic but does anyone know of a good website to stream newly released movies online ?
@matthewzachariah9779
3 жыл бұрын
@Caden Josiah i use Flixzone. You can find it by googling :)
@keatonfelipe8720
3 жыл бұрын
@Matthew Zachariah Yea, been using FlixZone for months myself :)
@cadenjosiah9515
3 жыл бұрын
@Matthew Zachariah Thanks, I went there and it seems to work :) Appreciate it !!
@matthewzachariah9779
3 жыл бұрын
@Caden Josiah You are welcome =)
@bettydmply25854 жыл бұрын
Kweli mjini chuo kikuu inahitaji umakinifu mombasani
@freddyfredricks34353 жыл бұрын
*"Tink of taarab,think of Khadija Kopa"*. That's my thinking 🙉❤️❤️. Kopa umeweza, unatesa mama mkubwaaaaa💪💪💪💪
@mercyamainza64894 жыл бұрын
Naheshimu kazi yangu ndo inaniweka mjini anae nilinda ni Mungu......
@ellymacheyn52914 жыл бұрын
Mjini chuo kikuu 2020 gonga like tujuane
@sabasabahealthcentre8842
3 жыл бұрын
Pambeee tu
@sheysarahnjeno93265 жыл бұрын
Kweli mjini chuo kikuuu. Utabaki juu kileleni.bi khadija kopa
@bettydmply2585
5 жыл бұрын
Kweli mjini chuo kikuu
@simaiabdalla6664
5 жыл бұрын
Yaan wee acha 2 naipendaga san hii nyimbo
@kamoterobert2528
4 жыл бұрын
M
@wasafilassbby76595 жыл бұрын
mume wangu nakupenda usifikir matan sio kwa wako wembamba napenda yako menginee teyyyyna raha mpaka barabaran chezea khadija kopa ww
@majutomabeja7474
5 жыл бұрын
Wasafilass Bby pimpi
@majutomabeja7474
5 жыл бұрын
pimpi
@mbonimdete6641
5 жыл бұрын
Wasafilass Bby penda kabiisaaaaa
@user-zx7yj3le8u5 ай бұрын
Wewe mama usife
@derrickambuga62085 жыл бұрын
Nimekua nikiutafta sana huu wimbo asante
@mariambendera6321
2 жыл бұрын
Inanimaizaga
@mariamumariamu10035 жыл бұрын
Mambo ni 🔥🔥🔥👍❤ waweza kuwa na sm usipigiwe wara sms usitumiwe mineno kuntu kuntuba
@jevahkavishe8576
4 жыл бұрын
Yan cpendi taarab ila hii kitu jaman mistar yake inanikuna mimi jaman💕😍💕😍😂😇
@eziloniadriliani5727
3 жыл бұрын
Mambo
@stanastana3199
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 wacha tu
@saidisaidimalela8826
2 жыл бұрын
wapi kaka tamimu kazi kwao mimi ndio uyo na sepa mdogo mdogo chezea mpaka langi wewe mtoto wa man town
naipenda hii nyimbo jaman hehehehe "sio Kwa wako wembamba napenda yako menginee eeh👌
@KhalidKhalid-ox4pg2 жыл бұрын
Aisha Oman asante mjini chuo unajiita mtt wa mjini ujaweza hata kumiliki mume wa mtu huwachi 👌
@dodomachamngandatv28265 жыл бұрын
penda sana mama mukubwa👌👌👌👌👌👌
@salmaadam4337
4 жыл бұрын
Teenaaa kopa mama lao mama lakudamshi penda sana wewe mamy ilove nakukubal tangu nipo mdogo zanzibar rusharo mambo ya mduara
@fathmaali83634 жыл бұрын
Kalii sana nipeni like jamani
@sebaboy192
4 жыл бұрын
Fathma Ali Sadi NJ
@nespitynespo65343 жыл бұрын
Uko famous kweli mamake mrembo chu.
@nyabisemaro55745 жыл бұрын
Lete Raha Malkia wa Mipasho East Africa Na Duniani hakuna
@mwanaidimuhindi66715 жыл бұрын
Yani huu wimbo ilikua nausaka kweli bado ule wa mwanahawa ally mama Shuhuli
@marjansempa
5 жыл бұрын
Mama shuhuli iko Jikoni.....Usisahau KuSUBSCRIBE na KuShare 😋
@mwanaidimuhindi6671
5 жыл бұрын
@@marjansempa yani nausubiri kwa hamu
@salmaali70805 жыл бұрын
Ushakuwa mtu mzima,kaa utubiye kwa allah
@ashatego47865 жыл бұрын
uko vizuri shost mjini chuo kikuu asante tumekuelewa
@aminahassani4102
3 жыл бұрын
Amina
@ashashabani42104 жыл бұрын
jamani napenda sana taarabu 😍😍😍
@marjansempa
4 жыл бұрын
Thanx🎶
@shamsalulanje41515 жыл бұрын
waambie usiwaache😀😀😀😀Nakuelewa sana bimkubwa
@samkirahi9042
5 жыл бұрын
Naheshimu kazi yangu ndio inaniweka mjini ni kweli
@samkirahi9042
5 жыл бұрын
Bila kaz kweli mjini hukai
@mwanaidathuman77274 жыл бұрын
Napenda cku moja niimbe na ww malkia wa mipasho, nakupendaje!!!
@afidhummuta3721
3 жыл бұрын
Sagpk a zaassds
@devotalaiton58883 ай бұрын
Nyie hii taarabu
@sulemwangemi60132 жыл бұрын
Na heshimu kazi yangu mama kopa Pamoja sana.
@mwaijaidrissah57925 жыл бұрын
Bonge song upo juu mama
@nakumziwanda1204 жыл бұрын
Kama na wewe unaisikiliza hi taarabu 2019 mwezi was 11 gonga like hapa
@soniahomary6430
4 жыл бұрын
Mjin shule, Mjin chuo kikuu
@puritymunuu8518
4 жыл бұрын
Kwa kweli mjini ni chuo kikuuu eeh...pongezi sana malkia wa mipasho
@ashaayubu56095 жыл бұрын
👌💥mambo ni hiv👋nakupenda mamii hadija kopa😘😘😘😘😘🖤🖤🖤❤❤❤
@narrydankan88654 жыл бұрын
Kama naweww unaisikiliza hii nyimbo2019 mwezi wa9 ngonga likee
@mchopamchopa5725
4 жыл бұрын
Napenda xana hii song
@kabagomudy7199
4 жыл бұрын
love you kopa mamaaa kubwa
@wemajonh6535
4 жыл бұрын
raaaa sana
@issaomary725
4 жыл бұрын
@@mchopamchopa5725 napenda Sana mipasho
@zeintz1139
4 жыл бұрын
Narry Dankan umeona
@cathydeno60454 жыл бұрын
This song deserves more than a million viewers ngoma tamu
@safaricombetteroption1073
4 жыл бұрын
Kabisaaa
@georgeoparawafula75005 жыл бұрын
Kweli kuishi mjini yaitaji maarifa.kongiiii
@rukiaosman8416
3 жыл бұрын
Jamani mzee yusuf niyako hayo Eti umerudi mjini hhhhhh Mjini chuokikuu baba hhhhh Bi khadija hoyeeeeee
@tatumuddy17095 жыл бұрын
Aiii.mama mukubwa
@najimahrupiahgomo21095 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mmm haya kwana mambo sasa
@jeminahkaaka81462 жыл бұрын
Jeminah taka Rogers anpenda music wa khadijja kopa natunatamanikumuanfariya tafazari
@ridgeglorialukusa35973 жыл бұрын
Mzikii utamu kabisa 🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️👌🏽👌🏽
@sherrysherry63005 жыл бұрын
Afadhali leo nimekupat we song
@marjansempa
5 жыл бұрын
Usisahau Kulike na kuShare pia unaweza toa Maoni yako
@shabbanismael3356
5 жыл бұрын
@@marjansempa tuwekee na uso wa guzo ya khadija yusuff
@rukiaosman8416
3 жыл бұрын
Hhhhh haya mafumbo ya mzee yusuf hhhhhhhh mzee utakoma
@rukiaosman8416
3 жыл бұрын
Bi khadija mpe aliye rudimjini Hanalolote mzee yusuf. Mpe vijembee
@ramadhanishehoza57294 жыл бұрын
Naheshimu kazi yangu mana ndoinaweka mjini
@sheysarahnjeno93265 жыл бұрын
Tu nakupenda marikia wanguvu bi khadija kopa.
@kingoman78955 жыл бұрын
Hahahahaha.......asante sana mama khadija kopa mimi nacheza tuu kwa raha zangu
@ogetoj62452 жыл бұрын
Hakima ungelijua jinzi unavyo onekana kizoga bila kioo, ungegeuza mienende kuwa wastani. Dr. Ogeto International
@MaimunaSaleh-rx5pp3 күн бұрын
♥️♥️♥️🥰🥰pendasana mama mukubwa
@maryayusuf42884 жыл бұрын
Woyooooo mama la mama malkia wa mipasho full love from Saudi
@saedbare87335 жыл бұрын
Nimeipenda xana khadija uko juuu
@TheKaramanid3 ай бұрын
Still The Top Taarab Song Ilionyooka To Date in 2025 🔥🔥🔥 Khadija Kopa with the 👑
@GabrielMwaipunguАй бұрын
Jamani kama tupenda nyimbo ii tukumbuke kupenda kufanya ibada
@aminabby85605 жыл бұрын
Nakupenda bimkubwa
@ramzanqarim49774 жыл бұрын
Mjini ukija na jembe utalima lami..safi safi
@aisaonlinetv8809
4 ай бұрын
😂😂
@aminaissa23233 жыл бұрын
Nakubiliii uwa aufanyangi kaz mbovu
@fadhiliakida86094 жыл бұрын
Kubwa lao! Mama la mama! Miaka 10000
@hamidaalhabsi85685 жыл бұрын
Hapooooo bi khadija poa💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞🇴🇲👍
@divvanajohnson48953 жыл бұрын
Huyu mama ni nzuri jamani
@joharijj2164 Жыл бұрын
Mume wangu nakupenda,usimwabie mwengine,waache waseme…nyie nampenda Toto la mama mkwe
@skituseleman57484 жыл бұрын
Mambo ya bi khadija kopa hayo
@saedbare87335 жыл бұрын
Naitaka hiii song jamani
@magrethjuma28425 жыл бұрын
umetisha bibie
@johndaffa65804 жыл бұрын
waliosikiliza april 2020 like 👍 hapa
@saidisaidimalela8826
2 жыл бұрын
tamimu mpaka langi na wapa
@julianageorge31934 жыл бұрын
Nakupenda mpenzi wangu nakupenda usiniacheeee
@asilesaid92634 жыл бұрын
Waoooooh honger b mkubwa ww hatari wape pole
@rithadanda90235 жыл бұрын
Niliimiss sana hisongi
@marjansempa5 жыл бұрын
Jamani Jamani Fanyeni Ku SHARE ili Ipate Kuongezeka Viewers...Kuna Vibao Vipya Vipya Nataka Ku UPLOAD
@fadhumoibrahim8705
4 жыл бұрын
Nathaka audio plzz
@estherleonard4059
4 жыл бұрын
Jaman jaman mhhhhh
@zubedaally5499
4 жыл бұрын
Nata wimbo anaosema kasifiwa na obama jaman naomben jinalake naupenda sana
@aminatosha2781
4 жыл бұрын
@@zubedaally5499 lady with confidence
@aminatosha2781
4 жыл бұрын
Plz nataka ubaya hauna kwao wala kabila plz plz
@halimamohammed39704 жыл бұрын
Mama wakujiamini💪💪khadija koppa mwenyewe tamu sana mamaa. 😘😘
@gabbybenda43275 жыл бұрын
malkia mwenye crown zak mjin... mom wa mjin na best vocalist! nakukubal sana mamaaaaaaaa
@simonmakoye6814
3 жыл бұрын
Nakubali mama yang
@marymugara88795 жыл бұрын
Up to Zambia l listen this song Tanzanian 🔥🔥🔥🔥🔥
@tapfumaneyidube6518
4 жыл бұрын
Up to zimbabwe tupo
@ashuratramaaa79264 жыл бұрын
2020 wenzangu tujuaney
@rahmattanzania3869
4 жыл бұрын
Tupo pamoja
@sarahmwampamba86155 жыл бұрын
konkiiii bi Mkubwa kwalaha zang nahipikisha khadija pembeni
@khadeejaabdullah70835 жыл бұрын
Malikia wa nguvu
@aishaelias38675 жыл бұрын
Napenda yako Maschine weee 🥰🥰🥰🥰
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
habib upo
@allysufian7197
4 жыл бұрын
Kweli kabisa mjini chuo kikuu
@stanastana3199
2 жыл бұрын
hahahahahajaja
@stanastana3199
2 жыл бұрын
jajajajajajaja ina nini
@josephkenedy6768
2 жыл бұрын
@@Pedeshee01 to
@nassrafarjalla35235 жыл бұрын
Yaani naitafuta hii song sana Leo imejileta yenyewe.....🤣🤣🤣
@sureladykiba5608
5 жыл бұрын
Nassra unishindi mm hadi raha
@marjansempa
5 жыл бұрын
Na Nyengine zinakuja
@abrablack
5 жыл бұрын
Same to me 😂😂😂
@aminabby8560
5 жыл бұрын
Kumbe tuko wangu
@ussufmwajoto4867
5 жыл бұрын
Hata naona mwaigiza...mimi ndio natafuta mpka chini ya maji
@anyangucaro32103 жыл бұрын
Naheshimu Kazi yangu ndo ilonieka mjini anayenilinda mungu ndo maana najiamini
@shamimhayat76372 жыл бұрын
Safi dada yangu
@camoradessert20212 ай бұрын
Nzuri❤
@janetsimba70873 жыл бұрын
Mkumbuke Allah asa hivi
@skbahati5233 Жыл бұрын
Wakisha Khadija twende ❤❤❤❤❤
@irenesadro73945 жыл бұрын
🚴karudi kijijin mjini chuo kikuuu
@mwalimumarkpatrick1352
3 жыл бұрын
Upo?
@irenesadro7394
3 жыл бұрын
Nipo
@basukeosward41122 жыл бұрын
Copa mama utaniua Mimi na mifuraha ndani Lusaka Zambia 2021 kuelekea 2022 love Copa jamani
@nasraally94755 жыл бұрын
Nakubali sana mama la mama 🙏
@zakiaiddy1018
5 жыл бұрын
naikubalii
@zakiaiddy1018
5 жыл бұрын
pooòoaaa
@OmaryKiwambilo2 ай бұрын
Niko naisikiliza vizur sana
@swalehelshabiby59154 жыл бұрын
Kopa pekeee😂😂🖐🖐🖐
@ogetoj62452 жыл бұрын
Makubwa yacha. Endelea kutazama! Kizoga ni wazola gumbo. Nani alijiona Dr. Ogeto International
@kenjunior34432 жыл бұрын
KHADIJA KOPA MALKIA WA TAARABU NCHINI 🙌
@wasafilassbby76595 жыл бұрын
watoto wa mjini sote tuna namba zetu bibi tunaenda kwa step hahahahah mjini ukija na jembe shoga utalima lami mjini akili bibi nguvu peleka kijijin hahahah lako ilo
@glorymillinga9843
4 жыл бұрын
Upo juu tangu enzi za ngwi nji
@yasmenoozm80945 жыл бұрын
Mama kujitambua
@kutlwanomatsimbi5590
3 жыл бұрын
Mume wangu nakupenda usimwambie mwengine
@dottohamisi98443 жыл бұрын
Nampendaga sana huyu mama atali
@huwaidarashid40742 жыл бұрын
Natembea kwa mguu lakini nalala ndani..na wala siombi mitaani
Пікірлер: 396
Bado hii nyimbo naipenda sana ,,nashimu kazi yangu inayoniweka mjini,,,hii imenda 2024
Kama unaukubali huu wimbo nipe like yako hapa
@KhalidKhalid-ox4pg
2 жыл бұрын
Wimbo unakubalika hauna dosali Aisha Oman
@OmanOman-ky2oo
2 жыл бұрын
🥰🥰
@bashirmkambala2407
2 жыл бұрын
@@KhalidKhalid-ox4pg kweli kabisa
@Salma-dt9kc
10 ай бұрын
❤❤❤❤
2024 nasikiliza hii nyimbo nakupenda sana
hadija kopa nimwisho wa reli,baada ya hapo panda boda boda umalizie safari
Namuomba allah akujaaliye uache kuimba umrejee allah maisha haya tunapita
@leonardboy2558
4 жыл бұрын
duh!usijipe ufahiri wewe rofa hapa mjini
@rukiaosman8416
3 жыл бұрын
Amin thuma Amin
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Aaamin thumma Aaamin
@aisaonlinetv8809
4 ай бұрын
@@leonardboy2558 🤣🤣🤣
Nakuambia bi kopa tangu 2009 sipumui jameni...kopa yanafanya nile mihogo mbichi kila wakati...raha naenjoy ingawa sijawahi mwona uso bin uso...nakuoenda bibiye
Khadija kopa aka mama mukubwa. marekani hakuna, ugiriki hakuna, uchina hakuna yupo Tanzania tuu ❤️ gonna like kama unaskiliza in 2021
@138_johnmathinjik.2
2 жыл бұрын
ananikosha waalah
Hata Muhogo Kwa Papa Uwezo Wangu Jaman Kariakoo Sendi na Rapa nnaendea Choon Wallah maneno Kuntu Bi Khadijah Allah Akuweke Miaka Dahrii👌👌
Nimerudi kwa mara nyingine tena hapa 2022.💕💕
Konga like tujuane wapenda taarabu
@princehaissam7780
4 жыл бұрын
Mm moj
@bettydmply2585
4 жыл бұрын
Napenda taarabu
Jaman tunaoendelea kuburudika 2021 na ji songi pambe👌👌👌👌
Usijipe ufahari wewe Lofa mjini. Mjini shule,chuo kikuu Masha a Allah. Mama mkubwa Khadija Omar Kopa.
Mashaallah hadijakopa mungu akupe sauti miaka yote uko juu mamaaa
apapap pambeeee umenifikisha mama wamichambo
mume wangu nakupenda asikwambie mwingine hayo maneno maneno waache wapambe waseme si kwa wako wembamba napenda yako mengineee mahaba ya dhati eee aisee bimkubwa hatar💃💃💃
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Njoo uniiimbie basi ehh
Oyoooo hapo chachaaaa achia nyongaaa hyoooo achia bodi waapi mama hidaya Kati ya kinondoni first lead mwanamke mpambanaji strong leady penda Sana tupa jiwe litakae mpata akasema woooi meseji send
Waliosikiliza 2021🇨🇩🇰🇪🇹🇿🇷🇼🇧🇮🇺🇬👌🏼👌🏼tuko hapa!
@cadenjosiah9515
3 жыл бұрын
I guess it is quite off topic but does anyone know of a good website to stream newly released movies online ?
@matthewzachariah9779
3 жыл бұрын
@Caden Josiah i use Flixzone. You can find it by googling :)
@keatonfelipe8720
3 жыл бұрын
@Matthew Zachariah Yea, been using FlixZone for months myself :)
@cadenjosiah9515
3 жыл бұрын
@Matthew Zachariah Thanks, I went there and it seems to work :) Appreciate it !!
@matthewzachariah9779
3 жыл бұрын
@Caden Josiah You are welcome =)
Kweli mjini chuo kikuu inahitaji umakinifu mombasani
*"Tink of taarab,think of Khadija Kopa"*. That's my thinking 🙉❤️❤️. Kopa umeweza, unatesa mama mkubwaaaaa💪💪💪💪
Naheshimu kazi yangu ndo inaniweka mjini anae nilinda ni Mungu......
Mjini chuo kikuu 2020 gonga like tujuane
@sabasabahealthcentre8842
3 жыл бұрын
Pambeee tu
Kweli mjini chuo kikuuu. Utabaki juu kileleni.bi khadija kopa
@bettydmply2585
5 жыл бұрын
Kweli mjini chuo kikuu
@simaiabdalla6664
5 жыл бұрын
Yaan wee acha 2 naipendaga san hii nyimbo
@kamoterobert2528
4 жыл бұрын
M
mume wangu nakupenda usifikir matan sio kwa wako wembamba napenda yako menginee teyyyyna raha mpaka barabaran chezea khadija kopa ww
@majutomabeja7474
5 жыл бұрын
Wasafilass Bby pimpi
@majutomabeja7474
5 жыл бұрын
pimpi
@mbonimdete6641
5 жыл бұрын
Wasafilass Bby penda kabiisaaaaa
Wewe mama usife
Nimekua nikiutafta sana huu wimbo asante
@mariambendera6321
2 жыл бұрын
Inanimaizaga
Mambo ni 🔥🔥🔥👍❤ waweza kuwa na sm usipigiwe wara sms usitumiwe mineno kuntu kuntuba
@jevahkavishe8576
4 жыл бұрын
Yan cpendi taarab ila hii kitu jaman mistar yake inanikuna mimi jaman💕😍💕😍😂😇
@eziloniadriliani5727
3 жыл бұрын
Mambo
@stanastana3199
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 wacha tu
@saidisaidimalela8826
2 жыл бұрын
wapi kaka tamimu kazi kwao mimi ndio uyo na sepa mdogo mdogo chezea mpaka langi wewe mtoto wa man town
Kweli mjini chuo kikuu inahitaji taaluma😍😍😍😍😍😍
@zenampangile501
5 жыл бұрын
Barkaad 22 khadija kopa ujawai kuniangusha, nakupenda bule Mama🍉😘😘
@Mbumbuko
2 жыл бұрын
❤️
naipenda hii nyimbo jaman hehehehe "sio Kwa wako wembamba napenda yako menginee eeh👌
Aisha Oman asante mjini chuo unajiita mtt wa mjini ujaweza hata kumiliki mume wa mtu huwachi 👌
penda sana mama mukubwa👌👌👌👌👌👌
@salmaadam4337
4 жыл бұрын
Teenaaa kopa mama lao mama lakudamshi penda sana wewe mamy ilove nakukubal tangu nipo mdogo zanzibar rusharo mambo ya mduara
Kalii sana nipeni like jamani
@sebaboy192
4 жыл бұрын
Fathma Ali Sadi NJ
Uko famous kweli mamake mrembo chu.
Lete Raha Malkia wa Mipasho East Africa Na Duniani hakuna
Yani huu wimbo ilikua nausaka kweli bado ule wa mwanahawa ally mama Shuhuli
@marjansempa
5 жыл бұрын
Mama shuhuli iko Jikoni.....Usisahau KuSUBSCRIBE na KuShare 😋
@mwanaidimuhindi6671
5 жыл бұрын
@@marjansempa yani nausubiri kwa hamu
Ushakuwa mtu mzima,kaa utubiye kwa allah
uko vizuri shost mjini chuo kikuu asante tumekuelewa
@aminahassani4102
3 жыл бұрын
Amina
jamani napenda sana taarabu 😍😍😍
@marjansempa
4 жыл бұрын
Thanx🎶
waambie usiwaache😀😀😀😀Nakuelewa sana bimkubwa
@samkirahi9042
5 жыл бұрын
Naheshimu kazi yangu ndio inaniweka mjini ni kweli
@samkirahi9042
5 жыл бұрын
Bila kaz kweli mjini hukai
Napenda cku moja niimbe na ww malkia wa mipasho, nakupendaje!!!
@afidhummuta3721
3 жыл бұрын
Sagpk a zaassds
Nyie hii taarabu
Na heshimu kazi yangu mama kopa Pamoja sana.
Bonge song upo juu mama
Kama na wewe unaisikiliza hi taarabu 2019 mwezi was 11 gonga like hapa
@soniahomary6430
4 жыл бұрын
Mjin shule, Mjin chuo kikuu
@puritymunuu8518
4 жыл бұрын
Kwa kweli mjini ni chuo kikuuu eeh...pongezi sana malkia wa mipasho
👌💥mambo ni hiv👋nakupenda mamii hadija kopa😘😘😘😘😘🖤🖤🖤❤❤❤
Kama naweww unaisikiliza hii nyimbo2019 mwezi wa9 ngonga likee
@mchopamchopa5725
4 жыл бұрын
Napenda xana hii song
@kabagomudy7199
4 жыл бұрын
love you kopa mamaaa kubwa
@wemajonh6535
4 жыл бұрын
raaaa sana
@issaomary725
4 жыл бұрын
@@mchopamchopa5725 napenda Sana mipasho
@zeintz1139
4 жыл бұрын
Narry Dankan umeona
This song deserves more than a million viewers ngoma tamu
@safaricombetteroption1073
4 жыл бұрын
Kabisaaa
Kweli kuishi mjini yaitaji maarifa.kongiiii
@rukiaosman8416
3 жыл бұрын
Jamani mzee yusuf niyako hayo Eti umerudi mjini hhhhhh Mjini chuokikuu baba hhhhh Bi khadija hoyeeeeee
Aiii.mama mukubwa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mmm haya kwana mambo sasa
Jeminah taka Rogers anpenda music wa khadijja kopa natunatamanikumuanfariya tafazari
Mzikii utamu kabisa 🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️👌🏽👌🏽
Afadhali leo nimekupat we song
@marjansempa
5 жыл бұрын
Usisahau Kulike na kuShare pia unaweza toa Maoni yako
@shabbanismael3356
5 жыл бұрын
@@marjansempa tuwekee na uso wa guzo ya khadija yusuff
@rukiaosman8416
3 жыл бұрын
Hhhhh haya mafumbo ya mzee yusuf hhhhhhhh mzee utakoma
@rukiaosman8416
3 жыл бұрын
Bi khadija mpe aliye rudimjini Hanalolote mzee yusuf. Mpe vijembee
Naheshimu kazi yangu mana ndoinaweka mjini
Tu nakupenda marikia wanguvu bi khadija kopa.
Hahahahaha.......asante sana mama khadija kopa mimi nacheza tuu kwa raha zangu
Hakima ungelijua jinzi unavyo onekana kizoga bila kioo, ungegeuza mienende kuwa wastani. Dr. Ogeto International
♥️♥️♥️🥰🥰pendasana mama mukubwa
Woyooooo mama la mama malkia wa mipasho full love from Saudi
Nimeipenda xana khadija uko juuu
Still The Top Taarab Song Ilionyooka To Date in 2025 🔥🔥🔥 Khadija Kopa with the 👑
Jamani kama tupenda nyimbo ii tukumbuke kupenda kufanya ibada
Nakupenda bimkubwa
Mjini ukija na jembe utalima lami..safi safi
@aisaonlinetv8809
4 ай бұрын
😂😂
Nakubiliii uwa aufanyangi kaz mbovu
Kubwa lao! Mama la mama! Miaka 10000
Hapooooo bi khadija poa💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞🇴🇲👍
Huyu mama ni nzuri jamani
Mume wangu nakupenda,usimwabie mwengine,waache waseme…nyie nampenda Toto la mama mkwe
Mambo ya bi khadija kopa hayo
Naitaka hiii song jamani
umetisha bibie
waliosikiliza april 2020 like 👍 hapa
@saidisaidimalela8826
2 жыл бұрын
tamimu mpaka langi na wapa
Nakupenda mpenzi wangu nakupenda usiniacheeee
Waoooooh honger b mkubwa ww hatari wape pole
Niliimiss sana hisongi
Jamani Jamani Fanyeni Ku SHARE ili Ipate Kuongezeka Viewers...Kuna Vibao Vipya Vipya Nataka Ku UPLOAD
@fadhumoibrahim8705
4 жыл бұрын
Nathaka audio plzz
@estherleonard4059
4 жыл бұрын
Jaman jaman mhhhhh
@zubedaally5499
4 жыл бұрын
Nata wimbo anaosema kasifiwa na obama jaman naomben jinalake naupenda sana
@aminatosha2781
4 жыл бұрын
@@zubedaally5499 lady with confidence
@aminatosha2781
4 жыл бұрын
Plz nataka ubaya hauna kwao wala kabila plz plz
Mama wakujiamini💪💪khadija koppa mwenyewe tamu sana mamaa. 😘😘
malkia mwenye crown zak mjin... mom wa mjin na best vocalist! nakukubal sana mamaaaaaaaa
@simonmakoye6814
3 жыл бұрын
Nakubali mama yang
Up to Zambia l listen this song Tanzanian 🔥🔥🔥🔥🔥
@tapfumaneyidube6518
4 жыл бұрын
Up to zimbabwe tupo
2020 wenzangu tujuaney
@rahmattanzania3869
4 жыл бұрын
Tupo pamoja
konkiiii bi Mkubwa kwalaha zang nahipikisha khadija pembeni
Malikia wa nguvu
Napenda yako Maschine weee 🥰🥰🥰🥰
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
habib upo
@allysufian7197
4 жыл бұрын
Kweli kabisa mjini chuo kikuu
@stanastana3199
2 жыл бұрын
hahahahahajaja
@stanastana3199
2 жыл бұрын
jajajajajajaja ina nini
@josephkenedy6768
2 жыл бұрын
@@Pedeshee01 to
Yaani naitafuta hii song sana Leo imejileta yenyewe.....🤣🤣🤣
@sureladykiba5608
5 жыл бұрын
Nassra unishindi mm hadi raha
@marjansempa
5 жыл бұрын
Na Nyengine zinakuja
@abrablack
5 жыл бұрын
Same to me 😂😂😂
@aminabby8560
5 жыл бұрын
Kumbe tuko wangu
@ussufmwajoto4867
5 жыл бұрын
Hata naona mwaigiza...mimi ndio natafuta mpka chini ya maji
Naheshimu Kazi yangu ndo ilonieka mjini anayenilinda mungu ndo maana najiamini
Safi dada yangu
Nzuri❤
Mkumbuke Allah asa hivi
Wakisha Khadija twende ❤❤❤❤❤
🚴karudi kijijin mjini chuo kikuuu
@mwalimumarkpatrick1352
3 жыл бұрын
Upo?
@irenesadro7394
3 жыл бұрын
Nipo
Copa mama utaniua Mimi na mifuraha ndani Lusaka Zambia 2021 kuelekea 2022 love Copa jamani
Nakubali sana mama la mama 🙏
@zakiaiddy1018
5 жыл бұрын
naikubalii
@zakiaiddy1018
5 жыл бұрын
pooòoaaa
Niko naisikiliza vizur sana
Kopa pekeee😂😂🖐🖐🖐
Makubwa yacha. Endelea kutazama! Kizoga ni wazola gumbo. Nani alijiona Dr. Ogeto International
KHADIJA KOPA MALKIA WA TAARABU NCHINI 🙌
watoto wa mjini sote tuna namba zetu bibi tunaenda kwa step hahahahah mjini ukija na jembe shoga utalima lami mjini akili bibi nguvu peleka kijijin hahahah lako ilo
@glorymillinga9843
4 жыл бұрын
Upo juu tangu enzi za ngwi nji
Mama kujitambua
@kutlwanomatsimbi5590
3 жыл бұрын
Mume wangu nakupenda usimwambie mwengine
Nampendaga sana huyu mama atali
Natembea kwa mguu lakini nalala ndani..na wala siombi mitaani