#LIVE :BLOCK 89 EXCLUSIVE INTERVIEW WITH SAT B ( 8 OCT. 2019)
Жүктеу.....
Пікірлер: 470
@marylouisebumoleke46774 жыл бұрын
watu wa Burundi nipeni like apa kama unamkubali Sat B gonga like apa
@frado4547
4 жыл бұрын
Mtoto wetu st b bujumbura 💞
@frado4547
4 жыл бұрын
Unaweza urashoboye umunyamuziki wacu
@frado4547
4 жыл бұрын
Tunamukubali sana anaweza💞
@johnsonartabou28554 жыл бұрын
Kama wewe nimurundi naunamini ipo Siku Burundi Itasongambere kimusiki. Gonga like hapa 🇧🇮🔥💯
@tantinebettynduwimana380
4 жыл бұрын
Kupitia njia ya Natasha
@glorianikiza924 жыл бұрын
Burundi oyeeee warundi tujuane apa
@kdiana9483
4 жыл бұрын
Nuko yabesh vyinsh 😒😒
@laitaa8832
4 жыл бұрын
Oyeee
@prospernshimirimana6043
4 жыл бұрын
Gloria Nikiza tupo
@coffeesma7368
4 жыл бұрын
Oyeeeeee wanarundi tuko
@ruttenange92134 жыл бұрын
He is great and he is our star.Fière d'être burundaise🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@josephtwagiramungu30214 жыл бұрын
Team Satura From England UK, nipe Like zangu hapa twende poa!! You still KingOfBujaFlavour!!
@rigalugano8791
4 жыл бұрын
Aho wajama niwatangazaji wa nguvu
@thomasndayisaba9959
4 жыл бұрын
Kumbe Uko UK
@Super-Diamond-Studio4 жыл бұрын
Ingereni kumuoatia Murundi iyo nafasi ila Ningeomba Musiishie apo Maana Wapo Wengine wasani Wenye Uwezo Mkubwa saaanaa Kwa Lugha mpaka Uimbaji mpaka Kazi zao Zimeishavuka mipaka ila apo Tanzania Amujawapatia nafasi Maana Tunawaamini Saana Tunaomba iyo Nafasi ,,,, Big up saana Jonijo na Team yako nzima.... Ila Msani Wetu ajipange kidogo ajuelewe Itapendeza zaidi
@lebonndayishimiye12594 жыл бұрын
Holla! Wew kama wewe kama kweli unakubali kua Buja🇧🇮 tuna weza music gonga like twende....
@yoghygenero52844 жыл бұрын
msani sio lazma awe na bodyguard.......mr blue sasa sio msani? nakubali sat-b endelea kupeperusha our flag +257🔥🔥🔥🔥🔥
@amolam97
4 жыл бұрын
Mr yoghy wambie
@mupigotv9097
4 жыл бұрын
Hhhh mbona amesema kama yuko na bouncers
@keviningabire80574 жыл бұрын
🔥🔥🔥mwana wa buja🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@blaisesayo17634 жыл бұрын
Sat B best artist here Bujumbura!!! Respect wasafi TV
@ngendakumana_mbasha4 жыл бұрын
Sat B is the Best in Burundi Superstar i mean Thank U WCB fm for your support
@lyndalacostatv19364 жыл бұрын
Sat-B wetu mpole na Busara kwa kweli . Ila Enzi hizo Mgelimtambuwa 😂😂 Asante Wasafi kum connect Kijana Wetu , Ila Mnatisha Punguzeni Duuuh
@salprothemeek4869
4 жыл бұрын
Team Satura Forever!
@tantinebettynduwimana380
4 жыл бұрын
Hapa tunamkubali natasha
@upendotv2574
4 жыл бұрын
You wark so hard my sister
@ndayikezeeliezel4208
4 жыл бұрын
Arakoz ivyananiy besh🙋♂️
@eliasmarley312
4 жыл бұрын
Lynda Lacosta nakufuatilia saana kila kona wew
@ghjhggui64474 жыл бұрын
Je suis fière d être 🇧🇮
@germainenahimana34654 жыл бұрын
So happy for him love from Canada 🇨🇦
@pasifiqueivuzimana4424
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@nsanzabahizirahma71044 жыл бұрын
Uyo ni King 👑wa buja freva tuwakilishe kima tayifa kazi mbele utabaki kuwa kileleni 💕👊
@lucksonbonfilsbrown907
4 жыл бұрын
king 👑wa Buja ni fizzo not sat b
@nsanzabahizirahma7104
4 жыл бұрын
@@lucksonbonfilsbrown907 wewe jo unasema anaye Julikana king St_B👑🦁atabaki kileleni ukubali ukataye yeye jo king wa buja freva kazi mbele
@mjoradaudi8415
4 жыл бұрын
Oya niambieni Burundi kuna mwana hip hop aliwahi kuimba na alikiba anaitwa mkombozi alienda wap niambieni
@nsanzabahizirahma7104
4 жыл бұрын
@@mjoradaudi8415 mimi ni naye mu fahamu aliye imba na Alikiba ni Lolilo yuko 🇧🇮 ila Mukombozi yuko Rwanda
@jojoiqramomy8535
4 жыл бұрын
@@lucksonbonfilsbrown907 ni general fizoo
@dafxclass4 жыл бұрын
Sat B from Burundi keep Fire burning 💥✌💓🙌🤲
@mariamoman50573 жыл бұрын
Waaooo 🥰 🥰 Very Nice 🥰 🇧🇮🇯🇲
@josuebaribike15774 жыл бұрын
King 👑 satellite 🛰 Burundi 🇧🇮 tunakupenda sana♥️♥️♥️♥️♥️
@ndarenova52244 жыл бұрын
Sat-b Oyeee.king satur mabafl na boulle🔥💥🔥💥🔥🔥➗.wasafi media Big up sana🔑🔑
@kkkkftbbhgft91184 жыл бұрын
Wantanzania pumbafu zenu unaona wa mecoment eti kiswahil kinasumbua warundi kwaiyo nyinyi munajua kirundi??
@kanyanahuguettelindsay9616
4 жыл бұрын
👍🏻
@rodrinegakiza4997
4 жыл бұрын
Just tell them. In Burundi we speak kirundi not swahili
@Ndayaki
4 жыл бұрын
Kweli hiyo
@ericnizigiyimana2737
4 жыл бұрын
Wa tanzania nikama mbuzi wanaongea lugha moja peke kama mbuzi.INOS B alipo kua studio mulikua mki lalamika eti kizungu kimekua chingi,Wasafi mnayifanya kazi yenu vizuri alakini kama nyinyi niwa tangazaji basi muwe matangazaji namusiwe maakim.JOHNY JOO is okey alakini mshikaji upande wapili nikama fans wa chelsea ubishi tu!! lengo lake kutegana mitengo sio professional
@fattyandruqyahbinthouthman8025
4 жыл бұрын
Tulizeni mizuka wa tz wana washinda vingi nyooo
@niyitangajalilu14044 жыл бұрын
Asante kwa mupa support dogo sat b
@alisage4 жыл бұрын
Oyoo I'm so proud of you karume Boy
@joyterrohl7894 жыл бұрын
King saaana SatB🇧🇮
@laitaa88324 жыл бұрын
Sat B we support you and we ❤️ you ✨💕 From🇧🇮
@donaahishakiye63944 жыл бұрын
Asante sana Sat b nakubali kuajibu yako thx
@khizzer_jr4 жыл бұрын
Jamaa iko sawa,Sat B iko na album mbili na singles kibao tu
@257onair43 жыл бұрын
Mungu amsaidie @satb wetu atatufikisha mbali inshaAllah
@kkkkftbbhgft91184 жыл бұрын
Kitu cenye sipendee wa tz wanazarau sana warundi .....pumbafu zenu
@valentineshembilu1256
4 жыл бұрын
Tutake radhi aisee watz hatuko hivyo tunaheshimu kila mtu, kosa ni la satb mwenyewe kutokujiamini awapo studio
@vangiftshine
4 жыл бұрын
Mambo ghani ao Tena kumdhalau kivipii, wanaco Sema ni ukweli Instagram yak iko chinii, tu jifunze ku pitia WA Tz
@ericininahazwe8635
4 жыл бұрын
Shauli nzuri sana@@vangiftshine
@babangidambonimpa4644 жыл бұрын
Watangazaji mko wa kibongo, specialy nyinyi akina Jonijo kiwango chenu cha utangazaji habari kipo chini saana. Mnabahati kubwa, Sat B ni big artist saana zaidi ya mnavyo mchukuliya.
@arielchavez45074 жыл бұрын
Sat-b unajibu ma suala kidiplomasia,
@peresirakoze63534 жыл бұрын
+257 lets show support to our brother. keep representing Sat B. tunakukubali
@zainabuamadi40124 жыл бұрын
Big Up watu wa nyumbani 🇧🇮💪
@jeanpierrekwizera64004 жыл бұрын
waooooo!!! nakubari sana King Sat-B , umeipepelusha Burundi yetu. much Love for You!❤❤❤❤❤❤❤
@agun_machine4 жыл бұрын
Sio fresh bhn, kumzarau mchizi hata kama sio star!!
@johnkerrysibomana9062
4 жыл бұрын
Yaani wamemshusha ile mbaya kabisa ila ifike wakati tuache kujikomba na kujivika vyeo
@ruttenange9213
4 жыл бұрын
Ni star bro.Thanks
@eastmusicmrk83204 жыл бұрын
Iyyii jonijoo. Uyajamaaa kwaburundi ni mwambakweli
@afroeastmusica.e.mourhomeo88624 жыл бұрын
its so easy kum'take easy mtu when hamjui mtu but when he knows his point ata take easy yote ili atobowe
@m-dhiba93664 жыл бұрын
Satb mtuu wangu 💪 next level
@vnsindayigaya4644 жыл бұрын
let thx DIAMOND for Wasafi Media!🙏 DMN proud 2 be 🇧🇮❤. BDI forLIFE😊🙌 SATURA hppy fr u✊
@aal18554 жыл бұрын
Satura amabafle 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Tunakupenda saana
@emdybwoy76903 жыл бұрын
Love from Emdy Bwoy bujumbura byz nampenda gacugere
@uwimanaaisha52474 жыл бұрын
nawakirisha from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@amigoontheflo12344 жыл бұрын
Though u supported him but I disliked this way of underrate him or bring him down. For this u did nothing to him than to offend him . Remember diamond comes in Burundi. ..we showed him hospitality n care but what u did our burundian is rubbish Better u apologise
@theochumelody
2 жыл бұрын
He didn’t even introduce him clearly. If you’re not good in Instagram show them the way you do..
@annasistus66244 жыл бұрын
Anaitwa satura mabom na mabuye
@massudbiz98284 жыл бұрын
Furahia matunda yakazi zako sat b Warundi wote tunakutakia mafanikio mema Gonga like kama imekugusa jamanii
@kaybogar77844 жыл бұрын
😀😀😀😀 wa Bongo sio watu wazuri mnafanza Sat b awe nakigugumizi cenye awagi naco 😀😀😀😀 shikamo wasafi 🙌🏽🙌🏽
@eliasmarley312
4 жыл бұрын
Kay Bogar warahi unanichekesh saan dah. mbavu zangu jamani
@monicaandrew82924 жыл бұрын
Muziki wa Bongo mkubwa jamani msimshangae kuja kupush Bongo
That is a big star from Burundi love from TANGANYIKA BOY 🙌
@kozzomix1204 жыл бұрын
Sat b wew ni mtu wangu sana big up nayipenda wasafi Tv
@abasiabdoul4777
4 жыл бұрын
Qqq
@flavafleury4 жыл бұрын
Respect bro sat b 💥💥 like here kama unamkubari sat b kwakazi zake 👍
@mutabaziceleus3201
4 жыл бұрын
Respect Sat-b.
@wizover26524 жыл бұрын
Safi sana Sat B
@fistongaston70664 жыл бұрын
Yaani kama kwelo mmefuatilia vizuri hii interview huyu jama amedhalilisha burundi. Fizzo njoo ukabatilishe uongo Wa huyu mshambega
@lievinhatungimana3991
4 жыл бұрын
fiston gaston fizzo the bantu bwoy akuje awatumbuwe kbs satb anaogopa san tena hajiamini mwenyew
@samykhalifa21
4 жыл бұрын
Jama anadanganya sana
@valentineshembilu1256
4 жыл бұрын
Amedanganya nini tuambieni ukweli
@aminaabdallah56424 жыл бұрын
Tatizo la hawa watangazaj n waswaili saana ila sasa huwez amin huy mnaejifany kumtish ye mwenyew kawadharau kama umegundua na yeye kawahoj na kuwadharau kiutudhim yan kuwadharau kitusi na kuwahoj labda mniulize kwanin diamond hhh kaon wanamuhoj ujing wamejifany kumuhoj kibabe lakin yey kawahoj k staarab lakin kwa jeuri huy sat nae sio mdogo waburundi nooma kama umegundua kua satb nayey kuwadharau gong like hapa twend sawa
@15centerckz602 жыл бұрын
I like you satb nafanya vizuli Sana nic musc
@nindajanvier15033 жыл бұрын
I love you Sat B unanikumbuka wakati ukingali unavuma nilikufikia kwako nikakuuliza kama tunaweza fanya ft japo kwabahati mbaa nilifika nasafili kwenda shuleni ila najua tutaonana tena Love you Bro
@neyostarmapoz79244 жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🔥🔥🔥🔥🔥💗🙏😋
@gitegagitega65434 жыл бұрын
Wasafi fm asanteni Sana ma Zee interview nzuri ,🇧🇮🎤🎶👊🔐💪💪💪
@muhitiraamissy71982 жыл бұрын
Satb siopowaa noma sana
@lucksonbonfilsbrown9074 жыл бұрын
we wish one day u can invite big fizzo from Burundi the king of music in Buja fleva even diamond was his fan before being super star his the really Simba
@nishimweabel49033 жыл бұрын
Nice Satilite of Bndi nakubali sana big up sana!!.
@chiconkosi55024 жыл бұрын
Big up my bro
@Daminii24 жыл бұрын
The king the marechal
@yussufadidja4334 жыл бұрын
💗💗napenda anavyo iba 😍😍🌹
@abdulndash92144 жыл бұрын
Ingiya Instagram ya big Fizzo apo ndio utakubali jonijooo
@johnkerrysibomana90624 жыл бұрын
Dah!!sat b hujui hata kujibu maswali??mi ni murundi ila hapo bhana umebolonga saana unaanzaje kujitambulisha kweny nyimbo ya mtu??kiswahili chako chenyewe mazoezi pumbavu unaanza kujivika vyeo jamani haya yataishaje BUJUMBURA
@jorgettemwajuma54283 жыл бұрын
Tuna mpenda sana sat b from 🇧🇮 🇧🇮 🇸🇦 🇸🇦
@nathanjunior67594 жыл бұрын
Sat-b satura💪💪 big up sanaaa nakubali
@salprothemeek48694 жыл бұрын
Sat-B King of Buja Flava,Keep it up!
@knablessingkuri10324 жыл бұрын
King sat-b🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@calixtewizland2124 жыл бұрын
Jama anaweza kabisa
@officialmrtop10184 жыл бұрын
Big up sana *Burundi's Satellite*
@alesnema95964 жыл бұрын
Satura oyeee🇧🇮🇰🇼
@kabeyaaladin5474 жыл бұрын
noma saaana haw majama hii apa sio kazi
@NimuFx4 жыл бұрын
daaaaah! kiswahili safi, majibu poa sana. ongela sana Mtoto wa Burundi Sat B.... Bendela letu in EAC bado lipo juu 🇧🇮🇧🇮 penda sana from Burundi
@amaniirakoze7724 жыл бұрын
sat b wew bado mdogo akia mungu fizzo hakudanganya ludi shuleni kusoma angalia kwanza hayo ma swala ume ulizwa na hao watangazaji umeshindwa kujibia hata swali moja wew alakini courage
@gastonbrooklyn86314 жыл бұрын
Uyo angali Dogo
@remybikorimana56644 жыл бұрын
Big up sana kwa Sat b,anaweza sana!
@bouchokesha42604 жыл бұрын
Sat-B namkubali sana maana ni tegemeo la mchi
@naimahynes40924 жыл бұрын
Burundi my king sat b🔥🔥👌❤❤🙏🙏
@mjoradaudi84154 жыл бұрын
Nyie huyo ndo diamond wa Burundi ingawa munamuhoji kwa madharau
@afandechanel1507
4 жыл бұрын
Hawaja muoji kwa dharau sat B hana maelezo ya kujitosheleza ili watu wamuelewe kiswahili chake anaongea kwa uoga
@philbertndayikeza3729
4 жыл бұрын
Kwl wanathalau saana washenzi awo wajama mafala kbs
@afroeastmusica.e.mourhomeo8862
4 жыл бұрын
😅😅😅
@lievinhatungimana3991
4 жыл бұрын
Mtu tunaekubali uku kwetu Bdi ashafanya mengi ni BigFizzo
@psposui2633
4 жыл бұрын
Mjora Daudi 😂😂😂 eti diamond wa Burundi
@husseinkudra2724 жыл бұрын
Oyoooo nakubali mzee nimefuray sana kukuona umefik wasafi tv
Uko buraye siko bwirirwa impumyi ninyinshi gusa intambwe yabonetse ndizera ibikorwa katari bibi nanje nkumuhinguzi wa music video tz # Burundi ndashima urugendo rwa sat b warundi gongo like hapa kama umependa hili tokeo la sat b
Пікірлер: 470
watu wa Burundi nipeni like apa kama unamkubali Sat B gonga like apa
@frado4547
4 жыл бұрын
Mtoto wetu st b bujumbura 💞
@frado4547
4 жыл бұрын
Unaweza urashoboye umunyamuziki wacu
@frado4547
4 жыл бұрын
Tunamukubali sana anaweza💞
Kama wewe nimurundi naunamini ipo Siku Burundi Itasongambere kimusiki. Gonga like hapa 🇧🇮🔥💯
@tantinebettynduwimana380
4 жыл бұрын
Kupitia njia ya Natasha
Burundi oyeeee warundi tujuane apa
@kdiana9483
4 жыл бұрын
Nuko yabesh vyinsh 😒😒
@laitaa8832
4 жыл бұрын
Oyeee
@prospernshimirimana6043
4 жыл бұрын
Gloria Nikiza tupo
@coffeesma7368
4 жыл бұрын
Oyeeeeee wanarundi tuko
He is great and he is our star.Fière d'être burundaise🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Team Satura From England UK, nipe Like zangu hapa twende poa!! You still KingOfBujaFlavour!!
@rigalugano8791
4 жыл бұрын
Aho wajama niwatangazaji wa nguvu
@thomasndayisaba9959
4 жыл бұрын
Kumbe Uko UK
Ingereni kumuoatia Murundi iyo nafasi ila Ningeomba Musiishie apo Maana Wapo Wengine wasani Wenye Uwezo Mkubwa saaanaa Kwa Lugha mpaka Uimbaji mpaka Kazi zao Zimeishavuka mipaka ila apo Tanzania Amujawapatia nafasi Maana Tunawaamini Saana Tunaomba iyo Nafasi ,,,, Big up saana Jonijo na Team yako nzima.... Ila Msani Wetu ajipange kidogo ajuelewe Itapendeza zaidi
Holla! Wew kama wewe kama kweli unakubali kua Buja🇧🇮 tuna weza music gonga like twende....
msani sio lazma awe na bodyguard.......mr blue sasa sio msani? nakubali sat-b endelea kupeperusha our flag +257🔥🔥🔥🔥🔥
@amolam97
4 жыл бұрын
Mr yoghy wambie
@mupigotv9097
4 жыл бұрын
Hhhh mbona amesema kama yuko na bouncers
🔥🔥🔥mwana wa buja🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Sat B best artist here Bujumbura!!! Respect wasafi TV
Sat B is the Best in Burundi Superstar i mean Thank U WCB fm for your support
Sat-B wetu mpole na Busara kwa kweli . Ila Enzi hizo Mgelimtambuwa 😂😂 Asante Wasafi kum connect Kijana Wetu , Ila Mnatisha Punguzeni Duuuh
@salprothemeek4869
4 жыл бұрын
Team Satura Forever!
@tantinebettynduwimana380
4 жыл бұрын
Hapa tunamkubali natasha
@upendotv2574
4 жыл бұрын
You wark so hard my sister
@ndayikezeeliezel4208
4 жыл бұрын
Arakoz ivyananiy besh🙋♂️
@eliasmarley312
4 жыл бұрын
Lynda Lacosta nakufuatilia saana kila kona wew
Je suis fière d être 🇧🇮
So happy for him love from Canada 🇨🇦
@pasifiqueivuzimana4424
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
Uyo ni King 👑wa buja freva tuwakilishe kima tayifa kazi mbele utabaki kuwa kileleni 💕👊
@lucksonbonfilsbrown907
4 жыл бұрын
king 👑wa Buja ni fizzo not sat b
@nsanzabahizirahma7104
4 жыл бұрын
@@lucksonbonfilsbrown907 wewe jo unasema anaye Julikana king St_B👑🦁atabaki kileleni ukubali ukataye yeye jo king wa buja freva kazi mbele
@mjoradaudi8415
4 жыл бұрын
Oya niambieni Burundi kuna mwana hip hop aliwahi kuimba na alikiba anaitwa mkombozi alienda wap niambieni
@nsanzabahizirahma7104
4 жыл бұрын
@@mjoradaudi8415 mimi ni naye mu fahamu aliye imba na Alikiba ni Lolilo yuko 🇧🇮 ila Mukombozi yuko Rwanda
@jojoiqramomy8535
4 жыл бұрын
@@lucksonbonfilsbrown907 ni general fizoo
Sat B from Burundi keep Fire burning 💥✌💓🙌🤲
Waaooo 🥰 🥰 Very Nice 🥰 🇧🇮🇯🇲
King 👑 satellite 🛰 Burundi 🇧🇮 tunakupenda sana♥️♥️♥️♥️♥️
Sat-b Oyeee.king satur mabafl na boulle🔥💥🔥💥🔥🔥➗.wasafi media Big up sana🔑🔑
Wantanzania pumbafu zenu unaona wa mecoment eti kiswahil kinasumbua warundi kwaiyo nyinyi munajua kirundi??
@kanyanahuguettelindsay9616
4 жыл бұрын
👍🏻
@rodrinegakiza4997
4 жыл бұрын
Just tell them. In Burundi we speak kirundi not swahili
@Ndayaki
4 жыл бұрын
Kweli hiyo
@ericnizigiyimana2737
4 жыл бұрын
Wa tanzania nikama mbuzi wanaongea lugha moja peke kama mbuzi.INOS B alipo kua studio mulikua mki lalamika eti kizungu kimekua chingi,Wasafi mnayifanya kazi yenu vizuri alakini kama nyinyi niwa tangazaji basi muwe matangazaji namusiwe maakim.JOHNY JOO is okey alakini mshikaji upande wapili nikama fans wa chelsea ubishi tu!! lengo lake kutegana mitengo sio professional
@fattyandruqyahbinthouthman8025
4 жыл бұрын
Tulizeni mizuka wa tz wana washinda vingi nyooo
Asante kwa mupa support dogo sat b
Oyoo I'm so proud of you karume Boy
King saaana SatB🇧🇮
Sat B we support you and we ❤️ you ✨💕 From🇧🇮
Asante sana Sat b nakubali kuajibu yako thx
Jamaa iko sawa,Sat B iko na album mbili na singles kibao tu
Mungu amsaidie @satb wetu atatufikisha mbali inshaAllah
Kitu cenye sipendee wa tz wanazarau sana warundi .....pumbafu zenu
@valentineshembilu1256
4 жыл бұрын
Tutake radhi aisee watz hatuko hivyo tunaheshimu kila mtu, kosa ni la satb mwenyewe kutokujiamini awapo studio
@vangiftshine
4 жыл бұрын
Mambo ghani ao Tena kumdhalau kivipii, wanaco Sema ni ukweli Instagram yak iko chinii, tu jifunze ku pitia WA Tz
@ericininahazwe8635
4 жыл бұрын
Shauli nzuri sana@@vangiftshine
Watangazaji mko wa kibongo, specialy nyinyi akina Jonijo kiwango chenu cha utangazaji habari kipo chini saana. Mnabahati kubwa, Sat B ni big artist saana zaidi ya mnavyo mchukuliya.
Sat-b unajibu ma suala kidiplomasia,
+257 lets show support to our brother. keep representing Sat B. tunakukubali
Big Up watu wa nyumbani 🇧🇮💪
waooooo!!! nakubari sana King Sat-B , umeipepelusha Burundi yetu. much Love for You!❤❤❤❤❤❤❤
Sio fresh bhn, kumzarau mchizi hata kama sio star!!
@johnkerrysibomana9062
4 жыл бұрын
Yaani wamemshusha ile mbaya kabisa ila ifike wakati tuache kujikomba na kujivika vyeo
@ruttenange9213
4 жыл бұрын
Ni star bro.Thanks
Iyyii jonijoo. Uyajamaaa kwaburundi ni mwambakweli
its so easy kum'take easy mtu when hamjui mtu but when he knows his point ata take easy yote ili atobowe
Satb mtuu wangu 💪 next level
let thx DIAMOND for Wasafi Media!🙏 DMN proud 2 be 🇧🇮❤. BDI forLIFE😊🙌 SATURA hppy fr u✊
Satura amabafle 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Tunakupenda saana
Love from Emdy Bwoy bujumbura byz nampenda gacugere
nawakirisha from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Though u supported him but I disliked this way of underrate him or bring him down. For this u did nothing to him than to offend him . Remember diamond comes in Burundi. ..we showed him hospitality n care but what u did our burundian is rubbish Better u apologise
@theochumelody
2 жыл бұрын
He didn’t even introduce him clearly. If you’re not good in Instagram show them the way you do..
Anaitwa satura mabom na mabuye
Furahia matunda yakazi zako sat b Warundi wote tunakutakia mafanikio mema Gonga like kama imekugusa jamanii
😀😀😀😀 wa Bongo sio watu wazuri mnafanza Sat b awe nakigugumizi cenye awagi naco 😀😀😀😀 shikamo wasafi 🙌🏽🙌🏽
@eliasmarley312
4 жыл бұрын
Kay Bogar warahi unanichekesh saan dah. mbavu zangu jamani
Muziki wa Bongo mkubwa jamani msimshangae kuja kupush Bongo
Nakubali sat-b tunakusikiliza musani wetu Burundi 🇧🇮🇧🇮💪💪
Burundi to next Level
Sioni lakuongea ban ila uyo jmaaa ni sio mjanja kuongea ila ana uWezo kuliko mnavyo muona
@pasteddyfbiteam2779
4 жыл бұрын
Anna Sistus U say the true
@abduljuma2428
4 жыл бұрын
Lugha kk
@philbertndayikeza3729
4 жыл бұрын
Nayeye amekua muoga saana angewajibu hawange muliza upuzi
That is a big star from Burundi love from TANGANYIKA BOY 🙌
Sat b wew ni mtu wangu sana big up nayipenda wasafi Tv
@abasiabdoul4777
4 жыл бұрын
Qqq
Respect bro sat b 💥💥 like here kama unamkubari sat b kwakazi zake 👍
@mutabaziceleus3201
4 жыл бұрын
Respect Sat-b.
Safi sana Sat B
Yaani kama kwelo mmefuatilia vizuri hii interview huyu jama amedhalilisha burundi. Fizzo njoo ukabatilishe uongo Wa huyu mshambega
@lievinhatungimana3991
4 жыл бұрын
fiston gaston fizzo the bantu bwoy akuje awatumbuwe kbs satb anaogopa san tena hajiamini mwenyew
@samykhalifa21
4 жыл бұрын
Jama anadanganya sana
@valentineshembilu1256
4 жыл бұрын
Amedanganya nini tuambieni ukweli
Tatizo la hawa watangazaj n waswaili saana ila sasa huwez amin huy mnaejifany kumtish ye mwenyew kawadharau kama umegundua na yeye kawahoj na kuwadharau kiutudhim yan kuwadharau kitusi na kuwahoj labda mniulize kwanin diamond hhh kaon wanamuhoj ujing wamejifany kumuhoj kibabe lakin yey kawahoj k staarab lakin kwa jeuri huy sat nae sio mdogo waburundi nooma kama umegundua kua satb nayey kuwadharau gong like hapa twend sawa
I like you satb nafanya vizuli Sana nic musc
I love you Sat B unanikumbuka wakati ukingali unavuma nilikufikia kwako nikakuuliza kama tunaweza fanya ft japo kwabahati mbaa nilifika nasafili kwenda shuleni ila najua tutaonana tena Love you Bro
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🔥🔥🔥🔥🔥💗🙏😋
Wasafi fm asanteni Sana ma Zee interview nzuri ,🇧🇮🎤🎶👊🔐💪💪💪
Satb siopowaa noma sana
we wish one day u can invite big fizzo from Burundi the king of music in Buja fleva even diamond was his fan before being super star his the really Simba
Nice Satilite of Bndi nakubali sana big up sana!!.
Big up my bro
The king the marechal
💗💗napenda anavyo iba 😍😍🌹
Ingiya Instagram ya big Fizzo apo ndio utakubali jonijooo
Dah!!sat b hujui hata kujibu maswali??mi ni murundi ila hapo bhana umebolonga saana unaanzaje kujitambulisha kweny nyimbo ya mtu??kiswahili chako chenyewe mazoezi pumbavu unaanza kujivika vyeo jamani haya yataishaje BUJUMBURA
Tuna mpenda sana sat b from 🇧🇮 🇧🇮 🇸🇦 🇸🇦
Sat-b satura💪💪 big up sanaaa nakubali
Sat-B King of Buja Flava,Keep it up!
King sat-b🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jama anaweza kabisa
Big up sana *Burundi's Satellite*
Satura oyeee🇧🇮🇰🇼
noma saaana haw majama hii apa sio kazi
daaaaah! kiswahili safi, majibu poa sana. ongela sana Mtoto wa Burundi Sat B.... Bendela letu in EAC bado lipo juu 🇧🇮🇧🇮 penda sana from Burundi
sat b wew bado mdogo akia mungu fizzo hakudanganya ludi shuleni kusoma angalia kwanza hayo ma swala ume ulizwa na hao watangazaji umeshindwa kujibia hata swali moja wew alakini courage
Uyo angali Dogo
Big up sana kwa Sat b,anaweza sana!
Sat-B namkubali sana maana ni tegemeo la mchi
Burundi my king sat b🔥🔥👌❤❤🙏🙏
Nyie huyo ndo diamond wa Burundi ingawa munamuhoji kwa madharau
@afandechanel1507
4 жыл бұрын
Hawaja muoji kwa dharau sat B hana maelezo ya kujitosheleza ili watu wamuelewe kiswahili chake anaongea kwa uoga
@philbertndayikeza3729
4 жыл бұрын
Kwl wanathalau saana washenzi awo wajama mafala kbs
@afroeastmusica.e.mourhomeo8862
4 жыл бұрын
😅😅😅
@lievinhatungimana3991
4 жыл бұрын
Mtu tunaekubali uku kwetu Bdi ashafanya mengi ni BigFizzo
@psposui2633
4 жыл бұрын
Mjora Daudi 😂😂😂 eti diamond wa Burundi
Oyoooo nakubali mzee nimefuray sana kukuona umefik wasafi tv
Sema nyie watangazaji mnazingua mnampinda hvo huyo msanii kwel
King
Uko buraye siko bwirirwa impumyi ninyinshi gusa intambwe yabonetse ndizera ibikorwa katari bibi nanje nkumuhinguzi wa music video tz # Burundi ndashima urugendo rwa sat b warundi gongo like hapa kama umependa hili tokeo la sat b
Huyo dogo mtangazaji alieva Nguo nyeupe ana kiherehere saana anajifanya anajua saana nakipindi haujui rorote
Musani bora Ni Natasha La Boss kwenye mitandawo yote ya kijami utamukuta eko La Boss njo musani bora Burundi
@lydiairakoze5226
4 жыл бұрын
The only Natasha la boss
@salehbatahe1749
4 жыл бұрын
Lydia Irakoze Nakwambia wa mu itishe La Boss njo ungemuona makali ya La Boss
Ona sasa wanavyokuzalau kaka angu??punguza mbwembwe wabongo sometimes siyo watu wazuri
Pole sana underground sat.b umepata haya kwa maswali lakini jikaze
Uyo noma
sat b big up bro
Asante sana kwa wasafi media Sat B ni msani wetu tena anaweza na sauti mzuri
Nyie hamumujuwi sana Sat B huyo kaka anapambana Sana na ametoka mbali sana Huyu ni jembe kwetu sisi
Kwa mabaunsa hapo jamaa kaongopa!!
@championboy4959
4 жыл бұрын
Anabo muache maneno😏
🇧🇮🇧🇮🕸🎬
Namukumbari sana Sat b
Sat-b a.k.a magonde big up
Alafu kama nikusoma tumesoma SAT B i think umesoma bro ila never give up my bwoy amakosa bagutoye wayabonye musaza nukuyakosora
🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥