WATANZANIA WENGI WAPO JELA GUANGZHOU CHINA| WANACHIMBA MCHANGA NCHI ZINGINE, NA UNALETWA NA MELI.

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 20

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally521714 күн бұрын

    Hiyooo kitu hataa indiaa wanafanyaa baba levo

  • @keshenidaniel770
    @keshenidaniel77014 күн бұрын

    Ba levo headmaster wa machawa

  • @RamadhaniSelemani-bn1fz
    @RamadhaniSelemani-bn1fz14 күн бұрын

    Duuuh😢

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki202614 күн бұрын

    Sio china tuu hadi India now wana scan kwa malipo kwa asilimia kubwa pia

  • @GodfreyRichard-v4f
    @GodfreyRichard-v4f14 күн бұрын

    Baba 😂😂😂😂😂

  • @kwisa4899
    @kwisa489914 күн бұрын

    zile camera hata ukiwa unaumwa zina sense

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo250214 күн бұрын

    TRA, TRA,TRA!!!

  • @MasudiJuma-rs4gj
    @MasudiJuma-rs4gj13 күн бұрын

    Uyu jamaa bn

  • @msemasungura5651
    @msemasungura565114 күн бұрын

    Iran ipo hiyo hata muuza mchicha anatumia card

  • @abeidmrengaofficial1792

    @abeidmrengaofficial1792

    4 күн бұрын

    Ebwana vipi ndugu uko Iran ? Nampango wa kwenda Iran soon

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah299014 күн бұрын

    masaa 14 wasafi wana vewes 6000

  • @user-mn6oy9qp3u

    @user-mn6oy9qp3u

    Күн бұрын

    6 c cc O 9 x xr😢the x gv

  • @kambamazig02024
    @kambamazig0202414 күн бұрын

    Wewe mshamba kweli, we chat ni tofauti na Ali Baba! Ni matajiri wawili tofauti!

  • @vanemmy6043

    @vanemmy6043

    14 күн бұрын

    Sawa wewe sio mshamba😮

  • @peacejunne5037

    @peacejunne5037

    11 күн бұрын

    Mshamba ni wewe unaedis vitu ambavyo vipo nje ya mada, coz hajazungumzia wamiliki

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari14 күн бұрын

    Watz wengi ni vibaka na watu wenye tamaa hakuna sehemu watz wameenda hawajaharibu , Kuna aidea kua watz wanaamini kua wao wajanja mnoo kumbe ni washamba kwelikweli , ni waona mbele ila sio waona mbali wanaharaka mnoo nakuhisi wao watu wamadili

  • @davidanselmo4041

    @davidanselmo4041

    10 күн бұрын

    Nikweli kaka especially watoto wa pwani me nipo South ovyo sana siwezi kujitamburisha natokea Tanzania 😅

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    10 күн бұрын

    @@davidanselmo4041 we unaendaje nchi ya mtu na ukahisi unaweza kua mjanja angalia tz wageni mfano wahindi au waarabu wao wamekua wapole na kukomaa na biashara na kua matajiri mbongo akienda kwa watu anakua kibaka na ushamba mwiingi wa matukio yakifala bado mnoo watz

  • @MrNdanguza

    @MrNdanguza

    10 күн бұрын

    ​@@davidanselmo4041nipo capetown baby ukitambulika kama wewe ni bongo man unaonekana muhuni, muuza madawa.

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k811 күн бұрын

    Tanzania hawajasoma so wakienda nje ya nchi ni ukora tu kwa sababu hawana elimu ya kuingia kwa viwanda .. somemi Tanzania muache ujinga

Келесі