Mzee wa kaliua leo umeongea vizuri Sana ...... Upigaji mwingi Sana .... Kodi zetu zingekuwa zinaelekezwa kwenye miradi yenye tija hii kopakopa ingepunguaa sana
@muthegreat3667Ай бұрын
Kodi zimekua nyingiii sana halafu hakuna maendeleo yeyotee .
@eddyology7304Ай бұрын
Double taxation. Mzee wa Kaliua leo umetisha sana. Chukua form babu
@davidboazi2619Ай бұрын
Iko bomba hii serikali ya tz ingekuwa kenya aisee sijui wangekimbilia wapi wasafi mpewe 🎉🎉🎉 yenu
@mwalimudavidkizazihuruАй бұрын
Kwakweli tukiendelea kutumia media kama hivi kusemea wananchi. Media zitakuwa na mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya wasilizaji wake. Hongereni sana. 👏🏿
@festokemibala5832
Ай бұрын
Lakini siyo channel ten, pale hutapata utetezi wa hoja za wananchi!
@EmmanuelChrispin-bo5xh
Ай бұрын
Misiwaamini kabisa hawajamaa
@kwisa4899
29 күн бұрын
wananyooshwa na crown media
@FahmiNassorАй бұрын
Kodi zetu cc tunawalipia viongozi wajaze matumbo yao ndio maendeleo tuyapatayo kuona wakitembea na magari ya kifahari suti kubwa na vitambi tu
@allymusira2153Ай бұрын
Mimi nampongeza sana waliobuni kuweka kodi kwenye luku imetupunguzia kwenda TRA kupanga foleni na kupoteza muda mwingi la muhimu ni mpangaji na mwenye nyumba kuweka makubaliano ndani ya mkataba pindi unapolipa kodi ya nyumba ikatwe pesa ya kadi ya jengo , hata mimi nafanya hivyo kwa wapangaji wangu na tunaelewana vizuuri
@FrolenceRogath-fv6ku
Ай бұрын
Uko vizur sana
@tracyjohn2957
Ай бұрын
siyo wenye nyumba wote ni waelewa kama wewe kaka wengine hawataki Hata kusikia ukiwaambia hivyo
Waandishi ndio tunataka muwe mnajadili hoja kama hizi za kulijenga taifa
@EmmanuelChrispin-bo5xh
Ай бұрын
Kaka nahisikama hawajamaa wameotea tu wesubirikesho utawasikia tu kaupigamwingi
@andrewmaiga4331Ай бұрын
Hapa Serikali inatuibia sana na kutuletea umasikini mkubwa. Hapa tumepanga nyumba moja familia 8 lakini vyumba tofauti na kila chumba kina mita yake. Tunaonewa sana.
@kibasamohamedi8029
Ай бұрын
2000 kwa mwezi ndogo! Hebu acha kulalamika, halafu Kuna utaratibu kama nyumba Ina mita nyingi mnaandika barua inalipia mita moja
@philemornmutta1597
Ай бұрын
Mwenye chumba yupo atakubali mita yake ndo yapitie malipo na unahisi wengne watamsaidia? @kibasamohamedi8029
@naturelle1097
29 күн бұрын
@@kibasamohamedi8029hata kama ni shilingi 100 huo ni uwizi wapangaji sio wamiliki wa jengo na sio wapangaji wanaotakiwa kuandika barua tanesco..wenye nyumba wengi ni wahuni na ndio sababu huu mzigo umetupiwa wapangaji which is unacceptable
@israelmkaka2807Ай бұрын
Gen Z ya Tz iko na Mishangazi
@richardc270
Ай бұрын
TRUE
@Alute-son2003Ай бұрын
Oscar uko vizuri natamani ugombee Uraisi mwakani unaupiga mwingi kuliko hao wanaosema..oooh anaupiga mwingi
@mustafakimalio9129
Ай бұрын
Kila mwenye maoni mazuri anafaa kuwa rais,,,,
@user-jq7dd6jo3y
Ай бұрын
😂😂😂😂
@Alute-son2003
Ай бұрын
@mustafakimalio9129 Ndio si wanatoka hadharani tunawapigia kura za wazi atakayeshinda anaongoza nchi,lakini isiwe hizi chaguzi za mimi Raisi afu nateua watu wakinisimamia kura za nchi nzima afu baada ya kazi mimi huyo huyo nawalipa hela 😀😀😀
@PaskaliCharles-pz8dsАй бұрын
Mtu saidie kupaza sauti maana ni shida kuanzia leo nitakuwa nawafuatilia kwa point hizo ila tatizo siyo tanesco ni serikali ya CCM na bunge lake ndo wameleta tatizo hilo
@manoramatv858Ай бұрын
Fact broo naitwa rama nipo temeke dsm
@philemornmutta1597Ай бұрын
Hii inasababisha wapangaji kumlipia mwenye nyumba hii ni mbaya sana
@naturelle1097
29 күн бұрын
Yaani TRA hawataona hata kuta za Mbinguni
@jumannemalungo5018Ай бұрын
1000 mda mfupi 1500 sasa 2000 inchi ngumu hii Tanesco inakuaje lakini ndio ivo tukubali tu
@user-oy2gp3nq4jАй бұрын
Tunapigwa sana wapangaji ndio tunaumizwa . Simu nazo wanatuchukulia pesa nchii hii Mungu anawaona
@amaniurio5655Ай бұрын
Swal Kwa zile nyumba za kupanga zenye MITA Zaid ya 4 Kwa jengo Moja wanakataje awakufukiria Hilo au walifanya maamuz tu
@robertmigabe8721Ай бұрын
Osika umeongea kitu Cha akili Sana toka nikujuwe...kama pale napo ishi tunaishi wapangaji2 ikifika mwisho wa mwezi ukinunua umeme unakatwa ..Sasa kitu Cha kujiuliza nakatwa Kodi kwani mim ndo mwenye nyumba ..selikal ya hovyoo sana wanafanya vitu bila kufikilia
@user-uh3eg5cj2rАй бұрын
Hapo TANESCO WALIFELI
@IssaTayariАй бұрын
Kod yajengo kulipa kwenye luku Siyo sawa kabsa kunawatu tumepanga
@naturelle1097
29 күн бұрын
Kweli inabidi tupaze sauti kuhusu hili..wanashindwaje kuwapata wenye majengo ama mchana majengo hayaonekani?
Bajeti ya kununua magari ya Tamisemi ni bilioni 189. Tunakamuliwa ili wanunue mavi eiti
@user-id6xo9td6kАй бұрын
Hadi sasa kuna nyumba zinalipia kodi ×2 kwa nyumba moja,zenye mita zaidi ya moja.
@YasiniMkakileАй бұрын
Wananchi wa Kenya Havana mchezo
@msambalamjukuu3866Ай бұрын
sasa kwa dizaini hii wasafi mtapata wasikilizaji wengi
@user-wq2fh5rx4sАй бұрын
Hamuna nch hapa wazulumaji tu et nimeweka umeme wa 13000 nimepewa wa 2000 nimekatwa 10500 hamuna nch hapa ipo ck watajua hawajui
@naturelle1097
29 күн бұрын
Wakati hata hilo deni halikuhusu walipaswa kumalizana na mwenye jengo
@user-qx4pc3rx8gАй бұрын
Safi sana osca huyo mwenyew kupata kakaa kichawa sana watangazaji kama hao hawafai kbsa
@geofreynyakana21 күн бұрын
Tunaumizwa sana wapangaji na kwa sasa kodi ya pango ni sh.2000 kutoka sh.1500
@stanymccary713624 күн бұрын
Bila ivo wabongo hatuwezi kulipia Kodi ya majengo
@aminielimushi8709Ай бұрын
Wapi huko taarifa za kukata umeme Huwa zinatolewa maana mi Nina zaidi ya miezi 6 wanakata bila taarifa,,,Jana nimenunua umeme luku ya 5,000/ nikapewa unit 8, wizi au unyang'anyi?,,,,Sasa mi Nina mita ya kazini na nyumbani halafu nakatwa ya nyumba yangu na ya mwenyewe
@naldcleverАй бұрын
Hii wizara ya fedha na Tra lazima ijitafakari... Kwa mfano hii wanayokata kwenye umeme wanasema n kod ya pango la ardhi, sasa mm kwenye ardhi yangu 1 nmejenga nyumba ya wapangaji na ndani ya ardhi hiyo 1 kuna Luku 7 kwa room 14, sasa kwann wanakata elf2 2 kwa kila Luku kila mwezi wakati luku zote ni za mmiliki mmoja, na ardhi pamoja na room zote ziko kwenye nyumba moja!!? Huu ni unyonywaji wa wazi kwa wananchi.. Wapangaji wanalipa kodi la pango la ardhi isiyowahusu kivipi ? Waziri anasubiri nn madarakani ?
@naturelle1097
29 күн бұрын
Ajitafakari tena sana
@lucymtui8680Ай бұрын
Katiba ibadilike tu Viongozi watakuwa na heshimaa😢😢 Itakuwa zaid ya kenya
@jumamkwelengala4599Ай бұрын
Wezi sana hao ila wakumbuke Mungu yupo
@zebedayobiswalo1924Ай бұрын
Hii nchi ya ovyo sana it's very sada
@muganyiziluharara9668Ай бұрын
Iyonikweli viongoziwetu wanamasikio lakini hawayasikii hayo sisi wapangaji kweli tunaumia
@abdallahabdulghani9150Ай бұрын
Na kwa wanaotumia umeme wa solar ambao hawana hiyo luku,je ulipaji wao wa kodi ya jengo watalipia vipi?? From TaNgA CiTy..
@lydiadaudi4076
Ай бұрын
Wanalipa kupitia sisi wenye umeme ndo mana wanaongeza tu kodi
@JitinyaIzengoАй бұрын
Liangaliwe
@christianlutego1288Ай бұрын
Wachumi wetu hao wasiotaka kuumiza vichwa vyao, badala yake ni kututwika mitozo Kila sehemu, MUNGU ata jibu soon tu
@hezronjoseph40528 күн бұрын
Wasenge hao si uku wameanza kutukata 2000 toka mwaka jana ,bila taalifa yoyote
@FeristaKoku-it9nxАй бұрын
Nacha kuongezea unakuta nyumba moja ina mita mbili zote zinakatwa kama sio wizinini?
@jimmymushi2357Ай бұрын
Fact
@nemesjosephat5612Ай бұрын
Hii nchí tunajadili matatizo zaidi ya ubunifu
@user-tz8wq1dj7j26 күн бұрын
Wabunge wa ccm tupige chini wote inch nzima ni wabunge nyumbu tu
@allymwilu8089Ай бұрын
Unaweza kukuta kuna watu tunawalipia madeni yao apo😂😂😂😂
@iddiramadhani5111Ай бұрын
Mambo ya hovyo sana haya.
@user1337529 күн бұрын
Tumefanya sensa juz tu majengo
@EM4CBeatzАй бұрын
Mnaambiwa nyinyi tu dar uko kuhusu kukatika kwa umeme msijizungumzie pekeenu
@EdibiliSalumАй бұрын
Watatoaje taalifa wakati wanatumudu
@BituroPaschalKazeriАй бұрын
Mkuu ulikuwaje mwandishi wa habari- mwajiri mbona anakusanya PAYEE
@gabumkono
Ай бұрын
Huna unachokijua... Ninani alikwambiq oscar ni mwandishi wa habari
@BituroPaschalKazeri
Ай бұрын
@@gabumkono ni kweli ningekuwa najua nisingestaajabu
@domymerinyo8165Ай бұрын
Hapo usiwalaumu Tanesco,lawama ziende kwa wabunge walioleta sheria ya kutuibia mpaka huku kijijini. Tulikua hatulipi ila sahivi tunalipa na barax2 hakuna maji pia hakina ni huduma gani tunalipia
@madukaj.j.6999Ай бұрын
Singida Big Star Bingwa 2024/2025 😂😂😂 Singida Big Star Juu...😮😮 D 2
@ommyzubery8358Ай бұрын
Kuwa mzalendo hivi nyinyi wapangaji hamjuani kuwa mwezi huu mwezi huu kuna kalipa na kumfanyia mchango na kumrudishia. Pili unapolipa kodi ya pango kwa mwenye nyumba kaaeni naye chini iliafanye makto katika kupokea zile fedha zake. Hakika wananchi wengi sio wenye kutoa bila kushurutishwa.huu ni udhaifu wetu ndio serikali inafanya mitindo hoi ya ajabu. Eleza ukifanya ukaguzi unaweza kuonawenye nyumba hajalipa kodi ya jengo miaka 10 mpaka ishirini haya tunaisaidiaje serikali
@gililwiseАй бұрын
Huo ni uonevu mkubwa wabunge hilo hawashughuliki nalo wana kazi us kumuadhibu mpina anayetutetea.
@naturelle109729 күн бұрын
Waleteni Kayombo wa TRA na Waziri wa fedha..waseme kufikia leo wamekusanya shingapi. Na hili zoezi litakoma lini maana sikuizi unakuta compound moja ina zaidi za hata nyumba kumi na kila nyumba ina luku yake na kila luku inakatwa hio kodi. Huu ni UWIZI! Wenye nyumba wengi hawawarudishi wapangaji hio hela na pia kodi inalipwa zaidi ya standard rate kama wapangaji ni wengi. Hili ni tatizo kubwa. Taarifa ya madeni waliotoa TANESCO NI YA UONGO!
@nikky4757Ай бұрын
Alafu pia unakuta nyumba moja ikiwa na luku zaidi ya moja zote wanakata unakuta nyumba moja ikiwa na luku mbili unalipia kodi mora mbili
@edistidiusmutalemwa5758Ай бұрын
Wizi, maana yake ni kuchukua kisicho chako kutoka kwa mwenyenacho bila idhini yake. Swala la kuvizia fedha za watu,katika manunuzi yao ya umeme ni WIZI kama wizi mwingine.Jamani,kodi ya jengo kulipwa kwenye manunuzi ya umeme wapi na wapi. Nyie watu (Mwigulu na wenzio) mnatukosea sana. Ila naamini yana mwisho.
@naturelle1097
29 күн бұрын
Rudia hii tena kwa sauti. Mwigulu na Kayombo wa TRA wanatuumiza wapangaji. Wakaona wametoa solution ya kimataifa..🙄
@bminawanduАй бұрын
Sisi tuna lipa Kodi hongera na vigelegele anapigiwa mama Samia alafu Kila siku tuna lipa kodi
@NehemiahBashahu26 күн бұрын
Yan Tanesco kwa kweli wameingilia kazi sio yao ili watudhulumu haki zetu wapangaji. Jana tar 08/07/2024 nmenunua umeme wa 3000 napew unit 2.8KW halafu nabiwa nmekatwa 2000 kod ya jengo?
@user-qv6ye6ty5rАй бұрын
Mimi nimetumia pia 8000 unit moja point mbili
@msochamouddy7742Ай бұрын
Baada ya kuwanunulia watoto matokeo ya mitihani kwa muda mrefu leo wamekuwa viongozi na haya ndio matokeo yake,nchi inakuwa ya hovyo tunalazimishana kuwa wazalendo.
@nicolauselias908426 күн бұрын
Mi naona ni unyang'anywaji wa hela zetu tu
@homeboybeyondtheborders4935Ай бұрын
Tanesco na mabando ya sm bado kodi kubwa,alaf kuna REA,EWURA na VAT
@ilynpayne7491Ай бұрын
Nme nunua umeme wa buku 5 napata unit 6 😡 😡 😡 😡 hivi wana dhani ela tuna okota inabidi ni nunue solar 😢
@MtuSafi
Ай бұрын
Sasa Mbona mm wa 4,000 nimepata unit 1
@israelkisaila8401
Ай бұрын
@@MtuSafi😂😂😂😂pole
@FabianiNguvumaliАй бұрын
Wanakata cod nyng elfu mbili kwamwez tanzania kunanyumba ngpi zenye umem
@wanguwangu34Ай бұрын
Kodi ya majengo kulipa kwenye luku ni wizi wa waziwazi na kushindwa watu kazi, wizara ya fedha in vihio wengi bdio maana hawana uwezo wa kujua kodi ya majengo maana yake nini, mfano wewe huna nyumba lkn umepanga kwenye jengo na kutaka separate meter na hapo inabidi ulipe kodi ya majengo wakati huna nyumba why.
@EmmanuelChrispin-bo5xhАй бұрын
Haya majamaa kilasiku yana madilika wasafi hongoleni achaneni na mamboya anaupiga mwingi
@festokemibala5832Ай бұрын
Wewe Mha, nani alianzisha huu utaratibu na wakati huo mbona hatukukusikia ukitoa hoja yako? Uliogopa nini, kipotezwa?
@verdianabanabi220528 күн бұрын
Tunashangaa sasa hivi wameongeza imekuwa 2000 yaani makodi yamekuwa kibao. Wanyonge hao eti tunasikiluzwa.
@user-oo1vz3zi1tАй бұрын
Nakuna vijumba vyamradi vmejengwa kama nguzo hakuna jengo hukinunua umemeunalpia kod yapango napango halo hatar
@Chrisblaze-beatsАй бұрын
Serikali inatumai matatizo yetu kwama mitaji yao kisiasa. Wanasahau zama zimebadilika wanaendelea na mambo yale yale toka uhuru. Ngoja watuaribie amani yetu wakituibia na kututia hasira wananchi wa kawaida.
@tarimojoshua6336Ай бұрын
Hivi bill zimepadishwa tena naona wanakatà 5000 saiz sijaielewa
kwaiyo wenyenyumba ambao hawatumii umee inamaana wao hawalipi kodi yamajengo
@abdallahkambangwa7215Ай бұрын
hatar sana
@ExcitedCave-cx9rxАй бұрын
Mhhh hii ndio tz ,bado tumelala.sana sijui nani katuroga wa tz ila ipo siku yatahisha haya wacha watupige mpka tukome ili tuamje
@DaudadamMwansasuАй бұрын
Halafu wamepandisha ni 2000 jaman kweli
@amotvtz1302Ай бұрын
Hii seriksli ni ya wezi tu wanajiona kama hawatakufa kazi Yao kuiba .tu tunaongozwa mbwa
@allymaulid9391Ай бұрын
Ni wizi kabisa hii nchi iko siku
@idinado-wk3lxАй бұрын
Kusema ukweli walikosea sana kuleta huu utalatibu insnikela sana hii la kulipa pango kila mwenzi
@saidaliomarАй бұрын
mm naunga mkono kodi iendelee kama wewe umelipia kodi ya aridhi si unaonesha kwa mwenye nyumba akulipe
@hezronjoseph40528 күн бұрын
Oska unaongea ukweli ila ,watu wa kampeni ,wataanza kukusumbua,washenz
@hajjisanga789Ай бұрын
Imekua ni rahisi wengi walikuwa hawalipi kwahiyo tumefanyiwa urahisi wapangaji si waelewane na wenye nyumba
@naturelle1097
29 күн бұрын
Bado sio sahihi wanachokifanya..ni sawa na kumlipia nchi jirani deni ambalo halituhusu
@devangandhl2255Ай бұрын
Tanesco wameshinikizwa tu na mifumo tu.kwani waliopanga hiyo taratibu hawajui shida yake.
@naturelle1097
29 күн бұрын
But kwa nini walikubali?
@KenedyDesignerАй бұрын
Yani ni Usumbufu Juu ya Usumbufu Kuna nyumba zina MITA luku 3 na sisi wapangaji hatuna muda wa kuenda TANESCO kujieleza Hapa mjini tukobize ukimwambia mmiliki anasema nendeni TANESCO
@naturelle1097
29 күн бұрын
Wamiliki wana vichwa vigumu sana na majibu yasiyo ridhisha..Mwigulu ajitafakari kwa hili kuwabebesha Watanzania mizigo mizito sababu yeye na huyo Kayombo wa TRA wameshindwa kufikiri
@user-hp6bf5lh2dАй бұрын
Hii inatuumiza Sana sisi wapangaji Tunalipa Kodi Tunalipa umeme Tena tunalipia Kodi ya nyumban daaaah Inaumiza sana😢
@trecygohy7847
Ай бұрын
Kulipa umeme n jukumu lako
@user-hp6bf5lh2d
Ай бұрын
@@trecygohy7847 Sijazungumzia umeme, nmengungumzia Makato ya tanesco ya pango la nyumba ndugu sio jukumu letu Kama wapangaji, lakini tunakatwa kuptiaanunuzi ya umeme
@naturelle1097
29 күн бұрын
Mwigulu na Kayombo wawajibishwe kwa hili maana ni uwizi. Wameshindwaje kuwakamata wakwepa kodi kisha kuwatwisha wapangaji mzigo huu. Mbona ukuta zinachorwa X wakati wakuvunja..wazunguke nchi nzima sababu kufikia mda huu wenye nyumba walitakiwa kua wameshajisalimisha ili wapangaji wasiendelee kubeba huu mzigo
@user-hp6bf5lh2d
29 күн бұрын
@@naturelle1097 hapo tupo sawa ndugu
@trecygohy7847
29 күн бұрын
@@user-hp6bf5lh2d ungefafanua hivyo ili watu wakuelewe na sio kusema kulipa umeme
@iddiramadhani5111Ай бұрын
Tuna viongozi wanawaza kutupiga hela tu.
@bonfacemlay2233Ай бұрын
zakura
@lydiadaudi4076Ай бұрын
Wenye nyumba wenyewe majeuri , wanakwambia kama hutaki kulipa kaa gizani
@ramadhankombe2643Ай бұрын
Nawapongeza xn tanesco kiukwel imepunguza xn msongamano tra.kikubwa mwenye nyumba apange utaratibu na wapangaji wake.
@rashidingole1588
Ай бұрын
Utaratibu upi?? Kuna baadhi ya nyumba za kupangisha kila mpangaji na mita yake, Sasa hapo inakuwaje?????
@SamwelianasetiАй бұрын
Tatizo sio TANESCO tatizo ni serikali yetu ndio inayopaswa kutatua changamoto zetu
@naturelle1097
29 күн бұрын
Wao TANESCO ni moja ya hili tatizo kwa nini walikubali swala la kijinga kama hili?
@matukutajuma156Ай бұрын
JAMANI KWANINI HAMNAGA JEMA:VIJANA?? KWANI MPANGAJI HATUMII BARABARA? MIMI NIULIZENI NIMEENDESHA MAGARI BARABARA ZA MIAKA YA 79-80 DODOMA- DAR SUKU2;
@user-fl1xz3ln3cАй бұрын
Oscar kuna time's hua anaakili kumbe
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Ukiona hivyo juwa na yeye kimemlamba 😂😂
@JamesAloyceMabichaАй бұрын
Oscar wewe ni mpanga ndiyo maana hujuwi sisi wenye nyumba tulivyo pata unafuu wa kulipa hiyo Kodi ya nyuma wewe fanya hivi wakati unalipa Kodi kata kabisa Kodi ya nyuma serekali unajuwa Kila anayekaa kwenye nyuma ndiyo mwenye nyumba
@KwebaChuma29 күн бұрын
😂😂😂😂
@esromkanubo815Ай бұрын
Nimambo ya hovyo kabisa
@tsumiduwe1406Ай бұрын
NYUMBA INA MITA LUKU 7 TUNALIPIA MITA IPI? AU YOTE WANAKATA?
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Wanakata Kwa MITA zote 7
@mkumbwatv8087Ай бұрын
Pia tanenesco niwezi tunaishi sehemu Moja nyumba Moja unatumia yuniti 20 kwamwezi upo kwenye matumizi makubwa mwigine umeme wa 9000 tu unit 75 Mimi nikitaka hizo ninatakiw niwe na 27000 kweli niwezi
@trecygohy7847
Ай бұрын
Hesabu zako haziko sawa. Why 9,000 kwa unit 75 ??? Sijakuelewa
@mkumbwatv8087
Ай бұрын
Zipo sawa maana matumizi makubwa nayakati niyapi
@mkumbwatv8087
Ай бұрын
Kwanza ni lazima ufahamu kwamba Tarrif hii iliwekwa maalumu kwaajili ya watu wenye maisha ikawada kwa kulizingatia hili ukawekwa unafuu wa Kununua umeme na yakawekwa mashart kwa mteja alie katika taarif 4 anatakiwa kutumia unit zisizo zidi 75 Kwa mwezi mzima kwa maana ya kwamba umeme anao nunua hautakiwi kizidi kiasi cha Pesa cha Tsh 9150 na wastani wake wa matumizi kwa miezi mitatu au sita hautakiwi kuzidi unit 75. Sasa endapo utazidisha Matumizi haya basi mfumo
@trecygohy7847
Ай бұрын
@@mkumbwatv8087 mtu akinunua umeme wa 10,000 anapata unit ngapi ?
@user-qo6qv6mc5pАй бұрын
Xavi mtupu
@moriskalegeleshusha2619Ай бұрын
Mimi ni mpangaji sina mambo mengi kwenye matumizi hapo nyumba nilikuwa natmia umeme wa 1000 kwa mwezi nilinunua umeme wa elfu tano siku umeisha nikaweka 5000 ninunue umeme walikata hela yangu yote,
@user-ub3xh7ug6c
Ай бұрын
,😂😂ht mm Ivo just natumiag wa buk
@moriskalegeleshusha2619
Ай бұрын
@@user-ub3xh7ug6c 😀😀😀 kazi kweli kweli
@josephatjordan5560Ай бұрын
Mimi wenyenyumba hua wanarudisha pesa yangu nikikatwa!!Sio jukumu langu kumlipia kodi ya pango!!!nyumba ni yake au pango ni lake anaepaswa kulipia ni yy kupitia kodi zetu za nyumba,,sasa wametuletea kwenye umeme ww unamlipia!!!hapo kwangu n ngumu
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Huwa unafanyaje mpaka wanakurudishia?
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Huwa unafanyaje mpaka wanakurudishia?
@josephatjordan5560
Ай бұрын
@@israelkisaila8401 Anaeleweshwa tu kuhusiana na anaetakiwa kulipa kodi ya pango ya kuwa ni mwenye nyumba na si mpangaji!!!Jengo ni Mali yake na ni biashara yake anapaswa kulipia hayo malipo ni mmiliki na sio ww mpangaji kwani mali sio yako !!!
@naturelle1097
29 күн бұрын
Baadhi wanajikausha na ndo wanatakiwa kuchukuliwa hatua maana kama ni mda wamepewa kujirekebisha unatosha. Wapangaji wasiendelee kubeba huu mzigo wasetishe hili zoezi mara moja ama waende nyumbani walopitisha hii sheria ya ajaabu
Пікірлер: 165
Mzee wa kaliua leo umeongea vizuri Sana ...... Upigaji mwingi Sana .... Kodi zetu zingekuwa zinaelekezwa kwenye miradi yenye tija hii kopakopa ingepunguaa sana
Kodi zimekua nyingiii sana halafu hakuna maendeleo yeyotee .
Double taxation. Mzee wa Kaliua leo umetisha sana. Chukua form babu
Iko bomba hii serikali ya tz ingekuwa kenya aisee sijui wangekimbilia wapi wasafi mpewe 🎉🎉🎉 yenu
Kwakweli tukiendelea kutumia media kama hivi kusemea wananchi. Media zitakuwa na mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya wasilizaji wake. Hongereni sana. 👏🏿
@festokemibala5832
Ай бұрын
Lakini siyo channel ten, pale hutapata utetezi wa hoja za wananchi!
@EmmanuelChrispin-bo5xh
Ай бұрын
Misiwaamini kabisa hawajamaa
@kwisa4899
29 күн бұрын
wananyooshwa na crown media
Kodi zetu cc tunawalipia viongozi wajaze matumbo yao ndio maendeleo tuyapatayo kuona wakitembea na magari ya kifahari suti kubwa na vitambi tu
Mimi nampongeza sana waliobuni kuweka kodi kwenye luku imetupunguzia kwenda TRA kupanga foleni na kupoteza muda mwingi la muhimu ni mpangaji na mwenye nyumba kuweka makubaliano ndani ya mkataba pindi unapolipa kodi ya nyumba ikatwe pesa ya kadi ya jengo , hata mimi nafanya hivyo kwa wapangaji wangu na tunaelewana vizuuri
@FrolenceRogath-fv6ku
Ай бұрын
Uko vizur sana
@tracyjohn2957
Ай бұрын
siyo wenye nyumba wote ni waelewa kama wewe kaka wengine hawataki Hata kusikia ukiwaambia hivyo
@gabumkono
Ай бұрын
Wewe una nyu.ba wewe nyambafu
@naturelle1097
29 күн бұрын
Sio sahihi kufurahia uzembe wako..nyie ndo mmetufikisha hapa
@user13375
29 күн бұрын
Huna akili😮
Waandishi ndio tunataka muwe mnajadili hoja kama hizi za kulijenga taifa
@EmmanuelChrispin-bo5xh
Ай бұрын
Kaka nahisikama hawajamaa wameotea tu wesubirikesho utawasikia tu kaupigamwingi
Hapa Serikali inatuibia sana na kutuletea umasikini mkubwa. Hapa tumepanga nyumba moja familia 8 lakini vyumba tofauti na kila chumba kina mita yake. Tunaonewa sana.
@kibasamohamedi8029
Ай бұрын
2000 kwa mwezi ndogo! Hebu acha kulalamika, halafu Kuna utaratibu kama nyumba Ina mita nyingi mnaandika barua inalipia mita moja
@philemornmutta1597
Ай бұрын
Mwenye chumba yupo atakubali mita yake ndo yapitie malipo na unahisi wengne watamsaidia? @kibasamohamedi8029
@naturelle1097
29 күн бұрын
@@kibasamohamedi8029hata kama ni shilingi 100 huo ni uwizi wapangaji sio wamiliki wa jengo na sio wapangaji wanaotakiwa kuandika barua tanesco..wenye nyumba wengi ni wahuni na ndio sababu huu mzigo umetupiwa wapangaji which is unacceptable
Gen Z ya Tz iko na Mishangazi
@richardc270
Ай бұрын
TRUE
Oscar uko vizuri natamani ugombee Uraisi mwakani unaupiga mwingi kuliko hao wanaosema..oooh anaupiga mwingi
@mustafakimalio9129
Ай бұрын
Kila mwenye maoni mazuri anafaa kuwa rais,,,,
@user-jq7dd6jo3y
Ай бұрын
😂😂😂😂
@Alute-son2003
Ай бұрын
@mustafakimalio9129 Ndio si wanatoka hadharani tunawapigia kura za wazi atakayeshinda anaongoza nchi,lakini isiwe hizi chaguzi za mimi Raisi afu nateua watu wakinisimamia kura za nchi nzima afu baada ya kazi mimi huyo huyo nawalipa hela 😀😀😀
Mtu saidie kupaza sauti maana ni shida kuanzia leo nitakuwa nawafuatilia kwa point hizo ila tatizo siyo tanesco ni serikali ya CCM na bunge lake ndo wameleta tatizo hilo
Fact broo naitwa rama nipo temeke dsm
Hii inasababisha wapangaji kumlipia mwenye nyumba hii ni mbaya sana
@naturelle1097
29 күн бұрын
Yaani TRA hawataona hata kuta za Mbinguni
1000 mda mfupi 1500 sasa 2000 inchi ngumu hii Tanesco inakuaje lakini ndio ivo tukubali tu
Tunapigwa sana wapangaji ndio tunaumizwa . Simu nazo wanatuchukulia pesa nchii hii Mungu anawaona
Swal Kwa zile nyumba za kupanga zenye MITA Zaid ya 4 Kwa jengo Moja wanakataje awakufukiria Hilo au walifanya maamuz tu
Osika umeongea kitu Cha akili Sana toka nikujuwe...kama pale napo ishi tunaishi wapangaji2 ikifika mwisho wa mwezi ukinunua umeme unakatwa ..Sasa kitu Cha kujiuliza nakatwa Kodi kwani mim ndo mwenye nyumba ..selikal ya hovyoo sana wanafanya vitu bila kufikilia
Hapo TANESCO WALIFELI
Kod yajengo kulipa kwenye luku Siyo sawa kabsa kunawatu tumepanga
@naturelle1097
29 күн бұрын
Kweli inabidi tupaze sauti kuhusu hili..wanashindwaje kuwapata wenye majengo ama mchana majengo hayaonekani?
tunayachangia majizi kodi zetu, jioni yakutane kugonga cheazi
Bajeti ya kununua magari ya Tamisemi ni bilioni 189. Tunakamuliwa ili wanunue mavi eiti
Hadi sasa kuna nyumba zinalipia kodi ×2 kwa nyumba moja,zenye mita zaidi ya moja.
Wananchi wa Kenya Havana mchezo
sasa kwa dizaini hii wasafi mtapata wasikilizaji wengi
Hamuna nch hapa wazulumaji tu et nimeweka umeme wa 13000 nimepewa wa 2000 nimekatwa 10500 hamuna nch hapa ipo ck watajua hawajui
@naturelle1097
29 күн бұрын
Wakati hata hilo deni halikuhusu walipaswa kumalizana na mwenye jengo
Safi sana osca huyo mwenyew kupata kakaa kichawa sana watangazaji kama hao hawafai kbsa
Tunaumizwa sana wapangaji na kwa sasa kodi ya pango ni sh.2000 kutoka sh.1500
Bila ivo wabongo hatuwezi kulipia Kodi ya majengo
Wapi huko taarifa za kukata umeme Huwa zinatolewa maana mi Nina zaidi ya miezi 6 wanakata bila taarifa,,,Jana nimenunua umeme luku ya 5,000/ nikapewa unit 8, wizi au unyang'anyi?,,,,Sasa mi Nina mita ya kazini na nyumbani halafu nakatwa ya nyumba yangu na ya mwenyewe
Hii wizara ya fedha na Tra lazima ijitafakari... Kwa mfano hii wanayokata kwenye umeme wanasema n kod ya pango la ardhi, sasa mm kwenye ardhi yangu 1 nmejenga nyumba ya wapangaji na ndani ya ardhi hiyo 1 kuna Luku 7 kwa room 14, sasa kwann wanakata elf2 2 kwa kila Luku kila mwezi wakati luku zote ni za mmiliki mmoja, na ardhi pamoja na room zote ziko kwenye nyumba moja!!? Huu ni unyonywaji wa wazi kwa wananchi.. Wapangaji wanalipa kodi la pango la ardhi isiyowahusu kivipi ? Waziri anasubiri nn madarakani ?
@naturelle1097
29 күн бұрын
Ajitafakari tena sana
Katiba ibadilike tu Viongozi watakuwa na heshimaa😢😢 Itakuwa zaid ya kenya
Wezi sana hao ila wakumbuke Mungu yupo
Hii nchi ya ovyo sana it's very sada
Iyonikweli viongoziwetu wanamasikio lakini hawayasikii hayo sisi wapangaji kweli tunaumia
Na kwa wanaotumia umeme wa solar ambao hawana hiyo luku,je ulipaji wao wa kodi ya jengo watalipia vipi?? From TaNgA CiTy..
@lydiadaudi4076
Ай бұрын
Wanalipa kupitia sisi wenye umeme ndo mana wanaongeza tu kodi
Liangaliwe
Wachumi wetu hao wasiotaka kuumiza vichwa vyao, badala yake ni kututwika mitozo Kila sehemu, MUNGU ata jibu soon tu
Wasenge hao si uku wameanza kutukata 2000 toka mwaka jana ,bila taalifa yoyote
Nacha kuongezea unakuta nyumba moja ina mita mbili zote zinakatwa kama sio wizinini?
Fact
Hii nchí tunajadili matatizo zaidi ya ubunifu
Wabunge wa ccm tupige chini wote inch nzima ni wabunge nyumbu tu
Unaweza kukuta kuna watu tunawalipia madeni yao apo😂😂😂😂
Mambo ya hovyo sana haya.
Tumefanya sensa juz tu majengo
Mnaambiwa nyinyi tu dar uko kuhusu kukatika kwa umeme msijizungumzie pekeenu
Watatoaje taalifa wakati wanatumudu
Mkuu ulikuwaje mwandishi wa habari- mwajiri mbona anakusanya PAYEE
@gabumkono
Ай бұрын
Huna unachokijua... Ninani alikwambiq oscar ni mwandishi wa habari
@BituroPaschalKazeri
Ай бұрын
@@gabumkono ni kweli ningekuwa najua nisingestaajabu
Hapo usiwalaumu Tanesco,lawama ziende kwa wabunge walioleta sheria ya kutuibia mpaka huku kijijini. Tulikua hatulipi ila sahivi tunalipa na barax2 hakuna maji pia hakina ni huduma gani tunalipia
Singida Big Star Bingwa 2024/2025 😂😂😂 Singida Big Star Juu...😮😮 D 2
Kuwa mzalendo hivi nyinyi wapangaji hamjuani kuwa mwezi huu mwezi huu kuna kalipa na kumfanyia mchango na kumrudishia. Pili unapolipa kodi ya pango kwa mwenye nyumba kaaeni naye chini iliafanye makto katika kupokea zile fedha zake. Hakika wananchi wengi sio wenye kutoa bila kushurutishwa.huu ni udhaifu wetu ndio serikali inafanya mitindo hoi ya ajabu. Eleza ukifanya ukaguzi unaweza kuonawenye nyumba hajalipa kodi ya jengo miaka 10 mpaka ishirini haya tunaisaidiaje serikali
Huo ni uonevu mkubwa wabunge hilo hawashughuliki nalo wana kazi us kumuadhibu mpina anayetutetea.
Waleteni Kayombo wa TRA na Waziri wa fedha..waseme kufikia leo wamekusanya shingapi. Na hili zoezi litakoma lini maana sikuizi unakuta compound moja ina zaidi za hata nyumba kumi na kila nyumba ina luku yake na kila luku inakatwa hio kodi. Huu ni UWIZI! Wenye nyumba wengi hawawarudishi wapangaji hio hela na pia kodi inalipwa zaidi ya standard rate kama wapangaji ni wengi. Hili ni tatizo kubwa. Taarifa ya madeni waliotoa TANESCO NI YA UONGO!
Alafu pia unakuta nyumba moja ikiwa na luku zaidi ya moja zote wanakata unakuta nyumba moja ikiwa na luku mbili unalipia kodi mora mbili
Wizi, maana yake ni kuchukua kisicho chako kutoka kwa mwenyenacho bila idhini yake. Swala la kuvizia fedha za watu,katika manunuzi yao ya umeme ni WIZI kama wizi mwingine.Jamani,kodi ya jengo kulipwa kwenye manunuzi ya umeme wapi na wapi. Nyie watu (Mwigulu na wenzio) mnatukosea sana. Ila naamini yana mwisho.
@naturelle1097
29 күн бұрын
Rudia hii tena kwa sauti. Mwigulu na Kayombo wa TRA wanatuumiza wapangaji. Wakaona wametoa solution ya kimataifa..🙄
Sisi tuna lipa Kodi hongera na vigelegele anapigiwa mama Samia alafu Kila siku tuna lipa kodi
Yan Tanesco kwa kweli wameingilia kazi sio yao ili watudhulumu haki zetu wapangaji. Jana tar 08/07/2024 nmenunua umeme wa 3000 napew unit 2.8KW halafu nabiwa nmekatwa 2000 kod ya jengo?
Mimi nimetumia pia 8000 unit moja point mbili
Baada ya kuwanunulia watoto matokeo ya mitihani kwa muda mrefu leo wamekuwa viongozi na haya ndio matokeo yake,nchi inakuwa ya hovyo tunalazimishana kuwa wazalendo.
Mi naona ni unyang'anywaji wa hela zetu tu
Tanesco na mabando ya sm bado kodi kubwa,alaf kuna REA,EWURA na VAT
Nme nunua umeme wa buku 5 napata unit 6 😡 😡 😡 😡 hivi wana dhani ela tuna okota inabidi ni nunue solar 😢
@MtuSafi
Ай бұрын
Sasa Mbona mm wa 4,000 nimepata unit 1
@israelkisaila8401
Ай бұрын
@@MtuSafi😂😂😂😂pole
Wanakata cod nyng elfu mbili kwamwez tanzania kunanyumba ngpi zenye umem
Kodi ya majengo kulipa kwenye luku ni wizi wa waziwazi na kushindwa watu kazi, wizara ya fedha in vihio wengi bdio maana hawana uwezo wa kujua kodi ya majengo maana yake nini, mfano wewe huna nyumba lkn umepanga kwenye jengo na kutaka separate meter na hapo inabidi ulipe kodi ya majengo wakati huna nyumba why.
Haya majamaa kilasiku yana madilika wasafi hongoleni achaneni na mamboya anaupiga mwingi
Wewe Mha, nani alianzisha huu utaratibu na wakati huo mbona hatukukusikia ukitoa hoja yako? Uliogopa nini, kipotezwa?
Tunashangaa sasa hivi wameongeza imekuwa 2000 yaani makodi yamekuwa kibao. Wanyonge hao eti tunasikiluzwa.
Nakuna vijumba vyamradi vmejengwa kama nguzo hakuna jengo hukinunua umemeunalpia kod yapango napango halo hatar
Serikali inatumai matatizo yetu kwama mitaji yao kisiasa. Wanasahau zama zimebadilika wanaendelea na mambo yale yale toka uhuru. Ngoja watuaribie amani yetu wakituibia na kututia hasira wananchi wa kawaida.
Hivi bill zimepadishwa tena naona wanakatà 5000 saiz sijaielewa
Kumbuka kunanyumbanyingi hukukwetu hazina umeme nao wanalipaje
kwaiyo wenyenyumba ambao hawatumii umee inamaana wao hawalipi kodi yamajengo
hatar sana
Mhhh hii ndio tz ,bado tumelala.sana sijui nani katuroga wa tz ila ipo siku yatahisha haya wacha watupige mpka tukome ili tuamje
Halafu wamepandisha ni 2000 jaman kweli
Hii seriksli ni ya wezi tu wanajiona kama hawatakufa kazi Yao kuiba .tu tunaongozwa mbwa
Ni wizi kabisa hii nchi iko siku
Kusema ukweli walikosea sana kuleta huu utalatibu insnikela sana hii la kulipa pango kila mwenzi
mm naunga mkono kodi iendelee kama wewe umelipia kodi ya aridhi si unaonesha kwa mwenye nyumba akulipe
Oska unaongea ukweli ila ,watu wa kampeni ,wataanza kukusumbua,washenz
Imekua ni rahisi wengi walikuwa hawalipi kwahiyo tumefanyiwa urahisi wapangaji si waelewane na wenye nyumba
@naturelle1097
29 күн бұрын
Bado sio sahihi wanachokifanya..ni sawa na kumlipia nchi jirani deni ambalo halituhusu
Tanesco wameshinikizwa tu na mifumo tu.kwani waliopanga hiyo taratibu hawajui shida yake.
@naturelle1097
29 күн бұрын
But kwa nini walikubali?
Yani ni Usumbufu Juu ya Usumbufu Kuna nyumba zina MITA luku 3 na sisi wapangaji hatuna muda wa kuenda TANESCO kujieleza Hapa mjini tukobize ukimwambia mmiliki anasema nendeni TANESCO
@naturelle1097
29 күн бұрын
Wamiliki wana vichwa vigumu sana na majibu yasiyo ridhisha..Mwigulu ajitafakari kwa hili kuwabebesha Watanzania mizigo mizito sababu yeye na huyo Kayombo wa TRA wameshindwa kufikiri
Hii inatuumiza Sana sisi wapangaji Tunalipa Kodi Tunalipa umeme Tena tunalipia Kodi ya nyumban daaaah Inaumiza sana😢
@trecygohy7847
Ай бұрын
Kulipa umeme n jukumu lako
@user-hp6bf5lh2d
Ай бұрын
@@trecygohy7847 Sijazungumzia umeme, nmengungumzia Makato ya tanesco ya pango la nyumba ndugu sio jukumu letu Kama wapangaji, lakini tunakatwa kuptiaanunuzi ya umeme
@naturelle1097
29 күн бұрын
Mwigulu na Kayombo wawajibishwe kwa hili maana ni uwizi. Wameshindwaje kuwakamata wakwepa kodi kisha kuwatwisha wapangaji mzigo huu. Mbona ukuta zinachorwa X wakati wakuvunja..wazunguke nchi nzima sababu kufikia mda huu wenye nyumba walitakiwa kua wameshajisalimisha ili wapangaji wasiendelee kubeba huu mzigo
@user-hp6bf5lh2d
29 күн бұрын
@@naturelle1097 hapo tupo sawa ndugu
@trecygohy7847
29 күн бұрын
@@user-hp6bf5lh2d ungefafanua hivyo ili watu wakuelewe na sio kusema kulipa umeme
Tuna viongozi wanawaza kutupiga hela tu.
zakura
Wenye nyumba wenyewe majeuri , wanakwambia kama hutaki kulipa kaa gizani
Nawapongeza xn tanesco kiukwel imepunguza xn msongamano tra.kikubwa mwenye nyumba apange utaratibu na wapangaji wake.
@rashidingole1588
Ай бұрын
Utaratibu upi?? Kuna baadhi ya nyumba za kupangisha kila mpangaji na mita yake, Sasa hapo inakuwaje?????
Tatizo sio TANESCO tatizo ni serikali yetu ndio inayopaswa kutatua changamoto zetu
@naturelle1097
29 күн бұрын
Wao TANESCO ni moja ya hili tatizo kwa nini walikubali swala la kijinga kama hili?
JAMANI KWANINI HAMNAGA JEMA:VIJANA?? KWANI MPANGAJI HATUMII BARABARA? MIMI NIULIZENI NIMEENDESHA MAGARI BARABARA ZA MIAKA YA 79-80 DODOMA- DAR SUKU2;
Oscar kuna time's hua anaakili kumbe
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Ukiona hivyo juwa na yeye kimemlamba 😂😂
Oscar wewe ni mpanga ndiyo maana hujuwi sisi wenye nyumba tulivyo pata unafuu wa kulipa hiyo Kodi ya nyuma wewe fanya hivi wakati unalipa Kodi kata kabisa Kodi ya nyuma serekali unajuwa Kila anayekaa kwenye nyuma ndiyo mwenye nyumba
😂😂😂😂
Nimambo ya hovyo kabisa
NYUMBA INA MITA LUKU 7 TUNALIPIA MITA IPI? AU YOTE WANAKATA?
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Wanakata Kwa MITA zote 7
Pia tanenesco niwezi tunaishi sehemu Moja nyumba Moja unatumia yuniti 20 kwamwezi upo kwenye matumizi makubwa mwigine umeme wa 9000 tu unit 75 Mimi nikitaka hizo ninatakiw niwe na 27000 kweli niwezi
@trecygohy7847
Ай бұрын
Hesabu zako haziko sawa. Why 9,000 kwa unit 75 ??? Sijakuelewa
@mkumbwatv8087
Ай бұрын
Zipo sawa maana matumizi makubwa nayakati niyapi
@mkumbwatv8087
Ай бұрын
Kwanza ni lazima ufahamu kwamba Tarrif hii iliwekwa maalumu kwaajili ya watu wenye maisha ikawada kwa kulizingatia hili ukawekwa unafuu wa Kununua umeme na yakawekwa mashart kwa mteja alie katika taarif 4 anatakiwa kutumia unit zisizo zidi 75 Kwa mwezi mzima kwa maana ya kwamba umeme anao nunua hautakiwi kizidi kiasi cha Pesa cha Tsh 9150 na wastani wake wa matumizi kwa miezi mitatu au sita hautakiwi kuzidi unit 75. Sasa endapo utazidisha Matumizi haya basi mfumo
@trecygohy7847
Ай бұрын
@@mkumbwatv8087 mtu akinunua umeme wa 10,000 anapata unit ngapi ?
Xavi mtupu
Mimi ni mpangaji sina mambo mengi kwenye matumizi hapo nyumba nilikuwa natmia umeme wa 1000 kwa mwezi nilinunua umeme wa elfu tano siku umeisha nikaweka 5000 ninunue umeme walikata hela yangu yote,
@user-ub3xh7ug6c
Ай бұрын
,😂😂ht mm Ivo just natumiag wa buk
@moriskalegeleshusha2619
Ай бұрын
@@user-ub3xh7ug6c 😀😀😀 kazi kweli kweli
Mimi wenyenyumba hua wanarudisha pesa yangu nikikatwa!!Sio jukumu langu kumlipia kodi ya pango!!!nyumba ni yake au pango ni lake anaepaswa kulipia ni yy kupitia kodi zetu za nyumba,,sasa wametuletea kwenye umeme ww unamlipia!!!hapo kwangu n ngumu
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Huwa unafanyaje mpaka wanakurudishia?
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Huwa unafanyaje mpaka wanakurudishia?
@josephatjordan5560
Ай бұрын
@@israelkisaila8401 Anaeleweshwa tu kuhusiana na anaetakiwa kulipa kodi ya pango ya kuwa ni mwenye nyumba na si mpangaji!!!Jengo ni Mali yake na ni biashara yake anapaswa kulipia hayo malipo ni mmiliki na sio ww mpangaji kwani mali sio yako !!!
@naturelle1097
29 күн бұрын
Baadhi wanajikausha na ndo wanatakiwa kuchukuliwa hatua maana kama ni mda wamepewa kujirekebisha unatosha. Wapangaji wasiendelee kubeba huu mzigo wasetishe hili zoezi mara moja ama waende nyumbani walopitisha hii sheria ya ajaabu