#Live

#arisendshinetanzania #2024mwakawakutembeachiniyambinguzilizofunguka #mwamposalive
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.

Пікірлер: 55

  • @NajmaNajma-rn5pe
    @NajmaNajma-rn5pe8 күн бұрын

    Napokea upako wako Baba naomba mungu aniguse nipone Baba niwe wa baraka kila mahali nigiapo na nitokapo mungu ukanipe jina la heshima Baba nakataa maisha ya aibu na kuonewa naumasikini Roho zote changu na zakanusha katika jina la yesu amen 🙏🙏 Baba 🇰🇪🇰🇪

  • @theonestinakaizilege9974
    @theonestinakaizilege99748 күн бұрын

    Mungu wangu komboa familia yangu amina pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina mwanangu Lillian apate mume sahihi pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina

  • @salhaseleman7193
    @salhaseleman71938 күн бұрын

    namuomba Mungu Watt wangu waolewe kwa jina la yesu Mungu wafungue Watt wangu

  • @NajmaNajma-rn5pe
    @NajmaNajma-rn5pe8 күн бұрын

    Bwana yesu asifiwe mtumishi mwambosa naomba ashubui ya Leo mungu anitende makumbwa katika maisha yangu na watoto wangu nifanikishe Bwana nirehem na dam yako

  • @salhaseleman7193
    @salhaseleman71938 күн бұрын

    naomba Mungu aniguse maisha yangu kwa jina la yesu

  • @user-ix1yb5di5x
    @user-ix1yb5di5x7 күн бұрын

    Baba mungu komboa familia yangu na makazi ya maman na baba ya kiuchumi kipande zaidi Pia na makazi makaka zangu wapate cheo nzuri sana na kipaji change kirudishwe mujina la yesu Kristo.

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Haleluyaa!! Imekuwa mtumishi wa Mungu Mapokezi kwa Jina la YesuAmeen,Ameen..

  • @MarryBayyo-pf5rn
    @MarryBayyo-pf5rn8 күн бұрын

    Shalom baba napokea upako naomba mungu anibadilishie maisha na mwanaume wangu awe baba Bora mungu anibadilishie biashara na Mimi ni WA Nuru 🙏🙏

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Asante Yesu kwa wema wako kwa kuwa wewe unaweza baba.

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu baba niunganishe na famikua yangu na watoto wangu abuu ali Adam kauthar amiri mungu nisaidie wajue mm ni mama yao mzazi

  • @theonestinakaizilege9974
    @theonestinakaizilege99748 күн бұрын

    Naomba safari yangu iwe ya mafanikio niwe juu nisirudi nyuma mipango ifanikiwe amina❤❤❤❤❤❤❤

  • @EnaraMfwango
    @EnaraMfwango8 күн бұрын

    Amen napokea kufunguliwa🙏🤲🤲

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu nisaidie nimeanxisha mchezo mungu nilinde mpaka mwisho mchezoo huu uishse usiingiliwe na matatizo mungu nisaidie

  • @EmeldaAbel
    @EmeldaAbel8 күн бұрын

    Kesi ya kuibiwa imeisha kwa jina la yesu kristo Ameen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu nisaidie malengo yangu nilio yapanga kwenye huu mwezi nikamilishe mungu nisaidie

  • @NaimaKilua
    @NaimaKilua8 күн бұрын

    Nimeponaaa katika jina la Yesu

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Ni kweli mtumishi wa Mungu nayaona matendo makuu ya Bwana.Yanashangaza.barikiwa sana.

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu niponye magonjwayote ninayo umwa nipone kuanzia saivi niende kazini nikafanye kazi mungu nisaie nijenge na banda langu mungu nisaidie

  • @salhaseleman7193
    @salhaseleman71938 күн бұрын

    namuomba Mungu aiguse familia yangu kiuchumi kibiashara kwa jina la yesu ameen

  • @jameskujura

    @jameskujura

    8 күн бұрын

    Mimi rejina nina ushuhuda Tatu

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu nakuomba kwenye opreshen hii naenda kwenye biashara yangu nipate wateja wengi km mvua mpaka watu washangae mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu nisaidie nipate ela nyingi na nifanye nilicho kipanga mungu nisaidie nioate mume bora mungu nisaidie maombi yangu yote 12 yanikiwe haraka nipate majibu mungu nisaidie

  • @salhaseleman7193
    @salhaseleman71938 күн бұрын

    Mungu nisaidie nizidiwe na wateja ktk biashara yangu

  • @NaimaKilua
    @NaimaKilua8 күн бұрын

    Napokea uponyaji Amin

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Nimeuona ukuu wa Bwana Leo!❤❤ amen amen amen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu mponye bibi yangu mama yangu wagoner magonjwa yote mungu nisaidie

  • @FezaWalumona
    @FezaWalumona8 күн бұрын

    Nina imani Leo Familia yangu wote ime kombolewa. E Mungu naomba unikumbuke na Mimi Piya nibariki Watoto Mapacha wakiume wa tatu

  • @salhaseleman7193
    @salhaseleman71938 күн бұрын

    napokea bb kwa jina la yesu nipone magonjwa yanayo nisumbua miaka mingi

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu niendapo kumwaga maji ya upako wateja waje wengi kuanzia mdahuu mpaka chakula cha mchana ninacho uza kiishe mapema bila kupaki mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Nakuomba mungu ñfungulìe familia ÿangu itoķne na matatizo mungu nisaidie

  • @MerrySabina
    @MerrySabina8 күн бұрын

    Leo nafunguriwa amina

  • @deusdon777
    @deusdon7778 күн бұрын

    Amina kubwa

  • @gracebura7713
    @gracebura77138 күн бұрын

    God is good ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊

  • @dorisnjau2931

    @dorisnjau2931

    8 күн бұрын

    Amen

  • @TumainiMngongo
    @TumainiMngongo8 күн бұрын

    Napokea muujizawng kupitia neno hli la siri za ufalme wa Mungu

  • @jameskujura
    @jameskujura8 күн бұрын

    Baba ninakuomba katika makogamano yako yakira mukowa uwaze na musoma

  • @EstherEsthi
    @EstherEsthi8 күн бұрын

    Amène baba Nikweli kabisa 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @user-ix1yb5di5x
    @user-ix1yb5di5x7 күн бұрын

    Amen Amen 👏🙏👏

  • @tonykonki1437
    @tonykonki14378 күн бұрын

    Namaliza kesi zote ,zilizopangwa na wachawi,nakusema nguvu za ngiza hazina kazi kwangu tena..

  • @MaishaMkologote
    @MaishaMkologote8 күн бұрын

    Amen 👏👏👏👏👏👏

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Kesi ya madeni siitaki tena moyoni mwangu mungu litre kabisa hilo pepo mungu nisaidie

  • @user-kp7jz1rp2r
    @user-kp7jz1rp2r8 күн бұрын

    Napokea uponyaji wàñgu leo

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Nawaweka kwenye mazabao hii waty wote wanao nidai darazia mama sele lorini wa mashuka mwajuma Jolie na wote wanao nidai naomba muww na uvumilivu kwangu nitawalipa mungu nisaidie baba

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Ameen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed8 күн бұрын

    Mungu mm kilo change ni biashara naomba nisaidie biashara yagu ikue na mtaji mkubwa mungu nisaidie

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Ameen❤❤

  • @hellengladwilliam6770
    @hellengladwilliam67708 күн бұрын

    NAPOKEA KUSHINDA INTERVIEW SASA HIVI.AMEN

  • @hellengladwilliam6770
    @hellengladwilliam67708 күн бұрын

    IN JESUS NAME NASHINDA INTERVIEW🙏

  • @MbukeDotto-zk1qz
    @MbukeDotto-zk1qz8 күн бұрын

    Naomba nifanikiwe kupitia biashala yangu leo ameeeeeeeee😅

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Mimi ni Gidion onesies.

  • @MerrySabina
    @MerrySabina8 күн бұрын

    Mtumishi naomba uniombee nina matatizo

  • @JoyceOmary
    @JoyceOmary8 күн бұрын

    Napokea baraka

  • @JoyceOmary
    @JoyceOmary8 күн бұрын

    Napokea baraka 0:57

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Ameen

  • @reytn2494
    @reytn24948 күн бұрын

    Ameen