#Live
#arisendshinetanzania #2024mwakawakutembeachiniyambinguzilizofunguka #mwamposalive
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
Пікірлер: 55
Napokea upako wako Baba naomba mungu aniguse nipone Baba niwe wa baraka kila mahali nigiapo na nitokapo mungu ukanipe jina la heshima Baba nakataa maisha ya aibu na kuonewa naumasikini Roho zote changu na zakanusha katika jina la yesu amen 🙏🙏 Baba 🇰🇪🇰🇪
Mungu wangu komboa familia yangu amina pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina mwanangu Lillian apate mume sahihi pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina
namuomba Mungu Watt wangu waolewe kwa jina la yesu Mungu wafungue Watt wangu
Bwana yesu asifiwe mtumishi mwambosa naomba ashubui ya Leo mungu anitende makumbwa katika maisha yangu na watoto wangu nifanikishe Bwana nirehem na dam yako
naomba Mungu aniguse maisha yangu kwa jina la yesu
Baba mungu komboa familia yangu na makazi ya maman na baba ya kiuchumi kipande zaidi Pia na makazi makaka zangu wapate cheo nzuri sana na kipaji change kirudishwe mujina la yesu Kristo.
Haleluyaa!! Imekuwa mtumishi wa Mungu Mapokezi kwa Jina la YesuAmeen,Ameen..
Shalom baba napokea upako naomba mungu anibadilishie maisha na mwanaume wangu awe baba Bora mungu anibadilishie biashara na Mimi ni WA Nuru 🙏🙏
Asante Yesu kwa wema wako kwa kuwa wewe unaweza baba.
Mungu baba niunganishe na famikua yangu na watoto wangu abuu ali Adam kauthar amiri mungu nisaidie wajue mm ni mama yao mzazi
Naomba safari yangu iwe ya mafanikio niwe juu nisirudi nyuma mipango ifanikiwe amina❤❤❤❤❤❤❤
Amen napokea kufunguliwa🙏🤲🤲
Mungu nisaidie nimeanxisha mchezo mungu nilinde mpaka mwisho mchezoo huu uishse usiingiliwe na matatizo mungu nisaidie
Kesi ya kuibiwa imeisha kwa jina la yesu kristo Ameen
Mungu nisaidie malengo yangu nilio yapanga kwenye huu mwezi nikamilishe mungu nisaidie
Nimeponaaa katika jina la Yesu
Ni kweli mtumishi wa Mungu nayaona matendo makuu ya Bwana.Yanashangaza.barikiwa sana.
Mungu niponye magonjwayote ninayo umwa nipone kuanzia saivi niende kazini nikafanye kazi mungu nisaie nijenge na banda langu mungu nisaidie
namuomba Mungu aiguse familia yangu kiuchumi kibiashara kwa jina la yesu ameen
@jameskujura
8 күн бұрын
Mimi rejina nina ushuhuda Tatu
Mungu nakuomba kwenye opreshen hii naenda kwenye biashara yangu nipate wateja wengi km mvua mpaka watu washangae mungu nisaidie
Mungu nisaidie nipate ela nyingi na nifanye nilicho kipanga mungu nisaidie nioate mume bora mungu nisaidie maombi yangu yote 12 yanikiwe haraka nipate majibu mungu nisaidie
Mungu nisaidie nizidiwe na wateja ktk biashara yangu
Napokea uponyaji Amin
Nimeuona ukuu wa Bwana Leo!❤❤ amen amen amen
Mungu mponye bibi yangu mama yangu wagoner magonjwa yote mungu nisaidie
Nina imani Leo Familia yangu wote ime kombolewa. E Mungu naomba unikumbuke na Mimi Piya nibariki Watoto Mapacha wakiume wa tatu
napokea bb kwa jina la yesu nipone magonjwa yanayo nisumbua miaka mingi
Mungu niendapo kumwaga maji ya upako wateja waje wengi kuanzia mdahuu mpaka chakula cha mchana ninacho uza kiishe mapema bila kupaki mungu nisaidie
Nakuomba mungu ñfungulìe familia ÿangu itoķne na matatizo mungu nisaidie
Leo nafunguriwa amina
Amina kubwa
God is good ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
@dorisnjau2931
8 күн бұрын
Amen
Napokea muujizawng kupitia neno hli la siri za ufalme wa Mungu
Baba ninakuomba katika makogamano yako yakira mukowa uwaze na musoma
Amène baba Nikweli kabisa 🙌🙌🙌🙌🙌
Amen Amen 👏🙏👏
Namaliza kesi zote ,zilizopangwa na wachawi,nakusema nguvu za ngiza hazina kazi kwangu tena..
Amen 👏👏👏👏👏👏
Kesi ya madeni siitaki tena moyoni mwangu mungu litre kabisa hilo pepo mungu nisaidie
Napokea uponyaji wàñgu leo
Nawaweka kwenye mazabao hii waty wote wanao nidai darazia mama sele lorini wa mashuka mwajuma Jolie na wote wanao nidai naomba muww na uvumilivu kwangu nitawalipa mungu nisaidie baba
Ameen
Mungu mm kilo change ni biashara naomba nisaidie biashara yagu ikue na mtaji mkubwa mungu nisaidie
Ameen❤❤
NAPOKEA KUSHINDA INTERVIEW SASA HIVI.AMEN
IN JESUS NAME NASHINDA INTERVIEW🙏
Naomba nifanikiwe kupitia biashala yangu leo ameeeeeeeee😅
Mimi ni Gidion onesies.
Mtumishi naomba uniombee nina matatizo
Napokea baraka
Napokea baraka 0:57
Ameen
Ameen