LALA HIVI ILI USIKOJOLEWE NA SHETANI || USINGIZI NI KIFO KIDOGO || MAWAIDHA SH. OTHMAN MAALIM 2023
Ойын-сауық
Tofauti pekee iliyopo baina ya aliyelala na aliyekufa ni kupumua tuu ndiyo maana usingizi ukawa kifo kidogo na kifo chenyewe kikaitwa usingizi mkubwa.
Sheikh Othman Maalim akifundisha juu ya adabu za kulala na namna Mtume wetu alivyokuwa akilala, kwani katika kulala kuna "kulala kisha usiamke" na "kulala uamke". Kwa hali zote Mwanadamu anahitaji ulinzi na usalama awapo kwenye hali yaje hiyo na yampasa wakati wowote yeye kuaa teyari na mauti haswa wakati ule anaenda kulaka.
Fahamu: #dua_ya_kulala #namna_ya_kulala #live #mawaidha #zanzibar
Video credit: Riyadh Tv Online Znz
Original video: • INATIA HURUMA SHK.OTHM...
**Kwa mawaidha mengi na mazuri ya Sheikh Othman Maalim wafuate Riyadh Tv Online Znz.
Follow Us, AQ ONLINE TV On:
FACEBOOK:
/ aqonlinetv
INSTAGRAM:
/ aqonlinetv
TWITTER:
/ aqonlinetv
WHATSAPP:
chat.whatsapp.com/LTkso2pn287...
TIKTOK:
vm.tiktok.com/ZSJKAVXxK/
TELEGRAM:
t.me/aqonlinetv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2023 Aq Online Tv. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
Пікірлер: 103
Msisahau kuSubscribe kwenye channel yetu.
@user-yj6bf3rr4h
Жыл бұрын
TUKUMBUSHENI SANA MAMBO YA KIDINI
Jazakallahu kheir shekhe🙏
Mashallah tabarakaallah sheikh
Shukurani ustadh amiin amiin
Takbriiiiiii
Allah is great
Mwenyezimungu akuhifadhi sheikh wetu
Mungu akubariki shehe wetu
Jazzakallahul khair
Subhananllah Allah atuswamehe sana makosa yetu na atupe mwisho In sha Allah
Kbs ostazi🥰🥰🥰
Mungu awajalie mnatukumbusha
Aamina alhamdulillah nimejifunza mengi kwenye hii hadhithi Yaa Allah nakuomba unisamehe Mimi na wazazi wangu na pia wa wenzangu aamina
Kwely
Alla atujalie kaulithabitt
Kabisa
Masha allha
Mashallah Mungu atujaalie mwisho mwema. Shekh unatuwa mbali wallah Mungu atakulipa duniani naaghera inshaallah tunakipenda sana wallah❤
Yarab tujaalie mwisho mwema.chukua roho zetu wakati umeridhia nasi.🤲🤲🤲🤲
Masha Allah
Mashallah sheikh wetu
Alhamdulillah, Shukran kwako Allah akulipe kher
Allah tujaalie mwisho mwema
Allah Akbra ❤❤
Jamani tumswalieni mtume pindi anapo tajwa ❤SAW ❤❤
Aamina shekh mungu aakupe umri mrefu
Allah atujaliye mwishomwema Allahuma amin kwasot
Mungu atusamehe leo mpaka kesho kiama
Sheikh wetu Allah ampe maisha marefu inshaaAllah
@dadejamal
4 ай бұрын
Amim🙏🙏🙏
Amini jazakallah kheri yaraby atupe mwisho mwema 🙏
Shukran
Mawaiza kifo
Kila la kheri Sheikh wetu
Allah atujalie mwisho mwema
Mashallah twaomba na sisi watu wa kakuyuni ututembele sheikh tuko Kenya malindi kakuyuni
Sheikh jazzak allahu kheir insha allah kwa mawaidha ya kutukumbusha kuhusu mauti. Allah akujaze na hikma na akujaalie umri zaidi ili uzidi kuenezeza na kutangaza dini ya Allah.Deen al-islam.🤲🤲🤲
Masha Allah.mawaidhaa yake maziri
Mansha’Allah Jazaakum Allahu kheir Shukran Shekh ❤❤❤
Mashaalah mawaidha nimazuri sana.mwenyez.mungu atupe mwisho mwe Ma
Bismillah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤
Yarabbi Tusamehe madhambi yetu,tulinde na hyu ibilisi na tujaalie mwisho mwema
@Faizamideva-bv6oo
Жыл бұрын
Ameen
MASHAALLAH Mashaallah shukran sana 🤲
Mungu akuzidishie Maisha maref
Aminaa Allah atufanyie wepes 🤲
@user-yj6bf3rr4h
Жыл бұрын
AMINAA ALLAH ATUJALIE KU KWA BINADAAMU
Allahumaa amiiin
MashaAllah MUNGU akuzidishie
Ameen yaraby
Allah atujaliye mwisho mwema
Aya Allah nijaalie mwisho mwema ya rabi taqabar dua
Mashaallah
Mashaallah jazakumllah kheir amiin mola akuhifadh ust othuman
@mesalimchama1874
Жыл бұрын
Amina rabbil allamin
MaaShaaAllah mawaidha mazuri
Masha AllAh ❤❤❤🎉🎉😭😭😭
Kuna mtu amekomenti, kama vile anakashfu,, nimeziona koment zake, Bila shaka nikafiri huyo, kwa mimi nimepata faida. Sana na mawaidha hayo, shukran sana
Shukran kwa somo allahu akulipen 🙏❤❤
ubarikiwe ❤
Allahumma Amiina
Subhanallah 🙏🙏🙏🙏
Allahuma amiin, Allah atujalie mwisho mwema inshaallah
@siriyangu4724
Жыл бұрын
Allah humma mamiin 🤲
@FatumaMuya
Жыл бұрын
Amiin
mashaaaaaalwah
Masha Allah alhamdulillah
@ntirampebafatuma7817
11 ай бұрын
asate;chehe
Sub'hana Allah
Allah Akbar shukran shekhe wetu
احسنت
Yarabi tujaalie mwish mwem ss na wazee wetu
Shehe asalamu alikum
Shukran 😢🤲🤲
Shekhe Othaman mm nashid naww baba angu
Mashallah mawaidha mazuri sana, hila wandishi kueni makini sana mnapo andika headlines # usingizi ni kifo kidogo sio ( kidigo)😂😂.
@blessingblessing9641
Жыл бұрын
😂😂😂😂amepitiwa
@ElivinaBayah-be8or
Жыл бұрын
Umewakumbusha but I see they're righting good
Njoni kwangu nyinyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo mizito NAMI nitawapimzisha. Mt 28:11 " Shetani aliwahi kuonekana wapi na mwaka Gani.haya na mengine mengi mliyonayo Yesu anaiita mizigo"
@salimmohamud5390
Жыл бұрын
Confused
@fabianmkimbu880
Жыл бұрын
Tuwaombee Hawa wenzetu Mungu awafungue macho manake mambo wanayoyahubiri si ya kufika mbinguni,badala ya kuwafundisha watu watubu dhambi na kuziacha wanahubiri mambo ya kukojolewa na shetani.
@ahmedbashash3672
9 ай бұрын
Wewe mwizi nyinyi dini yenu ni ya ujambazi mtupu na utapeli mnawatia wajinga hao dawa za kulala na kudondoka mijizi mikubwa pumbaaaaff
@AraphaHussein
6 ай бұрын
Co lazma kuandika ujinga wko
@user-ft9xf3fe5v
Ай бұрын
Mizigo gni ya kuni au ktk watu wasio na akilini ni wakristo mm mkristo hata awe kiongoz namuona hana akili tu
💖💖💖❤❤❤💞💞💓💓💓💝💝💝
Mazur san huwa tunafaidika na mawaiza yake
Du natamani mume wangu angenipa maiza hay waraf ningefurah
Vipi kujiginga n'a majini n'a masheta za makafiri
Yani mimi nakutafut kweli nanafatilia sn mawaiz yako
Assalam Alaiykum Warahmatullahi Wabarakatu,mm naomba kufahamu zaidi kwa waliofam zaidi yangu je hizi sura unasoma kila kimoja mara tatu au nimaramoja tu?
@abdimshana9002
Жыл бұрын
Kila moja unairudia mara 3
@nasraebrahim6300
Жыл бұрын
Mara tatu Kila sura Moja nnavyofahamu mimi
Eti usikojolewe na shetani, funny stories of the Quran 🤣🤣🤣
@salimmohamud5390
Жыл бұрын
Wewe unaalala kama maiti
@FeisalDoctor
Жыл бұрын
We kafiri unataft nin uku
@RashidAbdallah-qv5qb
9 ай бұрын
Hakika wewe ni kafir mkubwa huna hekima kabsa
@AraphaHussein
6 ай бұрын
Kwan ni lazma ukoment
Emollah wangu naomba nisamehee mm na wazazi wangu wawili Amina.🎉
Subhananllah Allah atuswamehe makosa yetu na atupe mwisho mwema ln sha Allah
@JohaynaKhamiss-kr1bw
3 ай бұрын
Amiin
Masha Allah