EWE ULIEDHURUMIWA USIVUNJIKE MOYO KUWA NA SUBRA. SHEYKH; HAMZA MANSOOR

Tafadhali Usiache ku SUBSCRIBE kwenye channel yetu hii ya Al-hidayahonlinetz. Ili uendelee kufaidika kupitia Maudhui zetu zenye mafundisho ya dini na jamii.
+PIA WAWEZA KUCHANGIA DA`AWAH HII KUPITIA
LIPA NAMBA AIRTEL 1297069 TIGO `7638500`
+ AMA PIGA NO. +255 710 627 824

Пікірлер: 41

  • @khadijaali3107
    @khadijaali31075 күн бұрын

    Mashaallah darsa hii yako shekh hamza imenipa moyo kutokana na dhiki na huzuni nilizobeba moyoni😢😢😢 imenipumbaza moyo wangu mungu azidi kuniongoza kwenye njia iliyonyooka na Allah akubariki shekh na akuhifadhi na akulinde na dhulma za ulimwengu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7ytАй бұрын

    Allahu akika waja Wana chuki mpaka onapitiliza tujirekebishe yarabi

  • @YusufMdoe
    @YusufMdoe4 ай бұрын

    Sheikh Allah akupe maisha marefu yenye faida

  • @MudMuho-zo9do
    @MudMuho-zo9do10 ай бұрын

    Mungu atufanyie wepesi inshallah na atuondolee matamanio ya duni

  • @hasaniabdalah6148
    @hasaniabdalah61488 ай бұрын

    Sheikh huyu nampenda kwa ajili ya Allah .kweli mawaiza yake yananyooka moyoni kwangu moja kwa moja

  • @user-wr8yk3wt9x

    @user-wr8yk3wt9x

    3 ай бұрын

    Mimi ni zaidi Yako kk nampenda SN adi nime slim kisa ma waidha yake amenifanya niupende uislam mpaka nime slim nikaitwa bien Hamza nampenda SN Allah ampe mwisho mwema sheikh wangu kipenzi❤❤❤❤❤

  • @virginiasimon4609

    @virginiasimon4609

    2 ай бұрын

    Allahu Akbar 🤲 📿 ​@@user-wr8yk3wt9x

  • @Omanbahla-f8i
    @Omanbahla-f8i14 күн бұрын

    Nakupenda kwa ajili ya allah

  • @ZainabuZaina-dk7mx
    @ZainabuZaina-dk7mx4 ай бұрын

    ❤ allah akulipe kheri sheh hamza baba angu napenda sana maiwdha yako hakika allah atupe mwisho mwema

  • @latifanyari8912
    @latifanyari89125 күн бұрын

    Allah akuifadhi inshaallah

  • @user-qp2zk5or8l
    @user-qp2zk5or8l7 ай бұрын

    Masha Allah Allah akupe ulinzi wake na Maisha marefu

  • @BraitonBukuru
    @BraitonBukuru4 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @HusseinMuro-ki2hx
    @HusseinMuro-ki2hx5 ай бұрын

    Allah akusitiri kwa elimu kubwa unayotoa hakika unafanana kabisa na unachosema unasema kweli

  • @gamalashur5412
    @gamalashur54123 ай бұрын

    AKUPE UZIMA NA AFYAA AJUZIDISHIEE ILMUU NAAA'FIAAN.

  • @ayoubfute8603
    @ayoubfute86038 ай бұрын

    Mashaallah

  • @mwanamwinyikutunga7884
    @mwanamwinyikutunga78842 ай бұрын

    Naam

  • @saumuzani4360
    @saumuzani43607 ай бұрын

    Mashallah tabarakallah

  • @shuweikhahamad6392
    @shuweikhahamad639210 ай бұрын

    Allah atujalie miongoni tuonusurika na madhambi

  • @jassminemubarak2828

    @jassminemubarak2828

    10 ай бұрын

    Amiiiina

  • @hasaniabdalah6148

    @hasaniabdalah6148

    8 ай бұрын

    Amiin inshaalah

  • @user-xy8hm1tv9f

    @user-xy8hm1tv9f

    7 ай бұрын

    Amiin

  • @user-bl6ul2lz4n
    @user-bl6ul2lz4n7 ай бұрын

    Allah (SW) akuzidishie katika boraa

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw11 ай бұрын

    🎉🎉🎉allah akulipe shekhe I am going back 😢😢😢and then I will have a good time and then I will have a good time to come by the best for me is the best way of doing it would have been the same as the most powerful in all of the world and then I will have a good time and then I will have a good time to come

  • @al-hidayahonlinetv3447

    @al-hidayahonlinetv3447

    11 ай бұрын

    may allah reward you well too

  • @user-lw6tx1rc8k
    @user-lw6tx1rc8k8 ай бұрын

    Mashallh

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c9 ай бұрын

    Manshaallah

  • @umsoud3306
    @umsoud330611 ай бұрын

    لا حوله و قوة إلا بلله

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw11 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-hj1uj3ts3k
    @user-hj1uj3ts3k11 ай бұрын

    Assalam wa'aleykum warahmatullah wabarakatu Allah akupe umri mrefu wenye manufaa dunian na kesho Akhera tunajifunza mengi kutoka kwako

  • @al-hidayahonlinetv3447

    @al-hidayahonlinetv3447

    11 ай бұрын

    Aamyn Aamyn pa1

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo93110 ай бұрын

    Asalam aleikum shekhe naomba kuuliza unafanya kaz huna siku ya kupunzika kila siku kaz hata ukiumwa unafanya kaz pia hiyo dhuluma😭😭😭

  • @al-hidayahonlinetv3447

    @al-hidayahonlinetv3447

    10 ай бұрын

    Waleykum salaam warahmatulla warahmatullah wabarakatuh al akhi. Sasa utafanyaje kazi ukiwa unaumwa? Fafanua

  • @salmsalmo931

    @salmsalmo931

    10 ай бұрын

    @@al-hidayahonlinetv3447 Ukisema unaumwa unaambiwa ufanye kaz hata ukiwa mgonywa

  • @user-xd9ye7wk6c

    @user-xd9ye7wk6c

    9 ай бұрын

    ​@@al-hidayahonlinetv3447huyu achosema Yuko sawa wewe mjibu ili na mm nipate kujua unaumwa Tena unapelekwa hospital na unapumzishwa kwa mda na dirip juu na dozi unapewa zakuendeleza ila Ile hujafika ndani ulisha ambiwa inatakiwa uanze na kaziipi shekhe huu ni ukweli tunaopitia

  • @ZaujiaRamadhani-im7ec
    @ZaujiaRamadhani-im7ec11 ай бұрын

    Mashaalah mwenyez mungu akujaliye mwisho mwema sheh wet

  • @al-hidayahonlinetv3447

    @al-hidayahonlinetv3447

    11 ай бұрын

    Allahuma Aamyn kwa sote.

  • @al-hidayahonlinetv3447

    @al-hidayahonlinetv3447

    11 ай бұрын

    Aamyn

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33159 ай бұрын

    ,tunamshtakia allah kiongozi wa ansar tanzania kwa yatima mbona hamlizungumzii hilo ina maana hamlijui njooni tanga mjue anafanya kiongozi wenu

  • @hasaniabdalah6148

    @hasaniabdalah6148

    8 ай бұрын

    Anafanya nini kiongozi wa aswari na wewe kiongozi wako ni nani mpaka useme kiongozi wenu

  • @shuweikhahamad6392
    @shuweikhahamad639210 ай бұрын

    Allah akupe umri mrefu wenye manufaa

Келесі