EWE ULIEDHURUMIWA USIVUNJIKE MOYO KUWA NA SUBRA. SHEYKH; HAMZA MANSOOR
Tafadhali Usiache ku SUBSCRIBE kwenye channel yetu hii ya Al-hidayahonlinetz. Ili uendelee kufaidika kupitia Maudhui zetu zenye mafundisho ya dini na jamii.
+PIA WAWEZA KUCHANGIA DA`AWAH HII KUPITIA
LIPA NAMBA AIRTEL 1297069 TIGO `7638500`
+ AMA PIGA NO. +255 710 627 824
Пікірлер: 41
Mashaallah darsa hii yako shekh hamza imenipa moyo kutokana na dhiki na huzuni nilizobeba moyoni😢😢😢 imenipumbaza moyo wangu mungu azidi kuniongoza kwenye njia iliyonyooka na Allah akubariki shekh na akuhifadhi na akulinde na dhulma za ulimwengu
Allahu akika waja Wana chuki mpaka onapitiliza tujirekebishe yarabi
Sheikh Allah akupe maisha marefu yenye faida
Mungu atufanyie wepesi inshallah na atuondolee matamanio ya duni
Sheikh huyu nampenda kwa ajili ya Allah .kweli mawaiza yake yananyooka moyoni kwangu moja kwa moja
@user-wr8yk3wt9x
3 ай бұрын
Mimi ni zaidi Yako kk nampenda SN adi nime slim kisa ma waidha yake amenifanya niupende uislam mpaka nime slim nikaitwa bien Hamza nampenda SN Allah ampe mwisho mwema sheikh wangu kipenzi❤❤❤❤❤
@virginiasimon4609
2 ай бұрын
Allahu Akbar 🤲 📿 @@user-wr8yk3wt9x
Nakupenda kwa ajili ya allah
❤ allah akulipe kheri sheh hamza baba angu napenda sana maiwdha yako hakika allah atupe mwisho mwema
Allah akuifadhi inshaallah
Masha Allah Allah akupe ulinzi wake na Maisha marefu
❤❤❤❤
Allah akusitiri kwa elimu kubwa unayotoa hakika unafanana kabisa na unachosema unasema kweli
AKUPE UZIMA NA AFYAA AJUZIDISHIEE ILMUU NAAA'FIAAN.
Mashaallah
Naam
Mashallah tabarakallah
Allah atujalie miongoni tuonusurika na madhambi
@jassminemubarak2828
10 ай бұрын
Amiiiina
@hasaniabdalah6148
8 ай бұрын
Amiin inshaalah
@user-xy8hm1tv9f
7 ай бұрын
Amiin
Allah (SW) akuzidishie katika boraa
🎉🎉🎉allah akulipe shekhe I am going back 😢😢😢and then I will have a good time and then I will have a good time to come by the best for me is the best way of doing it would have been the same as the most powerful in all of the world and then I will have a good time and then I will have a good time to come
@al-hidayahonlinetv3447
11 ай бұрын
may allah reward you well too
Mashallh
Manshaallah
لا حوله و قوة إلا بلله
Mashallah
Assalam wa'aleykum warahmatullah wabarakatu Allah akupe umri mrefu wenye manufaa dunian na kesho Akhera tunajifunza mengi kutoka kwako
@al-hidayahonlinetv3447
11 ай бұрын
Aamyn Aamyn pa1
Asalam aleikum shekhe naomba kuuliza unafanya kaz huna siku ya kupunzika kila siku kaz hata ukiumwa unafanya kaz pia hiyo dhuluma😭😭😭
@al-hidayahonlinetv3447
10 ай бұрын
Waleykum salaam warahmatulla warahmatullah wabarakatuh al akhi. Sasa utafanyaje kazi ukiwa unaumwa? Fafanua
@salmsalmo931
10 ай бұрын
@@al-hidayahonlinetv3447 Ukisema unaumwa unaambiwa ufanye kaz hata ukiwa mgonywa
@user-xd9ye7wk6c
9 ай бұрын
@@al-hidayahonlinetv3447huyu achosema Yuko sawa wewe mjibu ili na mm nipate kujua unaumwa Tena unapelekwa hospital na unapumzishwa kwa mda na dirip juu na dozi unapewa zakuendeleza ila Ile hujafika ndani ulisha ambiwa inatakiwa uanze na kaziipi shekhe huu ni ukweli tunaopitia
Mashaalah mwenyez mungu akujaliye mwisho mwema sheh wet
@al-hidayahonlinetv3447
11 ай бұрын
Allahuma Aamyn kwa sote.
@al-hidayahonlinetv3447
11 ай бұрын
Aamyn
,tunamshtakia allah kiongozi wa ansar tanzania kwa yatima mbona hamlizungumzii hilo ina maana hamlijui njooni tanga mjue anafanya kiongozi wenu
@hasaniabdalah6148
8 ай бұрын
Anafanya nini kiongozi wa aswari na wewe kiongozi wako ni nani mpaka useme kiongozi wenu
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa