WELCOME TO AQ ON LINE TV
Television ya kiislamu.
Tufuatilie AQ ONLINE TV kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii. 👇👇👇
Facebook:
facebook.com/aqonlinetv/
Instagram:
instagram.com/aqonlinetv
KZread:
kzread.info
Twitter:
twitter.com/aqonlinetv
Whatsapp:
chat.whatsapp.com/LTkso2pn2877REOBiAAIj9
chat.whatsapp.com/EXiWyyq5bqq0EP9Y4e2WEu
TikTok
vm.tiktok.com/ZSJKAVXxK/
CLUBHOUSE
www.clubhouse.com/@aqonlinetv?FZam3sIbsCw-179138
COPYRIGHT AQ ONLINE TV 2023
#aqtv_updates #tanzania #aqupdates #habari #matukio #urusi #ukraine #mawaidha #alwadoud #kishki #aqonlinetv #samiasuluhu #trending #uislam #othmanmaalim #tvimaan #
Пікірлер
Allah atuongoze wajawake 🙏
MashaAllah sheikh unatujenga
Allah akulinde sheikh wetu 😭😭😭
Ninaomba naomba zenu. Mpomkoagani
Namuuomba Allah azza wajala utujalie mm na familia yangu tufike makka ili tukafanye Ibada kwania yakweli ili kupata radhi za Allah
Inshaallah Mungu atufikishe.
Mashalla
Sio siri
Allwah atuwafikishe kuhijja Inshaallah
Manshallah Mwenyezi Mungu atupe Mwisho Mwema
Ww shekh nakupenda san kwa ajili ya Allah, tuombeeni na sisi tuwe watu wanye kujuwa thamani ya akhera yetu
Shekh tunamuombeni muwepo na sis tupate chakula Cha moyo ili tujuwe mazaifu yetu,,by kher Ali kanagagn pemba
Aslm alk mmi nataka kumona shehe kishik sijui nifanye vipi ili nionane nae?
Amin🙏
Yaa Allah grant our parents in jannatul Firdaus
Umesahau jiwe jeus
Ya Allah tunusuru waja wako na utongoze katika kheri
Dah mungu ndo kila kitu katika maisha yetu bina damu tumkumbukeni sana
Inshallah Allah atuezeshe nasi tufike katika Nyumba tukufu
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Manshall one day Yes insh.....❤❤
aje nimuoe nataka nusra
Mwache akitulia atakuja ameisha ona hapo
Ulimpata Kwa shayo kwanini usigemshilikisha
Amin
Mashalla mashalla mashalla tabaraka rahman allah akuzidishiee elimu raha sanaa kuhifadhii Qur'an
Tuoneshe jiwe jeusi kwa karibu na maelezo yake.
Alhamdulillah for Islam Allah atujaalie miongoni mwa wenye kutembelea nyumba yke tukufu ikiwa pamoja na kufnya hijja yenye kukubaliwa Amiin
Ya Allah mimi nakuomba unipe kheri za siku ya kiama na kaburini
Alhamdullilah
MAA SHAA ALLAH!! YAARABB TUNAKUOMBA SISI WAJA WAKO DHAIFU NA NI WAKOSEFU,TUNAKUOMBA UTUSAMEHE MADHAMBI.YETU.NA UTUJAALIE KABLA YA UHAI WETU KUMALIZIKA,TUJAALIE KWA UWEZO WAKO NA KWA HURUMA YAKO,NASI KILA ISILAMU TUSIOFIKA KATIKA NYUMBA YAKO TUKUFU ILIYOPO KATIKA MJI MTUKUFU WA MAKKA NA MADINA,TUJAALIE TUWE NI WENYE KUFIKA HUKO KUTEKELEZA IBADA TUKUFU YA HIJA,IKIWA NI MIONGONI MWA NGUZO TANO ZA UISLAM.EWE MWINGI MNO WA HURUMA YA WENYE HURUMA!! TUNAKUOMBA UTUKUBALIE MAOMBI YETU,AAMIIN!!!
𝐼𝑛𝑠ℎ𝑎'𝐴𝑙𝑙𝑎ℎ 𝑖𝑝𝑜 𝑠𝑖𝑘𝑢 𝑛𝑖𝑡𝑎𝑓𝑖𝑘𝑎 𝑝𝑎𝑚𝑜𝑗𝑎 𝑛𝑎 𝑓𝑎𝑚𝑖𝑙𝑖𝑎 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢🤲🏼
Allah nijaalie na mie niweze kufik pamoj na familia yngu🤲♥️♥️
Ee! Mwenyezi MUNGU nakuomba uzikubali hija za wajawako wote waliohiji ktk nyumba yako tukufu nasisi ambao hatujawahi kuhiji utujaalie kipato halali ili tukahiji japo mara moja.
Allah atuongoze Kwa huruma wake
AMIIIN
Naomba namba za simu
Aminaaaaa❤❤
Mawaidha mazito kwa kweli. Shukran ustadhi
First comment?
Kama alkhaba ni tukufu mbona mnasema Pana shetani na mnapiga mawe ndugu zetu mbona hatuwaelewi patakuwaje na utukufu Tena ni Mahali alipo shekhe twani?
Allahumma jaalni min ahli Madina wamut ilalmadina
Allah nijaalie nami kufika mahali hapo kutekeleza nguzo ya tano ya uislamu.
Humo Ndani Kuna nini
الله اكبر ولله الحمد ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
صل الله عليه وسلم ❤❤❤❤❤❤❤
Amina Isha allah
Alhamdulillah
Naam sheikh wangu haya muombee mume wangu alikupenda sana tukija Mombasa mpaka akutafute Dr omar
Ipo siku nitaisuru makkah Allah nijalie na vizazi vyangu InshaAllah