TABIA MBILI MUHIMU KILA MUISLAMU ANAPASWA KUWA NAZO || ALLAH NA MTUME WATAKUPENDA || OTHMAN MAALIM
Hajapatapo kutokea Muislamu yeyote akawa na mambo hayo mawili kesha akakosa kupendwa na Allah na Mtume wake.
Mawaidha ya Sheikh Othman Maalim - Zanzibar - Mapya ya 2023
Kutoka kwenye channel ya 𝗥𝗶𝘆𝗮𝗱𝗵 𝗧𝘃 𝗢𝗻𝗹𝗶𝗻𝗲 𝗭𝗻𝘇:
• KHUTBA YA SHK.OTHMAN M...
Follow Us On:
FACEBOOK:
/ aqonlinetv
INSTAGRAM:
/ aqonlinetv
TWITTER:
/ aqonlinetv
WHATSAPP:
chat.whatsapp.com/LTkso2pn287...
TIKTOK:
vm.tiktok.com/ZSJKAVXxK/
TELEGRAM:
t.me/aqonlinetv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2023 Aq Online Tv. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
Пікірлер: 42
Allah akujaalie shahada njema na yenye kauli thabiti akuondolee mazito akupe mepesi inshallah
Sheikh wangu pendwa Othmn maalim mungu akupe umri mrefu
Allah akupe umri mrefu wenye baraka Allah akulipe malipo mema ewe Sheikh Othman kwa mafundisho mazuri uliotufundisha
Allah akuzidishie elimu yenye baraka
@allyjuma336
Жыл бұрын
Maashaallah maalim wangu yuallimniiii🙏
@radiyaradiya2236
Жыл бұрын
Allahumma aamina
@kassimally2312
Жыл бұрын
Allah akupe kilicho bora
Nampenda huyu sheikh...❤ Asante kwa darsa ukiiona hii nitafute sheikh nipo german kuna vitu nataka ushauri wako😢
Mwenyezi Mungu akuzidishie elmu,ili uelimishe waislamu iliwaelewe wasicho kijua aamin,
A.Alleikum nimejifunza kiasi Allhamdulillah. Allah akujaze kheri ustadh Othman.
Allah akulipe kher kwa kutupa mafundisho
Uwe tabia 2 AKILI 1.ALHILMU kuzuwia hasira zako ingawa waweza kulipiza. 2.AL ANATH mtu awe na kutulia na kuthibitisha jambo kabla haja lisema.
Asalaam aleikum mashaallah tabarakarahmani mafundisho mazuri
We love you sheikh from Canada 🇨🇦
ALLAAH hakulipe ujira wako kesho hahra kwa mafunfisho unayo tupa Ishaallaah
@ahmedhamisi-jc2hs
Жыл бұрын
Aminia rabbi allamiin kwa kweli shekh uwa anagusa nyonyo za watu wengi
Allh akubariki na umri mlevu na afia njema nasi ationgoze kwenye njia ilionyohoka na atipambe nasubrira
❤ allah akupe umri nikukute tz
Mashallah tabarakallah sheikh... huwa najifunza mengi sana kutoka kwako..Allah azidi kkuongezea elimu ili nawe utuelimishe🙏
Mashallah,allah atupe subra.
MashaaAllah jazakAllah ukheri sheikh
@FatumaNtirampeba-pk3yq
9 ай бұрын
Asate
Asanti kwa darasa nzuri
MashaAllah MashaAllah ❤️❤️❤️❤️❤️
TabarakaAllah Ma Sha Allah Alhamdelilah 🤲
Sheikh wangu pendwa Allah akupe umli mlefu inshallah
Mashallah
Wallah Napenda Mawaida Yako Sheikh wetu malim
Mashaallha mungu akuweke mwalm uzidi kutukumbusha Yale yalo sitahili❤❤❤
Asante sana
Allah akuzidishie umli mulefu wenyekheri na baraka .🙏🙏🙏
Mashallah Mola akujazie kheri sheikh
Amiin
Shukran shekh
Mashaallah allah akupambe na neema ya afya na akupe ziada ya umri
Shukrani shekhe wetu ila nna suali hivi husein bin Aly bin abitwalib aliwahi kupata watoto kumbe? Niliwahi kuskia km Hassan na husein waliuwawa wadogo Tueke sawa Yaa shekh
Mwenyezi mungu atufaidhie shekh wetu kipenzi cha watu kwani akiongea kwa kweli kabisa lazima uwelewe umuimu wa mada
Shukuran shehe wetu
May Allah grant you more knowledge to enlighten us...jazakumullah kheir ya sheikh
Nakumbuka kuna MTU kipindi Fulani alijitokeza MTU akamshambulia Hutu shekh Othman. Lakin shekh hakmjibu.
@halimasaid4977
Жыл бұрын
Ni zaidi hekima shekhe kajaliwa mashaallah Allah amjalie pepo ya daraja ya juu aamiin
@barwani890
8 ай бұрын
Ndio uislaam unavyotaka Allah amhifadh na midomo ya watu na sie atupe subrah ya raab