Kwanini DIAMOND hafanyi Show NIGERIA? leo avunja Ukimya,afunguka A to Z,amtaja DAVIDO kumsaidia hili

Ойын-сауық

#diamondplatnumz #davido
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 80

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam98862 ай бұрын

    Unaongea point ❤🎉

  • @dayana5513story
    @dayana5513story2 ай бұрын

    Watanzania ambao hawajawai safari wanajua maishani niraisi akuna watu wana roho Ngumu mbaya kama wapopo all Africa guys akuna vitu raisi

  • @jaymandy8136
    @jaymandy81362 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma77642 ай бұрын

    Legend

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr2 ай бұрын

    🔥🔥🙌🏽🙌🏽

  • @piusjoaojoao1926
    @piusjoaojoao19262 ай бұрын

    We💥💥💥 sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28082 ай бұрын

    Wanangu Simba amelidi Tena wesimba haujui💪🙏🙏🙏💯💯💯baba lao chibu d chibude ndio wananavyo mwitaga mababy zake kubali sanaaa

  • @wilhelmomassawe3721
    @wilhelmomassawe37212 ай бұрын

    Simbaaaa

  • @iam_deo
    @iam_deo2 ай бұрын

    Anasema Ukweli kabisa Diamond .East Africans hakuna crowd kubwa kama West Africans. any way nakuja DC Kwenye show . see you there

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy2 ай бұрын

    Nawakubar sana lakn in visual interview imekaa local sana yaan mpangilio mbovu camera man kabeba video mbovu kama anamuogopa simba

  • @user-pz9bh3pl4t
    @user-pz9bh3pl4t2 ай бұрын

    Nice

  • @ChimpGuardian
    @ChimpGuardian2 ай бұрын

    Very humble indeed lakini anajua sana 👏👏👏

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher0722 ай бұрын

    Kweliii

  • @user-cy2kb4xf1y
    @user-cy2kb4xf1y2 ай бұрын

    sana kaka simbaa

  • @benjagaspar5304
    @benjagaspar53042 ай бұрын

    Kwel bro🔥🔥

  • @user-wi2sk8uj5s
    @user-wi2sk8uj5s2 ай бұрын

    Ndio otile akasema hakuna international artist mkampinga mond amesema bado lkn Africa tumefka Bali dunia bado

  • @AllyMngoya-ov8fs
    @AllyMngoya-ov8fs2 ай бұрын

    Kweli baba lao

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_2 ай бұрын

    Jamaa anaakili sana

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy2 ай бұрын

    Mondi nimekuelewa ndo maana kina jaymond junior talent wapo wanaeneza kiswahili challenge

  • @user-jw6uz5oj6h
    @user-jw6uz5oj6h2 ай бұрын

    NAPENDA UJE KUFANYA SHOW KINSHASA APANA MIKOWANI YA CONGO.

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    2 ай бұрын

    Hakuna aman hko bro

  • @personpeter2221
    @personpeter22212 ай бұрын

    Diamond nakukubar sana bro

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    2 ай бұрын

    Hasomagi hizi comment mzee😂😂😂😂

  • @m___ck799
    @m___ck7992 ай бұрын

    Unajing'ata ng'ata😂 lakini nakupenda hivyo hivyo manaa nimemjulia my Favourite Artist kwako😁

  • @marinojoseph-hg5ok
    @marinojoseph-hg5ok2 ай бұрын

    Kama korabo zinafanyika kwanini shoo zisifanyike🦁🦁🦁🦁

  • @eliashibundabalinze2754

    @eliashibundabalinze2754

    2 ай бұрын

    Shoow kafanye wewe si mtanzania?

  • @mwanamisiali5712

    @mwanamisiali5712

    2 ай бұрын

    😂😂😂​@@eliashibundabalinze2754

  • @jenahando2747

    @jenahando2747

    2 ай бұрын

    @@eliashibundabalinze2754 umeongea point kubwa sana

  • @sunwizy608

    @sunwizy608

    2 ай бұрын

    @@eliashibundabalinze2754wewe mbumbumbuuuu

  • @Officialvplat

    @Officialvplat

    2 ай бұрын

    Ukiw Nigeria medias mpk street ni 99% inatakiw zichezwe ngoma zao (sanaa yao) tu elewa hiyo ni sheria 😂

  • @jaykawada5453
    @jaykawada54532 ай бұрын

    Hii ndio ile topa alichunwa ikaleta ngori itafutwe na ikasakwa mpaka wakaiwai.... I'm trying to look for something special about it na sioni.. Ngori jo wadau!!!

  • @AmmyMakita-bt4ip

    @AmmyMakita-bt4ip

    2 ай бұрын

    Andika kiswahili vizur unatuharibie lugha

  • @mringoarts3710

    @mringoarts3710

    2 ай бұрын

    😂😂Eeh kiswahili au matusi? mara ngori? Mara topa? Mara alichunwa duuh kweli Bronx ololooo

  • @princejamaalvevotv2525
    @princejamaalvevotv25252 ай бұрын

    Very true, Nigeria ni Watu wapumbavu sana

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    2 ай бұрын

    Wapumbavu wanaongoza kwa uchumi Africa wanaongoza kwa miziki Africa wanaongoza kwenye soka kimataifa Sasa si Bora uwe mpumbavu upate hivyo vyote😂

  • @princejamaalvevotv2525

    @princejamaalvevotv2525

    2 ай бұрын

    @@Oldskulgemini9991scammer ndio unawapigia domo wee dogo tulia hujui kitu

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    2 ай бұрын

    @@princejamaalvevotv2525 Sasa we unajua nini dogo tulia acha kuongea upumbavu nimekupa fact hapo hakuna kitu unajua dogo🤫

  • @princejamaalvevotv2525

    @princejamaalvevotv2525

    2 ай бұрын

    @@Oldskulgemini9991 Amna kitu wewe bwege tuu

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    2 ай бұрын

    @@princejamaalvevotv2525 Sasa mtu unaambiwa fact unaleta mada za ubwege we jamaa upo sawa kweli kichwani?

  • @fbr5113
    @fbr51132 ай бұрын

    AKILI ZAKO NI NYINGI KULIKO NANI SIJUI YULE MWENYE AKILI NYINGI DUNIANI. WE NI NOUMA

  • @stanslausjohn8791
    @stanslausjohn87912 ай бұрын

    Huyu mwamba ana akili nyingi sana siyo wa kumfananisha na wapuuzi

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi2 ай бұрын

    Yan Kwa afrika nzima Nigeria bado ni baba waafrika kimzik

  • @user-pk1yl7zt8p

    @user-pk1yl7zt8p

    2 ай бұрын

    Ndmn mpk Leo bad umasikini maan hujui ulitendalo

  • @sunwizy608

    @sunwizy608

    2 ай бұрын

    @@user-pk1yl7zt8pkweri sasa unazan uyo diamond anawawez nigeria kimuzik kwanza kwa nyimbogan izoo matikiti kudondoka 😂😂😂

  • @NeyoBreezy-ie1by
    @NeyoBreezy-ie1by2 ай бұрын

    Eti sio Africa uko duniani kwani uku Africa ni kuzimuni ao mbinguni

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    2 ай бұрын

    😂

  • @Sonia_abass

    @Sonia_abass

    2 ай бұрын

    Kwan ww hujui Dunia Iko wap mpaka Sasa????

  • @Saaa235
    @Saaa2352 ай бұрын

    Hunalolote mbuzi tu

  • @user-pk1yl7zt8p

    @user-pk1yl7zt8p

    2 ай бұрын

    Wewe mweny lolote umefata nn hapa na komwe lako ilo ebu kanyeee uko masikini wee

  • @user-nb2jw4km6f

    @user-nb2jw4km6f

    2 ай бұрын

    Roho mbaya kafie mbele huko

  • @mlelwatv5831

    @mlelwatv5831

    2 ай бұрын

    Mtako wewe

  • @jayramadhan2820
    @jayramadhan28202 ай бұрын

    Toka uko kwani Burna boy sanajazaga wa zungu bila wana Nigeria kwenye shows zake ,,, u need to be creative like Harmonize and try to sing English in ur songs we are tired with Swahili songs

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z2 ай бұрын

    KAMA HUWEZ KUSHINDANA NAO UNGANA NAO,,,,,SASA HIVI UNASHINDANA NA RUGER SHOO ZA NJE NA PENGINE ANAKUZIDI KWENYE KUJAZA,,,ENDELEENI NA CHUKI.

  • @footballlove.2305

    @footballlove.2305

    2 ай бұрын

    we ndo unachuki kwan hapo kaongea nn kbaya we msanii wako pia anaweza kuweka mikakati yake

  • @user-pk1yl7zt8p

    @user-pk1yl7zt8p

    2 ай бұрын

    Dili na maisha ili uishnde njaa la sivyo Kila xku utachukia watu bila xabb

  • @user-nb2jw4km6f

    @user-nb2jw4km6f

    2 ай бұрын

    Sisi lugha pia ni tatizo

  • @user-hi8le2vb7z

    @user-hi8le2vb7z

    2 ай бұрын

    @@user-pk1yl7zt8p NAMCHUKIA VIP MTU HAYUPO KWENYE SAIKO YANGU YA KILA SIKU?NISIPOMUONA SISHTUKI,,NIKIMUONA SISHTUKI,,,,MSANII WENU MKALI ILA LUGHA CHANGAMOTO,,

  • @cleveronlinemedia820

    @cleveronlinemedia820

    2 ай бұрын

    Kwann usiende wew kuijaza hizo show😅

  • @samuellubunga1728
    @samuellubunga17282 ай бұрын

    We mbuzi una lolote

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi2 ай бұрын

    Acha kujixifu kenge ww xubli uxifiwd Tako ww

  • @sulleymernmannarah7930

    @sulleymernmannarah7930

    2 ай бұрын

    Una makasiriko cjui unateseka ukiwa wapy ?

  • @KudraMaganya

    @KudraMaganya

    2 ай бұрын

    Chuki Hadi matakoni

  • @nbwchannel4997

    @nbwchannel4997

    2 ай бұрын

    Usipaniki kaka

  • @eliashibundabalinze2754

    @eliashibundabalinze2754

    2 ай бұрын

    Unatukana aliyekuzidi kila kitu mpaka ukoo wenu wote kipato chenu ni the theluthi

  • @user-pk1yl7zt8p

    @user-pk1yl7zt8p

    2 ай бұрын

    Akiri aky fupi xana ka pimbi kweny maish il utoboe lazm ww Kwanza ujikubal kua unaweza af wengne ndo watafata kenge wee acha makrko kwa watu walokuzid mpaka zamb

  • @sunwizy608
    @sunwizy6082 ай бұрын

    auna lolote nigeria 🇳🇬 ndio baba kimuzik Africa 😂😂😂😂matikiti kudondoka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SADEE._

    @SADEE._

    2 ай бұрын

    Yan we mtanzania unatoa comment kama hiyo kwa mtanzania mwenzio na kumpa sita mnigeria

  • @sunwizy608

    @sunwizy608

    2 ай бұрын

    @@SADEE._ auma akili wewe ivi unazijua simba na yanga vizuri 😂🤣😂

  • @eliuskamwelwe1018

    @eliuskamwelwe1018

    2 ай бұрын

    😂😂 mtoto wa kiume anaumia na mafanikio ya mwanaume mwenzake acha ushoga ww

  • @sunwizy608

    @sunwizy608

    2 ай бұрын

    @@eliuskamwelwe1018 🤣😂🤣mama ako anajua mm nani kwake

  • @robertmzizima9621

    @robertmzizima9621

    2 ай бұрын

    K wewe

Келесі